Foreign Exchange Rates

Equity Bank Advert_12 February 2026

CRDB Bank Advert_070325

Global Sanctions Compliance Masterclass

Friday, 13 February 2026

CRDB BANK FOUNDATION YAZINDUA "GO GREEN NA IMBEJU", VIJANA KUPATA MITAJI HADI SH. MIL. 500

Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (katikati), akiwa na viongozi wengine wa Serikali, Bunge na Benki ya CRDB, wakipata maelezo kutoka kwa mwanzilishi wa kampuni ya Aquafresh iliyoshiriki katika maonesho ya biashara changa bunifu za vijana, wakati wa hafla ya uzinduzi wa programu ya Go Green na IMBEJU inayolenga kuwezesha biashara na bunifu za kijani za vijana kama sehemu ya kuchochea uchumi wa kijani kuelekea Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.
Waziri wa Mipango na Uwekezaji, Prof. Kitila Mkumbo (katikati), akipokelewa na kikundi cha ngoma za asili wakati alipowasili katika uzinduzi wa programu ya Go Green na IMBEJU inayolenga kuwezesha biashara na bunifu za kijani za vijana kama sehemu ya kuchochea uchumi wa kijani kuelekea Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050.

Wengine pichani ni, kushoto kwake, Naibu Spika wa Bunge, Mhe. Daniel Sillo; Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB, Prof. Neema Mori; na Mkurugenzi Mtendaji wa CRDB Bank Foundation, Tully Esther Mwambapa. Kulia kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela.

Dodoma, 12 Februari 2026 – Waziri wa Ofisi ya Rais, Mipango na Uwekezaji, Kitila Mkumbo, ameipongeza CRDB Bank Foundation na Benki ya CRDB kwa kuanzisha programu ya Go Green na IMBEJU, akisema ni hatua ya kimkakati inayounganisha ajenda ya Serikali ya uchumi wa kijani na uwezeshaji wa vijana.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi iliyofanyika katika Ukumbi wa Jakaya Kikwete (JKCC) jijini Dodoma, Prof. Mkumbo alisema mpango huo unaendana kikamilifu na Dira ya Taifa 2050, ambayo imeweka mkazo katika uchumi jumuishi, shindani na himilivu dhidi ya mabadiliko ya tabianchi huku ikitambua vijana kama msingi wa mafanikio ya Taifa.

Serikali imeweka mkazo mkubwa katika kuwawezesha vijana kiuchumi, kukuza uchumi wa kijani na kujenga mifumo imara ya ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi. Miradi ya vijana inayolinda mazingira kama tunavyoiona leo ni utekelezaji wa moja kwa moja wa Dira ya Taifa 2050 kwa vitendo,” alisema Prof. Mkumbo.

Alisisitiza kuwa ushiriki wa sekta binafsi ni nguzo muhimu katika kuhakikisha mawazo bunifu ya vijana yanageuzwa kuwa biashara endelevu zenye ajira na tija kwa Taifa.


Mitaji Nafuu Kuanzia Shilingi 500,000 hadi Milioni 500

Programu ya Go Green na IMBEJU inalenga kuwawezesha vijana wenye miradi bunifu inayohusiana na:

  • Kilimo himilivu
  • Nishati safi na jadidifu
  • Teknolojia za maji
  • Usimamizi wa taka
  • Uhifadhi wa mazingira
  • Ubunifu wa kidijitali

Kupitia dirisha hili, vijana wanaweza kupata mitaji nafuu kuanzia Shilingi 500,000 hadi Shilingi milioni 500, kulingana na ukubwa na mahitaji ya mradi.


Daraja Kati ya Fedha za Tabianchi na Ubunifu wa Vijana

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela, alisema mpango huo ni daraja kati ya fedha za kimataifa za tabianchi na vijana wabunifu ambao mara nyingi hukosa dhamana au historia ya mikopo inayohitajika katika mifumo ya kawaida ya kifedha.

Kupitia Go Green na IMBEJU tunaamini vijana wengi zaidi watafikiwa, kuandaliwa na kuwezeshwa kushiriki kikamilifu katika uchumi wa kijani. Huu ni muunganiko wa kimkakati kati ya ufadhili wa kimataifa wa tabianchi na ubunifu wa vijana wa Tanzania,” alisema Nsekela.

BENKI YA EXIM YAONGEZA MCHANGO KWA SEKTA YA UTALII KAMA MDHAMINI MKUU WA Z-SUMMIT 2026

Zanzibar | 11 Februari 2026

Benki ya Exim Tanzania imedhihirisha tena dhamira yake ya muda mrefu katika kuchochea ukuaji na ustawi wa sekta ya utalii kwa kudhamini Z-Summit 2026 kama Mdhamini Mkuu. Hafla hiyo imefanyika tarehe 11–12 Februari 2026 katika Chuo Kikuu cha Zanzibar (SUZA), Tunguu.

Huu ni mwaka wa nne mfululizo kwa benki hiyo kudhamini mkutano huu tangu kuanzishwa kwake.


Jukwaa Muhimu la Biashara na Uwekezaji

Z-Summit imejipatia umaarufu kama jukwaa kuu la biashara na uwekezaji katika utalii Zanzibar. Hukutanisha wawekezaji wa utalii, waendeshaji wa watalii, wamiliki wa hoteli, mawakala wa usafiri, watunga sera na watoa huduma kutoka Tanzania, Afrika Mashariki na mataifa mengine duniani.

Mkutano huu una mchango mkubwa katika:

  • Kujenga ushirikiano wa kimkakati
  • Kufungua fursa mpya za uwekezaji
  • Kuweka mwelekeo wa maendeleo endelevu ya utalii Zanzibar


Suluhisho za Kifedha kwa Sekta ya Utalii

Mbali na akaunti maalum kwa waendeshaji wa watalii na huduma za bima, Benki ya Exim imeendelea kubuni suluhisho za kisasa za malipo ya kidijitali.

Benki hii ilikuwa ya kwanza nchini kuzindua Kadi ya Exim TANAPA, inayowawezesha waendeshaji wa watalii kufanya malipo ya kielektroniki kwa viingilio vya hifadhi na huduma nyingine kupitia Tanzania National Parks Authority (TANAPA).

ABSA GROUP ANNOUNCES EXECUTIVE APPOINTMENTS FOLLOWING PAN-AFRICAN STRATEGY RESET

Absa Group has announced a series of strategic executive leadership appointments aimed at strengthening its organisational capability, governance framework and customer-led growth ambitions across the continent.

The changes follow the finalisation of the Group’s refocused Pan-African Strategy and underscore its commitment to enhanced strategic execution, succession planning and deeper leadership bench strength.


Sitoyo Lopokoiyit Appointed Chief Executive: Personal and Private Banking

Absa has appointed Sitoyo Lopokoiyit as Chief Executive: Personal and Private Banking, effective 1 April 2026.

Lopokoiyit is widely recognised as one of Africa’s leading fintech executives, bringing extensive experience in financial services, telecommunications, customer value propositions and large-scale business transformation.

He most recently served as Managing Director of M-PESA Africa and Chief Financial Services Officer at Safaricom, where he led the strategy and growth of Africa’s largest fintech platform. Under his leadership, M-PESA scaled to serve over 56 million customers and more than 5 million businesses across the continent.

Since joining Safaricom in 2011, Lopokoiyit held several senior leadership roles, including Head of M-PESA Strategy and Business Development, and led operations in Tanzania. He also spearheaded major innovations such as the M-PESA Super App, Fuliza, and partnerships with global platforms including PayPal and Alipay.

His contribution to advancing financial inclusion earned him induction into the 11:FS Hall of Fame, recognising industry leaders who have significantly transformed financial services through innovation and resilience.

Commenting on the appointment, Kenny Fihla, Group Chief Executive Officer of Absa Group, said:

This appointment demonstrates Absa’s strategic focus on delivering integrated, customer-centric solutions across our Personal and Private Banking franchise while unlocking new growth opportunities.”


Strengthening Governance and Assurance Leadership

In line with Absa’s commitment to robust governance and regulatory excellence, several additional appointments have been confirmed, effective 1 March 2026.

Thursday, 12 February 2026

REGION’S FIRST ENTERPRISE-GRADE SANCTIONS RISK MASTERCLASS FOR BANKS IN EAST & SUB-SAHARAN AFRICA


Dar es Salaam to Host Global Sanctions Compliance Masterclass, 30–31 March 2026

Sanctions compliance is rapidly evolving from a back-office obligation into a strategic enterprise risk for banks across Africa. With increasing global enforcement, tightening correspondent banking relationships, and rising cross-border scrutiny, financial institutions are under growing pressure to strengthen their sanctions risk frameworks.

To address this gap, the Global Sanctions Compliance Masterclass will take place in Dar es Salaam, Tanzania, on 30–31 March 2026.

This marks the region’s first mid-to-senior level, bank-focused sanctions programme designed to equip financial institutions with the tools to identify, assess, investigate, and govern sanctions risk end-to-end — aligned with global enforcement expectations.


Why This Matters

Across East and Sub-Saharan Africa, sanctions risk now affects:

  • Correspondent banking access
  • Cross-border payments and trade flows
  • Revenue sustainability
  • Enterprise risk management
  • Board accountability

Despite this, many institutions continue to face:

  • Limited understanding of jurisdictional reach
  • Fragmented Financial Crime Compliance (FCC) structures
  • Weak frontline ownership
  • Gaps in investigative capability

This masterclass aims to bridge those gaps.


Programme Highlights

Day One: Sanctions Risk Identification & Exposure

  1. Global FCC Landscape & Repositioning Sanctions Risk
  2. Global Sanctions Architecture & Jurisdictional Reach
  3. Sanctions Risk Identification & Assessment (SRA)
  4. Sanctions Evasion Techniques
  5. Sanctions Investigations & Four-Eye Principles

Day Two: Sanctions Risk Mitigation & Governance

  1. Controls, Asset Freezes, Licensing & Reporting
  2. Screening Excellence Across Payments, Trade & Digital Assets
  3. First Line Ownership & Escalation Frameworks
  4. Sanctions in ERM, Risk Appetite & Board Oversight
  5. Designing an Enterprise-Grade Sanctions Framework (Capstone)


Certification & Target Audience

Participants will receive an Advanced Global Sanctions Compliance Certificate (AGSCC).

The programme is designed for:
Compliance (FCC & Regulatory), Trade Finance, Treasury, Payments, Risk, Legal, Audit, Business Units, Quality Controls and Technology teams.


A Strategic Question for Bank Leaders

Is sanctions risk treated merely as a compliance checklist — or as a core enterprise risk owned by the business and the board?


Registration & Further Information

📧 Email: evarist.muhaya@globalriskas.com
📱 WhatsApp: +255 765 565 031
🌐 Website: www.globalriskas.com

BANK OF TANZANIA SELLS USD 15.75 MILLION IN FOREX MARKET INTERVENTION

Dar es Salaam, 10 February 2026 – The Bank of Tanzania (BoT) has intervened in the Interbank Foreign Exchange Market (IFEM), selling USD 15.75 million through an auction aimed at providing liquidity and stabilising the foreign exchange market.

According to a public notice issued by the BoT’s Directorate of Financial Markets, the intervention was conducted in line with the Foreign Exchange Intervention Policy, 2023.

Strong Demand from Banks

The auction attracted significant participation from the banking sector:

  • Currency: USD
  • Offered Amount: USD 15 million
  • Tendered Amount: USD 27 million
  • Successful Amount: USD 15.75 million
  • Number of Participating Banks: 30
  • Number of Successful Banks: 18

The fact that banks tendered USD 27 million against an initial offer of USD 15 million indicates strong demand for foreign currency liquidity within the market.

Exchange Rate Details

The auction results showed:

  • Weighted Average Exchange Rate: TZS 2,572.56 per USD
  • Highest Bid Rate: TZS 2,580.00
  • Lowest Bid Rate: TZS 2,560.00
  • Highest Accepted Bid: TZS 2,580.00
  • Lowest Accepted Bid: TZS 2,570.00

The weighted average rate of TZS 2,572.56 reflects the market-clearing price determined through the competitive bidding process.

What This Means for the Market

The intervention is part of the central bank’s ongoing efforts to:

  • Maintain orderly conditions in the foreign exchange market
  • Address short-term liquidity pressures
  • Support exchange rate stability

By supplying dollars into the interbank market, the Bank of Tanzania helps ease demand pressures and ensures smoother functioning of foreign exchange transactions among commercial banks.

Such interventions are a key monetary tool used globally by central banks to manage volatility and reinforce confidence in the financial system.


Source: Bank of Tanzania – Public Notice, 10 February 2026.

EQUITY BANK YAZINDUA “WEZESHA AKAUNTI” KUKUZA UWEKEZAJI NA UWEZESHAJI WA KIFEDHA

Dar es Salaam – 11 Februari 2026

Benki ya Equity Tanzania imezindua rasmi “Wezesha Akaunti”, akaunti ya amana ya muda maalum inayolenga kuwahamasisha Watanzania kuanza uwekezaji leo kwa ajili ya kesho iliyo bora kifedha.

Akaunti hii imeundwa kwa ajili ya watu binafsi, wajasiriamali, vikundi, vyama na taasisi, ikiwawezesha kukuza na kulinda mitaji yao kupitia uwekezaji salama unaotoa faida ya asilimia 13 kwa mwaka, inayolipwa kila mwezi.

Vigezo vya Wezesha Akaunti

  • Kima cha chini cha uwekezaji: TZS 500,000
  • Muda wa uwekezaji: Miaka mitatu
  • Faida: 13% kwa mwaka (malipo ya kila mwezi)
  • Inaweza kutumika kama dhamana ya hadi 80% ya thamani ya amana kupata mkopo

Kupitia kipengele cha dhamana, mteja anaweza kupata mkopo bila kuvunja uwekezaji wake — hatua inayowapa wawekezaji unafuu wa kifedha huku wakiendelea kunufaika na faida ya amana yao.

Uzinduzi wa Wezesha Akaunti umefanyika katika Hoteli ya Serena, Dar es Salaam, ukihudhuriwa na wadau wa sekta ya fedha, wateja pamoja na wawakilishi wa vyombo vya habari. Dirisha la kuwekeza limefunguliwa rasmi, tarehe 11 Februari 2026, na litafungwa tarehe 30 Aprili 2026.


Fursa kwa Makundi Mbalimbali

Wezesha Akaunti inalenga kugusa makundi mbalimbali ya jamii:

  • Wajasiriamali – kupata mapato ya ziada kupitia riba ya kila mwezi na kutumia amana kama dhamana ya kukuza biashara.
  • Wafanyabiashara – kulinda na kukuza mali zao kwa faida thabiti ya 13% kwa mwaka.
  • Wanawake na vijana – kujenga uhuru wa kifedha kupitia mapato ya uhakika na fursa za mikopo.
  • Taasisi na wawekezaji – kutumia hadi 80% ya thamani ya amana kama dhamana ya mikopo kwa ajili ya miradi na fursa mpya.

Kwa mujibu wa Benki ya Equity, lengo ni kukusanya jumla ya TZS bilioni 200, hatua itakayosaidia kuimarisha uwezo wa benki katika utoaji wa mikopo, hususan kwa Wajasiriamali Wadogo na wa Kati (MSMEs).

Wednesday, 11 February 2026

EQUITY BANK LAUNCHES "WEZESHA ACCOUNT" TO BOOST INVESTMENT AND FINANCIAL EMPOWERMENT

Dar es Salaam, February 11, 2026

Equity Bank Tanzania Limited (EBTL) has officially launched the “Wezesha Account,” a strategic fixed deposit product designed to empower Tanzanians by transforming savings into a disciplined, high-yield investment opportunity.

The new product targets individuals, entrepreneurs, and institutions seeking a secure and predictable way to grow their capital while maintaining flexibility.

Turning Savings into Predictable Income

The Wezesha Account offers an attractive 13% annual interest rate, paid monthly, providing customers with a reliable income stream and enhanced financial predictability. With consistent monthly returns, the product is structured to support long-term wealth creation while encouraging disciplined savings.

Key Features of the Wezesha Account:

  • Interest Rate: 13% per annum
  • Interest Payment: Monthly payouts
  • Tenor: 3 years
  • Minimum Deposit: TZS 500,000
  • Loan Access: Deposit can serve as collateral for loans of up to 80% of its value

A standout feature of the Wezesha Account is the ability for customers to leverage their fixed deposit as collateral. This enables clients to access up to 80% of their deposit value in loans without liquidating their investment — offering flexibility for entrepreneurs and businesses that require liquidity while preserving capital growth.

Strategic Growth and Economic Impact

Equity Bank aims to mobilize TZS 200 billion through the Wezesha Account, strengthening its lending pipeline and supporting its broader strategic growth objectives.

Speaking at the launch, Equity Bank Commercial Director, Mr. Prosper Nambaya, emphasized the bank’s long-term vision and commitment to financial empowerment:

Our purpose is to transform lives, give dignity, and expand opportunities for wealth creation. The Wezesha Account is a tangible expression of this commitment. It provides a trusted and empowering tool for Tanzanians to make their money work harder, earn predictable returns, and unlock financial freedom. This initiative is central to our strategy of growing our balance sheet responsibly to position among Tanzania's top-tier banks.”

Responding to Market Dynamics

The launch comes at a time when banks are focusing on strengthening liquidity and building stable funding bases. The Wezesha Account is strategically designed to:

  • Improve the bank’s Local Currency Loan-to-Deposit Ratio
  • Build a stable, long-term funding base
  • Provide low-cost, stable funding to support high-margin MSME lending

SAMSUNG OPENS TWO NEW BRAND STORES IN KUNDUCHI AND UBUNGO, SHOWCASING THE FULL CONSUMER EXPERIENCE

Dar es Salaam, 10 February 2025 – Samsung Electronics East Africa has officially opened two new Samsung Brand Stores in Kunduchi and Ubungo, strengthening its footprint in Tanzania and reaffirming its commitment to delivering a fully connected consumer experience.

The new stores bring Samsung’s complete ecosystem closer to Tanzanian customers by integrating both Mobile and Consumer Electronics products under one roof. Designed as immersive retail spaces, the stores allow customers to experience first-hand how Samsung devices seamlessly connect to support communication, entertainment, home living, and productivity.

A Complete Samsung Ecosystem in One Space

Unlike standard retail outlets, the newly launched Brand Stores are larger, purpose-built environments that showcase Samsung’s full product range. Customers can explore the latest Samsung Galaxy smartphones, tablets, wearables, televisions, home appliances, and accessories — all within a setting that demonstrates real-life smart connectivity.

Through interactive displays and live demonstrations, visitors can see how devices sync and interact effortlessly, reinforcing Samsung’s vision of a connected lifestyle.

The official launch ceremonies were attended by key stakeholders, business partners, members of the media, and a Guest of Honour — underlining the importance of the investment in Tanzania’s growing digital and retail landscape.

Strengthening Long-Term Commitment to Tanzania

Speaking during the launch, Mgope Kiwanga, Mobile Business Head, Samsung Electronics East Africa (Tanzania), said the openings reflect Samsung’s long-term strategy in the Tanzanian market.

The opening of our Brand Stores in Kunduchi and Ubungo marks an important step in bringing the full Samsung Consumer Experience closer to our customers. These stores allow us to demonstrate how our mobile devices and consumer electronics connect as one ecosystem, making technology more practical, accessible, and relevant to everyday life,” said Kiwanga.

Tuesday, 10 February 2026

OVERSUBSCRIBED TREASURY BONDS SIGNAL UNTAPPED INVESTMENT POTENTIAL IN TANZANIA

Dar es Salaam, 10 February 2026 — Investors have shown strong confidence in Tanzania’s long-term government securities, with the recent 25-year Treasury bond attracting bids far exceeding the amount on offer. While this reflects trust in macroeconomic stability, analysts say it also highlights a growing pool of capital that remains underutilised in the wider economy.

In the mid-last-week auction, investors submitted bids worth Sh1.6 trillion, yet the Bank of Tanzania accepted only Sh300 billion, leaving approximately Sh1.3 trillion in capital seeking alternative investment opportunities.

Oversubscription is widely regarded as a vote of confidence in government instruments and fiscal management. However, market experts argue that repeated oversubscription also reveals structural gaps—particularly the limited availability of safe, long-term investment options outside government securities.

Confidence High, Options Limited

Commenting on the trend, Mr Frank Abel, Manager for Research and Analysis at Vertex International Securities, said persistent oversubscription sends a dual message.

First, investors trust government instruments and the country’s financial system,” Mr Abel noted. “Second, it indicates there are limited avenues for safe, long-term investment in the private sector. Capital is available, but attractive alternatives are few.”

He explained that Tanzania has experienced consistent demand for Treasury bonds over recent years, driven by both institutional and individual investors seeking stability and predictable returns.

According to Mr Abel, the surplus capital presents a significant opportunity to support economic growth if properly channelled.

The challenge is not liquidity or willingness,” he said. “It is about creating structured channels where this trust in government can be translated into real-economy projects.”

NEW STUDY FINDS ILLICIT ALCOHOL COSTS TANZANIA OVER TZS 1 TRILLION ANNUALLY

Dar es Salaam, February 5, 2026 – Illicit alcohol continues to pose a serious threat to public health, government revenue, and legitimate businesses in Tanzania, according to a newly released study.

The study reveals that approximately 61% of all alcohol consumed in Tanzania is illicit, resulting in an estimated annual revenue loss of TZS 1.026 trillion due to uncollected taxes.

A Regional Challenge

The findings reflect a broader regional trend. Similar studies conducted by Euromonitor International in Kenya and Uganda in 2025 showed that illicit alcohol accounted for 60% and 67% of illicit alcohol consumption, respectively.

Experts say this indicates that illicit alcohol is not only a national issue but a regional challenge that requires coordinated, long-term solutions.

What Constitutes Illicit Alcohol?

According to the study, illicit alcohol refers to beverages that do not fully comply with tax, regulatory, and legal requirements. This includes alcohol that:

  • Is not subject to proper excise duty
  • Lacks required health and safety approvals
  • Violates production standards
  • Uses unapproved or unsafe ingredients

Illicit alcohol is also distributed through unlicensed outlets, which play a significant role in alcohol markets across many developing countries.

Traditional Brews Dominate the Illicit Market

The study shows that illicit alcohol spans all categories, including spirits, beer, and wine. However, a significant share comes from illegal traditional or artisanal brews, such as Mbege, Komoni, Wanzuki, Ulanzi, and Dengerua.

While these drinks have cultural significance, their widespread consumption is largely driven by low prices. For example, gongo, which is banned, can be up to 80% cheaper than legally produced spirits. Counterfeit alcohol and smuggled products also remain a major concern, particularly in the spirits and beer segments.

PUMA ENERGY TANZANIA LAUNCHES AFRICA’S LARGEST CNG MOTHER STATION, STRENGTHENING PPPs

Prime Minister Dr. Mwigulu Nchemba (third from right) launches Puma Energy’s Compressed Natural Gas (CNG) Mother Station in Dar es Salaam, yesterday. The facility is anticipated to be Africa’s largest, with a capacity of 6.7 million standard cubic feet per day. On his left is the company’s Managing Director, Ms. Fatma Abdallah, while on his right is the Deputy Minister for Energy, Ms. Salome Makamba, alongside other officials.

Dar es Salaam, February 9, 2026 — Puma Energy Tanzania has officially commissioned Africa’s largest and most advanced Compressed Natural Gas (CNG) Mother Station, marking a major milestone in Tanzania’s journey toward clean, affordable, and reliable energy.

The landmark facility was inaugurated by Prime Minister Hon. Dr. Mwigulu Lameck Nchemba, underscoring the Government’s strong commitment to public–private partnerships (PPPs) as a driver of sustainable national development.

A Strategic Investment in Clean Energy

Located in Dar es Salaam, the state-of-the-art CNG Mother Station is designed to meet the country’s growing demand for cleaner and more cost-effective fuel alternatives. The facility will serve light vehicles, buses, and heavy-duty trucks, while also acting as a central distribution hub supplying “daughter” CNG stations across Tanzania via tube-trailers.

The project positions natural gas as a viable substitute for petrol and diesel, helping to lower transport costs, reduce emissions, and support energy diversification.

“This CNG Mother Station is more than just infrastructure; it’s a symbol of our long-term confidence in Tanzania and our commitment to creating shared value,” said Ms. Fatma Abdallah, Managing Director of Puma Energy Tanzania.
“We are proud to partner with the Government to deliver a project that will power Tanzania’s progress for years to come.”

Government Applause for a Model PPP

Speaking during the inauguration, Prime Minister Hon. Dr. Mwigulu Lameck Nchemba praised the project as a strong example of the Sixth Phase Government’s strategy to foster a conducive investment climate and leverage PPPs for national development.

“Puma Energy Tanzania stands out as a successful example of public–private partnership, delivering quality energy services while contributing to national revenues, employment creation, and strategic infrastructure development,” the Prime Minister stated.
“This investment reflects the Government’s commitment to creating a favourable business environment and aligns perfectly with our national priorities.”

Strong Returns for Tanzanians

Treasury Registrar Mr. Nehemiah Mchechu highlighted the project’s unique ownership structure, noting that government participation ensures commercial success directly benefits the nation.

“This joint venture proves that combining government participation with private-sector efficiency delivers vital infrastructure and strong financial returns for Tanzanians,” Mr. Mchechu said.

Monday, 9 February 2026

PORTWEST DEEPENS E. AFRICAN FOOTPRINT WITH APPAREL MANUFACTURING PLANT IN TANZANIA

The Deputy Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo (centre), cuts the ribbon to officially open Afriport’s occupational safety garments manufacturing factory in Ubungo, Dar es Salaam. Second from the right is the company’s Chief Executive Officer, Mr. Henry Huge, alongside other company officials and government representatives.

Dar es Salaam: Global workwear and personal protective equipment (PPE) manufacturer Portwest has strengthened its footprint in East Africa with the operationalisation of a new apparel manufacturing facility in Dar es Salaam, positioning Tanzania as a strategic hub within the company’s global supply chain.

The investment has received strong backing from the Government of Tanzania, which has reiterated its commitment to fostering a conducive environment for both local and foreign investors.

Government Reaffirms Support for Industrial Investment

Speaking during an official visit to the facility, Assistant Minister for Industry and Trade, Hon. Denis Londo, said the Government will continue implementing investor-friendly policies and legal frameworks aimed at attracting industrial investments.

“The Government of the United Republic of Tanzania, through the Ministry of Industry and Trade, will continue to put in place enabling policies, laws and regulations to attract investors and support the establishment of industries in the country,” said Hon. Londo.

“Investments such as this apparel manufacturing facility demonstrate growing confidence in Tanzania’s industrial environment and our commitment to building a strong manufacturing base that creates jobs and adds value locally.”

 

A Global Brand with Deep Roots

Founded in 1904 in Ireland and still owned and managed by the Hughes family, Portwest operates in more than 150 countries and employs over 5,500 people globally. The company is internationally recognised for its innovation in occupational safety solutions, producing flame-resistant and high-visibility clothing, safety footwear, PPE accessories and fall-protection equipment.

NBC HONOURED AT ZICA AWARDS FOR CONSTRUCTION FINANCING EXCELLENCE IN ZANZIBAR

Ali Suleiman Amour (left), Chairman of the Zanzibar National Chamber of Commerce (ZNCC), presents the Best Bank in Financing Construction Projects in Zanzibar award to Elvis Ndunguru, Director of Business and Investment Banking at NBC, during the Zanzibar International Construction Awards (ZICA Awards) ceremony held over the weekend in Zanzibar, as other NBC officials look on.
Ali Suleiman Amour (left), Chairman of the Zanzibar National Chamber of Commerce (ZNCC), engages in discussion with Elvis Ndunguru (right), Director of Business and Investment Banking at NBC, during the Zanzibar International Construction Awards (ZICA Awards) held over the weekend in Zanzibar. NBC emerged as the winner of the Best Bank in Financing Construction Projects in Zanzibar award.

Zanzibar, February 8, 2026 — The National Bank of Commerce (NBC) has won the Best Bank in Financing Construction Projects in Zanzibar award at the Zanzibar International Construction Awards (ZICA Awards), cementing its role as a key financier of large-scale infrastructure and construction projects in the Isles.

Award Ceremony and Industry Participation

The award was presented during a ceremony held over the weekend in Zanzibar and officiated by the Chairman of the Zanzibar National Chamber of Commerce (ZNCC), Ali Suleiman Amour. The event brought together senior stakeholders from across the construction sector, including representatives from government institutions and the private sector.

NBC was represented by Elvis Ndunguru, Director of Business and Investment Banking, who led a delegation of bank officials at the event.

NBC’s Commitment to Construction and Infrastructure

Speaking after receiving the award, Ndunguru said the recognition reflects NBC’s sustained commitment to supporting construction projects across both Mainland Tanzania and Zanzibar.

This award marks a continuation of our recent successes in the construction and infrastructure sector,” Ndunguru said.

Key Projects Supported in Zanzibar

Ndunguru highlighted several landmark projects financed by NBC in Zanzibar, including:

  • The Maruhubi (Mpiga Duru) Ferry Passenger Terminal
  • The Kizimkazi Health Centre

Saturday, 7 February 2026

YOUR PLANS JUST GOT A POWER UPGRADE: CRDB LAUNCHES "BENKI KIMPANGO WAKO" CAMPAIGN

Dar es Salaam, February 3, 2026 – CRDB Bank has officially unveiled its 2026 flagship campaign, “Benki Kimpango Wako” (Banking Your Way, Time Matters), reaffirming its commitment to putting customers and stakeholders at the heart of everything it does.

The high-profile launch took place at Mlimani City, bringing together hundreds of guests on site and thousands more online. The event marked a bold statement by Tanzania’s largest bank: empowering customers to achieve their goals faster, smarter, and on their own terms.

Banking Built Around the Customer

Powered by innovative financial products, robust digital platforms, a nationwide CRDB Wakala agent network, and fast, reliable branch services, Benki Kimpango Wako is designed to simplify everyday banking and turn ambitions into action.

The campaign focuses on reducing transaction processing time, expanding self-service options, and allowing customers to access services anytime, anywhere in the world, according to their individual preferences.

A Landmark Event for the Bank

The historic launch brought together more than 60 notable content creators, customers, partners, and social media influencers. It was officiated by CRDB Group Managing Director and CEO, Mr. Abdulmajid Nsekela, alongside members of the Bank’s senior leadership.

Speaking at the event, Nsekela thanked customers, investors, strategic partners, and stakeholders for the trust they continue to place in CRDB Bank.

You are the reason CRDB Bank exists. Every account you opened, every loan you took, every transaction you made, and every project you implemented through CRDB Bank gave us the strength and motivation to work even harder,” he said.


Strong Performance Fuels Bigger Ambitions

The launch comes on the back of an exceptional business performance in 2025. CRDB Bank recorded a profit before tax of over TZS 1.04 trillion, representing a 33 percent growth, while profit after tax reached TZS 725 billion, up 31 percent from 2024.

During the same period:

  • The Bank’s balance sheet expanded to TZS 22.2 trillion (33 percent growth)
  • Loans disbursed reached TZS 13.7 trillion, a growth of 32.6 percent

According to Nsekela, this growth strengthens the Bank’s capacity to finance development projects, support small, medium, and large enterprises, create jobs, and economically empower youth, women, farmers, and entrepreneurs.

NMB YAKABIDHI VIFAA VYA SH MILIONI 105 KWA SHULE NA HOSPITALI MKOA WA MANYARA

Mkuu wa Wilaya ya Hanang Alimish Hazali (kulia) akikabidhiwa benchi na Meneja wa Benki ya NMB Kanda ya Kaskazini, Ladislaus Baraka kwa ajili ya Shule za Msingi Nantemi, Mulbadaw, N'gabati na Gidamambula  zote za Wilaya hiyo.

Manyara — Benki ya NMB imekabidhi vifaa mbalimbali vya elimu na afya vyenye thamani ya Shilingi milioni 105 kwa shule za msingi na sekondari pamoja na hospitali na zahanati katika Mkoa wa Manyara, ikiwa ni sehemu ya mchango wake wa kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuboresha huduma za kijamii.

Akizungumza wakati wa hafla ya makabidhiano iliyofanyika jana Wilayani Hanang, Meneja wa NMB Kanda ya Kaskazini, Ladislaus Baraka, alisema msaada huo unalenga kuboresha mazingira ya ujifunzaji na ufundishaji shuleni, pamoja na kuinua ubora wa huduma za afya kwa wananchi.

Alibainisha kuwa vifaa vilivyotolewa vinawanufaisha shule na hospitali katika Wilaya za Hanang, Mbulu na Babati.

Msaada kwa Wilaya ya Hanang

Kwa Wilaya ya Hanang, NMB imekabidhi:

  • Madawati 50 kwa Shule ya Msingi Gidamambula
  • Vitanda 40 vya bweni (double decker) kwa Shule ya Sekondari Katesh
  • Mabenchi 20 ya kupumzikia wagonjwa kwa Hospitali ya Wilaya ya Hanang (Tumaini)
  • Mabati 200 kwa Shule ya Msingi Nanyemi
  • Mabati 200 kwa Shule ya Msingi Mulbadaw
  • Mabati 200 kwa Shule ya Msingi Ng’abati

Thamani ya vifaa hivi ni Sh Milioni 45, alisema Ladslaus.

Friday, 6 February 2026

UTAFITI MPYA WABAINI POMBE HARAMU KUGHARIMU TANZANIA ZAIDI YA SHILINGI TRILIONI 1 KWA MWAKA

Dar es Salaam, Februari 5, 2026 – Pombe haramu zinaendelea kuwa tishio kubwa kwa afya ya wananchi, mapato ya Serikali na ustawi wa biashara halali nchini Tanzania, kwa mujibu wa utafiti mpya uliochapishwa.

Utafiti huo umebaini kuwa takribani asilimia 61 ya pombe zote zinazotumiwa nchini ni haramu, hali inayosababisha Serikali kupoteza karibu shilingi trilioni 1.026 kila mwaka kutokana na mapato ya kodi yasiyokusanywa.

Tanzania Yaungana na Mwelekeo wa Kikanda

Matokeo ya utafiti huo yanaakisi mwenendo unaoonekana pia katika nchi jirani. Tafiti zilizofanywa na Euromonitor International nchini Kenya na Uganda mwaka 2025 zilionesha kuwa pombe haramu zilichangia asilimia 60 na 67 ya matumizi ya pombe katika nchi hizo, mtawalia.

Kwa mujibu wa wataalamu, hali hii inaonesha kuwa tatizo la pombe haramu si la kitaifa pekee, bali ni changamoto ya kikanda inayohitaji mbinu za pamoja na za muda mrefu.

Pombe Haramu Ni Nini?

Utafiti unafafanua pombe haramu kama vinywaji ambavyo havikidhi matakwa ya kodi, udhibiti na sheria. Hii inajumuisha pombe:

  • Zisizolipiwa ushuru stahiki
  • Zisizo na vibali vya afya
  • Zinazokiuka viwango vya uzalishaji
  • Zinazotumia viambato visivyoidhinishwa

Aidha, pombe haramu husambazwa kupitia vituo visivyo na leseni, ambavyo hasa katika nchi zinazoendelea vina mchango mkubwa katika soko la pombe.

Pombe za Kienyeji Zatawala Soko la Pombe Haramu

Utafiti unaonesha kuwa pombe haramu zimeenea katika makundi yote, ikiwemo pombe kali, bia na divai. Hata hivyo, mchango mkubwa unatokana na pombe za kienyeji zisizo halali au za asili kama vile Mbege, Komoni, Wanzuki, Ulanzi, Dengerua, na nyinginezo.

Ingawa pombe hizi zina nafasi ya kiutamaduni, matumizi yake kwa kiwango kikubwa yanachochewa na gharama nafuu. Kwa mfano, gongo, ambayo imepigwa marufuku, inaweza kuwa hadi asilimia 80 nafuu zaidi ikilinganishwa na pombe kali halali. Pombe bandia na zile zinazoingizwa kwa njia za magendo nazo zinaendelea kuwa changamoto, hususan katika makundi ya pombe kali na bia.

VODACOM TANZANIA FOUNDATION YAWEKA KAMBI ZA AFYA BURE KARIBU NA JAMII YA ZANZIBAR

Mkurugenzi wa Idara ya Tiba Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani (wapili kushoto), akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kambi ya huduma za afya iliyoandaliwa na Vodacom Tanzania Foundation. Kambi hiyo inalenga kutoa huduma za bure za upimaji wa afya, ushauri na elimu kuhusu magonjwa yasiyoambukiza kama shinikizo la damu na kisukari.

Tukio hilo lilifanyika Visiwani Zanzibar na kushuhudiwa na Kaimu Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Dkt. Julieth Magandi (kushoto), pamoja na Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald (wapili kulia).

Zanzibar, Februari 4, 2026 – Nchini Tanzania, magonjwa yasiyoambukiza (NCDs) yanaendelea kuwa changamoto kubwa kwa afya ya jamii, yakichangia takribani asilimia 34 ya magonjwa sugu yote. Magonjwa kama shinikizo la damu na kisukari mara nyingi hugundulika yakiwa tayari katika hatua za juu, hasa katika jamii zenye ufinyu wa huduma za uchunguzi wa afya wa mara kwa mara, hali inayoongeza hatari ya madhara ya muda mrefu kiafya.

Hali hiyo pia inaonekana Zanzibar, ambapo wataalamu wa afya wamekuwa wakibainisha ongezeko la wagonjwa wa shinikizo la damu na kisukari. Takwimu hizo zinaonesha umuhimu wa kuimarisha juhudi za kinga, uchunguzi wa mapema pamoja na elimu ya afya kwa jamii ili kupunguza athari za magonjwa hayo.

Katika kukabiliana na changamoto hiyo, Vodacom Tanzania Foundation inaendelea kutekeleza mpango wake wa muda mrefu wa kambi za afya bure, ambao umefanyika kwa kipindi cha miaka mitatu katika mikoa saba na wilaya 16 nchini. Mwaka huu, mpango huo umeanza kutekelezwa Zanzibar kwa mara ya kwanza, ikiwa ni sehemu ya dhamira ya Foundation ya kupanua wigo wa huduma za afya za kinga kwa jamii mbalimbali.

Kambi hiyo ya afya, inayofanyika kuanzia Februari 3 hadi 6, 2026, inalenga uchunguzi wa mapema na kinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kupitia huduma za upimaji wa afya, ushauri wa kitaalamu pamoja na elimu ya afya kwa wananchi.

Umuhimu wa ushirikiano kati ya sekta ya umma na binafsi katika kuboresha afya ya jamii ulidhihirishwa wakati wa ufunguzi rasmi wa kambi hiyo uliofanyika Jumatano, Februari 4, 2026, na kuhudhuriwa na Mkurugenzi wa Huduma za Tiba kutoka Wizara ya Afya Zanzibar, Dkt. Msafiri Marijani.

ABSA BANK HANDS OVER TZS 48 MILLION CASH PRIZE, CONCLUDES “PLAY YOUR CARDS RIGHT” CAMPAIGN


The Managing Director of Absa Bank Tanzania, Mr. Obedi Laiser, hands over a dummy cheque worth TZS 30,000,000 to the grand prize winner of the Bank’s “Play Your Cards Right” campaign, Ms. Nasreen Karim Abdallah (second from left), during an event held in Dar es Salaam. Also present are the Director of Retail Banking, Ms. Ndabu Swere (left), and the Director of Marketing and Corporate Affairs, Mr. Aron Luhanga (right).

Dar es Salaam, 3 February 2026 – Absa Bank Tanzania has officially concluded its “Play Your Cards Right” customer rewards campaign following a prize handover ceremony held at the Bank’s Mikocheni Branch, where cash prizes were presented to the Grand Prize Winner and Monthly Winners.

The ceremony was officiated by Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser, alongside Ms. Ndabu Swere, Director of Retail Banking, and Mr. Aron Luhanga, Director of Marketing and Corporate Affairs. Customers, Absa staff, and members of the media were also in attendance.

TZS 30 Million Grand Prize Awarded

During the event, Mr. Laiser presented a symbolic cheque of TZS 30 million to Ms. Nasreen Karim Abdallah, the campaign’s Grand Prize Winner, who was selected through a transparent raffle draw conducted on 21 January 2026.

The Managing Director also handed over symbolic cheques to the monthly winners:

  • Mr. Abdulrazak Ali Seif – TZS 10 million
  • Mrs. Aysha Mbarak Meghji – TZS 5 million
  • Mr. Gibbons Samuel Katule – TZS 3 million

Mr. Laiser confirmed that all prize money has been credited directly into the winners’ Absa accounts, in line with the campaign’s Terms and Conditions.

Driving Digital and Cashless Banking

The Play Your Cards Right campaign ran from October to December 2025 and was designed to encourage customers to embrace digital and cashless banking by using Absa debit and credit cards for everyday transactions.

Over the three-month period, the campaign rewarded:

  • 72 weekly winners
  • 9 monthly winners
  • 1 Grand Prize Winner

In total, TZS 120 million was returned to customers across the country.

Speaking at the ceremony, Mr. Obedi Laiser said the campaign went beyond prizes.

“This campaign has been about rewarding our customers for embracing convenient, safe and secure digital banking. Beyond the prizes, we are proud of the positive shift we’ve seen toward cashless transactions, which save time, reduce risk, and support financial inclusion,” he said.

He added that the campaign reflected Absa’s broader purpose:

“Our purpose is clear — Empowering Africa’s tomorrow, together… one story at a time. Every campaign, every innovation, and every reward we offer is driven by our belief that your story matters.”