Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Sunday, 5 October 2025

VODACOM YAWEZESHA WANAWAKE NA VIJANA KUPITIA MICHEZO YA MPIRA WA KIKAPU

Mkurugenzi wa Tehama wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. Athumani Mlinga, akimkabidhi Amini Juma, mchezaji wa Dar City Basketball, hundi ya TZS milioni 10 baada ya timu hiyo kutangazwa mabingwa wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar es Salaam (BDL) 2025 kwa upande wa wanaume. Tukio hili, lililofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay, ni sehemu ya mpango wa Vodacom wa kuwawezesha vijana, kuendeleza mchezo wa mpira wa kikapu na kukuza vipaji vipya nchini Tanzania.
Wachezaji wa DB Lioness wakishangilia baada ya kupokea kombe la ubingwa kutoka kwa Mkurugenzi wa Tehama wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. Athumani Mlinga (wa tatu kushoto). Timu hiyo imetangazwa mabingwa wa Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar es Salaam (BDL) 2025 kwa wanawake, ikionesha ukuaji wa michezo ya wanawake nchini pamoja na jitihada za Vodacom Tanzania PLC katika kuendeleza vipaji na kuhamasisha ushiriki wa wanawake katika michezo. Tukio hilo lilifanyika mwishoni mwa wiki na kushuhudiwa na wafanyakazi wa Vodacom pamoja na viongozi wa ligi.

Dar es Salaam, Tanzania:
Vodacom Tanzania PLC imeonesha kwa mara nyingine dhamira yake ya kuwawezesha wanawake na vijana kupitia michezo kwa kudhamini Ligi ya Mpira wa Kikapu ya Dar es Salaam (BDL) 2025, ambayo ilihitimishwa kwa fainali zenye msisimko katika viwanja vya Don Bosco Oysterbay.

Kwa upande wa wanawake, timu ya DB Lioness imetangazwa mabingwa wa ligi hiyo, hatua inayodhihirisha ukuaji wa michezo ya wanawake nchini Tanzania. Ushindi huo unaonyesha fursa zinazozidi kufunguka kwa wachezaji wanawake na mchango wa Vodacom katika kuendeleza usawa wa kijinsia pamoja na michezo nchini.

Kwa upande wa wanaume, timu ya Dar City Basketball iliibuka mabingwa, huku mchezaji Amini Juma akikabidhiwa mfano wa hundi ya shilingi milioni 10 kutoka kwa Mkurugenzi wa Tehama wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. Athumani Mlinga. Mchango huo ni sehemu ya mpango mpana wa Vodacom wa uwezeshaji vijana unaolenga kukuza vipaji, kuhamasisha ushiriki wa vijana katika michezo, na kuendeleza mpira wa kikapu nchini.

VODACOM TANZANIA EMPOWERS WOMEN AND YOUTH THROUGH BASKETBALL SPONSORSHIP

Vodacom Tanzania Plc’s Director of ICT, Mr. Athumani Mlinga, presents a TZS 10 million cheque to Amini Juma, a player from Dar City Basketball, after the team was crowned champions of the 2025 Dar es Salaam Basketball League (BDL) in the men’s category. The event, held over the weekend at the Don Bosco Oysterbay grounds, is part of Vodacom’s initiative to empower youth, promote basketball, and nurture emerging talent in Tanzania.
Players of DB Lioness celebrate after receiving the championship trophy from Vodacom’s Director of ICT, Mr. Athumani Mlinga (third left). The team was crowned champions of the 2025 Dar es Salaam Basketball League (BDL) in the women’s category, highlighting the growth of women’s sports in the country and Vodacom Tanzania PLC’s efforts to nurture talent and promote women’s participation in sports.

Dar es Salaam, Tanzania:
Vodacom Tanzania PLC has once again demonstrated its commitment to empowering women and youth through sports by sponsoring the 2025 Dar es Salaam Basketball League (BDL), which concluded with thrilling finals at the Don Bosco Oysterbay grounds.

In the women’s category, DB Lioness emerged champions — a milestone that underscores the rapid growth of women’s basketball in Tanzania. The victory highlights expanding opportunities for female athletes and Vodacom’s continued contribution toward gender equality and sports development.

On the men’s side, Dar City Basketball clinched the championship title, with player Amini Juma receiving a symbolic cheque worth TZS 10 million from Vodacom Tanzania PLC’s Director of ICT, Mr. Athumani Mlinga. This contribution forms part of Vodacom’s broader youth empowerment initiative aimed at nurturing local talent and inspiring the next generation of athletes.

Saturday, 4 October 2025

STANBIC BANK EMPOWERS MINING SECTOR STAKEHOLDERS IN GEITA

Nyang’hwale District Commissioner, Hon. Grace Kingalame (right), speaks with Stanbic Bank Geita Branch Manager, Hilda Gwimba, during the 8th National Mining Technology Exhibition held at the Samia Suluhu Grounds in Geita Municipality. Stanbic Bank, a key participant in the exhibition, supported the event by providing loans to small-scale miners.

  • Offers tailored financial solutions for small- and large-scale miners, including solar energy infrastructure for mining sites

Geita, Tanzania – September 30, 2025: Stanbic Bank Tanzania has reaffirmed its commitment to supporting stakeholders in the country’s mining sector, particularly in Geita Region, through innovative financial solutions that enable sustainable growth, investment, and long-term prosperity.

Speaking during the 8th National Mining Technology Exhibition held at the Samia Suluhu Grounds in Geita, Hilda Gwimba, Stanbic Bank’s Geita Branch Manager, said:

As we celebrate 30 years of service in Tanzania, Stanbic continues to empower mining stakeholders by offering unsecured loans to both small- and large-scale miners, financing for heavy-duty vehicles, mining equipment, and business support. We also provide solar power solutions to promote sustainable energy use at mining sites.”

 

SBL PARTNERS WITH EASTERN AFRICA GRAIN COUNCIL TO STRENGTHEN "SHAMBA NI MALI" INITIATIVE

Dar es Salaam — Serengeti Breweries Limited (SBL) has joined forces with the Eastern Africa Grain Council (EAGC) to enhance its "Shamba ni Mali" initiative, a flagship program aimed at empowering farmers across Tanzania.

The partnership seeks to boost market access, commercialization, and productivity for smallholder farmers, while connecting them to regional trade networks, digital platforms, and agro-input suppliers.

Speaking about the collaboration, John Wanyancha, SBL’s Corporate Relations Director, said the partnership will empower farmers with the knowledge, networks, and resources needed to scale their operations sustainably.

On his part, Gerald Masila, Managing Director of EAGC, emphasized that private sector partnerships such as this are crucial to transforming agriculture and unlocking new avenues for economic growth.

Friday, 3 October 2025

BOT GOVERNOR COMMENDS CRDB BANK’S CORE BANKING SYSTEM TRANSFORMATION

The Governor of the Bank of Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba (left), congratulates CRDB Bank CEO, Abdulmajid Mussa Nsekela (right), during a meeting to discuss implementation of the bank’s core banking system transformation—a strategic step aimed at improving services, enhancing transaction security, and driving economic growth. The meeting was attended by BoT Deputy Governors as well as other senior officials from both the BoT and CRDB Bank.

Dar es Salaam, Tanzania – The Governor of the Bank of Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba, has lauded CRDB Bank for its historic core banking system transformation, describing it as a strategic milestone that reflects the maturity of the country’s financial sector.

The Governor delivered his remarks during a special meeting between CRDB Bank’s management and BoT, which was also attended by Deputy Governors and Directors of the central bank. His commendation follows recent international recognition of CRDB Bank’s reforms, praised for enhancing service quality, improving transaction security, and expanding innovative solutions for customers.

Speaking at a press briefing in Dar es Salaam, CRDB Bank’s Director of Communications and CEO of CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa, said the recognition underscores stakeholders’ continued confidence in the bank. She highlighted the transformation as proof of CRDB’s leadership in digital innovation and bold decision-making on the continent.

No transformation journey has ever been easy. During the transition, some customers experienced temporary challenges, which is normal with major system changes. Our team worked tirelessly to resolve them, and I’m pleased to confirm services are now fully restored. These reforms have laid a solid foundation for delivering services in Tanzania, Burundi, the DRC, Dubai, and other new markets,” Ms. Mwambapa noted.

The core banking upgrade is part of CRDB Bank’s 2023–2027 Mid-Term Strategy, which positions technological innovation as central to growth and economic impact. The reforms also reflect the bank’s resilience in executing large-scale changes across three countries while maintaining uninterrupted service—earning both local and global praise.

Thursday, 2 October 2025

WADAU WA TEKNOLOJIA WAPATA FURSA YA KUTAMBULISHWA SIMU MPYA YA REDMI 15C

 

Dar es Salaam, Tanzania – Oktoba 2025 – Wadau wa teknolojia jijini Dar es Salaam wamepata nafasi ya kutambulishwa kwa simu mpya ya Redmi 15C kutoka kampuni ya Xiaomi, katika kikao kilicholenga kuonesha uwezo na mwelekeo wa kifaa hicho sokoni.

Tukio hilo, lililofanyika hivi karibuni jijini Dar es Salaam, liliwahusisha washiriki katika maonyesho ya karibu ya vipengele vipya vya Redmi 15C, sambamba na bidhaa nyingine ikiwemo Redmi Pad. Pia, washiriki walihamasishwa kujadili mustakabali wa matumizi ya teknolojia janjanja nchini.

Baadhi ya washiriki walipata zawadi mbalimbali kama ishara ya shukrani kwa kushiriki katika utambulisho huo, huku kampuni ya Xiaomi ikisisitiza dhamira yake ya kuendeleza uwepo wake na ushirikiano na watumiaji wa Tanzania.

TANGA CEMENT LAUNCHES LARGEST-EVER RIGHTS ISSUE TO RAISE TZS 204 BILLION

TANGA, Tanzania – 30 September 2025 – Tanga Cement Plc (Simba Cement) has launched the country’s largest-ever rights issue, seeking to raise TZS 204 billion to settle foreign-denominated debt, strengthen its balance sheet, and pave the way for future expansion.

The one-month offer, officially unveiled in Dar es Salaam, surpasses CRDB Bank’s landmark TZS 152 billion rights issue held a decade ago.

Shareholder Offer at a Discount

Under the approved prospectus, 127,342,090 rights shares will be offered to existing shareholders at TZS 1,600 per share, on a ratio of two new shares for every one existing share. The offer represents a 38.2% discount compared to the prevailing market price of TZS 2,590.

“This issuance of rights shares by Tanga Cement is a solid step toward expanding investment opportunities and enhancing shareholder value,” said Mr. Nicodemus Mkama, Chief Executive Officer of the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

Management and Market Reactions

Tanga Cement Managing Director, Alfonso Velez, described the rights issue as a vote of confidence in both the company and Tanzania’s economic direction:

We are positive about the market development process and see growth opportunities across the cement value chain.”

On his part, iTrust Finance CEO, Mr. Faiz Arab, emphasized that the initiative goes beyond fundraising:

GLOBAL RISK ADVISORY PARTNERS WITH TBA TO LAUNCH FIRST ADVANCED ERM CERTIFICATE PROGRAM

Dar es Salaam, Tanzania — October 1, 2025
Global Risk Advisory Services 
in collaboration with The Tanzania Bankers Association (TBA), is proud to announce the launch of the region’s first Advanced Enterprise Risk Management (ERM) Certificate Program. The two-day event will be hosted at The DELTA Hotel Marriott, Dar es Salaam, marking a major milestone in strengthening risk governance and sustainable enterprise value creation across the financial sector.

Shaping the Future of Risk Management

The program is designed to equip financial leaders with cutting-edge knowledge and practical tools to navigate today’s evolving risk landscape. Participants will benefit from:

  • Embedding strong first-line of defense – ensuring risk ownership and execution.
  • Elevating governance, resilience, and strategic integration across institutions.
  • Applying Basel, COSO ERM, and ISO 31000 frameworks with practical toolkits.
  • Mastery in advanced risk identification and measurement techniques.
  • Integrating ESG, climate, cyber, and digital risks into enterprise strategies.
  • World-class ERM practices delivered by globally recognized experts from the U.S., Europe, and Africa.

Certification

Participants who complete the program will be awarded the prestigious Certificate in Advanced Enterprise Risk Management (CA-ERM), a globally recognized credential in the field of risk management.

Wednesday, 1 October 2025

FLYDUBAI ENABLES MOBILE MONEY PAYMENTS FOR CUSTOMERS IN TANZANIA

Dar es Salaam, Tanzania – Customers in Tanzania booking flights with flydubai can now pay conveniently using local mobile money services, following the expansion of the airline’s partnership with Network International.

The move simplifies the booking process while boosting Tanzania’s growing mobile money ecosystem. It also makes Tanzania the third East African market, after Kenya and Uganda, to enable mobile money payments for flydubai services — marking another milestone in expanding digital payment accessibility across the region.

Local Payment Options

Travellers in Tanzania can now use Mixx by Yas and Airtel Money to pay for flights booked directly via the flydubai website or mobile app. This development responds to the increasing demand for localized, secure, and cashless payment experiences among Tanzanian travellers.

Industry Leaders Speak

Judy Waruiru, Regional Managing Director for East Africa at Network International, noted:

This continued collaboration gives flydubai customers even greater flexibility by enabling secure, seamless mobile money payments alongside traditional cards. As mobile payments gain momentum, especially in East Africa, we’re proud to be at the forefront, enhancing customer convenience while driving innovation.”

Sudhir Sreedharan, Divisional Senior Vice President of Commercial Operations (UAE, GCC, Africa and South Asia) at flydubai, added:

Our collaboration with Network International builds on the success we’ve already seen in Kenya and Uganda. It reflects our commitment to giving customers more choice and flexibility in their booking and payment options. We look forward to further promoting local payment systems beyond the region and ensuring a convenient travel experience from the moment our passengers choose flydubai.”

NMB BANK OPENS SPECIAL BRANCH AT TINDE LIVESTOCK AUCTION TO BOOST FINANCIAL INCLUSION

Shinyanga District Executive Director, Dr. Kalekwa Kasanga (centre) cuts a ribbon to launch NMB Bank's Tinde Mnadani service centre at the livestock auction market in Tinde. She is flanked by NMB's Chief of Retail Banking, Filbert Mponzi (right) and the bank's Western Zone Manager, Restus Assenga (left).

Shinyanga, Tanzania – 30 September 2025 – Building on its long-standing commitment to extending financial services to underserved communities, NMB Bank has inaugurated a special branch at the bustling Tinde livestock auction. This initiative marks a significant step in bridging the financial gap in rural Tanzania.

The launch at Tinde is part of a broader rollout of five new special branches established within livestock auctions across the country. Other locations include Itobo (Nzega District), Iborogero (Igunga), Dosidosi (Kiteto), and Mkongeni (Mvomero District).

Transforming Rural Banking

The new branches are strategically located to revolutionize financial access for livestock traders and keepers by offering secure, convenient, and efficient services directly at the center of their economic activity.

Speaking at the event, Mr. Filbert Mponzi, NMB Bank’s Chief of Retail Banking, emphasized the vital role of livestock auctions in rural economies:

By establishing a physical banking presence within the Tinde auction, we are directly addressing the risks and inefficiencies associated with cash-based transactions. The branch will offer deposit and withdrawal services, electronic transfers, financial literacy programs tailored to the agricultural sector, and specialized loan products designed to boost livestock productivity and market access.”

 

Mponzi highlighted the Bank’s use of technology to tailor services for livestock keepers:

Our mobile banking platform allows livestock keepers to manage accounts, transfer funds, check market prices, and even access digital loans of up to TZS 1,000,000 directly from their mobile phones. In addition, our specialized loan products will finance livestock improvements, infrastructure, and value-added processing.”

GRAND PRIZE WINNER TAKES HOME TZS 5 MILLION AS BANK OF AFRICA WRAPS UP DIGITAL CAMPAIGN

BANK OF AFRICA - TANZANIA Moshi Branch Manager, Ms. Mpoki Mwanjala (left), presents a dummy cheque of TZS 5 million to Mr. Dolvin Olomi (right), the grand prize winner of the "Miamala ni Fursa" campaign.

Dar es Salaam, Tanzania – 30 September 2025 – A lucky customer from Moshi, Kilimanjaro Region, Mr. Dolvin Salvatory Olomi, has been named the grand prize winner of TZS 5 million as BANK OF AFRICA – TANZANIA concludes its digital banking campaign, “Miamala ni Fursa.”

The campaign, which ran from June to September 2025, rewarded 60 winners nationwide, with customers earning weekly cash prizes of TZS 50,000 for using the Bank’s B-Mobile platform. The initiative ended with a final supervised draw, awarding the grand prize of TZS 5 million to the most consistent and active digital banking user — officially announced as the lucky winner, Mr. Olomi.

Winning TZS 5 million for simply using mobile banking is life-changing,” said Mr. Olomi, expressing gratitude to the Bank for promoting financial inclusion through innovative and rewarding campaigns.

Driving Digital Banking Adoption

Launched on 4th June 2025, the “Miamala ni Fursa” campaign was designed to accelerate the adoption of digital banking by encouraging everyday mobile transactions, including bank-to-wallet transfers, bill payments, and airtime or electricity purchases. The campaign also supported the Government of Tanzania’s digitization agenda, promoting broader financial access.

Mr. Lameck Mushi, Chief Digital Officer at BANK OF AFRICA – TANZANIA, emphasized the importance of affordability and accessibility in driving uptake:

The campaign's success is a clear sign that Tanzanians are ready to embrace digital banking when it’s simple, accessible, and rewarding. Reducing bank-to-wallet transfer fees by over 50% played a major role in boosting mobile transactions, and the excitement around winning prizes added even more motivation.”

ABSA BANK TANZANIA LAUNCHES “PLAY YOUR CARD RIGHT” CUSTOMER REWARDS CAMPAIGN

Absa Bank Tanzania Director of Retail Banking, Ms. Ndabu Swere (second right, seated), together with other Bank officials (from left, seated): Head of Retail Products & Strategy, Mr. Heristraton Genesis; Head of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga; and Card Issuing Manager, Ms. Erica Mwaipopo, display Absa cards during the launch of the Bank’s card usage campaign in Dar es Salaam.

Dar es Salaam, 30 September 2025 – Absa Bank Tanzania has officially launched its latest customer rewards initiative dubbed “Play Your Card Right”, a three-month campaign that will see customers walk away with a share of TZS 120 million in cash prizes. The launch event was held at Absa House, the Bank’s headquarters in Dar es Salaam.

The campaign aims to encourage greater use of Absa Debit and Credit Cards as well as the Bank’s digital platforms, including internet banking, mobile banking, and agency channels. Customers who transact through these platforms will automatically qualify for weekly, monthly, and grand prize draws, with winnings credited directly to their Absa accounts.

Customer-Centered Banking

Speaking during the launch, Ms. Ndabu Swere, Director of Retail Banking at Absa Bank Tanzania, highlighted the campaign’s focus on rewarding customer loyalty:

This campaign reflects our commitment to empowering our customers by rewarding their loyalty and encouraging them to take advantage of convenient, safe, and modern banking channels. Through Play Your Card Right, we are not only giving back to our customers but also reinforcing the benefits of card usage and digital banking in today’s fast-changing financial landscape.”

On his part, Mr. Aron Luhanga, Head of Marketing and Corporate Affairs, connected the initiative to Absa’s broader brand purpose:

At Absa, our purpose is ‘Empowering Africa’s tomorrow, together… one story at a time’, and our brand promise is ‘Your story matters.’ This campaign is one way of demonstrating these values in action. Every customer’s transaction tells a story of growth, empowerment, and convenience. We want to celebrate those stories by rewarding customers who choose Absa as their financial partner.”

ECOBANK TANZANIA ENHANCES ‘ELLEVATE’ PROGRAM TO BOOST WOMEN ENTREPRENEURS

Ecobank Tanzania Managing Director, Dr. Charles Asiedu, addressing women entrepreneurs — small, medium, and large — during the launch seminar of the special program ‘Ellevate by Ecobank’ in Dar es Salaam.
Ecobank Tanzania Head of Commercial Banking, Joyce Ndyetabura, speaking about the bank’s services for women and entrepreneurs during the ‘Ellevate by Ecobank’ program seminar.

Dar es Salaam, 26 September 2025 – Ecobank Tanzania, a subsidiary of the Pan-African financial services leader, Ecobank Group, has launched an enhanced version of its award-winning ‘Ellevate by Ecobank’ program. The initiative aims to accelerate financial inclusion and economic empowerment for women entrepreneurs across all business segments in Tanzania.

BROADER SUPPORT FOR WOMEN ENTREPRENEURS

Originally designed to support small and medium-sized enterprises (SMEs) led or owned by women, Ellevate has now expanded its reach. The new program covers large corporates, SMEs, and sole traders in the informal sector, ensuring women in all stages of business growth benefit from tailored financial and non-financial solutions.

KEY BENEFITS OF THE ENHANCED ELLEVATE

  • Access to finance: Unsecured loans of up to USD 50,000.
  • Lower entry barriers: Eligibility now requires only a two-year track record.
  • Competitive interest rates with favorable collateral requirements.
  • Market expansion: Access to the MyTradeHub online platform connecting businesses across Africa.
  • Capacity building: Training, leadership development, and industry knowledge webinars.
  • Financial security: Insurance, wealth management, and salary protection services.

STRONG COMMITMENT TO WOMEN’S EMPOWERMENT

Dr. Charles Asiedu, Managing Director of Ecobank Tanzania, emphasized the program’s impact:

Since its launch in Tanzania, we have onboarded over 300 women entrepreneurs. This enhanced program reinforces our commitment to being the bank of choice for women entrepreneurs and strengthens our role in driving financial inclusion and economic empowerment across Africa.”

Tuesday, 30 September 2025

BOT TILTS TOWARDS LONGER-TERM BONDS AFTER 25-YEAR ISSUE DRAWS STRONG DEMAND

Dar es Salaam, 29 September 2025 – The Bank of Tanzania (BoT) is adjusting its debt strategy by focusing more on longer-term government securities after last week’s 25-year Treasury bond attracted far more bids than expected.

In the auction, investors tendered bids totaling TSh 980 billion, while only TSh 264.3 billion was on offer—leaving the auction oversubscribed by over TSh 700 billion.


BoT’s Strategy Shift

BoT plans to reopen the 10-year Treasury bond this Wednesday instead of the originally scheduled 2-year bond. Analysts say this reflects the central bank’s efforts to extend the maturity profile of government debt while meeting investor demand.

  • The 25-year bond issued last week carried a 13.75% coupon, down from 15% for the same tenor six weeks ago.
  • Despite the lower rate, investor demand remained strong.
  • The weighted average yield settled at 13.19%, a drop of around 60 basis points from the previous auction.


What Analysts Say

Geofrey Kamugisha, Head of Business Development and Customer Service at Alpha Capital, commented:

Despite the aggressive rate cut, investor interest was overwhelming. It shows that investors are keen to lock in longer-term positions, possibly expecting interest rates to continue falling.”

VODACOM TANZANIA FOUNDATION NA JKCI WASHIRIKIANA KUPANUA HUDUMA ZA MOYO KWA WATOTO

Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya Vodacom Tanzania Plc, Philip Besiimire (kushoto), akipeana mkono na Mkurugenzi Mtendaji wa Heart Team Africa Foundation (HTAF), Dkt. Naizihijwa Majani (kulia), mara baada ya kusaini makubaliano ya ushirikiano yenye lengo la kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya magonjwa ya moyo kwa watoto nchini. Kupitia makubaliano haya, Vodacom itachangia asilimia 30 ya gharama za matibabu huku asilimia 70 zikigharamiwa na Serikali. Tukio hilo lilishuhudiwa na Mkurugenzi wa Uhusiano na Mawasiliano wa kampuni hiyo, ambaye pia ni Mkurugenzi wa Vodacom Tanzania Foundation, Zuweina Farah, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), Dkt. Peter Kisenge.

Dar es Salaam, 29 Septemba 2025 – Vodacom Tanzania kupitia asasi yake ya kijamii imeingia makubaliano ya ushirikiano na Heart Team Africa Foundation, taasisi inayofanya kazi chini ya Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI), katika juhudi za kuongeza nguvu kwenye mapambano dhidi ya magonjwa ya moyo kwa watoto nchini. Hafla ya utiaji saini imefanyika sambamba na Siku ya Moyo Duniani 2025, chini ya kaulimbiu “Don’t Miss a Beat”, ikisisitiza umuhimu wa kuchukua hatua mapema na kuzingatia mtindo bora wa maisha kwa afya ya moyo.

Changamoto za Maradhi ya Moyo kwa Watoto

Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na Hospitali ya Taifa Muhimbili:

  • Watoto 2 kati ya kila 100 huzaliwa na ugonjwa wa moyo (Congenital Heart Disease – CHD).
  • Asilimia 3 ya watoto wenye umri wa miaka 5–15 huathirika na Ugonjwa wa Moyo wa Rheumatic (RHD), hali inayoweza kuzuilika kwa matibabu ya mapema ya maambukizi ya koo.
  • Zaidi ya watoto 4,000 huhitaji upasuaji kila mwaka, huku JKCI ikikabiliwa na orodha ya zaidi ya watoto 350 wanaosubiri huduma hiyo.

Serikali hufadhili takribani asilimia 70 ya gharama za matibabu, lakini familia nyingi hupata changamoto kubwa kufanikisha asilimia 30 inayobaki.

Kauli za Viongozi

Mkurugenzi Mtendaji wa JKCI, Dkt. Peter Kisenge, alisema:

“Kila takwimu inawakilisha mtoto mwenye ndoto na mzazi mwenye matumaini. Ushirikiano huu utatusaidia kupunguza pengo kati ya uhitaji na upatikanaji wa huduma, ili kuhakikisha watoto wengi zaidi wanaishi maisha yenye afya njema.”

BENKI YA EXIM YAWEKEZA KATIKA UONGOZI WA WANAWAKE KUPITIA MAFUNZO YA ‘MINDFUL LEADERSHIP’

Meneja Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim, Kauthar D’souza, akizungumza na wanawake walioshiriki mafunzo ya ‘Mindful Leadership’ yaliyofanyika kwa ushirikiano na Mind Matters, yenye lengo la kuwaendeleza wanawake katika ujasiriamali, kuimarisha uwezo na kutoa fursa sawa kwa wanawake katika kila nyanja za maisha. Mafunzo haya yatafanyika kwa awamu tatu, yakilenga kuwanufaisha wanawake 150. Tukio hili limefanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.

Dar es Salaam, 27 Septemba 2025 – Benki ya Exim Tanzania, kupitia Mpango wake wa Kuwawezesha Kiuchumi Wanawake (Women Empowerment Program – WEP) chini ya Exim Cares, imejitokeza kama Mdhamini Mkuu wa mafunzo ya Mindful Leadership Training for Women. Mafunzo haya yatawaleta pamoja viongozi zaidi ya 150 wa kike kutoka sekta mbalimbali za biashara, elimu na huduma za umma, yakilenga kuimarisha uongozi wa kina, akili ya hisia, ustahimilivu na ubunifu.

Mafunzo hayo yanatarajiwa kufanyika kwa awamu tatu – 27 Septemba, 4 Oktoba na 11 Oktoba 2025 – na kila darasa litahusisha mazoezi ya vitendo, nafasi ya kubadilishana mawazo na kupata uzoefu kutoka kwa wataalam wa uongozi.

Kauli za Viongozi

Mkuu wa Idara ya Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim, Stanley Kafu, alisema:

Tunafurahia kushirikiana na Mind Matters katika mpango huu muhimu unaolenga kukuza uongozi wa wanawake. Kupitia WEP, tunatoa fursa kwa wanawake kupata ujuzi wa ujasiriamali, ustahimilivu, na uwezo wa kuongoza hisia binafsi, jambo linalowasaidia kustawisha maisha yao, familia zao, na jamii zao kwa ujumla.”

Naye Meneja Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa Benki ya Exim, Kauthar D’souza, aliongeza:

Usambazaji wa ujuzi huu ni kielelezo cha jitihada zetu za kudumisha usawa wa kijinsia na kuwekeza katika wanawake ili waanzishe mabadiliko chanya. Mpango huu unaungana moja kwa moja na WEP unaolenga kuendeleza ujasiriamali, kuimarisha uwezo na kutoa fursa sawa kwa wanawake katika kila nyanja ya maisha.”

Monday, 29 September 2025

BENKI YA STANBIC YAHIMIZA WASTAAFU KUJIANDAA KIMAISHA KWA USALAMA NA HESHIMA

Baadhi ya wastaafu na wataalam wa kifedha wakimsikiliza Meneja Mwandamizi wa Mauzo wa Benki ya Stanbic, Priscus Kavishe, kwenye kongamano la wastaafu lililoandaliwa na Benki ya Stanbic Tanzania, lililolenga kutoa huduma za kifedha na bima kwa wastaafu nchini.

Dar es Salaam, Septemba 26, 2025 – Wastaafu na wale wanaokaribia kustaafu nchini Tanzania wamehimizwa kujikita katika mipango thabiti ya kifedha, huduma za bima na uwekezaji ili kuhakikisha maisha yenye heshima na ustawi baada ya kustaafu.

Ujumbe huu uliwasilishwa kwenye Kongamano la Wastaafu lililoandaliwa na Benki ya Stanbic, ambalo liliwakutanisha wastaafu, wataalam wa kifedha na wadau wa sekta mbalimbali kujadili mbinu za vitendo za kujiandaa kimaisha. Tukio hili ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya Stanbic Tanzania, yenye kaulimbiu “Miaka 30 ya Kukua Pamoja.”

Mkazo kwa Akaunti ya Hekima Banking

Kongamano lilijikita zaidi katika Akaunti ya Hekima Banking, akaunti maalumu ya Stanbic kwa watu wenye umri wa miaka 55 na kuendelea. Akaunti hii inawapa wastaafu urahisi wa kufanya miamala, kuweka akiba, kupata mikopo na ushauri wa kifedha na uwekezaji.

Priscus Kavishe, Meneja Mwandamizi wa Mauzo wa Benki ya Stanbic, alisema mpango huu umetengenezwa ili kuwapa wastaafu usalama na fursa:

Kwa Benki ya Stanbic, tunaamini kustaafu si mwisho, bali ni mwanzo wa fursa mpya. Kupitia Hekima Banking, tunawapa wastaafu suluhisho za vitendo zitakazowawezesha kuishi kwa heshima, kuwekeza na kuendelea kuchangia maana katika familia na jamii zao.

Akaunti ya Hekima haina ada za kila mwezi, haina salio la chini, inapatikana kwa sarafu mbalimbali, na inatoa huduma za kidigitali 24/7. Wastaafu pia wanaweza kupata mikopo hadi TZS milioni 80 kwa masharti nafuu, huku mafao ya pensheni yakitumika kama dhamana. Aidha, wanaweza kuomba bima ya afya pamoja na bidhaa nyingine za bima.

STANBIC BANK ENCOURAGES RETIREES TO PLAN FOR A SECURE AND DIGNIFIED FUTURE

Some retirees and financial experts listen to Stanbic Bank Senior Sales Manager, Priscus Kavishe, at the Retirees’ Forum organized by Stanbic Bank Tanzania, aimed at providing financial and insurance services to retirees in the country.

Dar es Salaam, September 26, 2025 – Retirees and those approaching retirement in Tanzania have been urged to focus on sound financial planning, insurance solutions, and investment strategies to secure a dignified and prosperous life after their working years.

This message was at the heart of the Retirees’ Forum organized by Stanbic Bank, which brought together retirees, financial experts, and stakeholders from various sectors to discuss practical ways to prepare for life after retirement. The event was part of Stanbic’s 30th anniversary celebrations in Tanzania, under the theme “30 Years of Growing Together.”

Focus on Hekima Banking

The discussions centered on Hekima Banking, a dedicated account launched by Stanbic for individuals aged 55 and above. The account provides retirees with easy access to banking transactions, savings, credit facilities, financial advice, and investment options.

According to Priscus Kavishe, Senior Sales Manager at Stanbic Bank, the initiative is designed to offer retirees both security and opportunity:

At Stanbic Bank, we believe retirement is not the end, but the beginning of new opportunities. Through Hekima Banking, we provide retirees with practical solutions that enable them to live with dignity, invest wisely, and continue making meaningful contributions to their families and communities.”

The Hekima account has no monthly fees, no minimum balance requirement, supports multiple currencies, and offers 24/7 digital banking services. Retirees can access loans up to TZS 80 million on favorable terms, with pensions serving as collateral. In addition, retirees can apply for health insurance and other insurance products.

TANZANIA BREWERIES REAFFIRMS SUSTAINABILITY LEADERSHIP WITH 2024 REPORT LAUNCH

Belgian Ambassador to Tanzania, Peter Huyghebaert (centre), together with TBL Managing Director Michelle Kilpin (left) and Board Chairman Leonard Mususa (right), display the 2024 Sustainability Report.

DAR ES SALAAM, TANZANIA, SEPTEMBER 23, 2025 – Tanzania Breweries Plc (TBL), a subsidiary of AB InBev and the country’s leading brewer, has officially launched its 2024 Sustainability Report under the theme Grow, Brew, Sustain.

The report highlights TBL’s strong commitment to responsible business, environmental stewardship, and social impact. It showcases progress in reducing carbon emissions, expanding renewable energy use, conserving water, empowering farmers, supporting local communities, and ensuring employee wellbeing.

REMARKS FROM GUESTS OF HONOUR

Belgian Ambassador to Tanzania, Peter Huyghebaert, applauded TBL for setting the standard in corporate responsibility across Africa:

TBL’s long-standing commitment to quality, innovation, and responsibility has made it one of Africa’s most respected brewers. By upholding global standards, it influences industry practices beyond Tanzania and demonstrates how business can drive both progress and climate action.”

 

TBL Managing Director, Michelle Kilpin, said the report reflects the company’s responsibility to future generations:

Beyond producing and selling beer, we understand our business depends on the environment and communities around us. This report tells the story of how we are living up to that responsibility—aligning our proud heritage with transformation.”

 

NMB YAKABIDHI VIFAA TIBA KWA HOSPITALI YA WILAYA KIGAMBONI

Kigamboni, Septemba 26, 2025 – Benki ya NMB imekabidhi msaada wa vifaa tiba kwa Hospitali ya Wilaya Kigamboni, ikiwa ni sehemu ya mpango wa benki hiyo wa kurudisha sehemu ya faida yake kwa jamii (CSR).

Mkuu wa Wilaya ya Kigamboni, Dalmia Mikaya, ndiye aliyepokea msaada huo kwa niaba ya hospitali na Serikali.

Vifaa vilivyokabidhiwa

Msaada uliotolewa na NMB unajumuisha:

  • Vitanda 20 vya wanawake kujifungulia
  • Vitanda 20 vya uchunguzi
  • Mashine 20 za kusaidia kupumulia kwa watoto wachanga wenye changamoto

Kauli ya Mkuu wa Wilaya

Akizungumza katika hafla hiyo, DC Mikaya aliishukuru NMB kwa msaada huo na kupongeza benki hiyo kwa kujali mahitaji ya wananchi:

Tunashukuru sana Benki ya NMB kwa kuendelea kushirikiana na Serikali na jamii. Vifaa hivi vitaboresha huduma za afya hususan kwa akina mama na watoto,” alisema DC Dalmia.

Friday, 26 September 2025

LG YAZINDUA DUKA JIPYA LA BIDHAA ZAKE MLIMANI CITY, DAR ES SALAAM

Kutoka kushoto ni Meneja Mkazi wa kampuni ya LG Tanzania, Aashim Wadhwa; Afisa Mtendaji Mkuu wa MeTL, Indrabhuwan Singh; Mkurugenzi wa F&S, Frank Rwamlima; pamoja na Mkurugenzi wa Masoko wa MeTL, Fatema Dewji, wakikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa duka jipya la LG Electronics lililopo Mlimani City, Dar es Salaam.”

Dar es Salaam, Septemba 24, 2025 – Kampuni ya LG Electronics Kanda ya Afrika Mashariki imezindua duka jipya la bidhaa zake (brandshop) katika Kituo cha Ununuzi cha Mlimani City, jijini Dar es Salaam, ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kuimarisha uwepo kwenye soko la Afrika Mashariki.

Duka hilo limefunguliwa kwa ushirikiano na kampuni ya F&S pamoja na msambazaji rasmi wa bidhaa za LG nchini, Mohammed Enterprises Tanzania Limited (MeTL). Hatua hiyo inalenga kuongeza urahisi wa upatikanaji wa bidhaa za LG huku wateja wakipewa huduma za kisasa zenye viwango vya kimataifa.

Kauli Kutoka Kwa Viongozi

Akizungumza wakati wa uzinduzi, Meneja wa LG Electronics Tanzania, Aashim Wadhwa, alisema:

“Duka hili jipya ni uthibitisho wa dhamira ya LG kuendelea kuwapatia wateja wa Tanzania teknolojia za kisasa na huduma bora zaidi. Dar es Salaam ni jiji lenye kasi kubwa ya ukuaji, na tunaona fursa kubwa ya kushirikiana na ukuaji huo kwa kuwakaribia zaidi wateja wetu na kuhakikisha wanapata msaada wa baada ya mauzo kwa kiwango cha juu.”

Kwa upande wake, mwakilishi wa F&S, Frank Rwamlima, alisema:

“Tunafurahia kushirikiana na LG na MeTL kuwaletea Watanzania uzoefu wa ununuzi wa kisasa. Duka hili litawawezesha wateja kuona na kutumia bidhaa za LG moja kwa moja, na hivyo kuwasaidia kufanya maamuzi sahihi ya ununuzi katika mazingira ya kiwango cha kimataifa.”

Mwakilishi wa MeTL, Fatema Dewji naye aliongeza:

“Uzinduzi huu ni ishara ya uhusiano unaozidi kukua kati ya MeTL na LG East Africa. LG ni chapa inayotambulika duniani kwa ubora na uimara wake, na duka hili linaonesha dhamira yetu ya pamoja ya kuwaletea Watanzania bidhaa zenye viwango vya juu, imara na za kuaminika.”

XIAOMI YAZINDUA REDMI 15C: MAPINDUZI MAPYA YA TEKNOLOJIA SOKONI

Dar es Salaam, Septemba 2025 – Kampuni ya teknolojia ya Xiaomi imezindua rasmi simu mpya aina ya Redmi 15C sokoni, ikiwa ni mwendelezo wa jitihada zake za kuwaletea Watanzania suluhisho la kisasa na nafuu katika matumizi ya simu janja.

Akizungumza wakati wa uzinduzi, Meneja Masoko wa kampuni hiyo, Erick Mkomoi, alisema simu hiyo imebuniwa mahsusi kukidhi mahitaji ya kila siku ya Watanzania, ikiwa na ubunifu unaoendana na maisha ya kisasa.

Vipengele Muhimu vya Redmi 15C

  • Betri ya kudumu zaidi ya saa 24 bila kuchaji tena, huku ikiwa na uwezo wa kuchaji vifaa vingine.
  • Kioo kikubwa cha HD kinachomwezesha mtumiaji kutazama maudhui mtandaoni kwa ufasaha.
  • Muonekano wa kisasa unaoendana na mazingira ya Kitanzania.
  • Teknolojia ya AI inayotambua bidhaa mbalimbali na kumrahisishia mtumiaji kuunganishwa na masoko pamoja na wafanyabiashara.
  • Waranti ya miezi 22, ikionesha dhamira ya Xiaomi kuhakikisha wateja wake wanapata huduma bora na uhakika wa ubora wa bidhaa.

Thursday, 25 September 2025

MWANARIADHA SIMBU ATOBOA SIRI YA USHINDI TOKYO, ATOA SHUKRANI KWA NBC DODOMA MARATHON

Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na mshindi wa mbio ndefu za Mashindano ya Dunia ya Tokyo, Alphonce Simbu (katikati), akimuonesha Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bw. Theobald Sabi (kushoto), medali ya dhahabu aliyoshinda katika mashindano hayo, wakati wa hafla fupi ya pongezi iliyoandaliwa na NBC jijini Dar es Salaam. Kulia ni Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Bw. Rogath John Akhwari.
Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na mshindi wa mbio ndefu za Mashindano ya Dunia ya Tokyo, Alphonce Simbu (kushoto), pamoja na Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Bw. Rogath John Akhwari (kulia), wakimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Bw. Theobald Sabi (katikati), jezi maalum ya Timu ya Taifa ya Riadha iliyosainiwa na Simbu, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wa benki hiyo katika kuendeleza mchezo wa riadha nchini, hususan kupitia mbio za NBC Dodoma Marathon.

Dar es Salaam, Septemba 25, 2025 – Mwanariadha wa kimataifa wa Tanzania na mshindi wa mbio ndefu za Mashindano ya Dunia ya Riadha ya Tokyo, Alphonce Simbu, amefichua kuwa siri kubwa ya ushindi wake ni maandalizi ya muda mrefu pamoja na motisha aliyopata kupitia NBC Dodoma Marathon iliyofanyika Julai mwaka huu.

Akizungumza jana jioni katika hafla fupi iliyoandaliwa na Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa ajili ya kumpa pongezi maalum, Simbu alisema licha ya ushindani mkali kutoka kwa wanariadha wa kimataifa, maandalizi na morali kubwa kufuatia ushindi wa mbio za kilomita 21 za NBC Dodoma Marathon vilimpa nguvu ya kushinda Tokyo.

Hafla hiyo ilifanyika makao makuu ya NBC jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na maofisa waandamizi wa benki hiyo wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji Theobald Sabi, pamoja na wadau wa riadha wakiongozwa na Rais wa Shirikisho la Riadha Tanzania (RT), Rogath John Akhwari, ambaye alifuatana na baadhi ya wanariadha akiwemo Simbu.

Ushiriki na ushindi wangu katika mbio za kilomita 21 za NBC Dodoma Marathon ulikuwa chanzo cha morali niliyokuwa nayo niliposhiriki mashindano ya Tokyo. Nilizitumia mbio za Dodoma kama kipimo cha utimamu wangu kimwili, na ushindi wangu pale ndio ulikuwa mwanzo wa ushindi wangu jijini Tokyo,” alisema Simbu.

BOLT YAGAWA DISCOUNT “BOLTXSIMBU” KUSHEREHEKEA MEDALI YA DHAHABU YA TANZANIA

Dar es Salaam, Tanzania – 25 Septemba 2025; Bolt Tanzania kwa fahari inatangaza kuzindua nambari mpya ya punguzo, SIMBU, kwa heshima ya Alphonce Felix Simbu, aliyefanya historia kwa kuwa Mtanzania wa kwanza kushinda medali ya dhahabu katika Mashindano ya Dunia ya Riadha.

Ushindi wa Simbu umeiweka Tanzania kwenye ramani ya riadha ya kimataifa, sambamba na mataifa yenye nguvu kama Kenya. Huu si ushindi wa mtu binafsi pekee, bali ni alama ya kitaifa ya ubora na uwezekano.

Mwaka huu tuliahidi kujaribu tena, na limekuwa jambo kubwa. Nilishangazwa kwa sababu tulishindana na Wakenya, Waethiopia, na hata wao hawakuamini kuwa Mtanzania ameshinda,” aliwaambia waandishi wa habari alipowasili Uwanja wa Ndege wa Dar es Salaam, 23 Septemba 2025.

Ushindi wake unaleta ujumbe mzito kwa vijana wa Kitanzania: kwa nidhamu na uvumilivu, wanariadha wengi zaidi wa dhahabu wataibuka kutoka nchini.

Vipaji vinastahili kutambulika, na kama Bolt tunaona ushindi wa Simbu ni zaidi ya medali. Ni ushahidi kwamba vijana wa Tanzania wanaweza kupaa jukwaa la dunia na kung’aa,” alisema Dimmy Kanyankole, Meneja Mkuu wa Bolt Tanzania na Kenya.
Kama vile Simbu alivyojizatiti kufanikisha ubora na kufika kwanza kwa kasi na usahihi, Bolt pia imejikita kuwasaidia Watanzania kusafiri kwa ufanisi, kwa gharama nafuu, na kwa wakati.”