Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

CRDB Bank Advert_070325

Sunday, 2 August 2026

MABANDA YA NMB YAVUTA MAWAZIRI NA WANANCHI KATIKA MAONESHO YA NANE NANE 2026

Dodoma; Agosti 2, 2026 - Mabanda ya Benki ya NMB yanaendelea kuwa miongoni mwa vivutio vikuu katika Maonesho ya Nane Nane 2026 yanayoendelea katika kanda mbalimbali nchini, huku mawaziri, viongozi wa Serikali na maelfu ya wananchi wakiyatembelea kujionea suluhisho za kifedha zinazowezesha maendeleo ya sekta za kilimo, mifugo, uvuvi na biashara.

Ushiriki huo unaonyesha nafasi ya NMB kama mshirika mkuu wa MAENDELEO ya uchumi wa Tanzania kupitia utoaji wa huduma za kifedha zinazolenga kuongeza uzalishaji, kuimarisha biashara na kuboresha maisha ya wananchi.

Katika Kanda ya Kati jijini Dodoma, Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, pamoja na Naibu Waziri wa Kilimo, David Silinde, walitembelea banda la NMB na kupata fursa ya kujionea huduma mbalimbali za kifedha ambazo benki hiyo imeandaa mahsusi kwa ajili ya wakulima, wafugaji, wavuvi na wafanyabiashara.

Katika Maonesho ya Nane Nane Kanda ya Mashariki yanayofanyika katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere mkoani Morogoro, Naibu Waziri wa Fedha, Laurent Luswetula, alitembelea banda la NMB ambapo alipokea maelezo kutoka kwa Meneja Mahusiano wa Benki ya NMB Kanda ya Kati kutoka Idara ya Kilimo na Biashara, Miastela Magoma, kuhusu bidhaa na huduma mbalimbali za kifedha zinazochochea maendeleo ya sekta ya kilimo na biashara.

Nayo katika Kanda ya Ziwa, mkoani Mwanza, Meneja Mahusiano wa Biashara kwa Serikali wa Benki ya NMB, Humphrey Kaaya, aliendelea kutoa elimu kwa wananchi kuhusu fursa za mikopo ya matrekta pamoja na suluhisho za kifedha zinazowezesha ununuzi wa zana za kisasa za kilimo, hatua inayolenga kuongeza tija na kuharakisha matumizi ya teknolojia katika uzalishaji wa kilimo.

Mbali na viongozi wa Serikali, mabanda ya NMB yameendelea kuvutia maelfu ya wananchi wanaotembelea maonesho hayo kila siku, wakipata elimu ya kifedha pamoja na taarifa kuhusu bidhaa na huduma mbalimbali zinazowawezesha kukuza shughuli zao za kiuchumi.

Saturday, 1 August 2026

WAZIRI MKUU APONGEZA NMB KWA KUSOGEZA HUDUMA ZA KIFEDHA VIJIJINI

Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba (kushoto) akisikiliza maelezo kutoka kwa Mkuu wa Idara ya Biashara za Serikali wa Benki ya NMB, Bi. Vicky Bishubo, alipotembelea banda la benki hiyo katika Maonesho ya Kitaifa ya Kilimo Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya John S. Malecela, Nzuguni mkoani Dodoma jana. NMB ni mdhamini wa maonesho hayo.

Dodoma; Agosti 1, 2026 - Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameipongeza Benki ya NMB kwa juhudi zake za kusogeza huduma za kifedha karibu na wananchi kupitia matumizi ya teknolojia na utekelezaji wa mkakati wa Rural Banking, akisema hatua hiyo inaunga mkono juhudi za Serikali za kukuza ujumuishi wa kifedha na maendeleo ya wananchi.

Akizungumza alipotembelea banda la NMB katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea jijini Dodoma, Waziri Mkuu alisema Serikali itaendelea kuboresha mazingira ya biashara pamoja na kupunguza gharama za miamala ya kifedha ili kuwawezesha Watanzania wengi zaidi kupata huduma za kifedha kwa urahisi.

Akimkaribisha Waziri Mkuu katika banda hilo, Mkuu wa Idara ya Biashara za Serikali wa NMB, Bi. Vicky Bishubo, alisema benki hiyo imeendelea kuwa mshirika muhimu wa maendeleo kwa kuwekeza kwa kiwango kikubwa katika sekta za kilimo, uvuvi na ufugaji.

Alisema hadi sasa NMB imetoa mikopo yenye thamani ya Shilingi trilioni 2.3 kwa sekta hizo, hatua inayochochea uzalishaji, kuongeza kipato cha wananchi na kuimarisha mchango wa sekta ya kilimo katika ukuaji wa uchumi wa Taifa.

Bi. Bishubo aliongeza kuwa benki hiyo imeendelea kutumia teknolojia kurahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha, ikiwemo kuwawezesha vijana kupata mikopo ya hadi Shilingi milioni mbili kupitia mifumo ya kidijitali bila kuhitaji dhamana wala kufika katika tawi la benki.

Aidha, alisema huduma za Rural Banking zinaendelea kuwafikia wananchi moja kwa moja katika masoko, minada ya mifugo na maeneo mengine ya biashara vijijini, hatua inayosaidia kupunguza umbali wa kupata huduma za kifedha na kuongeza ushiriki wa wananchi katika mfumo rasmi wa fedha.

Mbali na huduma za benki, NMB inaendelea kuwekeza katika utoaji wa elimu ya fedha kupitia programu ya NMB Kijiji Day, inayolenga kuwajengea wananchi uelewa wa masuala ya kifedha, usimamizi wa biashara na matumizi sahihi ya huduma za benki.

NMB STRENGTHENS PARTNERSHIP WITH GOVERNMENT TO ADVANCE AGRICULTURAL DEVELOPMENT

Prime Minister Dr. Mwigulu Nchemba (left) receives a briefing from NMB Bank Head of Government Business, Ms. Vicky Bishubo, during his visit to the bank's pavilion at the National Nanenane Agricultural Exhibition at the John S. Malecela Grounds in Nzuguni, Dodoma yesterday. NMB is one of the sponsors of the exhibition.

Dodoma; August 1, 2026 – NMB Bank has reaffirmed its long-standing partnership with the Government by presenting a sponsorship cheque to the Ministry of Agriculture in support of the 2026 Nanenane Agricultural Exhibition, reinforcing efforts to expand access to knowledge, technology and financial services for farmers, livestock keepers and fishers across Tanzania.

The sponsorship handover ceremony, held yesterday evening in Dodoma, highlights the growing role of public-private partnerships in driving agricultural transformation by creating opportunities for producers to improve productivity, strengthen value chains and access sustainable financing.

With this year's contribution, NMB Bank's cumulative sponsorship of the annual Nanenane Exhibition has reached TZS 572 million over eight consecutive years, underscoring its sustained commitment to Tanzania's agricultural sector.

Speaking during the ceremony, NMB Central Zone Manager Janeth Shango said the bank considers Nanenane an important platform for connecting producers with knowledge, innovation and financial solutions that contribute to long-term agricultural growth.

"This contribution continues our eight-year commitment to supporting the exhibition as part of our efforts to enable the Government to reach farmers, livestock keepers and fishers and promote productive agriculture. We believe sustainable agricultural development requires enduring partnerships between the public and private sectors," she said.

 

Shango noted that beyond sponsoring the exhibition, NMB continues to invest in financial literacy programmes, agricultural financing and specialised banking solutions that enable producers to expand production, strengthen their businesses and improve household incomes.

She added that the bank will once again maintain an active presence at this year's exhibition by providing advisory services, financial education and banking solutions directly to exhibitors and visitors.

Receiving the sponsorship, Minister for Agriculture Daniel Chongolo commended NMB for its unwavering support to Tanzania's farming community through innovative financial products and services, describing the bank as a dependable partner in advancing agricultural development.

"We have no doubt about NMB—from your performance to the way you have remained close to our farmers. We see and appreciate your contribution in empowering farmers, and we encourage you to continue doing so while inspiring others to follow your example," Chongolo said.

STANDARD CHARTERED FOUNDATION DONATES 21.4M/- TO EMPOWER TANZANIAN WOMEN THROUGH CCBRT PROGRAMME

Dar es Salaam: July 31, 2026 - Standard Chartered Foundation, through Standard Chartered Tanzania, has donated TZS 21.4 million to support CCBRT's Mabinti Programme, reinforcing its commitment to advancing women's economic empowerment and financial inclusion in Tanzania. The funding will provide vocational and financial skills training to 40 women, while also supporting the purchase of sewing machines to help beneficiaries establish sustainable income-generating businesses.

The six-week programme will equip participants with practical skills in crocheting, embroidery, business management and financial literacy, enabling them to build viable livelihoods and improve their long-term economic prospects. The sewing machines purchased through the donation will further enhance their productivity and ability to generate income after completing the training.

CCBRT's Mabinti Programme focuses on empowering vulnerable and underprivileged women, including women with disabilities, survivors of obstetric fistula, young women who have left school, and others facing economic and social exclusion. Through entrepreneurship support and skills development, the programme aims to foster financial independence and improve quality of life.

The latest contribution builds on an existing partnership between Standard Chartered Tanzania and CCBRT. Earlier this year, during International Women's Day celebrations, the Bank donated 12 sewing machines to the Mabinti Centre and conducted financial literacy training for programme participants, underscoring its ongoing commitment to women's empowerment through practical support and knowledge sharing.

Speaking on the donation, Geofrey Mchangila, Chief Executive Officer and Head of Coverage at Standard Chartered Tanzania, said the initiative reflects the Bank's continued commitment to creating opportunities for women to achieve financial independence.

"We are proud to continue our partnership with CCBRT in supporting the impactful work of the Mabinti Programme. Today, we are further strengthening our commitment by donating TZS 21.4 million to support vocational skills development, business and financial management training for 40 women, as well as the procurement of additional sewing machines. We believe initiatives like these play a vital role in empowering women with the skills, knowledge and resources needed to build sustainable livelihoods and brighter futures."

BAYPORT MARKS 20 YEARS WITH TZS 100 MILLION ICT DONATION TO BOOST DIGITAL EDUCATION IN KIBAMBA

Dar es Salaam, Tanzania; July 31, 2026 – Bayport Financial Services Tanzania has marked its 20th anniversary by donating 20 HP desktop computers and two all-in-one printers worth TZS 100 million to the Education Department of Kibamba Constituency, reaffirming its long-standing commitment to education, digital transformation, and Tanzania's socio-economic development.

The ICT equipment was officially handed over during a ceremony held at Anazaki Primary School in Kimara, attended by the Guest of Honour, Minister for Communication and Information Technology and Kibamba Member of Parliament, Hon. Angellah Jasmine Kairuki, alongside district leaders, education officials, members of the media, and Bayport executives.

Speaking during the event, Bayport Financial Services Tanzania Chief Credit Officer, Amina Amani, said the donation was designed to create a lasting legacy as the company celebrates two decades of empowering Tanzanians through financial services.

"As we reflected on how best to celebrate this milestone, we asked ourselves how we could create a legacy that would continue making a difference long after the celebrations are over. The answer was clear—we wanted to make an investment that would continue creating value for communities and support Tanzania's development journey," she said.

Over the past 20 years, Bayport has served more than 430,439 Tanzanians, predominantly civil servants, and has disbursed more than TZS 529 billion in loans, helping customers achieve their personal and financial aspirations.

The newly donated computers and printers are expected to strengthen digital education management systems within Kibamba by improving administrative efficiency, record management, communication, and access to technology for education officials.

Amani said the ICT equipment represents far more than technology.

"These computers represent opportunity. They will support education officers and teachers who are shaping the future of our nation while strengthening service delivery through digital transformation," she noted.

NMB YAENDELEA KUIMARISHA KILIMO KUPITIA USHIRIKIANO WA NANENANE

Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo (wa pili kushoto), akipokea mfano wa hundi ya udhamini kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango (wa pili kulia), wakati wa hafla iliyofanyika jana jioni jijini Dodoma kwa ajili ya Maonesho ya Nanenane 2026. Kushoto ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Kilimo, Gerald Mweli, na kulia ni Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara za Serikali wa NMB, Amanda Feruzi. Udhamini huo unaendeleza ushirikiano wa muda mrefu kati ya NMB na Serikali katika kukuza maendeleo ya sekta ya kilimo

Dodoma. Benki ya NMB imeendelea kuonesha dhamira yake ya kuunga mkono maendeleo ya sekta ya kilimo nchini baada ya kukabidhi hundi ya udhamini kwa Wizara ya Kilimo kwa ajili ya Maonesho ya Nanenane 2026.

Makabidhiano hayo yaliyofanyika jana jioni jijini Dodoma yamefikisha jumla ya mchango wa NMB katika maonesho hayo kufikia Shilingi milioni 572 ndani ya kipindi cha miaka minane mfululizo, yakidhihirisha ushirikiano wa muda mrefu kati ya benki hiyo na Serikali katika kukuza kilimo, mifugo na uvuvi.

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Meneja wa NMB Kanda ya Kati, Janeth Shango, alisema Maonesho ya Nanenane ni jukwaa muhimu linalowawezesha wakulima, wafugaji na wavuvi kupata maarifa mapya, teknolojia za kisasa pamoja na huduma za kifedha zinazochochea ongezeko la uzalishaji na kufungua fursa mpya za biashara.

Alibainisha kuwa kupitia ushiriki wake katika maonesho hayo, NMB itaendelea kuwafikia wadau wa sekta ya kilimo kwa suluhisho mbalimbali za kifedha zinazolenga kuongeza tija na kuchochea ukuaji wa uchumi wa taifa.

Kwa upande wake, Waziri wa Kilimo, Daniel Chongolo, aliipongeza Benki ya NMB kwa kuendelea kuwa mshirika muhimu wa Serikali katika maendeleo ya sekta ya kilimo. Alisema mchango wa benki hiyo umeendelea kuwafikisha wakulima karibu zaidi na huduma za kifedha na kuhimiza NMB kuendeleza ushirikiano huo ili kuwafikia Watanzania wengi zaidi kupitia elimu ya kifedha, matumizi ya teknolojia na bidhaa zinazokidhi mahitaji ya sekta hiyo.

Friday, 31 July 2026

NMB FOUNDATION, MERCY CORPS SEAL TZS 2.6 BILLION PARTNERSHIP TO ACCELERATE TANZANIA'S E-MOBILITY SECTOR

NMB Foundation General Manager, Nelson Karumuna (second left) shakes hands with Mercy Corps Tanzania Coordinator, Anthony Salota after signing the Evolve Project implementation agreement in Dar es Salaam. Looking on are Virginie Hallet, Country Director of Enabel Tanzania (left), and Marc Stalmans, Head of Cooperation at the European Union Delegation to Tanzania (right).

Dar es Salaam; July 31, 2026 – NMB Foundation and Mercy Corps Tanzania have signed a TZS 2.6 billion implementation agreement aimed at accelerating the growth of Tanzania's emerging electric mobility (E-Mobility) industry by expanding access to finance, entrepreneurship support, and business development services for women, youth, and small enterprises.

The two-year partnership, signed on July 31, 2026, will be implemented under the Evolve Project, which is funded by the European Union through the Belgian Development Agency (Enabel). The initiative is designed to strengthen Tanzania's green transport ecosystem while promoting inclusive economic growth and sustainable entrepreneurship.

The agreement was signed by NMB Foundation General Manager, Nelson Karumuna, and Mercy Corps Tanzania Coordinator, Anthony Salota, in the presence of Enabel Tanzania Country Director, Virginie Hallet, and Head of Cooperation at the European Union Delegation to Tanzania, Marc Stalmans.

Empowering Tanzania's Green Entrepreneurs

Speaking after the signing ceremony, Mr. Karumuna said the partnership reflects NMB Foundation's commitment to supporting innovative businesses that contribute to sustainable development and economic transformation.

He noted that the project will strengthen enterprises operating across the E-Mobility value chain by providing entrepreneurship training, business advisory services, and improved access to financing.

According to him, the first phase of implementation will support more than 25 businesses in Dar es Salaam, creating a strong foundation for future expansion into other regions of Tanzania.

"Our goal is to empower entrepreneurs with the financial resources, technical knowledge and business support they need to build sustainable businesses while contributing to the country's clean energy transition," he said.

Supporting Innovation and Business Growth

Mercy Corps Tanzania Coordinator Anthony Salota said his organization will spearhead project implementation by identifying innovative entrepreneurs and existing businesses that require financial and technical support to expand their operations.

He explained that the initiative is expected to stimulate innovation, create employment opportunities, and encourage wider adoption of environmentally friendly transport solutions across Tanzania.

TANZANIA'S 2-YEAR TREASURY BOND OVERSUBSCRIBED NEARLY FOUR TIMES AS INVESTORS BID TSH 438 BILLION

DAR ES SALAAM; July 31, 2026 – Tanzania's domestic debt market continues to demonstrate remarkable resilience after the latest 2-Year Treasury Bond auction attracted investor bids worth nearly four times the amount offered, underscoring sustained confidence in government securities despite declining yields.

According to the Bank of Tanzania (BoT), investors submitted TSh 438.11 billion in competitive bids during Wednesday's auction for the 9.5 per cent Two-Year Treasury Bond, significantly exceeding the TSh 111.15 billion available under the competitive bidding window.

The auction was oversubscribed by TSh 326.96 billion, enabling the central bank to fully meet its funding target while rejecting a substantial portion of investor applications.

Strong Appetite for Government Securities

The impressive demand reflects continued confidence among commercial banks, pension funds, insurance companies, and other institutional investors, who increasingly regard Treasury securities as a safe and reliable investment amid Tanzania's stable macroeconomic environment and ample liquidity within the financial sector.

BoT received 82 competitive bids, accepting 34 bids that collectively matched the amount on offer. Although many bids were rejected, the high subscription level demonstrates investors' willingness to commit significantly more capital than the government sought to raise.

Limited Participation in Non-Competitive Window

The auction also featured a non-competitive bidding window, designed primarily for smaller investors who agree to purchase bonds at the weighted average price determined through the competitive auction.

Thursday, 30 July 2026

TANZANIA MAKES ELECTRONIC PAYMENTS MANDATORY FOR SPECIFIED TRANSACTIONS FROM JULY 1, 2026

Dar es Salaam; Tanzania has taken another significant step towards accelerating its digital economy following the introduction of the Electronic Transactions (Mandatory Electronic Payments for Specified Transactions) Order, 2026, which requires payments for a wide range of services and transactions to be made electronically.

The Order, published through Government Notice No. 158C under the Electronic Transactions Act (Cap. 442), came into effect on 1 July 2026. It mandates that both individuals and businesses making or receiving payments for specified transactions must do so through approved electronic payment channels.

Broad Range of Electronic Payment Options

Under the new regulations, electronic payment methods include:

  • Mobile money services
  • Bank transfers
  • Electronic Funds Transfers (EFT)
  • Payment cards
  • Electronic wallets
  • Point of Sale (POS) devices
  • Internet banking
  • Mobile banking
  • Government electronic payment systems

The Order defines electronic means as any payment system or channel that uses digital technology to facilitate transactions.

Six-Month Transition Period

Businesses and organisations that were already receiving payments before the Order came into force have been granted a six-month transition period to install and operationalise electronic payment systems.

ABSA BANK AND TCB STRENGTHEN STRATEGIC PARTNERSHIP TO SUPPORT TANZANIA'S ECONOMIC DEVELOPMENT

Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser (left), listens to Tanzania Commercial Bank (TCB) Managing Director, Adam Mihayo, during a courtesy visit to TCB's headquarters in Dar es Salaam yesterday. The meeting focused on strengthening the strategic partnership between the two institutions and exploring opportunities for collaboration.

Dar es Salaam, Tanzania; July 30, 2026 – Absa Bank Tanzania and Tanzania Commercial Bank (TCB) have reaffirmed their commitment to deepening collaboration after senior executives from both institutions held a high-level strategic engagement aimed at strengthening their partnership and identifying new opportunities to support Tanzania's economic growth.

The meeting, held at TCB's headquarters in Dar es Salaam, brought together the leadership teams of Absa Bank Tanzania, led by Managing Director Obedi Laiser, and Tanzania Commercial Bank (TCB), led by Managing Director Adam Mihayo. The discussions focused on expanding cooperation between the two banks while exploring initiatives that will deliver greater value to customers, businesses, and the broader economy.

The engagement underscored the growing importance of strategic partnerships within Tanzania's banking sector as financial institutions increasingly work together to promote financial inclusion, innovation, and sustainable economic development.

As Tanzania's state-owned commercial bank, TCB plays a vital role in supporting national development priorities, while Absa Bank Tanzania brings the expertise and regional reach of one of Africa's leading pan-African banking groups. By leveraging their respective strengths, both institutions are well positioned to enhance banking services, improve access to finance, and support businesses across key sectors of the economy.

During the discussions, both leadership teams explored practical areas for collaboration that can enhance customer experience, drive innovation, and contribute to the continued development of Tanzania's financial services industry. The meeting reflected a shared vision of creating stronger partnerships capable of delivering long-term value to individuals, enterprises, and public sector stakeholders.

The strategic engagement also reaffirmed Absa Bank Tanzania's commitment to supporting Tanzania's Development Vision 2050 (Dira 2050). Through collaborative partnerships, innovation, and complementary financial solutions, the bank aims to contribute to sustainable economic growth while strengthening the resilience and competitiveness of the country's financial sector.

Wednesday, 29 July 2026

TANZANIA STRENGTHENS GLOBAL FINANCIAL TIES AS FINANCE MINISTER HOLDS STRATEGIC TALKS WITH CITIBANK IN LONDON

Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP) (left), greets Citibank's Chief Executive Officer for Sub-Saharan Africa, Mr. Akin Dawodu, during his official visit to London, United Kingdom, aimed at strengthening cooperation with international financial institutions and investors.

London | July 27, 2026

Tanzania has taken another significant step towards strengthening its access to international capital markets after the Minister for Finance, Ambassador Khamis Mussa Omar (MP), held high-level strategic discussions with senior executives of Citibank during his official visit to London.

The meeting, led by Akin Dawodu, Citibank's Chief Executive Officer for Sub-Saharan Africa, focused on expanding the long-standing partnership between Tanzania and the global financial institution while exploring new opportunities to mobilise international investment and financing for the country's ambitious development agenda.

Long-Standing Partnership Reviewed

The discussions reviewed the strong relationship between Tanzania and Citibank since the bank established operations in the country in 1995. Both sides explored a broad range of strategic issues, including Tanzania's sovereign credit profile, preparations for the country's inaugural Eurobond, export credit agency (ECA) financing, infrastructure development, capital market reforms, and strategies to encourage greater private sector investment.

Citibank reaffirmed its commitment to supporting Tanzania in accessing global capital markets while strengthening the domestic capital market. The bank also pledged continued collaboration in connecting Tanzania with institutional investors across Europe, the United States, the Middle East, and Asia, alongside supporting financing for strategic infrastructure projects.

Tanzania Highlights Strong Economic Progress

The meeting was also attended by Tanzania's Ambassador to the United Kingdom, Ambassador Mbelwa Kairuki, and the Commissioner for Government Debt at the Ministry of Finance, Japhet Justine.

During the discussions, Ambassador Omar highlighted Tanzania's recent economic achievements, including the significant expansion of electricity generation capacity, ongoing modernisation of the Dar es Salaam, Tanga, and Mtwara ports, and continued investment in aviation infrastructure.

He noted that the country's long-term development agenda, Development Vision 2050, officially entered implementation in July 2026. The strategy aims to transform Tanzania into a US$1 trillion economy over the next 25 years, with approximately 70 percent of the required investment expected to come from the private sector.

LNG Project Nears Major Milestone

The Finance Minister also provided an update on Tanzania's long-awaited US$42 billion Liquefied Natural Gas (LNG) project, revealing that negotiations with investors have been substantially concluded.

HOW MID-RANGE SMARTPHONES ARE BECOMING THE SMARTEST CHOICE FOR TODAY'S CONSUMERS

Not long ago, buying a mid-range smartphone often meant accepting significant compromises. Consumers had to choose between affordability and premium features, settling for average cameras, slower processors, fewer software updates and displays that lacked the quality found on flagship devices.

Today, that landscape has changed dramatically.

As smartphone technology continues to evolve, the gap between premium and mid-range devices is narrowing. Consumers are becoming more discerning, prioritising not only price but also long-term value, performance and durability. Modern users expect their smartphones to handle work, entertainment, content creation and communication seamlessly—without becoming obsolete after just a year or two.

Artificial Intelligence Goes Mainstream

One of the clearest signs of this transformation is the widespread adoption of artificial intelligence (AI) in smartphones.

Previously reserved for flagship devices, AI-powered features are now becoming standard in more affordable models, enabling users to search smarter, edit photos effortlessly and organise daily tasks more efficiently.

Samsung's latest Galaxy A27 demonstrates this trend by integrating AI into everyday smartphone experiences rather than positioning it as a luxury feature.

Among its standout capabilities is Circle to Search with Google, which enables users to search multiple objects within an image simultaneously. The phone also includes Object Eraser, allowing users to remove unwanted elements from photographs without relying on third-party editing applications.

For professionals and students, Voice Transcription offers added convenience by automatically creating transcripts while translating conversations, making meetings, interviews and lectures easier to capture and review.

Built for Everyday Performance

Modern smartphone users frequently switch between video conferencing, mobile banking, social media, messaging, entertainment and productivity apps throughout the day. As a result, smooth multitasking has become an essential requirement rather than a luxury.

Powered by the Snapdragon 6 Gen 3 Mobile Platform, the Galaxy A27 is designed to deliver faster app launches, smoother multitasking and improved graphics performance.

SELCOM MICROFINANCE BANK LAUNCHES SELCOM BUSINESS TO ACCELERATE DIGITAL PAYMENTS FOR TANZANIAN BUSINESSES

Selcom Microfinance Bank Chief Executive Officer, Aloyse Maro.

DAR ES SALAAM, Tanzania; July 28, 2026 – Selcom Microfinance Bank has unveiled Selcom Business, a next-generation digital banking platform designed to help businesses simplify financial management, reduce transaction costs, and accelerate digital transformation through an integrated suite of banking and payment solutions. The platform builds on the success of Selcom Pesa and introduces dedicated business banking services tailored for SMEs, corporates and software developers.

Launched in Dar es Salaam, Selcom Business combines digital banking, payment processing and developer-friendly technology into a single platform, enabling businesses to manage payroll, make payments, receive collections and integrate their internal systems with banking services more efficiently.

According to Selcom Microfinance Bank Chief Executive Officer Aloyse Maro, the new platform responds directly to two major challenges facing businesses in Tanzania—the high cost of financial transactions and the lengthy process of integrating business systems with financial institutions.

"Businesses need solutions that enable them to manage their finances efficiently, reduce costs and make informed decisions based on accurate data. Through Selcom Business, we have combined banking services with technology to give businesses greater control over managing and running their financial operations," Maro said.

He noted that the launch reflects the bank's continued investment in digital innovation aimed at making financial services more accessible, efficient and secure for businesses of all sizes.

Supporting Tanzania's Digital Economy

Maro said the introduction of Selcom Business aligns with the Government's vision of accelerating digital transformation and strengthening Tanzania's innovation-driven economy.

He explained that providing businesses with secure, accessible and technology-driven financial platforms will help advance the objectives of Tanzania Development Vision 2050 by improving business efficiency, encouraging innovation and expanding participation in the country's growing digital economy.

Tuesday, 28 July 2026

SELCOM MICROFINANCE BANK YAZINDUA SELCOM BUSINESS KUPUNGUZA GHARAMA ZA MIAMALA KWA WAFANYABIASHARA

Julai 28, 2026 | Dar es Salaam

Katika hatua inayotarajiwa kuongeza kasi ya matumizi ya huduma za kifedha za kidijitali nchini, Selcom Microfinance Bank imezindua Selcom Business, akaunti mpya ya benki ya kidijitali inayolenga kuwapa wafanyabiashara wadogo na wa kati (SMEs), kampuni na watengenezaji wa mifumo (developers) huduma za benki zenye gharama nafuu, uunganishaji wa mifumo kwa haraka na usimamizi bora wa fedha za biashara.

Uzinduzi huo unakuja wakati ambapo biashara nyingi nchini zinaendelea kutafuta njia za kupunguza gharama za uendeshaji na kuongeza ufanisi kupitia teknolojia. Selcom Microfinance Bank inaeleza kuwa huduma hiyo imebuniwa kushughulikia changamoto mbili zinazowakabili wafanyabiashara wengi—gharama kubwa za kufanya miamala na muda mrefu unaochukuliwa kuunganisha mifumo yao na taasisi za kifedha.

Kupitia Selcom Business, biashara zinaweza kufanya uhamisho wa fedha kwenda benki zote za ndani, mitandao ya simu na wafanyabiashara wanaotumia TanQR kwa gharama ya kuanzia TZS 100 kwa kila muamala. Vilevile, biashara zinaweza kujisajili na kupata REST APIs moja kwa moja kupitia dashboard ndani ya saa chache, bila kulazimika kupitia taratibu ndefu za makubaliano au kulipa ada za uunganishaji wa mifumo.

Mabando Matatu kwa Mahitaji Tofauti ya Biashara

Ili kukidhi mahitaji ya makundi mbalimbali ya biashara, Selcom Business imeanzisha mabando matatu ya kila mwezi yenye viwango tofauti vya gharama za miamala.

BandoAda ya Mwezi (Siku 30)Miamala hadi TZS 20 Milioni (Benki, Mitandao ya Simu na TanQR)TZS 20–50 Milioni(Benki za Ndani)Zaidi ya TZS 50 Milioni(Benki za Ndani)
Bando PoaTZS 49,999TZS 250TZS 4,000TZS 8,000
Bando BombaTZS 99,999TZS 150TZS 2,500TZS 5,000
Bando MaxTZS 199,999TZS 100TZS 1,500TZS 3,000

Benki hiyo imeeleza kuwa hakuna kikomo cha idadi ya miamala inayoweza kufanywa ndani ya mwezi. Kadri biashara inavyochagua bando kubwa zaidi, ndivyo gharama ya kila muamala inavyopungua. Viwango vyote vinajumuisha VAT na ushuru wa bidhaa.

Ubunifu Unaolenga Kuongeza Ufanisi wa Biashara

Mbali na gharama nafuu za miamala, Selcom Business imejengwa juu ya huduma tatu kuu ambazo benki inaamini zitabadilisha namna biashara zinavyofanya shughuli zao za kifedha.

Kwanza ni bei nafuu za miamala, ambapo biashara zinaweza kufanya uhamisho wa fedha kwa gharama ya kuanzia TZS 100 kwa kila muamala kupitia Bando Max bila kikomo cha idadi ya miamala ndani ya mwezi.

NMB YAONGEZA NGUVU KWA SEKTA BINAFSI KUPITIA MASULUHISHO MAALUM YA KIFEDHA

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi (kulia), Mkuu wa Idara ya Biashara NMB, Deogratias Shirima (kushoto) wakifurahia tuzo za Benki Bora ya Huduma kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (SMEs), zilizotolewa na Euromoney na Global Finance wakati wa hafla iliyowakutanisha NMB na Mtandao wa Wafanyabiashara Wakubwa Wanaohudumiwa na benki hiyo ‘NMB Business Executive Network’ iliyofanyika Ijumaa jijini Dar es Salaam. Wapili kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya TTI, Leonard Shayo na wa pili kulia ni Mkurugenzi wa Kampuni ya High Quality, Selina Letara.

Dar es Salaam – Benki ya NMB imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na sekta binafsi kwa kuahidi kuendelea kutoa masuluhisho ya kifedha yanayolengwa kukidhi mahitaji maalum ya sekta mbalimbali za uchumi, hatua inayolenga kuchochea ukuaji wa biashara na maendeleo ya uchumi wa Tanzania.

Ahadi hiyo ilitolewa mwishoni mwa wiki wakati wa Jukwaa la NMB Business Executive Network 2026, lililowakutanisha zaidi ya wafanyabiashara 300 kutoka mikoa ya Dar es Salaam na Pwani kwa lengo la kujadili fursa za biashara, changamoto za kifedha na njia za kuimarisha ushirikiano kati ya benki na sekta binafsi.

Akizungumza katika jukwaa hilo, Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa Benki ya NMB, Filbert Mponzi, alisema benki hiyo imeanzisha Madawati ya Kisekta (Sector Desks) yanayotoa huduma na ushauri wa kifedha unaoendana na mahitaji ya sekta mbalimbali ikiwemo madini, ujenzi, utalii, kilimo, afya na elimu.

Alieleza kuwa kupitia mkakati huo, NMB imeboresha upatikanaji wa bidhaa na huduma za kifedha zinazosaidia wafanyabiashara kuendesha na kupanua shughuli zao kwa ufanisi zaidi.

Miongoni mwa masuluhisho yanayotolewa kupitia madawati hayo ni pamoja na Asset FinancingBid BondAdvance Payment Guarantee na Performance Guarantee, huduma zinazowawezesha wafanyabiashara kupata mtaji, kushiriki katika zabuni na kutekeleza miradi kwa ufanisi huku wakijenga imani kwa washirika wao wa biashara.

NMB Yajivunia Tuzo Mbili za Kimataifa

Katika jukwaa hilo, NMB pia ilitambulisha mafanikio yake ya kimataifa baada ya kutunukiwa tuzo mbili muhimu mwaka huu.

Benki hiyo ilitangazwa kuwa Benki Bora kwa Wafanyabiashara Tanzania 2026 na jarida la Euromoney, pamoja na kutwaa tuzo ya Benki Bora kwa Wafanyabiashara Tanzania 2026 kutoka jarida la Global Finance.

RACEBETTER, MONTI INTERNATIONAL SCHOOL PARTNER TO BOOST SWIMMING DEVELOPMENT IN TANZANIA

Internationally renowned swimming coach and RaceBetter founder, Ben Lee.

Dar es Salaam, Tanzania – Tanzanian swimmers are set to benefit from world-class coaching following the launch of the Tanzania Performance Development Series 2026, a three-week initiative aimed at nurturing young swimming talent, strengthening local coaching expertise, and equipping parents with the knowledge to better support aspiring athletes.

The programme, organised by RaceBetter in partnership with Monti AquaForce, will run from July 28 to August 14, 2026, at Monti International School's Mikocheni Campus in Dar es Salaam.

The initiative will be led by internationally renowned swimming coach and RaceBetter founder Ben Lee, who arrived in Tanzania from the United States to oversee the intensive development programme.

Building the Future of Tanzanian Swimming

Speaking during the programme's launch, Monti International School Founder and Director, Fatma Fernandes described the initiative as the beginning of a long-term partnership focused on transforming swimming development in Tanzania.

According to Fernandes, the collaboration combines international coaching expertise with local leadership to establish sustainable pathways that will help young swimmers progress from grassroots participation to elite-level competition.

She noted that beyond improving athlete performance, the programme seeks to enhance coaching standards and create a stronger swimming ecosystem across the country.

Three Training Camps for Young Swimmers

The Tanzania Performance Development Series will begin with a Coach Development Workshop from July 28 to July 30, bringing together swimming coaches, teachers and club leaders.

The workshop is designed to improve coaching standards while providing local coaches with the opportunity to work alongside Ben Lee throughout the athlete training camps.

The programme will then feature three age-specific swimming camps:

  • Beginner Development Camp (Ages 6–8): July 30 – August 1
  • Intermediate Development Camp (Ages 9–12): August 3 – August 7
  • Advanced Performance Camp (Ages 13 and above): August 10 – August 14

Monday, 27 July 2026

NMB MARKS HISTORIC MILESTONE AS FIRST OFFSHORE TANZANIAN SHILLING BOND LISTS ON THE LONDON STOCK EXCHANGE

London, United Kingdom; July 24, 2026 – Tanzania has achieved a historic breakthrough in its capital markets following the successful listing of the International Finance Corporation's (IFC) inaugural offshore Tanzanian Shilling-denominated bond on the London Stock Exchange (LSE). The landmark transaction is the first offshore Tanzanian Shilling bond for both Tanzania and the East African region, underscoring the country's growing prominence in international financial markets.

The bond, which raised TZS 262 billion, will provide long-term Tanzanian Shilling financing to NMB Bank Plc, enabling the bank to significantly expand lending to micro, small and medium-sized enterprises (MSMEs), women-led businesses, farmers and entrepreneurs across Tanzania.

The transaction represents a major milestone in Tanzania's financial sector development, highlighting increasing international investor confidence in the country's economic fundamentals, financial institutions and long-term growth prospects. It also reinforces NMB Bank's position as a leading financial institution capable of attracting global capital to support Tanzania's national development agenda.

A Defining Moment for Tanzania's Financial Sector

Speaking during the listing ceremony at the London Stock Exchange, NMB Bank Managing Director and Chief Executive Officer, Ruth Zaipuna, described the transaction as a transformative milestone for the country's financial ecosystem.

"The transaction marks a defining moment for Tanzania's financial sector, creating a new pathway for international investment while expanding access to long-term local currency financing for the private sector,"she said.

Zaipuna noted that the innovative financing structure will strengthen the availability of affordable long-term capital for businesses that play a vital role in driving economic growth, job creation and financial inclusion.

Government Welcomes Historic Achievement

Also speaking at the ceremony, H.E. Ambassador Khamis Mussa Omar, Minister for Finance of the United Republic of Tanzania, hailed the listing as a significant achievement in Tanzania's economic transformation journey.

"This marks the beginning of an important step in Tanzania's journey towards full participation in the international capital markets using our own currency. This listing reflects the strong confidence that international financial institutions have in our economy and in the direction of the country's financial sector reforms," the Minister said.

STANBIC BANK AND VISA DRIVE DIGITAL PAYMENTS BOOM AS TANZANIA ADVANCES TOWARDS A CASHLESS ECONOMY

Stanbic Bank Head of Personal Banking, Emmanuel Mahodanga (left), and Visa Tanzania Country Manager, Victor Makere (right), present an award to Leila Lembariti (centre), an officer in Stanbic Bank's Private Banking Unit, in recognition of her outstanding performance in the XB Campaign, which encouraged customers to use payment cards instead of cash.

Dar es Salaam, Tanzania – 23 July 2026 – Stanbic Bank Tanzania, in partnership with Visa, has recorded a significant increase in digital card usage following the successful completion of a nationwide campaign aimed at accelerating secure, cross-border digital payments as Tanzania intensifies its transition towards a cashless economy.

The campaign delivered remarkable results, with card usage increasing by 113% in transaction volume and 201% in transaction value, while card activation surged by an impressive 3,082% in transaction volume and 449% in transaction value, highlighting growing customer confidence in digital payment solutions.

The initiative comes at a time when Tanzania is making significant progress in expanding digital financial services. Government efforts to promote digital payments across key sectors, alongside the implementation of the National Financial Inclusion Framework (2023–2028), are encouraging greater adoption of secure and convenient cashless payment solutions.

Empowering Customers for the Digital Economy

Targeted at Stanbic Bank's Personal and Private Banking customers, the campaign encouraged the use of Stanbic Visa Cards for international travel, online shopping, tuition payments and cross-border business transactions.

Beyond promoting card usage, the initiative focused heavily on customer education, helping users understand the security, convenience and global acceptance of digital payments while encouraging a shift away from cash-based transactions.

Strong Growth Reflects Changing Customer Behaviour

Speaking on the campaign's success, Emmanuel Mahodanga, Head of Personal Banking at Stanbic Bank Tanzania, said the results demonstrate that Tanzanians are increasingly embracing secure digital payment solutions.

"These numbers tell us Tanzanians are ready to embrace secure digital payments — and our partnership with Visa is about more than issuing cards; it is about equipping them to participate fully in a digital, connected economy," said Mahodanga.

He noted that Stanbic Bank remains committed to providing customers with secure and globally accepted payment solutions for travel, international education and business while contributing to the development of a more inclusive financial ecosystem.

Visa Reaffirms Commitment to Tanzania's Digital Transformation

Victor Makere, Country Manager for Visa Tanzania, said the partnership demonstrates how collaboration between financial institutions and global payment providers can accelerate Tanzania's digital transformation.

"At Visa, we are proud to partner with Stanbic Bank in advancing secure, seamless digital payments at a time when Tanzania is making real strides towards a cashless economy," Makere said.

Sunday, 26 July 2026

DKT. MWIGULU NCHEMBA AONGOZA WASHIRIKI ZAIDI YA 13,000 NBC DODOMA MARATHON 2026

 

TZS Bilioni 1 Zakusanywa Kuimarisha Afya ya Mama na Mtoto

Dodoma, Julai 26, 2026 – Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, ameongoza zaidi ya washiriki 13,000 katika NBC Dodoma Marathon 2026, huku akiipongeza Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa kufanikisha ukusanyaji wa TZS bilioni 1 zitakazotumika kuboresha huduma za afya ya mama na mtoto pamoja na kuokoa maisha ya maelfu ya Watanzania.

Fedha hizo zitaelekezwa katika maeneo matatu muhimu ya kijamii ambayo ni kupunguza vifo vya akina mama na watoto wakati wa kujifungua, kugharamia upasuaji wa watoto wenye matatizo ya moyo, na kuimarisha huduma za upandikizaji wa uloto kwa watoto wanaoishi na ugonjwa wa selimundu (Sickle Cell).

NBC Dodoma Marathon Yazidi Kukua kwa Kasi

Mbio hizo, zilizofanyika katika Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma, zimeendelea kujijengea heshima kama moja ya matukio makubwa ya michezo nchini, zikivutia washiriki kutoka Tanzania na mataifa mbalimbali.

Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba, (katikati) akikabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya TZS milioni 200 kwa muwakilishi wa Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) (wanne kushoto) iliyotolewa na Benki ya NBC kwa ajili ya kugharamia upasuaji wa watoto wenye matatizo ya moyo kupitia mbio za NBC Dodoma Marathon zilizofanyika leo kwenye Uwanja wa Jamhuri jijini Dodoma. Wanaoshuhudia ni pamoja na Mkuu wa Mkoa wa Dodoma, Bi. Rosemary Senyamule (wa tatu kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC Bw Theobald Sabi (wa nne kulia), Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya benki ya NBC , Dkt. Elirehema Doriye (wa pili kushoto), Mkurugenzi Mtendaji wa SanlamAllianz, wadhamini wakuu wa mbio hizo, Bw Julius Magabe (kushoto) na viongozi wengine kutoka serikalini na wadau wa mbio hizo.

Mashindano hayo yalishuhudia ushindani mkali kati ya wanariadha wa Tanzania na Kenya katika mbio za kilomita 21 na 42, huku Dkt. Nchemba, viongozi wa Serikali, taasisi mbalimbali na sekta binafsi wakishiriki mbio za kilomita tano (5) kama sehemu ya kuhamasisha mazoezi na maisha yenye afya.

Serikali Yapongeza Ushirikiano wa Sekta Binafsi

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa washindi na wadau wa mbio hizo, Dkt. Nchemba alisema mafanikio ya NBC Dodoma Marathon yanaonyesha nguvu ya ushirikiano kati ya Serikali na sekta binafsi katika kuleta maendeleo yenye manufaa kwa jamii.

Alibainisha kuwa ongezeko la washiriki kutoka 1,500 mwaka 2020 hadi zaidi ya 13,000 mwaka 2026 linaonesha mwamko mkubwa wa Watanzania kushiriki michezo, kuimarisha afya zao na kuunga mkono shughuli za maendeleo kupitia michezo.

"NBC Dodoma Marathon imekuwa zaidi ya mashindano ya riadha. Leo ni jukwaa linalounganisha Watanzania na marafiki kutoka mataifa mbalimbali kwa lengo la kufanya jambo kubwa zaidi—kuokoa maisha. Nawahimiza Watanzania kujenga utamaduni wa kufanya mazoezi mara kwa mara ili kujikinga dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza kama vile kisukari, shinikizo la damu, magonjwa ya moyo na figo," alisema Dkt. Nchemba.

Aidha, alisema Serikali itaendelea kuboresha miundombinu ya barabara katika Jiji la Dodoma kwa kupanua na kuboresha barabara muhimu ili kurahisisha usafiri na kuongeza usalama wa washiriki wa mbio hizo katika miaka ijayo.