Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 30 November 2021

MAMILIONI YA WATU WAISHIO VIJIJINI WANUFAIKA NA UWEKEZAJI WA SBL KWENYE MAJI SAFI NA SALAMA


Upatikanaji wa maji umekuwa mwiba kwa baadhi ya maeneo ya nchi, ambapo watu hupita siku kadhaa bila kuyapata huku wengine wakikabiliwa na mgao. Halikadhalika, Serikali imeshatoa hali ya tahadhari kwa watumiaji huku Mamlaka ya Majisafi na Majitaka Dar es Salaam (Dawasa) ikiwaomba watumiaji kuhifadhi maji kila yanapotoka. Hii ni kutokana na upungufu wa kina cha maji katika maeneo ya Ruvu Juu na Mto Wami, changamoto inayosababishwa na ukosefu wa mvua.

Hata hivyo, Waziri wa Maji, Mhe. Jumaa Aweso amewahakikishia Watanzania kuwa ofisi yake inachukua kila hatua ili kukabiliana na hali hiyo. Aidha, Waziri alisema wamekuwa wakifanya mageuzi makubwa ya kitaasisi, kifedha na kiufundi ili kupata huduma ya maji iliyo endelevu. Alisema, 'hadi sasa kuna wakala wa usambazaji maji vijijini wapatao 2,115 unaojumuisha wahasibu 1,362 na wataalam 1,611 katika maeneo ya vijijini’.

Wakati hayo yote yakiendelea, kampuni pendwa ya bia, Serengeti Breweries Limited (SBL) iko mstari wa mbele kuwekeza katika miradi ya maji safi na salama kwa mamilioni ya wakazi wa vijijini nchini Tanzania. Miradi hii ya maji imepewa jina, Water of Life, wenye lengo la kuchochea jumuiya yenye maendeleo endelevu. Mpango huu umeanishwa kwenye mkakati wake wa maendeleo wa muda mrefu unaoitwa Society 2030; Spirit of Progress.

ABSA FINANCIER OF CONSUMER CHOICE AWARDS AFRICA

Deputy Minister for Minerals, Prof. Shukrani Elisha Manya (left), presents a certificate of appreciation to Absa Bank Tanzania Citizenship Manager, Hellen Siria, in recognition of the financial transnational's support in the Consumer Choice Awards Africa 2021, during the prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Absa has featured as the classic event's main sponsor for the two consecutive years now.
Absa Bank Tanzania Head of Treasury Execution, Nicholous Mkisi (left), presents a trophy to winner of the Most Preferred Beauty and Health Product Dealers in Tanzania category to NN General Supplies Public Relations Officer, Nosim Lefara, during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Absa has been the lead financier of the iconic showcase for two years consecutively. From right are Tanzanian actress, musician, model and entrepreneur Hamisa Mobetto, and NN General CEO, Selina Lerafa.
Absa Bank Tanzania Head of Enterprise Operation and Service Delivery, Mabula Elias (left), presents a trophy of the Most Preferred Soft Drink Manufacturer of The Year to Hill Group Sales and Marketing Manager, Raymond Mchani during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Absa has been the lead financier of the iconic showcase for two years consecutively. Looking on is Hill Water Marketing Officer, Calvin Flex.
Absa Bank Tanzania Head of Sales and Workplace, John Maganga (left), presents the Most Preferred Detergent Manufacturer of the Year award to Azania Group Head of Business, Joel Kaiser, during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa during the prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Right is Azania Legal and Compliance Manager, Mahdi Mvungi.
Absa Bank Tanzania Governance and Control Manager, Adolf Massawe (left), presents the Most Alcoholic Drink Manufacturer of the Year Award to TBL Group Commercial Director, Timea Chogo, during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Looking on is TBL Group Trade Marketing, Doreen Tamureebire.
Innocent Mungy, a Board Member for Consumer Choice Awards Africa 2021, presents the Most Advanced Digital Banking Services in Southern Africa award to Absa Tanzania Citizenship Manager, Hellen Siria (centre), during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday. Looking on is Absa Bank Head of Enterprise Operation and Service Delivery, Mabula Elias.

Absa Bank Tanzania Head of Sales and Workplace, John Maganga (left), presents the Most Preferred Food Product Manufacturing Company of the Year award to Asas Dairies Marketing Manager, Jimmy Kiwelu, during the 2021 version of Consumer Choice Awards Africa prize-giving episode in Dar es Salaam on Sunday.

KILOMBERO KUKUZA MCHANGO KATIKA UKUAJI WA UCHUMI

Mkuu wa Mauzo wa Illovo Sugar Africa, Ephraim Mafuru akizungumza katika Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha uliofanyika jijini Dodoma hivi karibuni.

"Pamoja na kukuza mchango wetu katika ukuaji wa uchumi, upanuzi huo utazalisha fursa za ajira za kudumu 2,000 na ajira 2,440 za mikataba, pamoja na kuzalisha 10-15MW za umeme wa nishati mbadala zinazoweza kuingizwa kwenye gridi ya taifa kupitia Mkataba wa Ununuzi wa Umeme na TANESCO"

29 Novemba 2021: Dodoma - Kampuni ya Sukari ya Kilombero, ambayo inamilikiwa na Kampuni ya Illovo Sugar Africa kwa Asilimia 75 na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa asilimia 25, inatarajia kuanza mradi wake wa upanuzi ambao utakuza mchango wa kampuni hiyo katika ukuaji wa uchumi kutoka shilingi bilioni 340 za sasa hadi kufikia takribani shilingi bilioni 700 kwa mwaka.

Mradi huo wa upanuzi utakaohitaji uwekezaji mpya wa awali wa zaidi ya shilingi bilioni 550, unajumuisha kiwanda kipya kitakachokuza uwezo wa kampuni hiyo wa kutengeneza sukari na kupunguza uhaba wa sukari nchini kupitia chapa yake ya “Bwana Sukari”. Hii ni miongoni mwa mikakati ya kampuni hiyo katika kufikia maono yake ya kupunguza utegemezi wa nchi katika bidhaa zinazoagizwa kutoka nje ya nchi kwa kuhakikisha kuwa inajitosheleza katika uzalishaji wa sukari ifikapo 2025.

“Mradi wetu wa upanuzi utakuza uzalishaji wa sukari kutoka tani 126,000 hadi tani 271,000 kwa mwaka hivyo kuisaidia Serikali kuokoa takribani dola milioni sabini za kigeni katika uagizaji wa sukari kutoka nje ya nchi,” anasema Ephraim Mafuru, Mkuu wa Mauzo wa Illovo Sugar Africa, akizungumza katika Mkutano wa 20 wa Taasisi za Fedha uliofanyika jijini Dodoma.

COCA-COLA LAUNCHES REAL MAGIC PHILOSOPHY AND PLATFORM IN TANZANIA

Coca-Cola Tanzania Brand Manager, Kabula Nshimo (left) speaks to guests (not in photo) during the unveiling of a new philosophy and the Real Magic brand platform in Tanzania at Serena Hotel in Dar es Salaam over the weekend. On the right is the Franchise Senior Manager at the Coca-Cola Company, Hellen Masumba. The brand will take consumers on an exciting journey which will include several launches to reveal and activate the campaign across Tanzania.



Coca-Cola Tanzania Brand Manager, Kabula Nshimo (right) and the Trade Marketing Manager at Coca-Cola Kwanza Tanzania, Wahda Mbaraka (left) in a cheerful moment during the unveiling of a new philosophy and the Real Magic brand platform in Tanzania at Serena Hotel in Dar es Salaam over the weekend. The brand will take consumers on an exciting journey which will include several launches to reveal and activate the campaign across Tanzania.

The Coca-Cola system in Tanzania has unveiled a new brand philosophy and platform called Real Magic, which invites everyone to celebrate the real magic of humanity.

The platform refreshes the brand’s trademark promise – to unite and uplift people every day – with renewed relevance for the world we live in today. The platform is built from lessons of the last 18 months: that we can find the magic all around us when we come together in unexpected moments that elevate every day into the extraordinary. It also acknowledges the many contradictions experienced as new generations find harmony and human connection in a virtual and divided world.

“As we launch the Real Magic platform here in Tanzania, our goal is to share and celebrate the Real Magic moments in our everyday diverse lives with our consumers around the country as to unite and uplift them,” said Unguu Sulay, Managing Director, Coca-Cola Kwanza Tanzania.

“Coca-Cola’s mission has been to spread positivity and optimism for over 100 years and Real Magic continues that promise. We believe its core philosophy will resonate with people all over the globe: that we can all experience real magic in real moments when we come together. Through it we will connect and champion the diverse lives of our consumers in Tanzania through collaborations with our artists and influencers, to unite and uplift people in moments of Real Magic,” added Sulay.

FURAHIA TAMTHILIA YA LA FAMILIA NDANI YA DStv

 

Malikia wa mipasho @officialkhadijakopa anakukumbusha kufurahia tamthilia ya La Familia inayoruka kila siku za Jumatatu - Ijumaa saa 4 usiku kupitia chaneli ya Maisha Magic Bongo 160 ndani ya @dstvtanzania pekee.

Piga *150*53# kulipia kifurushi cha Bomba TShs 21,000 tu ili usikose burudani hii.

#ZigoLaSikukuu
#DStvJoy
#MMBLaFamilia

Friday 26 November 2021

BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA YAIPATIA TANZANIA MKOPO WA DOLA MILIONI 116.34 KUJENGA BARABARA MTWARA

Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Mashariki Dkt. Abdul Kamara, wakisaini mkataba wa mkopo nafuu wa dola za Marekani milioni 116.34 (tshs bilioni 268.18) kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mnivata – Newala – Masasi mkoani Mtwara, yenye urefu wa kilometa 160 kwa kiwango cha lami, Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Mashariki Dkt. Abdul Kamara, wakibadilishana Hati za Mkataba wa mkopo nafuu wa dola za Marekani milioni 116.34 (tshs bilioni 268.18) kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mnivata – Newala – Masasi, mkoani Mtwara, yenye urefu wa kilometa 160 kwa kiwango cha lami, Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bw. Emmanuel Tutuba (kulia) na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Mashariki Dkt. Abdul Kamara, wakionesha Hati za Mkataba wa mkopo nafuu wa dola za Marekani milioni 116.34 (tshs bilioni 268.18) kwa ajili ya ujenzi wa Barabara ya Mnivata – Newala – Masasi mkoani Mtwara yenye urefu wa kilometa 160 kwa kiwango cha lami, Jijini Dar es Salaam.

Tanzania imesaini makubaliano ya mkopo wenye masharti nafuu wa thamani ya dola za Marekani milioni 116.34 (takribani shilingi bilioni 268.18) kutoka Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya kutoka Mnivata-Newala-Masasi mkoani Mtwara yenyeurefu wa kilomita 160 kwa kiwango cha lami.

Mkataba wa msaada huo umesainiwa jijini Dar es Salaam, na Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha na Mipango na Mlipaji Mkuu wa Serikali, Bw. Emmanuel Tutuba, kwa niaba ya Serikali ya Tanzania na Naibu Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Kanda ya Mashariki Dkt. Abdul Kamara.

Bw. Tutuba alisema kuwa kusainiwa kwa mkataba huu utaongeza kiasi cha fedha zilizotengwa kwa ajili ya miradi inayoendelea kutekelezwa na Serikali kupitia ufadhili wa Benki ya Maendeleo ya Afrika kutoka takribani dola za Marekani bilioni 2.27 hadi kufikia dola za Marekani bilioni 2.39.

SONGAS PAYS TZS 21.2 BILLION IN DIVIDENDS TO GOVERNMENT-OWNED ENTITIES


Dar es Salaam, 2021 – Songas Limited, a Tanzanian gas-to-power company, has paid the Government TZS 21.2 billion (USD 9.2 million) in dividends for the financial year 2021 due to its shareholding in the company.

Songas is a strategic partner with the Government in meeting the growing energy demand since it began operations in 2004. The company is owned by Government related entities; Tanzania Petroleum Development Corporation (TPDC) 28.69%, Tanzania Electric Supply Company Limited (TANESCO) 9.56% and Tanzania Development Finance Company Limited (TDFL) 7.65% as well as Globeleq 54.1%, a leading independent power producer solely focused in Africa.

In a statement, issued by the company, the Managing Director, Anael Samuel, said, ‘In 2021, TANESCO has received about TZS 4.4 billion (USD 1.9 million), TPDC TZS 11 billion (USD 5.2 million), while TDFL received about TZS 3.5 billion (USD 1.5 million). All amounts are subject to withholding tax.

PIGA *150*53# KULIPIA KIFURUSHI CHAKO CHA DStv SASA



Alibondwa kwenye Carabao Cup, Pep atakubali kufungwa tena na David Moyes tena pale pale sebuleni kwake?

Mtanange huu ni Live ndani ya @dstvtanzania pekee! Unakosaje?

Piga *150*53# kulipia kifurushi chako sasa. 
 
#zigolasikukuu
#dstvjoy

TANZANIAN BANKS PLEDGE CUTS IN INTEREST RATES

President Samia Suluhu Hassan speaks during the 20th Conference of Financial Institutions (COFI) meeting on recovery of the economy from the Covid-19 pandemic and beyond in Dodoma yesterday.



Dodoma, 25 November 2021 - Tanzanians should expect a reduction in lending rates if the ongoing strategies between commercial banks and the Bank of Tanzania (BoT) are anything to go by.Giving his remarks during the 20th Conference of Financial Institutions (COFI), the Tanzania Bankers Association (TBA) chairman, Mr Abdulmajid Nsekela, said lending interest rates would soon start going down, saying a number of issues were being deliberated between lenders and the BoT.

“President Samia Suluhu Hassan has continuously called upon banks to improve lending and reduce interest rates. The BoT has come up with a number of interventions for policy reforms that will see banks reducing interest rates soon,” he said during the conference that was themed: ‘Tanzania Economy: Recovery from Covid-19 Pandemic and Beyond’.
Debate on reduction of lending rates had been heightened during the past few months after BoT introduced in July some policy measures that were meant to lay a solid framework to increase liquidity and reduce the cost of lending to the private sector.
Among the measures, the BoT said it would introduce were a Sh1 trillion special loan fund for banks and other financial institutions to access money for lending to the private sector.

Speaking yesterday, Mr Nsekela, who doubles as managing director of the CRDB Bank Plc, said the banks have been doing simulation (coming up with statements on reducing various lending rates) - and will soon individually start to announce reduction of their interest rates.

He hailed BoT for taking measures to cushion the sector against the challenges caused by the viral Covid-19 pandemic.

He noted that the banking sub-sector has also put in efforts to improve its technology in order to reach more Tanzanians through digital products - adding that similar efforts had been made to ensure lending is extended to small-scale farmers.

He, however, noted that the sector was still grappling with high levels of Non-Performing Loans (NPLs), currently standing at Sh1.2 trillion.

The BoT Governor, Prof Florens Luoga, said that, to ensure sustainable economic growth, the banking sub-sector’s regulator has implemented a number of policies that aim to reduce loan interest rates, increase liquidity in banks and increase loans in the agriculture sector. The BoT was also sensitising on the use of digital payments, including a reduction of statutory minimum reserves.

Thursday 25 November 2021

ABSA STARS AMONG RALLY OF IRINGA 2021 KEY MOVERS

Absa Bank Iringa Branch Manager, Sheillah Kajuna, flags-off to officially launch Rally of Iringa 2021 in Iringa recently. Absa was among key supporters facilitating the race. With her is the regions rally club patron and former Iringa DC, Richard Kasesera.
Absa Bank Iringa Branch Manager, Sheillah Kajuna (right) listens to a former Iringa District Commissioner, Richard Kasesela during the opening session of rally of Iringa 2021 in Iringa recently. Absa was among key supporters of the contest. On Kasesela's right are, Iringa rally club chairman, Amjad Khan, Kalenga legislator, Jackson Kiswaga and Iringa Regional Acting Fire and Rescue force Commander, Inspector, Peter Mziwanda.
Absa Bank Iringa Branch Manager, Shailla Kajuna (centre), greets Kalenga Constituency MP, Jackson Kiswaga, during the official flag-off of the Rally of Iringa 2021 in Iringa recently. Absa was among key supporters for the contest. Looking on is former Iringa DC and region's rally club patron, Richard Kasesera.

Iringa Rally Club Chairman, Amjad Khan (right), presents a certificate of appreciation to Absa Bank Iringa Branch Manager, Sheillah Kajuna, reciprocating the financial transnational's support in the Rally of Iringa 2021 contest which roamed in the region recently.
Absa Bank Iringa Branch Manager, Sheillah Kajuna (left), confers a medal for long-time rally participation to veteran driver, Depak Kotak, at the just-ended Rally of Iringa 2021, held in Iringa, which featured Absa among its key supporters.
One of the cars taking part in the Rally of iringa 2021 is daringly steered in a hair-raising manoeuvre.

"DEBITA SOLVENTUR OMNIA.” ALL DEBTS MUST BE PAID.


By Godwin Jaha Semunyu

“The non-performing loans, wilful defaulters and court injunctions”

A few weeks back, I was privileged to attend a financial sector symposium by Mwananchi Communications as a buildup to Tanzania's 60 years of independence. An exciting and intuitive gathering that took us through the industry's journey to date. There's certainly light at the end of the tunnel - Kazi iendelee.

Ms. Esther Kitoka, Equity Bank Tanzania, Executive Director, perhaps the most insightful panelists of the night, spoke eloquently of the evolution of the Tanzania Banking sector and gave expert opinion on current issues like the interest rates and non-performing loans. She also spoke dotingly about the challenges banks face during loan recoveries and the growing tendency of loans defaulters to resort to court injunctions so as to frustrate the process. Take a loan, default and then frustrate recovery. The story of having a cake and eating it (too).

Looking back, similar sentiments were once shared by the former President, the late Dr. John Magufuli, when he directed the Judiciary fraternity to ensure timely disposal of commercial-related disputes, stating that over TShs. 500 billion was tied up in about 400 commercial cases, after defaulting customers filed lawsuits or sought court injunctions against the banks, consequently depriving the economy of the anticipated capital.

Wednesday 24 November 2021

DENTSU TANZANIA TO HOST UPCOMING MARKETING WEEK

Dentsu Tanzania General Manager, Edward Shila (centre) speaks to reporters in Dar es Salaam yesterday about the upcoming Marketing Week themed - Data Driven Marketing, aimed at bringing together Tanzania's advertising and marketing experts to discuss the state of marketing in the country. On the left is LAS Consultancy Managing Director, Salha Kibwana and Infocus Studio Managing Director, Joshua Moshi, who are sponsors of the event.

Dar es Salaam, 22nd November 2021 - Further cementing its presence in Africa’s fast-growing marketing sector, Dentsu Tanzania, one of the leading multinational media and digital marketing communications company has announced today the anticipation of their upcoming first ever Marketing week in Dar es salaam, Tanzania at their Headquarters in Masaki, Tanzania.

Dentsu Tanzania is expected to host an insightful event dubbed Dentsu Tanzania Marketing week on the 1-3 december 2021, this week will bring together industry experts , gurus and key players.The event aimed at bringing together Tanzania Advertising and Marketing experts to discuss the state of Marketing in Tanzania, Best practices as well as upcoming trends.

“The theme this year is “Data Driven Marketing” where we will look at how Data can drive brand building, Media Investments, Digital as well as creative communication” said Edward Shila the General Manager at Dentsu Aegis Network Tanzania.

UZINDUZI WA KAMPENI YA 'MAAJABU HALISI' NA COCA-COLA WAWAFIKIA WAFANYAKAZI WA BONITE BOTTLERS LTD MOSHI

Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola Tanzania, Kabula Nshimo akifafanua kwa wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Mkuu wa Masoko na Mauzo wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Christopher Loiruk akizungumza na wafanyakazi wa Bonite Bottlers Ltd, mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Meneja Mwandamizi wa Chapa ya Coca-Cola Tanzania, Kabula Nshimo (aliyekaa chini kulia) akifurahia pamoja na wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro kuhusu uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya Bonite Bottlers Ltd mkoani Kilimanjaro wakifurahia wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.



Baadhi ya matukio ya shamrashamra mtaani wakati wa uzinduzi wa kampeni inayojulikana kama ‘Maajabu Halisi na Coca-Cola’ au ‘Real Magic’ katika kampuni ya Bonite Bottlers Ltd, Moshi mkoani Kilimanjaro. Uzinduzi kama huo pia unatarajiwa kufanyika katika mikoa mingine ambapo utaambatana na shughuli tofauti za kusisimua zitakazowahusisha wateja maeneo mbalimbali na kudumu mpaka kipindi cha msimu wa sikukuu na mwaka mpya.

Monday 22 November 2021

USIKOSE KUTAZAMA MICHUANO YA UEFA NDANI YA DStv


Baada ya michuano ya #EPL wiki hii ndani ya @dstvtanzania tunaendeleza michuano ya #UEFA kupitia chaneli za SuperSport!

⚽Barcelona vs SL Benfica
📺 SS EPL, 223
⏰ 5:00 Usiku

Nani kuibuka kidedea?

Lipia sasa kifurushi chako cha Compact TShs. 51,000 tu kwa kupiga *150*53#

#Birianiiendelee
#ZigoLaSikukuu
#DStvJoy

NCBA YAHIMIZA WATANZANIA KUWA NA UTAMADUNI WA KUWEKA AKIBA

Kaimu Mkurugenzi wa Huduma ya Benki wa Rejareja na Bima ya NCBA Tanzania, Bw. Rahim Kanji akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuchezesha droo ya kwanza kampeni ya ‘SHINDO LA AKIBA’ iliyoanza mwezi Oktoba na kutarajiwa kuendelea mpaka mwezi Desemba 2021. Wakifuatilia kwa makini kulia ni Edward Yatera, Kaimu Mkuu Kitengo cha Wateja Binafsi na wa kwanza kutoka kushoto ni mwakilishi kutoka Bodi ya Michezo ya Kubahatisha Tanzania, akifuatiwa na Caroline Mbaga, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano wa NCBA, na Ismaili Mtewele, Meneja wa Tawi la NCBA Makao Makuu. Katika droo hiyo ya kwanza, takribani washindi 12 waliweza kujinyakulia zawadi mbalimbali zikiwemo kuunganishwa na kifurushi cha Dstv premium na kupatiwa kadi ya kujaza mafuta yenye thamani ya Tsh. 150,000/- kwa miezi mitatu, vocha ya manunuzi kwenye ‘supermarket’ yenye thamani ya Tsh. 450,000/- pamoja na pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni moja.

Benki ya NCBA Tanzania imechezesha droo ya kwanza ya sehemu ya kampeni yake inayojulikana kama ‘SHINDO LA AKIBA’ katika ofisi zake jinni Dar es Salaam.

Akizungumza na waandishi wa habari wakati wa kukabidhi zawadi hizo jijini Dar es Salaam, Kaimu Mkurugenzi wa Huduma ya Benki wa Rejareja na Bima ya NCBA Tanzania, Bw. Rahim Kanji amesema kuwa, “leo tunafanya droo yetu ya kwanza ya kukabidhi zawadi kwa washindi wa kampeni ya ‘SHINDO LA AKIBA’. Kampeni hii tuliizindua mwezi Oktoba na tunatarajia itafika kikomo mnamo mwezi Desemba 2021. Kampeni hii itajumuisha wateja wetu wote lakini pia tunawakaribisha wale ambao hawajafungua akaunti kwetu wafanye hivyo ili kunufaika na kampeni hii pamoja na huduma zetu za kiakiba pamoja na nyinginezo nyingi.”

LORD WALNEY ATEMBELEA KIWANDA CHA SERENGETI BREWERIES

Mjumbe wa Biashara kutoka Waziri Mkuu wa Uingereza nchini Tanzania, Lord Walney (katikati) alipotembelea kiwanda cha Serengeti Breweries (SBL) Moshi kuona kiwanda kipya cha pombe kali na uzalishaji wa bia. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Mark Ocitti na kulia ni Anna-Marie Mbwette, Mkurugenzi wa Biashara za Kimataifa, Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania.
Mjumbe wa Biashara kutoka Waziri Mkuu wa Uingereza nchini Tanzania, Lord Walney (kulia) akitizama baadhi ya bidhaa za SBL. Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Mark Ocitti.
Mjumbe wa Biashara kutoka Waziri Mkuu wa Uingereza nchini Tanzania, Lord Walney akionyeshwa shughuli zinavyofanyika katika kiwanda kipya cha kutengeneza pombe kali kilichopo Moshi.

Mjumbe wa Biashara kutoka Waziri Mkuu wa Uingereza nchini Tanzania, Lord Walney akipanda mti katika kiwanda cha bia cha SBL, Moshi. Kushoto ni Alice Kilembe, Meneja wa uzalishaji na kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Mark Ocitti.

Friday 19 November 2021

USIKOSE MECHI YA LIVERPOOL NA ARSENAL WIKIENDI HII



Ratiba ya EPL wikiendi hii imekaa mwake sana na @edgarkibwana anaitazamia kwa makini mechi ya Liverpool dhidi ya Arsenal Jumamosi hii.

Je wewe utabiri wako ni upi?

Hakikisha hupitwi kwa kupiga *150*53# na kulipia mapema kifurushi cha Compact TShs. 51,000/- tu ili usikose mechi hii ndani ya @dstvtanzania pekee.

#BirianiIendelee
#ZigoLaSikukuu
#DStvJoy

Wednesday 17 November 2021

SALAMA NA BALOZI TOGOLANI NDANI YA DStv



Tunafunguka na majalada ya CIVIL SERVANT wiki hii tukiwa tumetulia kwenye meza ya #SalamaNaTogolani Alhamis hii saa tatu kamili usiku kwenye @maishamagicpoa namba 144 ndani ya @dstvtanzania

Piga *150*53# kulipia kifurushi chako cha Poa TShs. 9,900 mapema usipitwe na burudani hii.

#ZigoKamaLote
#ZigoLaSikukuu
#DStvJoy

VODACOM AT THE FINANCIAL SERVICES WEEK EXHIBITION

Ministry of Finance and Planning Permanent Secretary, Emmanuel Tutuba (left) listens to Vodacom Tanzania Plc M-Pesa Marketing Manager, Noel Mazoya (right) about products and services offered by the company as part and parcel of digitising financial services when he visited the firms pavilion during the climax of the Financial Services Week held in Dar es Salaam last week. Center is the Vodacom's Public Relations Manager, Alex Bitekeye.

Permanent Secretary - Ministry of Finance and Planning, Emmanuel Tutuba talks to M-Pesa Marketing Manager, Noel Mazoya (right) and Vodacom Tanzania Plc Public Relations Manager Alex Bitekeye (center) when he visited the company's pavilion during the climax of the Financial Services Week held in Dar es Salaam, to see how M-Pesa services have contributed to revolutionising financial services.

DStv YAFUNGA MWAKA NA ZIGO LA SIKUKUU!

Mkuu wa Masoko wa MultiChoice Tanzania, Ronald Shelukindo akifafanua kuhusu kampeni ya msimu wa sikukuu ijulikanayo kama ZIGO la Sikukuu ambapo DStv inatoa ofa maalum kwa wateja wake. Kampeni hiyo ZIGO la Sikukuu ilizundiliwa rasmi jana katika Makao Makuu ya Ofisi za MultiChoice Tanzania, Kinondoni Dar es Salaam
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Mheshimiwa Jokate Mwegelo akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Zigo la Sikukuu. Kampeni hiyo ZIGO la Sikukuu ilizundiliwa rasmi jana katika Makao Makuu ya Ofisi za MultiChoice Tanzania, Kinondoni Dar es Salam.
Wafanyakazi wa Kampuni ya MultiChoice Tanzania katika picha ya pamoja wakifurahia Kampeni ya ZIGO la Sikukuu jana katika ofisi za Makao Makuu ya MultiChoice Tanzania zilizopo Kinondoni Dar es Salaam, Tanzania.

Dar es Salaam, Novemba 16 2021 - Katika kunogesha zaidi shamrasharma za msimu wa sikukuu, kampuni ya MultiChoice Tanzania imetangaza ofa maalum kwa wateja wapya wa DStv yenye lengo la kuhakikisha kuwa watanzania wengi wanapata huduma hiyo ili waweze kufurahia burudani elimu na habari wao na familia zao msimu huu wa sikukuu.

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo ya DStv iliyopewa jina la ‘ZIGO la Sikukuu, Mkuu wa Masoko wa MultiChoice Tanzania Ronald Baraka Shelukindo amesema kama ilivyo ada kwa DStv, kila unapofika msimu wa sikukuu hutoa ofa maalum kwa wateja wake ili kuwapa uhakika wa kupata huduma za DStv kipindi hiki ambapo ni cha sikukuu na watu wengi wakiwemo watoto huwa likizo hivyo kuwepo kwa uhitaji mkubwa wa burudani nyumbani.

“Kwa wale ambao bado hawajajiunga na DStv, huu ndio wakati muafaka kwani kuna muendelezo wa ofa maalum ya DStv Poa iliyoanza Septemba mwaka huu ambapo kwa kuwajali wateja wetu tuliona kuwa kuna umuhimu kwa ofa hii kuendelea kuwepo sokoni katika msimu huu wa Sikukuu. Kupitia mwendelezo wa ofa hii maalum mteja ataweza kuunganishwa kwa Shs. 59,000/- na zawadi ya kifurushi kipya cha DStv Poa mwezi mmoja bila malipo. Aliongeza kuwa ofa hii inawapa uhakika wateja wetu wapya kufurahia maudhui motomoto ndani ya DStv na itadumu hadi mwanzoni mwa mwezi Januari 2022.