Foreign Exchange Rates

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

CRDB Bank Advert_070325

Friday, 17 July 2026

EUROMONEY YAITAJA NMB BENKI BORA ZAIDI TANZANIA KWA WAFANYABIASHARA WADOGO NA WA KATI

NMB Yang'ara London, Yatwaa Tuzo ya Benki Bora kwa SMEs za Tanzania

DAR ES SALAAM/LONDON: Benki ya NMB Plc imeendelea kuimarisha hadhi yake katika sekta ya fedha baada ya kutangazwa kuwa Benki Bora Zaidi Tanzania kwa Wafanyabiashara Wadogo na wa Kati (SMEs) katika Tuzo za Euromoney Awards for Excellence 2026.

Tuzo hiyo ya kimataifa ilitolewa katika hafla iliyofanyika Peninsula Hotel jijini London, Uingereza, ambapo ilipokelewa kwa niaba ya NMB na Mkuu wa Idara ya Biashara wa Benki ya NMB, Alex Mgeni.

NMB ilitambuliwa kwa mafanikio yake katika kuwawezesha wafanyabiashara wadogo na wa kati kupitia huduma za ufadhili wa biashara, malipo ya kidijitali, huduma za miamala ya kifedha pamoja na ushauri wa kibiashara unaosaidia kukuza na kuendeleza biashara nchini.

Akizungumzia ushindi huo, Mkurugenzi Mtendaji na Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya NMB, Ruth Zaipuna, alisema tuzo hiyo ni heshima kubwa si kwa benki pekee bali pia kwa maelfu ya wafanyabiashara wanaoendelea kujenga biashara zao, kuzalisha ajira na kutoa mchango muhimu katika ukuaji wa uchumi wa Tanzania.

"Utambuzi huu ni ushahidi wa dhamira yetu ya kuwa mshirika wa kweli wa wafanyabiashara wadogo na wa kati. Mafanikio haya yanatokana na juhudi za wateja wetu pamoja na timu ya NMB inayojitolea kuwapa suluhisho bunifu zinazowasaidia kufanikisha malengo yao ya biashara," alisema Zaipuna.

SMEs Ni Nguzo ya Agenda 2030 ya NMB

NMB imeweka uwezeshaji wa wafanyabiashara wadogo na wa kati kuwa moja ya maeneo ya kimkakati katika Agenda 2030, mpango wake wa maendeleo unaotekelezwa kuanzia mwaka 2026 hadi 2030.

Mkakati huo unalenga kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha, kuimarisha ushindani wa sekta binafsi na kusaidia ukuaji wa biashara kupitia huduma za kisasa za benki. Aidha, unaendana na Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, inayosisitiza kujenga uchumi shindani unaoongozwa na sekta binafsi, kuongeza urasimishaji wa biashara na kuchochea maendeleo endelevu.

Kuendelea Kupanua Suluhisho za Biashara

Ikiwa na mtandao wa huduma unaofikia mikoa yote 31 ya Tanzania, Benki ya NMB imesisitiza kuwa itaendelea kuwekeza katika bidhaa na huduma zinazowalenga wafanyabiashara wadogo na wa kati.

YAS YAONESHA JINSI TEKNOLOJIA INAVYOBADILI HUDUMA ZA AFYA KATIKA MKUTANO WA 4 WA URITHI WA RAIS MKAPA

Dar es Salaam, 16 Julai 2026; Kampuni ya Yas Tanzania imesisitiza kuwa maendeleo ya kweli hayapimwi tu kwa kiwango cha miundombinu inayojengwa, bali pia kwa namna yanavyoboresha maisha ya wananchi kupitia matumizi ya teknolojia na ushirikiano wa kimkakati.

Kauli hiyo ilitolewa wakati wa Mkutano wa 4 wa Urithi wa Benjamin William Mkapa (4th Benjamin William Mkapa Legacy Summit), uliohitimisha kongamano la siku tatu lililofanyika chini ya kaulimbiu isemayo "From Legacy to Future: Excellence in Leadership, Health Systems, and Youth-led Human Capital for Africa."

Mkutano huo ulihudhuriwa na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Emmanuel John Nchimbi, pamoja na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, sambamba na viongozi mbalimbali kutoka serikalini, sekta binafsi na washirika wa maendeleo.

TEKNOLOJIA NI NGUZO YA MAGEUZI KATIKA SEKTA YA AFYA

Akizungumza katika mkutano huo, Afisa Mkuu wa Fedha wa Yas Tanzania, Innocent Rwetabura, alisema urithi wa Hayati Rais Benjamin William Mkapa unaendelea kuishi kupitia uwekezaji katika taasisi imara, mifumo endelevu na maendeleo ya watu.

Alisema Tanzania inapotekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050, teknolojia imepewa nafasi muhimu katika kuimarisha mifumo ya afya kupitia matumizi ya taarifa za afya, huduma za afya kidijitali na maamuzi yanayotegemea takwimu sahihi.

Kwa mujibu wa Rwetabura, kwa miaka mingi maboresho ya sekta ya afya yalilenga zaidi ujenzi wa miundombinu na taasisi za afya, lakini sasa teknolojia imekuwa nyenzo muhimu inayobadili namna huduma zinavyotolewa kwa wananchi.

MILU KIPIMO APPOINTED TO LEAD BOLT FOR BUSINESS AFRICA

Experienced Tanzanian Executive Takes on Pan-African Leadership Role to Accelerate Corporate Mobility Growth

DAR ES SALAAM, Tanzania, July 16, 2026 – Tanzanian business executive Milu Kipimo has been appointed Regional Manager for Africa at Bolt for Business, marking a significant milestone for both the company and Tanzania's growing representation in senior leadership roles within global technology firms.

Kipimo assumes the Pan-African leadership position after serving as Senior Country Manager, where he oversaw Bolt's operations across South Africa, Tanzania, Tunisia and Ghana. His appointment reflects Bolt's confidence in his leadership capabilities and proven track record of expanding the company's business mobility solutions across diverse African markets.

FROM TANZANIA TO PAN-AFRICAN LEADERSHIP

Kipimo's journey with Bolt began in early 2018, when he joined Bolt Rides as one of the company's earliest employees in Tanzania. Over the years, he has played a pivotal role in strengthening Bolt's footprint in the country while contributing to its regional expansion strategy.

In 2021, he spearheaded the launch of Bolt for Business in Tanzania, building the operation from the ground up. Under his leadership, the platform has grown to become Tanzania's leading corporate mobility solution, providing businesses with efficient, technology-driven transport services.

His success in establishing and scaling the business locally laid the foundation for his promotion to oversee Bolt for Business operations across the African continent.

DRIVING BUSINESS GROWTH ACROSS AFRICA

As Regional Manager for Africa, Kipimo will be responsible for driving business development across all African markets where Bolt operates. His role will also include expanding and strengthening local teams to ensure businesses receive flexible mobility solutions, exceptional customer experience and dedicated account management.

The appointment comes as Bolt continues to expand its corporate mobility services, offering businesses an efficient alternative to traditional business travel arrangements.

BOLT CONFIDENT IN KIPIMO'S LEADERSHIP

Commenting on the appointment, Juliano Fatio, Regional Director at Bolt Business, expressed confidence in Kipimo's ability to lead the company's next phase of growth across Africa.

"We are thrilled to have Milu lead Bolt for Business' operations across Africa. His extensive experience in South Africa, Tanzania, Tunisia and Ghana will support our journey as we scale across the continent and will bring a new perspective to our approach. The appointment underscores our commitment to this region as we look for even better ways to serve our business customers."

VODACOM SPONSORS CORPORATE MASTERS GOLF TOURNAMENT 2026 TO STRENGTHEN BUSINESS CONNECTIONS

Vodacom Tanzania PLC has reaffirmed its commitment to strengthening Tanzania's corporate ecosystem by sponsoring the Corporate Masters Golf Tournament 2026 for the third consecutive year. The tournament, organized in partnership with Oakwood Holdings Limited, is designed to foster stronger business relationships, encourage collaboration, and create meaningful networking opportunities for customers, partners, and stakeholders across the country.

The tournament, spearheaded by Vodacom Business, has evolved into one of Tanzania's leading corporate networking platforms, bringing together business leaders, entrepreneurs, industry professionals, and golf enthusiasts while reinforcing Vodacom's position as a trusted digital transformation partner for organizations operating in today's fast-changing business environment.


CORPORATE GOLF MEETS BUSINESS NETWORKING

Scheduled for 1 August 2026 at the TPDF Lugalo Golf Club in Dar es Salaam, the one-day event will combine competitive golf with high-level business networking, creating an environment where executives and decision-makers can build relationships, exchange ideas, and explore new business opportunities.

The tournament reflects Vodacom Business' broader strategy of creating platforms that promote collaboration, innovation, knowledge sharing, and sustainable business growth across Tanzania.

Speaking during the official launch, Joseph Sayi, Head of Marketing and Enablement for Vodacom Business at Vodacom Tanzania PLC, said the sponsorship reflects the company's long-term commitment to supporting Tanzania's business community.

"At Vodacom, we believe sustainable business growth is built on strong and meaningful relationships. The Corporate Masters Golf Tournament is more than a sporting event; it is a platform that brings together decision-makers, innovators, and business leaders to connect, exchange ideas, and explore opportunities that contribute to Tanzania's digital transformation agenda. Through this initiative, we continue to empower businesses with reliable technology solutions while creating memorable experiences for our customers and stakeholders," Sayi said.


SHOWCASING DIGITAL SOLUTIONS FOR BUSINESSES

Beyond the golf competition, Vodacom Business will use the tournament to showcase its comprehensive portfolio of enterprise technology solutions aimed at helping organizations improve operational efficiency and remain competitive in the digital economy.

Participants will have the opportunity to engage directly with Vodacom's leadership team and explore solutions including:

  • Digital transformation services
  • Enterprise connectivity solutions
  • Cloud technologies
  • Cybersecurity services
  • Business technology solutions tailored to evolving corporate needs

VODACOM YAZINDUA MASHINDANO YA GOLF "CORPORATE MASTERS 2026" KUIMARISHA UHUSIANO WA KIBIASHARA TANZANIA

Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji wa Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (katikati) akizungumza wakati wa kutangaza udhamini wa Mashindano ya Golf ya Vodacom Corporate Masters 2026, yaliyoandaliwa kwa ushirikiano na Lugalo Golf Club kwa lengo la kuunganisha jumuiya ya wafanyabiashara nchini Tanzania, kuimarisha mahusiano ya kibiashara, kukuza ushirikiano na kuleta fursa zenye tija kwa wateja, washirika wa kibiashara na wadau muhimu nchini. Mashindano hayo yatakayofanyika tarehe 1 Agosti 2026 yanaendelea kuimarisha nafasi ya Vodacom kama mshirika wa kuaminika katika teknolojia na huduma za mawasiliano kwa taasisi na mashirika yanayoendelea kukua katika mazingira ya uchumi wa kidijitali. Uzinduzi huo umefanyika tarehe 16 Julai 2026 jijini Dar es Salaam na kushuhudiwa na Katibu wa Corporate Masters, Maryanne Mugo (kushoto) pamoja na Mwenyekiti wa Kamati ya Corporate Masters, Ken Mbaya (kulia).

DAR ES SALAAM, Tanzania – Julai 16, 2026 – Vodacom Tanzania PLC imezindua rasmi mashindano ya Vodacom Corporate Masters 2026, yatakayofanyika kwa ushirikiano na Oakwood Holdings Limited katika Lugalo Golf Club, ikiwa ni sehemu ya mkakati wake wa kuimarisha uhusiano wa kibiashara, kukuza ushirikiano na kuunda fursa mpya za biashara kwa wateja, washirika na wadau mbalimbali nchini.

Mashindano hayo, yanayoandaliwa kupitia kitengo cha Vodacom Business, yameendelea kuwa moja ya majukwaa muhimu yanayowaunganisha viongozi wa biashara, wakuu wa makampuni na wataalamu kutoka sekta mbalimbali, huku yakiiweka Vodacom katika nafasi ya mshirika wa kimkakati wa suluhisho za teknolojia na mawasiliano kwa taasisi na mashirika yanayoongoza safari ya mageuzi ya kidijitali nchini.

MASHINDANO KUANZA AGOSTI 1, 2026

Mashindano ya mwaka huu yanatarajiwa kuanza rasmi tarehe 1 Agosti 2026, yakileta pamoja viongozi wa makampuni, wafanyabiashara, wataalamu wa sekta mbalimbali, wapenzi wa mchezo wa gofu pamoja na wateja wa Vodacom katika mfululizo wa mashindano na shughuli za kujenga mitandao ya kibiashara zitakazofanyika Lugalo Golf Club.

Kupitia mpango huu, Vodacom Business inalenga kujenga mahusiano yenye thamani yanayovuka mipaka ya biashara za kawaida kwa kutoa jukwaa la ushirikiano, ubadilishanaji wa maarifa, ubunifu na maendeleo endelevu.

VODACOM: MAHUSIANO IMARA NDIO MSINGI WA UKUAJI WA BIASHARA

Akizungumza wakati wa uzinduzi huo, Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji wa Vodacom Tanzania PLC, Joseph Sayi, alisema udhamini wa mashindano hayo kwa mwaka wa tatu mfululizo unaonesha dhamira ya kampuni ya kuendelea kuimarisha uhusiano wake na jumuiya ya wafanyabiashara nchini.

"Vodacom tunaamini kuwa ukuaji endelevu wa biashara unajengwa kupitia mahusiano imara na yenye maana. Mashindano ya gofu ya Vodacom Corporate Masters 2026 ni zaidi ya mashindano ya michezo; ni jukwaa linalowakutanisha viongozi wa biashara, wabunifu na watoa maamuzi ili kujenga uhusiano, kubadilishana mawazo na kusaka fursa mpya zitakazochangia ajenda ya Tanzania ya mageuzi ya kidijitali. Kupitia mpango huu tunaendelea kuziwezesha biashara kwa kutoa suluhisho za teknolojia zenye uhakika huku tukiwapa wateja na wadau wetu uzoefu wa kipekee," alisema Sayi.

VODACOM BUSINESS KUONYESHA SULUHISHO ZA KIDIJITALI

Katika kipindi chote cha mashindano hayo, Vodacom Business itaonesha suluhisho zake bunifu zinazojumuisha huduma za mawasiliano, usalama wa kidijitali na teknolojia za biashara zinazosaidia taasisi kuongeza ufanisi wa shughuli zao, kuharakisha ukuaji wa biashara na kuendelea kuwa na ushindani katika uchumi unaozidi kutegemea teknolojia.

EQUITY EMPOWERS ZANZIBAR SEAWEED FARMERS AND FISHERS THROUGH BLUE ECONOMY & FINANCIAL LITERACY TRAINING

The NORAD-FINE Project aims to empower 200 entrepreneurs in Zanzibar's marine sector with financial skills and sustainable business practices.

ZANZIBAR, Tanzania – July 17, 2026 – Equity Bank Tanzania Limited has successfully concluded a two-day Blue Economy and Financial Literacy Training in Zanzibar, equipping 200 entrepreneurs, including seaweed farmers and fishers, with practical knowledge to strengthen their businesses, improve financial management, and promote sustainable marine-based livelihoods.

Held on 16–17 July 2026, the training forms part of the NORAD-FINE Project, a strategic partnership between the Equity Group Foundation and the Norwegian Agency for Development Cooperation (NORAD). The initiative seeks to expand access to financial services for Small and Medium Enterprises (SMEs) operating in the blue economy, marine waste management, renewable energy, and clean cooking sectors.

BUILDING STRONGER BLUE ECONOMY BUSINESSES

The training focused on empowering participants with the financial and technical skills needed to grow sustainable businesses while protecting Zanzibar's rich marine ecosystems.

Participants received practical guidance on:

  • Financial management and business planning
  • Budgeting and savings
  • Responsible borrowing
  • Modern seaweed farming techniques
  • Climate-smart farming practices
  • Reducing post-harvest losses
  • Value addition through seaweed processing

The programme brought together government leaders, financial experts, marine conservation specialists, and development partners committed to strengthening Zanzibar's blue economy.

OFFICIAL OPENING

The event began with welcoming remarks from Ms. Hellen Dalali, Head of Sustainability at Equity Bank Tanzania, before being officially opened by Ms. Siti Abas Ali, Director of the Department of Community Development, Gender, and Children.

The gathering underscored the importance of collaboration between financial institutions, government, and development partners in creating sustainable economic opportunities for coastal communities.

FINANCIAL LITERACY FOR LONG-TERM SUCCESS

Leading the financial education sessions, Mr. Noel Chuwa, Senior Blue Economy Officer at Equity Bank Tanzania, delivered comprehensive training on financial education and business management.

Participants learned practical skills including:

  • Preparing business budgets
  • Managing cash flow
  • Building savings
  • Accessing financial services
  • Responsible borrowing
  • Strengthening business sustainability

Thursday, 16 July 2026

DP WORLD YALETA MAPINDUZI MAKUBWA YA UTENDAJI KAZI NA UFANISI WA KIHISTORIA KATIKA BANDARI YA DAR ES SALAAM

Kupungua kwa zaidi ya asilimia 90 kwa muda wa upakuaji wa shehena kunadhihirisha mabadiliko ya kiutendaji yaliyofanyika ndani ya miaka miwili ya mageuzi ya uendeshaji

DAR ES SALAAM, TANZANIA – 7 July 2026: Bandari ya Dar es Salaam imeshuhudia mapinduzi makubwa kiutendaji baada ya kampuni ya DP World kuweka rekodi mpya ya kasi ya kuhudumia meli na kupunguza muda wa kushusha mizigo kwa zaidi ya asilimia 90. Mafanikio haya ni hatua kubwa katika mageuzi ya bandari hiyo tangu kampuni hiyo ianze uendeshaji wake rasmi mnamo Aprili 2024.

Chini ya mkataba wa uendeshaji wa miaka 30, kampuni ya DP World inaendelea kuwekeza katika ukarabati na upanuzi wa bandari hiyo ili kuunga mkono malengo ya muda mrefu ya nchi kiuchumi na kibiashara.

Kupitia uhamishaji wa mifumo ya kisasa ya uendeshaji wa meli za mizigo ya magari (RoRo) unaowezesha bandari kuhudumia meli kubwa na zenye mahitaji ya hali ya juu kwa usalama zaidi, huku ikipunguza gharama za mnyororo wa ugavi, huku ikiongeza ushindani wa kibiashara na kuchochea ukuaji wa uchumi.

Mageuzi haya yameleta mapinduzi makubwa kwa kupunguza muda wa kushusha mizigo ya aina hiyo kwa zaidi ya asilimia 90—kutoka zaidi ya saa 300 hadi chini ya saa 28. Hatua hii imeweka kiwango kipya kabisa cha ufanisi katika bandari hiyo.

Meli hiyo yenye urefu wa mita 240, ndiyo meli ndefu zaidi kuwahi kutia nanga katika Bandari ya Dar es Salaam, ikiwa na uwezo wa kubeba hadi magari 7,790. Ilitumia muda wa saa 27 tu kukamilisha zoezi la kushusha shehena ya magari 779, ambayo mengi yake yalikuwa ni magari makubwa na mitambo mizito.

Akizungumzia hatua hiyo, Ofisa Mtendaji Mkuu wa DP World nchini Tanzania, Martin Jacob, alisema: “Katika kipindi cha miaka miwili iliyopita, tumefanya mapinduzi makubwa katika mfumo wa usafirishaji wa shehena kupitia Bandari ya Dar es Salaam. Kasi kubwa ya kuhudumia meli, kuongezeka kwa uwezo wa bandari, na uwezo wa kupokea meli kubwa zaidi zenye mizigo mchanganyiko, kunazidi kuimarisha nafasi ya Tanzania kama lango kuu la biashara katika ukanda wa Afrika Mashariki, huku kukileta tija kwa wateja, wafanyabiashara na uchumi kwa ujumla.”

DP WORLD DRIVES RECORD EFFICIENCY AND VESSEL PERFORMANCE AT DAR ES SALAAM PORT

90%+ reduction in discharge time highlights two years of operational transformation

DAR ES SALAAM, TANZANIA – 8th July 2026: DP World Dar es Salaam has achieved record vessel performance and reduced cargo discharge times by more than 90% at the Port of Dar es Salaam, marking a major milestone in the terminal’s transformation since commencing operations in April 2024.

Operating under a 30-year concession, DP World continues to invest in modernising and expanding the port to support the country’s long-term trade ambitions. 

DP World has shifted the port to modern roll-on/roll-off (RoRo) operations, enabling it to handle larger, more complex vessels safely, while reducing supply chain costs and supporting trade competitiveness and economic growth.

This transformation has delivered a more than 90% reduction in discharge time for comparable cargo, from over 300 hours to under 28 hours, setting a new benchmark for efficiency at the port. 

In quarter one, the port achieved another operational milestone, with the arrival of M/V RAMHAN. At 240 metres length overall, it is the longest vessel ever to call at the Dar es Salaam port with capacity for up to 7,790 vehicles. The vessel discharged 779 car equivalent units (CEUs) of predominantly heavy-duty vehicles in just over 27 hours.

Mohammed Akoojee, DP World Africa CEO and MD, said,Our continued investment in the Port of Dar es Salaam reflects DP World's long-term commitment to Africa's economic growth and integration into global trade networks. Through our partnership with the Tanzania Ports Authority, we are not only modernising critical infrastructure, but we are also enabling regional integration, reducing trade barriers, and creating sustainable economic opportunities.”

Martin Jacob, CEO, Tanzania, DP World, said:Over the past two years, we have fundamentally improved how cargo moves through the Port of Dar es Salaam. Faster turnaround, higher capacity and the ability to handle larger, more complex vessels are strengthening Tanzania’s position as a regional trade gateway to East Africa while delivering benefits for customers, businesses and the wider economy.”

The transition to handling cargo through Pure Car and Truck Carriers (PCTC), implemented in collaboration with the Tanzania Ports Authority, has enabled faster, safer and more efficient discharge of heavy-duty vehicles. This shift from general cargo operations has driven consistent performance gains across cargo categories and strengthened Dar es Salaam’s position as a competitive trade hub in East Africa.

Wednesday, 15 July 2026

NMB YATAMBULIWA MAREKANI KWA UBUNIFU WA BIMA KIDIJITALI

Mkuu wa Idara ya Bima wa NMB Bank Plc, Martine Massawe (wa pili kushoto), akimkabidhi Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa benki hiyo, Filbert Mponzi, tuzo ya Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 kutoka World Economic Magazine. Tuzo hiyo ilitangazwa na taasisi hiyo yenye makao Delaware, Marekani.

DAR ES SALAAM – Benki ya NMB imeendelea kuthibitisha nafasi yake kama kinara wa ubunifu katika sekta ya huduma za kifedha baada ya kutwaa tuzo ya kimataifa ya Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 kutoka World Economic Magazine, kwa mchango wake katika kupanua upatikanaji wa huduma za bima kupitia teknolojia.

Tuzo hiyo ilitangazwa mwezi Mei 2026 na taasisi hiyo yenye makao yake Delaware, Marekani, ikitambua matumizi ya teknolojia na ushirikiano wa kimkakati wa NMB katika kurahisisha upatikanaji wa huduma za bima kwa Watanzania wengi zaidi.

UBUNIFU WA KIDIJITALI WAWEKA BIMA KARIBU NA WANANCHI

Moja ya sababu zilizoiwezesha NMB kupata tuzo hiyo ni ubunifu wa JIRANI, chatbot inayotumia WhatsApp, inayowawezesha wateja kupata huduma mbalimbali za bima moja kwa moja kupitia simu zao za mkononi.

Kupitia JIRANI, mteja anaweza:

  • Kununua bima ya magari na bima ya maisha ya vikundi.
  • Kujisajili kwa huduma za bima.
  • Kuwasilisha nyaraka zinazohitajika.
  • Kupata kumbukumbu za malipo.
  • Kuanzisha madai ya bima.

Huduma hiyo imeondoa changamoto za kutembelea matawi na kurahisisha upatikanaji wa bima kwa njia ya kidijitali.

UMEBIMA MINI APP YAONGEZA UFIKIVU WA HUDUMA ZA BIMA

Mbali na JIRANI, NMB imeendelea kuboresha huduma zake kupitia UmeBima Mini App, ambayo imeunganishwa ndani ya NMB Mkononi Super App.

Kupitia programu hiyo, wateja wanaweza kupata huduma za bima sambamba na huduma nyingine za kifedha wanazotumia kila siku, jambo linalorahisisha usimamizi wa fedha na ulinzi wa kifedha kupitia simu ya mkononi.

VIONGOZI WA NMB WAZUNGUMZIA TUZO HIYO

Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi, alisema tuzo hiyo ni uthibitisho wa juhudi zinazofanywa na benki pamoja na washirika wake kuhakikisha huduma za bima zinakuwa rahisi zaidi na zinawafikia Watanzania wengi.

"Tuzo hii ni uthibitisho wa kazi inayofanywa na timu yetu pamoja na washirika wetu kuhakikisha huduma za bima zinakuwa rahisi, zinapatikana kwa urahisi na zinawafikia Watanzania wengi zaidi," alisema Mponzi.

NMB WINS GLOBAL AWARD FOR DIGITAL INSURANCE INNOVATION

NMB Bank Plc Head of Bancassurance, Martine Massawe (left) presents the Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 award to the Bank’s Chief Retail Banking, Filbert Mponzi (right). The World Economic Magazine award was announced in May 2026 by the Delaware, United States-based organisation.

DAR ES SALAAM – NMB Bank Plc has received international recognition for its leadership in digital insurance after being named Best Bancassurance Innovation and Partner of the Year – Tanzania 2026 by World Economic Magazine, highlighting the Bank's commitment to expanding access to insurance through technology-driven solutions and strategic partnerships.

The award, announced in May 2026 by the Delaware, United States-based publication, acknowledges NMB's efforts to transform insurance distribution by making products more accessible, affordable and convenient for millions of Tanzanians.

RECOGNISING DIGITAL TRANSFORMATION IN INSURANCE

The recognition comes at a time when Tanzania continues to strengthen its insurance sector by promoting wider financial inclusion and increasing insurance uptake through digital channels.

According to the Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA), insurance penetration rose to 2.08 percent of Gross Domestic Product (GDP) in 2024, up from 2.01 percent in 2023, reflecting steady market growth while also highlighting the significant opportunity to expand insurance coverage across the country.

NMB's latest award reinforces the important role that banks can play in bridging the insurance gap by integrating insurance services into everyday banking experiences.

JIRANI CHATBOT DRIVES DIGITAL INSURANCE ACCESS

One of the innovations behind the award is JIRANI, NMB's WhatsApp-based chatbot that enables customers to purchase insurance without visiting a branch.

Through the chatbot, customers can:

  • Purchase motor and group life insurance.
  • Complete policy enrolment.
  • Upload required documents.
  • Generate payment references.
  • Initiate insurance claims.

The digital platform significantly simplifies the insurance purchasing journey by allowing customers to complete the entire process using their mobile phones.

UMEBIMA MINI APP EXPANDS MOBILE INSURANCE SERVICES

NMB has further strengthened its digital insurance ecosystem through the UmeBima Mini App, integrated within the NMB Mkononi Super App.

The platform enables customers to conveniently access insurance products alongside their everyday banking services, making insurance a seamless part of digital financial management.

By embedding insurance within its mobile banking ecosystem, NMB is reducing barriers related to distance, paperwork and lengthy procedures that have traditionally limited insurance adoption.

LEADERSHIP REACTS TO THE GLOBAL RECOGNITION

NMB Chief of Retail Banking, Filbert Mponzi, said the international recognition validates the Bank's ongoing investment in technology and collaborative partnerships aimed at making insurance more inclusive.

"This award is a recognition of the work being undertaken by our team and partners to ensure that insurance services are simpler, more accessible and capable of reaching more Tanzanians," said Mponzi.

HOW SERENGETI BREWERIES IS INVESTING IN TANZANIA'S YOUTH TO BUILD A BETTER FUTURE

"The future belongs to those who prepare for it today." The famous words of Malcolm X continue to resonate, particularly as Tanzania seeks to harness the potential of one of Africa's youngest populations.

Every year, millions of young Tanzanians enter the labour market with ambition, determination and aspirations of building better lives. However, many face a common challenge—not a lack of talent, but limited access to practical skills, workplace experience and opportunities that bridge the gap between education and employment.

As the world commemorates World Youth Skills Day, the focus extends beyond employment statistics. It is about equipping young people with the knowledge, confidence and practical experience needed to actively contribute to Tanzania's economic transformation. Achieving this requires a collaborative approach involving government, educational institutions and the private sector.

SBL'S COMMITMENT TO YOUTH EMPOWERMENT

For Serengeti Breweries Limited (SBL), investing in youth development has become a cornerstone of its commitment to sustainable development. Beyond producing some of Tanzania's most recognised beverage brands, the company has consistently invested in programmes that prepare young people for meaningful careers in sectors critical to the country's future.

Through initiatives such as the Kilimo Viwanda Scholarship Programme and the Learning for Life Programme, SBL is helping young Tanzanians acquire practical skills, industry knowledge and professional confidence that enable them to succeed in agriculture, tourism and hospitality.

The company's philosophy is straightforward: when young people are equipped with the right skills, entire communities and the national economy benefit.

EMPOWERING FUTURE AGRICULTURAL LEADERS

SBL's Kilimo Viwanda Scholarship Programme has already supported more than 300 young Tanzanians from farming communities to pursue agricultural education.

The programme enables students to gain modern farming techniques, agribusiness knowledge and sustainable agricultural practices before returning to their communities, where they contribute to improving productivity and promoting innovation across the agricultural sector.

For scholarship beneficiary Octavian Burchard, the programme transformed both his education and his outlook on agriculture.

"The scholarship allowed me to study agriculture without worrying about financial barriers. More importantly, it helped me understand that agriculture is one of Tanzania's biggest economic opportunities. I now have the knowledge to help farmers improve productivity while creating opportunities for myself and my community. I want young people to see agriculture not as a last option, but as a profession with endless possibilities."

MIAKA 50 YA SABASABA: VODACOM YADHIHIRISHA INAVYOCHOCHEA MAGEUZI YA KIDIGITALI NCHINI TANZANIA

Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji, Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (kulia) na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo, Happiness Shuma (kushoto) wakiwa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). Maonesho hayo yaliyofanyika Juni 28 hadi Julai 13, 2026, yaliipa Vodacom Tanzania fursa ya kuonyesha namna teknolojia inavyobadilisha maisha, kuwezesha huduma za kidijitali na kuimarisha nafasi yake kama kinara wa huduma za mawasiliano nchini. 

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi (aliyekaa katikati), Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga (aliyekaa kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa TANTRADE, Latifa Khamis (aliyekaa kulia), wakiwa katika picha ya pamoja na wawakilishi wa kampuni mbalimbali, akiwemo Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania Plc, Happiness Shuma (aliyevaa tisheti nyekundu), muda mfupi baada ya kufungwa kwa Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa Dar es Salaam (SABASABA). Vodacom Tanzania Plc ilitambuliwa kama mshirika muhimu wa maonesho hayo baada ya kupewa tuzo mbili; Tuzo ya Nafasi ya Tatu kwa Mshindi wa Jumla wa Maonesho na Tuzo ya Nafasi ya Pili ya Udhamini, ikiwa ni ishara ya kutambua mchango wake katika kufanikisha maonesho hayo.
Meneja Masoko wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania Plc, Caleb Majo (kushoto), akitoa elimu kuhusu huduma zinazotolewa na Vodacom Tanzania wakati wa mahojiano maalumu na Azam Media katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA). Maonesho hayo yaliyofanyika Juni 28 hadi Julai 13, 2026, yaliipa Vodacom Tanzania fursa ya kuonyesha namna teknolojia inavyobadilisha maisha, kuwezesha huduma za kidijitali na kuimarisha nafasi yake kama kinara wa huduma za mawasiliano nchini. Wengine ni Meneja Uhusiano wa Vodacom Tanzania Plc, Alex Bitekeye (wa pili kushoto), Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa Vodacom Tanzania Plc, Happiness Shuma (wa pili kulia), na Mtangazaji wa Azam Media, Jafar Mponda (kulia).
Mkuu wa idara ya Masoko na Uwezeshaji wa Vodacom Tanzania Plc, Joseph Sayi (wa sita kushoto), na Mkuu wa Kanda ya Dar es Salaam na Pwani wa kampuni hiyo, Happiness Shuma (wa sita kulia) wakiwa katika picha ya Pamoja na wafanyakazi wengine wa Vodacom wakiwa wa wameshika tuzo zilizotolewa kwa Vodacom Tanzania kutambua mchango wake katika Maonesho ya 50 ya Kimataifa ya Biashara Dar es Salaam (SABASABA) muda mfupi baada ya kufungwa rasmi kwa maonesho hayo. Kwa siku zote 13 za maonesho hayo Vodacom Tanzania ilishiriki fursa ya kuonyesha namna teknolojia inavyobadilisha maisha, kuwezesha huduma za kidijitali na kuimarisha nafasi yake kama kinara wa huduma za mawasiliano nchini.

Tuesday, 14 July 2026

TANZANIA BREWERIES CELEBRATES LOCAL BARS AS DRIVERS OF COMMUNITY CONNECTION & ECONOMIC GROWTH

As football fever continues to sweep across Tanzania during the FIFA World Cup 2026™Tanzania Breweries Public Limited Company (TBL) is shining a spotlight on an often-overlooked contributor to the country's social and economic development—local bars.

Through its Cheers to Bars campaign, TBL is recognising the important role bars play as community gathering spaces, business enablers, and engines of local economic growth. Beyond serving beverages, these establishments create opportunities for entrepreneurs, generate employment, and support thousands of livelihoods across Tanzania's hospitality value chain.

BARS AT THE HEART OF COMMUNITY LIFE

Across the country, local bars have evolved into vibrant social hubs where people come together to celebrate, connect and share memorable experiences.

With football continuing to unite millions of fans, bars have become popular venues where supporters gather to watch matches, celebrate victories, and enjoy the camaraderie that the beautiful game inspires.

For many Tanzanians, football is about much more than what happens on the pitch. It's about the conversations before kick-off, the excitement after every goal, and the shared sense of belonging that comes from cheering alongside friends, family and fellow supporters.

FOOTBALL BRINGS COMMUNITIES TOGETHER

The power of these shared experiences was recently on display at Kitambaa Cheupe Bar in Sinza, Dar es Salaam, where football fans gathered to watch a FIFA World Cup quarter-final match.

The event demonstrated how neighbourhood bars transform global sporting events into local celebrations, creating an atmosphere of excitement, friendship and community spirit while bringing people together under one roof.

BOOSTING LOCAL ENTREPRENEURSHIP

Beyond entertainment, bars make a significant contribution to Tanzania's economy by supporting a wide network of businesses and service providers.

During major sporting events, increased customer traffic creates additional income opportunities for:

  • Bar owners and bartenders
  • Food vendors
  • Beverage distributors and suppliers
  • Transport providers
  • Security personnel
  • Entertainers and performers
  • Other small and medium-sized enterprises (SMEs)

This ripple effect extends well beyond the hospitality industry, helping strengthen local economies and supporting countless families whose livelihoods depend on the sector.

TBL REAFFIRMS ITS COMMITMENT TO THE HOSPITALITY SECTOR

The Cheers to Bars campaign reflects TBL's broader commitment to supporting Tanzania's hospitality industry while recognising the vital contribution made by small and medium-sized businesses to national development.

"Local bars are an important part of Tanzania's social and economic fabric. They support livelihoods, create opportunities for entrepreneurs and small businesses, and provide welcoming spaces where communities can come together. Through Cheers to Bars, we are celebrating these establishments and the people who keep them running, while encouraging consumers to enjoy responsibly," said Neema Temba, Director of Legal and Corporate Affairs at TBL.

Monday, 13 July 2026

IMF APPROVES US$443.9 MILLION FOR TANZANIA AFTER COMPLETING FINAL PROGRAMME REVIEWS

Minister for Finance, Ambassador Khamis Mussa Omar (right), speaks with the International Monetary Fund (IMF) Mission Chief, Mr. Nicolas Blancher, following successful completion of final reviews under the Extended Credit Facility (ECF) and the Resilience and Sustainability Facility (RSF) programmes. The IMF has approved the immediate disbursement of approximately 443.9 million US dollars (about 1.17tri/-) to Tanzania, to support economic growth and climate resilience initiatives.

The International Monetary Fund (IMF) has approved the immediate disbursement of approximately US$443.9 million to Tanzania following the successful completion of the final reviews under the Extended Credit Facility (ECF) and the Resilience and Sustainability Facility (RSF) programmes.

According to an IMF statement issued on July 10, the approval follows the completion of the sixth and seventh reviews of the ECF programme and the third and fourth reviews of the RSF programme. The disbursement includes approximately US$154.1 million under the ECF and US$289.7 million under the RSF.

The ECF programme provides concessional financing to support Tanzania's economic reforms, strengthen productive sectors and improve social service delivery, while the RSF helps countries build resilience against climate change and enhance long-term sustainability.

TANZANIA'S ECONOMY REMAINS RESILIENT

The IMF noted that Tanzania's economy continues to demonstrate resilience despite global economic challenges. Real Gross Domestic Product (GDP) growth reached 5.9 percent in 2025 and is projected to increase to around 6.2 percent over the medium term, supported by continued expansion in the mining, agriculture and tourism sectors.

Macroeconomic stability has also remained strong, with inflation staying well below the national target. Inflation stood at 4.0 percent in June 2026, although the IMF cautioned that rising global oil prices continue to pose risks to the cost of living and the broader economy.

REFORMS SHOW POSITIVE PROGRESS

The IMF said implementation of Tanzania's economic reform agenda has been broadly satisfactory, with most programme performance targets achieved on schedule.

ECOBANK MARKS NATURE BOND LISTING AT THE LONDON STOCK EXCHANGE

Ecobank Transnational Incorporated marks the listing of its US$450 million Sustainable Agriculture & Natural Capital Bond at the London Stock Exchange Market Open Ceremony on 9 July 2026.
Ceremony marking the presentation of the commemorative glass plaque by the London Stock Exchange to Ecobank leadership, in the presence of Ruth Davis, the UK Government’s Special Representative for Nature.
From left to right: Jeremy Awori, Chief Executive Officer of Ecobank Group; Papa Madiaw Ndiaye, Chairman of Ecobank Group; and Charlie Walker, Deputy CEO, London Stock Exchange.

United Kingdom, London, 9 July 2026 – Ecobank Transnational Incorporated marked the listing of its US$450 million Sustainable Agriculture & Natural Capital Bond with a Market Open Ceremony at the London Stock Exchange.

The transaction is the world’s first ICMA-designated Nature Bond from a commercial bank – and globally the first use-of-proceeds green bond to carry ICMA’s Nature Bond secondary designation.

The bond is designed to support eligible lending across three categories – Sustainable Primary Production, Sustainable Agri-Processing, and Water Supply and Sanitation – in 24 markets within Ecobank’s operating footprint, with lending concentrated in nature- and biodiversity-priority markets. It also reflects Ecobank’s wider role in mobilising African and international capital for sectors central to Africa’s long-term resilience, including food systems, natural capital, supply chains and water systems.

Sunday, 12 July 2026

AIRTEL AFRICA TO CONNECT 5,000 SCHOOLS TO FREE INTERNET BY 2027

Airtel Africa Chief Executive Officer, Sunil Taldar.

Airtel Africa Foundation and UNICEF Expand Digital Education Across 13 African Countries

LUSAKA, Zambia; July 8, 2026 – Airtel Africa has reaffirmed its commitment to advancing digital education across the continent by announcing plans to connect 5,000 schools to free internet access by 2027 through the Airtel Africa Foundation, in partnership with the United Nations Children's Fund (UNICEF).

The announcement was made by Airtel Africa Chief Executive Officer, Sunil Taldar, during a visit to St. Monica's Girls' School, one of more than 300 schools already benefiting from the initiative in Zambia.

The ambitious programme forms part of a 57-million-US-dollar partnership launched in 2021 between the Airtel Africa Foundation and UNICEF to improve digital access to education across Africa.

MILLIONS OF LEARNERS ALREADY BENEFITING

Since the partnership began, significant progress has been achieved:

  • 3,296 schools connected to the internet across Africa.
  • More than 2 million learners benefiting from digital education.
  • Approximately 40,000 teachers supported through digital training.
  • 64 digital learning platforms zero-rated, enabling over 11 million users to access educational content free of data charges.

These achievements demonstrate the growing impact of digital connectivity in improving educational opportunities, particularly for children in underserved communities.

COMMITMENT TO MEANINGFUL CONNECTIVITY

Speaking during the school visit, Sunil Taldar said the initiative is transforming education by giving learners access to high-quality digital learning resources developed through collaboration between UNICEF and various Ministries of Education.

He noted that Airtel Africa is not only providing free internet connectivity but also ensuring teachers receive the necessary digital skills training to effectively integrate technology into classroom learning.

Thursday, 9 July 2026

TMRC LISTS INAUGURAL NYUMBA BOND ON DSE TO BOOST HOUSING FINANCE IN TANZANIA

Dar es Salaam, July 6th, 2026 - The Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC) has achieved a major milestone in the country's housing finance sector by listing its inaugural Nyumba Bond on the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE). The listing represents an important step in deepening Tanzania's capital market while mobilising long-term domestic financing to expand access to affordable housing.

The bond attracted overwhelming investor interest during its Initial Public Offering (IPO), receiving verified subscriptions worth TZS 30.2 billion, representing an oversubscription rate of 151.18 percent against the initial target of TZS 20 billion. The strong demand reflects growing investor confidence in both TMRC and Tanzania's capital market.

FIRST HOUSING BOND UNDER TZS 100 BILLION PROGRAMME

The Nyumba Bond is TMRC's first housing bond issued under its Second TZS 100 Billion Medium-Term Note Programme, which is designed to mobilise long-term domestic capital to support mortgage lending and increase home ownership opportunities across Tanzania.

Speaking during the listing ceremony, TMRC Chief Executive Officer, Eribariki Ndossi, described the successful issuance as a significant achievement for both the institution and the country's housing finance market.

He noted that proceeds from the bond have already been deployed to refinance eligible mortgage lenders, improving liquidity, strengthening banks' long-term asset-liability management and enabling financial institutions to extend more mortgage loans to Tanzanians.

FIVE-YEAR BOND OFFERS ATTRACTIVE RETURNS

The five-year bond, launched in May 2026, carries a fixed annual coupon rate of 11 percent and will mature on 12 June 2031.

Initially offered at TZS 20 billion, the issue included a TZS 10 billion greenshoe option, increasing the total approved issue size to TZS 30 billion following strong investor demand.

According to Mr Ndossi, the bond's success demonstrates increasing investor confidence in TMRC's governance, business model and risk management framework while reaffirming the capital market's role in mobilising domestic savings for productive long-term investments.

DSE HISA KIGANJANI BOOSTS RETAIL PARTICIPATION

TMRC attributed the high level of retail investor participation to the DSE Hisa Kiganjani digital investment platform.

Approximately 117 individual investors subscribed through the platform, while 125 out of 138 registered investors were retail investors, accounting for nearly 90 percent of all subscribers.

The figures highlight the growing role of digital technology in expanding public access to investment opportunities within Tanzania's capital markets.

GOVERNMENT COMMENDS TMRC'S ROLE

Deputy Minister for Lands, Housing and Human Settlements Development, Kaspar Mmuya, praised TMRC for strengthening Tanzania's mortgage financing ecosystem.

He said the oversubscription demonstrates strong confidence from both institutional and individual investors, urging more Tanzanians to participate in capital market investments.

Mr Mmuya also emphasised that investment products such as the Nyumba Bond enable citizens to grow their savings while contributing to national economic development.