Foreign Exchange Rates

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

CRDB Bank Advert_070325

Tuesday, 5 May 2026

AIRTEL AFRICA CALLS FOR URGENT TAX REFORMS TO ACCELERATE DIGITAL INCLUSION IN AFRICA

KINSHASA, DRC – May 5, 2026 — Airtel Africa plc has intensified calls for policy reforms across the continent, urging governments to prioritise the telecommunications sector as a core driver of economic growth and digital transformation.

The call was made by Daddy Mukadi, Chief Regulatory Officer of Airtel Africa and Chair of the GSMA Africa Policy Group, during the inaugural États Généraux du Secteur des Postes et Télécommunications held in Kinshasa. The high-level forum, attended by H.E. President Félix Tshisekedi, focused on shaping a strategic roadmap for the country’s digital and telecommunications future.

Telecoms: From Support Function to Economic Pillar

Mukadi emphasised that telecommunications should no longer be viewed as a secondary or support sector, but rather as a central pillar of economic development.

The telecoms sector can no longer be considered merely as a support sector. It is now a core sector,” he stated, highlighting its critical role across industries such as finance, healthcare, transport, and security.

His remarks reflect a broader shift in how digital infrastructure is being positioned within Africa’s economic agenda—moving from an enabler to a foundation for growth and innovation.

PUMA ENERGY SECURES DUAL INDUSTRY RECOGNITION AT PRESTIGIOUS DAR ES SALAAM AWARDS

Puma Energy Tanzania has been honoured with two major industry awards within the same week, reinforcing its position as a leading player in Tanzania’s energy and distribution sector.

The recognitions were presented under award programmes organised by CSW Tanzania Events, bringing together key industry stakeholders to celebrate excellence, performance, and innovation across the transport, energy, and business sectors.

In the first award, Puma Energy Tanzania was named Best Fuel and Energy Distribution Company of the Year at the Africa Transportation Excellence Awards Night 2026, held at the iconic Serena Hotel Dar es Salaam. The recognition highlights the company’s excellence in fuel distribution, innovation in energy solutions, and its contribution to improving efficiency and reliability within the transportation value chain.

In a second recognition, the company also received a Trophy of Recognition for Best Trading, Distribution & Business Solutions Company at the General Trading Business Networking Gala, also held in Dar es Salaam. The award acknowledges Puma Energy Tanzania’s strong performance in trading, supply chain efficiency, and its role in supporting oil and gas distribution networks.

AFROEXCHANGE YAIBUA MJADALA WA KUIFIKISHA MUZIKI WA TANZANIA KIMATAIFA KUPITIA DJs

Dar es Salaam, Tanzania — Jukwaa la AfroExchange, lililodhaminiwa na Johnnie Walker, limeibua mjadala muhimu kuhusu mustakabali wa muziki wa Tanzania katika soko la kimataifa, likiwaweka DJs kama nguzo kuu ya mabadiliko hayo.

Mjadala huo uliofanyika jijini Dar es Salaam uliwakutanisha wadau mbalimbali wa tasnia ya muziki, ukiwa mwanzo wa mfululizo wa mazungumzo ya AfroExchange yanayolenga kutafuta suluhisho la kudumu la kukuza na kusambaza muziki wa Afrika nje ya mipaka yake.

Katika hatua ya kwanza, majadiliano yalilenga nafasi ya DJs kama wachochezi wa mwelekeo wa muziki (music tastemakers), waunganishaji wa wasanii na masoko, pamoja na daraja muhimu la kuifikisha sauti ya Afrika kwa hadhira ya kimataifa. Washiriki walisisitiza kuwa DJs wana uwezo mkubwa wa kuamua ni nyimbo zipi zitasikika na kupokelewa katika majukwaa mbalimbali duniani.

Hata hivyo, pamoja na fursa hizo, changamoto kadhaa zilijadiliwa, ikiwemo ukosefu wa miundombinu madhubuti ya kimataifa, ufinyu wa mitandao ya usambazaji, na hitaji la uwekezaji zaidi katika kukuza chapa ya muziki wa Tanzania nje ya nchi. Washiriki walikubaliana kuwa ushirikiano wa karibu kati ya wasanii, DJs, na wadau wengine wa tasnia ni muhimu ili kuvunja vikwazo hivyo.

Mbali na mjadala, AfroExchange ilitangaza hatua ya utekelezaji kupitia mpango wa kuwapeleka DJs wa Tanzania kushiriki katika tukio la DJ Consequence Event nchini Nigeria. Fursa hii inalenga kuwapatia uzoefu wa kimataifa, kuwapanulia mitandao yao, na kuongeza uelewa wa masoko ya nje.

BLUE TICKS, RED FLAGS & A COLD GIN: SOMO KUTOKA GORDON’S & TONIC

Dating siku hizi si mchezo—ni kama kazi ya muda wote isiyo na mkataba, likizo wala overtime pay. Mchana unapambana na kazi, usiku unapambana na hisia. Na katikati ya yote hayo, kuna mchezo wa kusoma ishara ambazo mara nyingi hazieleweki.

Leo unaitwa “good morning babe,” kesho uko kwenye blue ticks kama umetuma CV bila referee. Hakuna majibu. Hakuna update. Hata ile “seen with respect” haipo. Unabaki na maswali mengi kuliko majibu, na kadri unavyofikiria, ndivyo unavyochoka zaidi.

Ukweli ni huu—mahusiano mazuri yanahitaji kazi. Na consistency? Hiyo siku hizi imekuwa kama bidhaa ya premium. Si kila mtu anayo.

Watu wanabadilika. Moods zinabadilika. Vipaumbele vinabadilika. Na wakati mwingine, kitu pekee kinachobaki constant ni confusion… ikifuatiwa na maumivu madogo ya moyo ambayo huja bila notice.

Lakini katikati ya kelele zote, kuna vitu vidogo vinavyokupa utulivu. Kama ile baridi ya jioni baada ya siku ndefu. Au funda la kwanza la kinywaji kilichotengenezwa vizuri—kile ambacho hakikupi nafasi ya kukisia.

Hapo ndipo Gordon’s Premix inaingia kimya kimya.

KAMPENI YA “NBC SHAMBANI” YAWASILI BABATI NA KARATU, WAKULIMA WAIKARIBISHA KWA MATUMAINI MAKUBWA

Picha ya juu: Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Bw. Dominic Mbwette (katikati), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC. Wengine pichani ni Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC Bw. Benjamini Nkaka (wa pili kulia), Mkuu wa Kanda ya Kati wa NBC, Bw. Miraji Msuya (wa pili kushoto), Meneja wa NBC Tawi la Babati Bw Rogers Masolwa (wa tatu kushoto), Mwenyekiti wa chama cha ushirika cha Rift Valley Cooperative Union (RIVACU) Bw. Yuda Peter Sulley (wa tatu kulia), Afisa Ushirika wilaya ya Hanang Bw. William Mbogoro (kushoto) na Meneja wa RIVACU, Bi. Pendoeli Valentine (kulia).
Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Mbwette (pichani) aliipongeza NBC kwa juhudi zake za kuwawezesha wakulima kupitia suluhisho bunifu za kifedha, akieleza kuwa kampeni hiyo itachochea ukuaji wa uchumi wa Babati na mkoa wa Manyara kwa ujumla.

Babati, Manyara | Mei 4, 2026 — Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi kampeni yake ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” katika mikoa ya Manyara na Arusha, hususan wilaya za Babati na Karatu, ikiwa ni muendelezo wa jitihada zake za kuimarisha elimu ya fedha na kukuza kilimo biashara nchini.

Kupitia kampeni hiyo, benki inalenga kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kimkakati kama ufuta, dengu na mbaazi kwa kuwapatia wakulima—ikiwemo vyama vya msingi (AMCOS), vyama vikuu vya ushirika pamoja na wakulima mmoja mmoja—elimu ya kifedha na huduma za kibenki zilizobuniwa mahsusi kwa sekta ya kilimo.

Uzinduzi huo ulifanyika mwishoni mwa wiki wilayani Babati, ukiongozwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Manyara, Dominic Mbwette, na kuhudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo wakiwemo viongozi wa vyama vya ushirika na wakulima. Viongozi waandamizi wa NBC walioshiriki ni pamoja na Benjamini Nkaka (Mkuu wa Idara ya Bima), Raymond Urassa (Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakulima), pamoja na Miraji Msuya (Mkuu wa Kanda ya Kati), wakiongoza timu ya maofisa wa benki hiyo.

Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Mbwette aliipongeza NBC kwa juhudi zake za kuwawezesha wakulima kupitia suluhisho bunifu za kifedha, akieleza kuwa kampeni hiyo itachochea ukuaji wa uchumi wa Babati na mkoa wa Manyara kwa ujumla. Alisisitiza umuhimu wa huduma jumuishi zinazotolewa, ikiwemo elimu ya fedha, bima na mikopo ya maendeleo kwa wakulima na vyama vyao.

Aidha, alibainisha kuwa mkakati wa elimu ya fedha ndani ya kampeni hiyo utasaidia kuimarisha vyama vya ushirika na kuongeza uelewa wa wakulima kuhusu umuhimu wa kuweka akiba, kutumia bima—ikiwemo bima ya afya na mazao—na kuwekeza katika teknolojia za kisasa za kilimo ili kuongeza tija na kupunguza hatari.

“Mpango huu utahamasisha wakulima kujiunga na mifumo rasmi ya kifedha, jambo litakalosaidia kukuza uchumi jumuishi na kuimarisha sekta ya kilimo,” alisema Mbwette, huku akiwahimiza wakulima kufungua akaunti za NBC Shambani.

AMERICAN NCAA COACH AUSTIN PILLADO LANDS IN TANZANIA FOR ELITE 10-DAY SWIMMING CAMP

Renowned American swimming coach, Austin Pillado, who is also the Associate Head Coach of the Washington State University swimming team (center), holds the Tanzania national flag alongside Monti International School Founder and Chief Executive Officer, Fatma Fernandes (left) and Tanzania Swimming Association (TSA) Chairman, David Mwasogye (right). Austin is in the country to lead a special 10-day swimming training camp in Dar es Salaam.

Dar es Salaam, Tanzania — Tanzania’s swimming community has received a significant boost following the arrival of renowned American swimming coach Austin Pillado, who touched down in Dar es Salaam on Sunday to lead a high-level 10-day training camp aimed at developing young talent and raising the standards of the sport in the country.

Pillado, who serves as Associate Head Coach of the Washington State University swimming team in the United States, is conducting the specialized clinic through a partnership between Monti International School and the Tanzania Swimming Association (TSA).

Elevating Skills and Standards

The intensive training program is expected to bring together young swimmers and local coaches for hands-on sessions focused on modern swimming techniques, athlete development, and alignment with international competition standards.

Speaking during the coach’s reception at Julius Nyerere International Airport, Monti International School Founder and Director Fatma Fernandes described the initiative as a milestone in advancing swimming and youth sports development in Tanzania.

She emphasized that the program reflects the country’s broader vision of nurturing young talent and expanding opportunities across different sports disciplines.

This marks the beginning of an important journey in advancing swimming and youth development in Tanzania,” she said. “The camp aligns with the vision of Samia Suluhu Hassan in promoting youth talent, as well as the efforts of Paul Makonda to ensure all sports are given opportunities to grow.”

Fatma added that Monti International School sees strong potential for swimming to emerge as one of Tanzania’s leading sports, provided young athletes receive proper training and international exposure.

BENKI YA KCB KUIMARISHA AJENDA YA MUUNGANIKO WA KIBIASHARA KATI YA TANZANIA NA KENYA

Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Bank Group, Paul Russo akizungumza katika jukwaa la kibiashara kati ya Tanzania na Kenya.

Dar es Salaam, Tanzania – 4 Mei 2026 — Benki ya KCB imeendelea kujiweka katika nafasi ya uongozi kama kinara wa huduma za kifedha Afrika Mashariki kwa kujipanga kuchochea ukuaji wa biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na Kenya. Hatua hii inalenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na kuongeza manufaa ya pamoja kwa mataifa hayo mawili.

Kauli hiyo imetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa KCB Bank Group, Paul Russo, wakati wa jukwaa la kibiashara la Tanzania na Kenya lililozinduliwa na Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, akiongozana na Rais wa Kenya, William Ruto.

Akizungumza katika mkutano huo, Russo alisisitiza dhamira ya benki hiyo katika kuendeleza maendeleo ya kikanda:

Ushiriki wetu unasisitiza dhamira ya benki yetu ya KCB kuwa mshirika wa kuaminika katika kukuza maendeleo ya kikanda na mshikamano wa kiuchumi. Tunajivunia kuwa mstari wa mbele katika kuunganisha wafanyabiashara na viongozi wa sera ili kufungua uwezo kamili wa soko la Afrika Mashariki.”

Msukumo Mpya wa Ushirikiano wa Kikanda

Kwa upande wao, marais wa nchi hizo mbili walisisitiza umuhimu wa kudumisha amani na mshikamano kama msingi wa kukuza biashara. Aidha, walieleza nia ya kuunganisha mabaraza ya biashara ya Tanzania na Kenya ili kuunda umoja wa pamoja wa kibiashara, hatua inayotarajiwa kuharakisha muunganiko wa kiuchumi kati ya nchi hizo.

Saturday, 2 May 2026

RAIS SAMIA AIKABIDHI NBC TUZO YA UFANIKISHAJI WA MAADHIMISHO YA MEI MOSI NJOMBE

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan (katikati) akimkabidhi Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bw. Theobald Sabi (kulia) tuzo maalum ya kutambua mchango wa benki hiyo katika kufanikisha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa katika Viwanja vya Lunyanywi, mkoani Njombe.

Njombe, Mei 1, 2026 – Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ameikabidhi Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) tuzo maalum ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa katika Viwanja vya Lunyanywi, mkoani Njombe Region.

Tuzo hiyo ilipokelewa na Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Theobald Sabi, mbele ya maelfu ya washiriki na viongozi waandamizi wa serikali, akiwemo Waziri Mkuu, Mwigulu Lameck Nchemba, pamoja na wadau wa sekta binafsi na umma—ikiashiria mshikamano wa kitaifa katika kuthamini mchango wa wafanyakazi kwa maendeleo ya nchi.

Akizungumzia ushiriki wa benki hiyo katika maadhimisho hayo, Mkuu wa Idara ya Mawasiliano na Mahusiano ya Umma wa NBC, Godwin Semunyu, alisema kuwa mbali na kushiriki, benki hiyo ilikuwa miongoni mwa wadhamini wakuu kwa kuchangia shilingi milioni 50 kusaidia maandalizi na uendeshaji wa tukio hilo.

Alieleza kuwa hatua hiyo inaakisi dhamira thabiti ya NBC ya kuendelea kuthamini na kuwawezesha wafanyakazi—ambao ni mhimili muhimu wa ukuaji wa uchumi wa taifa—kupitia huduma bunifu na jumuishi za kifedha zinazokidhi mahitaji yao.

“Kwetu NBC, Mei Mosi siyo tu siku ya maadhimisho, bali ni fursa ya kuthibitisha upya ahadi yetu ya kuwahudumia wafanyakazi kwa ubunifu, ufanisi na suluhisho za kifedha zinazokidhi mahitaji yao ya kila siku na ya muda mrefu,” alisema Semunyu.

Aliongeza kuwa NBC imeendelea kuimarisha ushirikiano wake na wafanyakazi kupitia utoaji wa huduma jumuishi za kifedha zinazolenga kuboresha ustawi wao. Huduma hizo ni pamoja na akaunti maalum za mishahara, mikopo nafuu ya muda mfupi na mrefu—ikiwemo isiyohitaji dhamana—pamoja na huduma za kidigitali zinazorahisisha upatikanaji wa huduma hizo mahali popote na wakati wowote.

Thursday, 30 April 2026

SERENGETI BREWERIES YAFIKISHA MIRADI 30 YA MAJI, YAONGEZA KASI YA UPATIKANAJI WA MAJI VIJIJINI

KARATU, 30 APRILI 2026 — Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imeandika historia mpya kwa kukamilisha mradi wake wa 30 wa maji safi na salama nchini Tanzania, hatua inayoimarisha juhudi za kuongeza upatikanaji wa huduma hiyo muhimu vijijini.

Mradi huo ulizinduliwa rasmi katika Kata ya Baray, Wilaya ya Karatu, mkoani Arusha, katika hafla iliyoongozwa na Naibu Waziri wa Maji, Mhe. Eng. Kundo A. Mathew (Mb).

Wananchi 15,000 Wanufaika na Mradi wa Baray

Mradi wa Baray ni miongoni mwa uwekezaji mkubwa zaidi wa SBL katika sekta ya maji, ukiwanufaisha zaidi ya wakazi 15,000 kwa kuwapatia maji safi na salama. Mradi huu una uwezo wa kuzalisha hadi mita za ujazo 110,632 za maji kwa mwaka.

Utekelezaji wake umegharimu TZS milioni 344, zilizofadhiliwa kikamilifu na SBL kwa kushirikiana na Wakala wa Maji na Usafi wa Mazingira Vijijini (RUWASA) pamoja na shirika la Africa Community Advancement Initiative (Africai).

Miradi Mitatu kwa Mwaka 2026

Baray ni sehemu ya miradi mitatu iliyokamilishwa na SBL mwaka huu. Mingine ipo katika Kata ya Kambi ya Simba (Karatu) na Kata ya Ihushi (Mwanza). Kwa pamoja, miradi hii imewakilisha uwekezaji wa TZS milioni 655 katika mwaka wa fedha 2026.

Miradi hiyo imewanufaisha jumla ya watu 23,189 na kuongeza uwezo wa uzalishaji wa maji safi kwa mita za ujazo 169,279 kwa mwaka.

Zaidi ya TZS Bilioni 2.5 Zimewekezwa

Kwa kipindi cha muongo mmoja wa ushirikiano na Serikali, SBL imewekeza takribani TZS bilioni 2.5 katika miradi ya maji vijijini, ikiwafikia zaidi ya wananchi milioni 2.3 nchini kote.

Mpango wa kampuni wa “Water for Life” unatekelezwa kwa kuzingatia Sera ya Taifa ya Maji (NAWAPO), inayosisitiza ushiriki wa jamii katika upangaji, ujenzi, uendeshaji na usimamizi wa miradi ya maji.

Miundombinu ya Kisasa na Umiliki wa Jamii

Mradi wa Baray umejumuisha:

  • Pampu za kisasa za kuzamishwa majini (submersible pumps)
  • Nyumba za pampu
  • Matenki ya kuhifadhia maji
  • Mtandao wa mabomba ya usambazaji
  • Vituo 20 vipya vya kuchotea maji
  • Ukarabati wa vituo 15 vya zamani

Miundombinu yote imekabidhiwa kwa jamii ili kuhakikisha uendelevu wa huduma hiyo kwa muda mrefu.

YAS UNVEILS ‘ZINGATIA MTANDAO WA VIWANGO’ CAMPAIGN FOLLOWING MAJOR INFRASTRUCTURE INVESTMENT

Chief Technology and Information Officer at Yas Tanzania, Emmanuel Mallya (right), with the Head of Brand and Communications at Yas, Anna Loya (left), pose for a photo during the official launch of its new identity dubbed ‘Zingatia Mtandao wa Viwango’, unveiled on April 28, 2026, in Dar es Salaam. The campaign encourages Tanzanians to use high-quality, fast, and reliable network services, following Yas’s significant investment in digital infrastructure across the country.

Dar es Salaam, April 28, 2026 — Telecommunications company Yas Tanzania has officially launched its new brand campaign, “Zingatia Mtandao wa Viwango” (Experience a quality network), signaling a strategic shift toward enhancing customer experience as demand for reliable digital connectivity continues to rise across the country.

The campaign reflects the company’s broader ambition to position itself strongly within Tanzania’s increasingly competitive telecom sector—where network quality, speed, and coverage are now critical differentiators.

From Infrastructure to Experience

According to Yas, the campaign follows a cumulative investment of over TZS 1 trillion in network expansion and modernization. This significant capital outlay has enabled the company to expand its coverage footprint while improving service reliability nationwide.

Speaking during the launch in Dar es Salaam, the company’s Chief Technology and Information Officer, Emmanuel Mallya, emphasized that the initiative marks a transition from infrastructure development to delivering tangible value to customers.

He noted that after years of building and upgrading network capacity, the company is now focused on ensuring users fully benefit from improved connectivity in their everyday activities.

Supporting Tanzania’s Digital Economy

Yas says its network is designed to support a wide range of use cases—from online business and digital finance to education, entertainment streaming, and agriculture—underscoring the growing importance of connectivity in Tanzania’s socio-economic development.

The company currently operates over 4,800 network sites nationwide, approximately 1,000 more than its nearest competitor. This infrastructure allows Yas to reach more than 95% of the population, including rural and previously underserved areas.

In parallel, the company has invested heavily in fiber optic infrastructure to strengthen backbone capacity and enhance data transmission speeds. Yas has also standardized 4G connectivity across all its sites, while rolling out 5G services in select strategic towns to meet rising data demand and support emerging digital applications.

RC SINGIDA APONGEZA JITIHADA ZA NBC KUCHOCHEA MAPINDUZI YA KILIMO

Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego (wa tatu kulia), akionesha baadhi ya zawadi zinazotolewa kwa washindi kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC. Wengine pichani ni Mkuu wa Kanda ya Kati wa NBC, Bw. Miraji Msuya (wa tatu kushoto), Mkuu wa Idara ya Bima wa NBC, Bw. Benjamini Nkaka (wa pili kushoto) Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakulima wa NBC, Bw. Raymond Urassa (kushoto), Makamu Mwenyekiti wa Bodi ya Chama Kikuu cha Ushirika cha Wakulima wa Mkoa wa Singida (SIFACU) Bw. Julius Kitundu (kulia) na Mrajisi Msaidizi wa Mkoa wa Singida Bi. Nuria Gulamali (wa pili kulia).
Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego (katikati), akipokea zawadi maalum ya picha yake kutoka kwa wafanyakazi wa benki ya NBC wakiongozwa na Mkuu wa Kanda ya Kati wa NBC, Bw. Miraji Msuya (kushoto) wakati wa hafla ya uzinduzi wa kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC.

Singida, Aprili 30, 2026 — Mkuu wa Mkoa wa Singida, Bi. Halima Dendego, amepongeza mchango wa wadau mbalimbali, hususan Benki ya Taifa ya Biashara (NBC), kwa kuunga mkono juhudi za Serikali katika kuharakisha maendeleo ya sekta ya kilimo. Ameitaja kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” kuwa kichocheo muhimu cha ustawi wa wakulima na ukuaji wa uchumi wa mkoa huo.

Akizungumza wakati wa uzinduzi rasmi wa kampeni hiyo uliofanyika jana mkoani Singida, Bi. Dendego alisema kuanzishwa kwa mpango huo kwa mara ya kwanza katika mkoa huo ni hatua muhimu inayosaidia kufanikisha malengo ya Serikali ya kuongeza uzalishaji wa mazao ya kimkakati pamoja na kuinua kipato cha wakulima.

Hafla hiyo iliwaleta pamoja wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, wakiwemo viongozi wa vyama vya msingi na vyama vikuu vya ushirika, wakulima, pamoja na wadau wengine katika mnyororo wa thamani wa kilimo. Uongozi wa NBC uliwakilishwa na Mkuu wa Idara ya Bima, Bw. Benjamini Nkaka, na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakulima, Bw. Raymond Urassa, wakishirikiana na timu ya maofisa wa benki hiyo akiwemo Mkuu wa Kanda ya Kati, Bw. Miraji Msuya.

Kwa mujibu wa Bi. Dendego, kampeni hiyo inaendana na mafanikio ya jitihada za Serikali ambazo tayari zimeanza kuzaa matunda. Alitaja mafanikio hayo kuwa ni pamoja na usajili wa zaidi ya asilimia 92 ya wakulima mkoani Singida, utoaji wa ruzuku za pembejeo kama mbegu na mbolea, pamoja na uwekezaji katika huduma za ugani na kilimo cha umwagiliaji.

Kampeni ya NBC Shambani inakuja kuimarisha juhudi hizi kwa kuchochea ujumuishaji wa kifedha kwa wakulima. Hii ni hatua muhimu kuelekea kilimo chenye tija na chenye manufaa kwa wananchi mmoja mmoja, kaya na mkoa kwa ujumla,” alisisitiza Bi. Dendego.

ABSA BANK UNVEILS ENHANCED PRESTIGE BANKING PROPOSITION FOR PROFESSIONALS AND ENTREPRENEURS

The Managing Director of Absa Bank Tanzania, Obedi Laiser (fifth left), together with bank officials and clients, observe the official launch of Absa’s Enhanced Prestige Banking Proposition for professionals and entrepreneurs in Dar es Salaam.
The Managing Director of Absa Bank Tanzania, Obedi Laiser, speaks during the official launch of Absa’s Enhanced Prestige Banking Proposition for Professionals and Entrepreneurs.

Dar es Salaam, Wednesday, 29 April 2026 — Absa Bank Tanzania has officially launched its Enhanced Prestige Banking Proposition, a comprehensive, lifestyle-focused offering tailored to meet the evolving financial needs of aspirational professionals and entrepreneurs across the country.

The newly introduced proposition is designed for salaried professionals earning between TZS 2.5 million and TZS 5.99 million, as well as self-employed entrepreneurs seeking to grow their wealth, expand their businesses, and secure their financial futures. It aims to bridge a growing market gap by delivering integrated solutions that combine financial growth, personal wellbeing, and long-term security.

Speaking at the launch, Obedi Laiser, Managing Director of Absa Bank Tanzania, emphasized that the initiative reflects the bank’s purpose-led and customer-centric strategy.

At Absa, our purpose is to empower Africa’s tomorrow, together… one story at a time. The Enhanced Prestige proposition is built around the real aspirations of Tanzanian professionals and entrepreneurs who are shaping their futures and striving for more. It is how we bring our brand promise, ‘Your story matters,’ to life in a meaningful and practical way,” he said.

STANDARD CHARTERED ARRANGES USD2.33 BILLION SYNDICATED FINANCING FOR TANZANIA’S LANDMARK SGR PROJECT

Finance Ministry Permanent Secretary, Dr. Natu El-Maamry Mwamba (left) and Standard Chartered Bank Tanzania Chief Executive Officer, Herman Kasekende exchange documents in Dodoma following the signing of a USD 1.277 billion financing agreement for the completion of Lots 3 and 4 of the Standard Gauge Railway (SGR) from Makutupora to Isaka.

28 April 2026 | London, UK / Dar es Salaam, Tanzania — Standard Chartered has successfully arranged a syndicated financing package exceeding USD2.33 billion to support the continued development of Tanzania’s transformative Standard Gauge Railway (SGR) Tanzania.

The financing will fund the construction of Lot 3 and Lot 4 of the SGR—approximately 430 kilometres—linking Makutupora to Isaka, with works being executed by Yapi Merkezi. Meanwhile, Lot 5, covering 249 kilometres from Isaka to Mwanza, is being developed by China Civil Engineering Construction Corporation.

Once completed, the SGR (Lots 1–5) will connect Dar es Salaam to Mwanza, marking one of the largest infrastructure investments in Tanzania’s history.


Financing Structure and Strategic Partnerships

The financing for Lots 3 and 4 includes:

  • USD1.32 billion in Export Credit Agency (ECA) financing signed between 2025 and 2026
  • USD462 million in long-term funding from commercial banks and Development Finance Institutions (signed in 2023)

Standard Chartered played multiple key roles, including Sole Global Coordinator, Bookrunner, Mandated Lead Arranger, Facility Agent, and Lender, on behalf of the Ministry of Finance of Tanzania.

The ECA-backed facilities are supported by:

  • EKN (Sweden)
  • KUKE (Poland)
  • SACE (Italy)

Additional reinsurance support was provided by two other ECAs.

For Lot 5, the financing includes a USD559 million facility covered by Sinosure, drawn in 2025, with Standard Chartered again serving in multiple lead roles.


Driving Economic Transformation and Regional Connectivity

The SGR project is a cornerstone of Tanzania’s long-term infrastructure strategy, spearheaded by the Tanzania Railways Corporation with strong backing from the government.

Once complete, the railway will:

  • Link the Port of Dar es Salaam to key inland trade corridors
  • Enhance connectivity to neighbouring countries in East and Central Africa
  • Provide a faster, safer, and more reliable alternative to road transport
  • Stimulate economic growth in Tanzania’s interior regions
  • Create employment opportunities across construction and operations

Wednesday, 29 April 2026

BOLT CROWNED BEST URBAN MOBILITY & RIDE-HAILING COMPANY AT AFRICA TRANSPORTATION EXCELLENCE AWARDS

Dar es Salaam, April 29, 2026 — Digital mobility platform Bolt Tanzania has been named Best Urban Mobility & Ride-Hailing Company of the Year at the prestigious Africa Transportation Excellence Awards 2026, cementing its position as a key driver of innovation in the country’s fast-evolving transport ecosystem.

The award was presented during a high-profile ceremony held at the iconic Serena Hotel Dar es Salaam, bringing together industry leaders, policymakers, and innovators shaping Africa’s mobility future.

A Recognition of Tanzania’s Digital Mobility Momentum

Receiving the award, Dimmy Kanyankole, Senior General Manager for East Africa at Bolt, described the recognition as more than a corporate milestone — but a reflection of Tanzania’s accelerating shift toward smart, inclusive mobility solutions.

Bolt operates in over 50 countries globally, and in 2025 Tanzania emerged as one of our fastest-growing markets in Africa — second globally only to Switzerland,” he noted. “This growth highlights the rising demand for accessible, technology-driven transport options.”

Driving Inclusion Through Innovation

A major factor behind Bolt’s success in Tanzania has been its early adoption of localized mobility solutions. The company became the first ride-hailing platform in the country to integrate two-wheelers (boda boda) and three-wheelers (bajajis) into its digital ecosystem — a move that significantly expanded access to affordable transport services for millions, particularly within mid- and low-income communities.

This approach has not only improved urban connectivity but has also played a meaningful role in formalizing segments of the informal transport sector.

NBC YAITAMBULISHA “NBC SHAMBANI” KWA WAKULIMA WA SONGWE

Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw. Hamad Mbega (katikati), akijipongeza sambamba na maofisa waandamizi wa benki ya NBC baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC, yenye lengo la kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kimkakati ikiwemo ufuta na kahawa mkoani Songwe. Wengine pichani ni Meneja wa NBC Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, Bi. Zubeider Haroun (kulia), Mkuu wa Bidhaa na Mauzo wa NBC, Bw. Abel Kaseko (wa pili kulia), Meneja wa Bidhaa na Mauzo wa NBC, Bi. Dorothea Mabonye (wa pili kushoto) na Meneja wa NBC Tawi la Tunduma Bw Shedrack Mpanda.
Katika hotuba yake, Bw. Mbega (pichani) alitambua changamoto zilizobainishwa na wakulima na kuipongeza NBC kwa kuja na suluhisho linalolenga moja kwa moja mahitaji yao. Alisisitiza umuhimu wa huduma za kifedha zilizo rafiki na nafuu katika kukuza sekta ya kilimo, ambayo inachangia takribani asilimia 80 ya mapato ya Wilaya ya Mbozi.

DC na Wakulima Waomba Ufunguzi wa Tawi Jipya  la NBC Mlowo

Songwe, Aprili 29, 2026 — Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi kampeni yake ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” mkoani Songwe, ikiwa ni hatua mahsusi ya kuwawezesha wakulima wa mazao mbalimbali, ikiwemo kahawa na ufuta, kupitia huduma jumuishi za kifedha.

Sambamba na uzinduzi huo, uongozi wa mkoa pamoja na wakulima wametoa wito kwa benki hiyo kufungua tawi jipya katika mji wa Mlowo, wilayani Mbozi, ili kurahisisha upatikanaji wa huduma za kifedha na kuchochea ukuaji wa sekta ya kilimo.

Uzinduzi Wahusisha Wadau wa Kilimo

Uzinduzi huo ulifanyika Mlowo, Mbozi, ukiongozwa na Mkuu wa Wilaya ya Mbozi, Bw. Hamad Mbega, na kuwakutanisha wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, wakiwemo viongozi wa vyama vya msingi na vyama vikuu vya ushirika (AMCOS), pamoja na washiriki wa mnyororo wa thamani wa kilimo.

Kwa upande wa NBC, ujumbe wa benki hiyo uliongozwa na Mkuu wa Bidhaa na Mauzo, Bw. Abel Kaseko, ambaye alieleza kuwa kampeni hiyo ya miezi minne inalenga kuwahamasisha wakulima kutumia huduma rasmi za kifedha huku wakipata fursa ya kushinda zawadi mbalimbali, zikiwemo pikipiki na kompyuta mpakato (laptop).

Serikali Yapokea kwa Mikono Miwili

Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Mbega aliipongeza NBC kwa juhudi zake za kuendeleza sekta ya kilimo kupitia huduma bunifu za kifedha zinazolenga wakulima na wafugaji.

Alisisitiza kuwa kampeni hiyo ni kichocheo muhimu cha ukuaji wa uchumi wa wakulima, hususan kupitia:

  • Elimu ya fedha
  • Huduma rafiki za mikopo
  • Bima za afya na kilimo

Takribani asilimia 80 ya mapato ya Wilaya ya Mbozi yanatokana na kilimo. Kampeni hii ya NBC ina upekee kwa kuzingatia elimu ya nidhamu ya fedha, ambayo itawajengea wakulima uwezo wa kuweka akiba, kutumia bima na kuwekeza katika kilimo cha kisasa,” alisema.

IMF COMMENDS TANZANIA FOR STRONG COLLABORATION IN ECONOMIC REFORM PROGRAMMES

Permanent Secretary of the Ministry of Finance and Government Chief Paymaster, Natu El-maamry Mwamba, leading a meeting between experts from the Ministry of Finance and the International Monetary Fund (IMF). The session, held at the Ministry of Finance offices, Treasury Square in Dodoma, is focused on reviewing the progress of various IMF-funded programmes in the country.
Permanent Secretary of the Ministry of Finance and Government Chief Paymaster, Natu El-maamry Mwamba, bidding farewell to the IMF Mission Chief, Nicolas Blancher, after officially opening a meeting of experts from the Ministry of Finance and the International Monetary Fund (IMF).

Dodoma | April 28, 2026

Tanzania has received recognition from the International Monetary Fund (IMF) for its strong and constructive partnership in implementing key economic reform programmes aimed at strengthening the country’s economy and resilience.

The commendation was delivered by Nicolas Blancher, who led an IMF delegation on a comprehensive review mission assessing the progress of programmes supported by the institution. The meeting took place in Dodoma with the Tanzanian delegation led by Natu El-maamry Mwamba, Permanent Secretary at the Ministry of Finance and Government Chief Paymaster.

Strengthening Economic Foundations

The IMF acknowledged Tanzania’s effective implementation of reforms under the Extended Credit Facility (ECF) and the Resilience and Sustainability Facility (RSF) programmes. These initiatives are designed to support macroeconomic stability, promote inclusive growth, and enhance the country’s capacity to withstand climate-related shocks.

The ECF programme focuses on providing concessional financing to boost the economy through productive sectors and social services, while the RSF programme targets long-term resilience, particularly in addressing the impacts of climate change.

According to Blancher, the IMF remains committed to supporting Tanzania in completing the ongoing programmes and shaping the next phase of reforms.

One of the main objectives of this two-week mission is to discuss key economic policy issues, particularly how Tanzania is navigating challenges arising from the ongoing geopolitical tensions in the Middle East,” he noted.

Tuesday, 28 April 2026

BENKI YA EXIM YAUNGANA NA SERIKALI KUKUZA ELIMU YA TEKNOLOJIA NCHINI

Dodoma, Aprili 27, 2026 — Benki ya Exim imeendelea kuunga mkono juhudi za serikali katika kuboresha elimu nchini, hasa katika maeneo ya teknolojia na ubunifu.

Timu ya benki hiyo ikiongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Bw. Shani Kinswaga, pamoja na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na wa Kati, Bw. Andrew Lyimo, na Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Bw. Stanley Kafu, ilikutana na Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia, Mheshimiwa Adolf Mkenda, jijini Dodoma.

Lengo la kikao hicho lilikuwa kuimarisha ushirikiano kati ya Benki ya Exim na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia katika kuendeleza sekta ya elimu.

Katika mazungumzo yao, walijadili namna benki hiyo inaweza kusaidia ufadhili wa wanafunzi wa elimu ya juu, hasa wanaosomea masomo muhimu ya kisasa kama Sayansi ya Data (Data Science), Akili Unde (Artificial Intelligence), na sayansi shirikishi.

NMB YATOA SHILINGI MILIONI 200 NJOMBE, MTAKA AITAKA SEKTA YA FEDHA KUWEKEZA KATIKA HUDUMA ZA DIALYSIS

Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka (kushoto), akipokea mfano wa hundi kutoka kwa Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Wagofya Mfalamagoha (kulia), wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika mjini Njombe. NMB imetoa shilingi milioni 80 kama sehemu ya ushiriki wake katika maadhimisho ya Mei Mosi, huku pia ikitoa zaidi ya shilingi milioni 120 kwa ajili ya vifaa vya shule na vituo vya afya mkoani humo kupitia sera yake ya uwajibikaji kwa jamii (CSI).

Njombe, Aprili 28, 2026 — Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Anthony Mtaka, ametoa wito kwa taasisi za kifedha nchini kusaidia upatikanaji wa mashine za kusafisha damu (dialysis) katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Njombe, hatua itakayopunguza kwa kiasi kikubwa gharama na usumbufu kwa wagonjwa wanaolazimika kusafiri hadi Mbeya kufuata huduma hiyo muhimu.

Akizungumza wakati wa hafla ya kupokea msaada wa vifaa vya shule na hospitali uliotolewa na Benki ya NMB, Mtaka alisisitiza kuwa taasisi za ndani zina nafasi ya kipekee ya kuleta mabadiliko ya moja kwa moja kwa wananchi kupitia uwekezaji wa kimkakati katika sekta za afya na elimu.

Huduma za dialysis ni hitaji muhimu linalogusa maisha ya watu wengi. Tukipata mashine hizi hapa Njombe, tutapunguza mzigo mkubwa kwa wagonjwa na familia zao,” alieleza.

Kwa upande wake, Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Wagofya Mfalamagoha, alibainisha kuwa benki hiyo itaendelea kushirikiana na Serikali katika kushughulikia changamoto za kijamii, akisisitiza dhamira ya taasisi hiyo katika kuchochea maendeleo jumuishi.

Katika mchango wake, NMB imetoa shilingi milioni 80 kusaidia maandalizi ya maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi) kitaifa yatakayofanyika Njombe, pamoja na shilingi milioni 120 zilizotumika kugharamia vifaa vya shule na hospitali.

NHC ATTRACTS STRATEGIC INVESTMENT WITH ANGAZA TOWER PROJECT ALONG SAMORA AVENUE, DAR ES SALAAM

Officials from Bravo Africa of South Africa engaging in technical discussions with members of the NHC Management Team regarding the upcoming investment set to commence soon along Samora Avenue in Dar es Salaam.
The Founder and Chairman of Bravo Africa of South Africa, Tiff Willemse (left), together with the company’s Chief Executive Officer, Budodi Jelard (center), and Peter Stokes, follow proceedings during the meeting held at NHC Headquarters, Kambarage House, in Dar es Salaam.
The Director of RDNA, Adrian Booysen, consultants to Bravo Africa, speaks during the meeting held at NHC Headquarters, Kambarage House, in Dar es Salaam.

Dar es Salaam | April 21, 2026

An international company, Bravo Africa of South Africa, in partnership with the National Housing Corporation (NHC), has officially commenced the implementation phase of a major modern high-rise development known as Angaza Tower, to be constructed in the heart of Dar es Salaam along Samora Avenue.

The project, which has already entered the contractual stage, forms part of NHC’s broader strategy to attract strategic investment aimed at transforming urban development in Tanzania.

A technical meeting held recently was led by Bravo Africa’s Founder and Chairman, Tiff Willemse, while the NHC Management Team was headed by William Genya, Director of Business Development.

Angaza Tower will be developed across a cluster of prime plots located in the city centre, including Plot Nos. 320/32 (Samora/Mkwepu Avenue), 322/32 (Mansfield/Samora Avenue), 385/32 (Mansfield/Samora Avenue), 592/32 (Bridge/Samora Avenue), 649/32 (Bridge/Samora Avenue), and 650/32 (Bridge/Samora Avenue).

This area is among the most commercially valuable zones in Dar es Salaam, making the project highly significant both economically and strategically.

According to the presented master plan, Angaza Tower will be a mixed-use development, integrating multiple key services within a single complex. These will include modern conference facilities capable of hosting national and international events, hotel services, high-end residential units, rental apartments, and commercial spaces.

This integrated design aims to create a one-stop centre that enhances efficiency in economic and social activities while offering convenience to users.

NHC NA BRAVO AFRICA KUANZA UJENZI WA ANGAZA TOWER, MRADI WA KIMATAIFA SAMORA AVENUE, DAR ES SALAAM

Viongozi na watendaji mbalimbali wa Kampuni ya Bravo Africa ya Afrika ya Kusini wakijadili masuala ya kiufundi na baadhi ya wajumbe wa Menejimenti ya NHC juu ya uwekezaji utakoanza hivi karibuni Samora Avenue, Dar es Salaam. Mkutano huo ulifanyika hivi karibuni Makao Makuu ya NHC - Kambarage House, Dar es Salaam.
Kiongozi wa Kampuni ya Bravo Africa ya Afrika Kusini, Willemse Tiff (kushoto) akiwa pamoja na Mtendaji Mkuu wa Kampuni hiyo, Budodi Jelard (katikati) na Peter Stokes wakifuatilia mjadala katika mkutano huo.
Mkurugenzi wa RDNA, Adrian Booysen ambao ni washauri wa Kampuni ya Uwekezaji Bravo Africa akizungumza katika mkutano huo uliofanyika Makao Makuu ya NHC - Kambarage House, Dar es Salaam.

Dar es Salaam | Aprili 21, 2026

Kampuni ya kimataifa ya Bravo Africa ya Afrika Kusini, kwa ubia na Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), imeanza rasmi hatua za utekelezaji wa mradi mkubwa wa ujenzi wa jengo la kisasa la kimataifa lijulikanalo kama Angaza Tower, litakalojengwa katikati ya Dar es Salaam katika eneo la Samora Avenue.

Mradi huu tayari umeingia hatua ya kimkataba na ni sehemu ya mkakati wa NHC wa kuvutia uwekezaji wa kimkakati unaolenga kubadilisha taswira ya maendeleo ya mijini nchini. Kupitia ushirikiano huu, taasisi hiyo inalenga kuharakisha ukuaji wa miundombinu ya kisasa inayokidhi mahitaji ya sasa na ya baadaye ya uchumi wa Tanzania.

Kikao cha kitaalamu (technical meeting) kilichofanyika kuhusiana na mradi huo kiliongozwa na Kiongozi wa Bravo Africa, Tiff Willemse, huku kwa upande wa NHC Menejimenti ikiongozwa na William Genya, Mkurugenzi wa Uendelezaji Biashara. Kikao hicho kilijikita katika tathmini ya maendeleo ya awali ya mradi na hatua zinazofuata kuelekea utekelezaji kamili.

Eneo la Kimkakati lenye Thamani ya Juu

Angaza Tower itajengwa katika mkusanyiko wa viwanja vilivyopo katikati ya jiji, vikiwemo maeneo ya Samora Avenue, Mansfield na Bridge Streets. Eneo hili linatajwa kuwa miongoni mwa maeneo yenye thamani kubwa kibiashara jijini Dar es Salaam, jambo linaloipa mradi huu uzito mkubwa kiuchumi na kimkakati.

Mradi wa Matumizi Mchanganyiko (Mixed-Use Development)

Kwa mujibu wa mpango uliowasilishwa, Angaza Tower itakuwa jengo la matumizi mchanganyiko likijumuisha huduma mbalimbali ndani ya eneo moja. Hizi ni pamoja na:

  • Kumbi za mikutano za kisasa kwa mikutano ya kitaifa na kimataifa
  • Huduma za hoteli
  • Makazi ya hadhi ya juu
  • Nyumba za kupangisha
  • Maeneo ya biashara

Muundo huu unalenga kuunda kituo jumuishi (one-stop center) kitakachochochea shughuli za kiuchumi na kijamii kwa ufanisi zaidi, huku kikitoa urahisi wa upatikanaji wa huduma mbalimbali kwa watumiaji.

Monday, 27 April 2026

A DECADE OF SAMSUNG ACOUSTIC MASTERY: HARMONIZING AI WITH THE HUMAN EXPERIENCE

Dar es Salaam, Tanzania — In the typical Tanzanian home, the living room has undergone a remarkable transformation. It is no longer just a place to sit—it has become a private concert hall for the latest Afro-beats music videos, a stadium for thrilling weekend football matches, and a sanctuary for family movie nights. As visual experiences continue to evolve with stunning UHD and Neo QLED displays, there is a silent hero completing this transformation: sound.

At Samsung Electronics, the belief is clear—technology should not simply exist within your space; it should understand your needs. This philosophy lies at the core of the company’s 2026 audio ecosystem, designed to bridge the gap between passive listening and true immersion.

For 12 consecutive years, Samsung has maintained its position as the global leader in soundbar sales. This achievement goes beyond hardware or market share—it reflects a decade-long pursuit of acoustic excellence. The mission has remained consistent: to move people through sound.

Moving Beyond Loudness to Intelligence

With leadership comes the responsibility to innovate. As the future unfolds, Samsung is shifting its focus from sheer volume to intelligent audio experiences.

In many Tanzanian households, acoustic environments vary widely. High ceilings, tiled floors, and open-plan layouts can cause sound to bounce and distort. This is where Bespoke AI and enhanced multi-device integration come into play.

The 2026 lineup introduces advanced AI Room Calibration technology. Instead of manual adjustments, the soundbar analyzes the room’s dimensions and textures, optimizing audio output in real time. Whether it’s the roar of a stadium crowd or the subtle dialogue in a local drama series, AI ensures clarity and precision regardless of the room’s layout.

NBC YAZINDUA KAMPENI YA “NBC SHAMBANI” KUIMARISHA ELIMU YA FEDHA NA KUCHOCHEA KILIMO BIASHARA RUVUMA

Katibu Tawala wa Wilaya ya Namtumbo, Bw. Francis Ngoroka (wa pili kushoto), akikata utepe kuashiria uzinduzi rasmi wa kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC, yenye lengo la kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kimkakati ikiwemo ufuta, soya, mbaazi na tumbaku wilayani humo. Hafla hiyo ilifanyika mwishoni mwa wiki na kushirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo, wakiwemo viongozi wa vyama vya ushirika pamoja na wakulima. Wengine pichani ni Meneja wa NBC Kanda ya Pwani, Bi. Zubeider Haroun (kulia), Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo Wadogo na Wakulima wa NBC, Bw. Raymond Urassa (wa pili kulia), pamoja na Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Wilaya ya Namtumbo, Bw. Anicet Ndunguru (kushoto).
Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo Wadogo na Wakulima wa NBC, Bw. Raymond Urassa (wa pili kulia), akimwelezea Katibu Tawala wa Wilaya ya Namtumbo, Bw. Francis Ngoroka (wa pili kushoto), kuhusu zawadi zitakazotolewa kupitia kampeni ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” inayoratibiwa na Benki ya NBC, ikiwa na lengo la kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kimkakati ikiwemo ufuta, soya, mbaazi na tumbaku wilayani humo. Wengine pichani ni Meneja wa Kanda ya Pwani, Bi. Zubeider Haroun (kulia), pamoja na Mkuu wa Idara ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi wa Wilaya ya Namtumbo, Bw. Anicet Ndunguru (kushoto).

Namtumbo, Ruvuma – Aprili 27, 2026 — Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi kampeni yake ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” katika mkoa wa Ruvuma, ikiwa na lengo la kuimarisha elimu ya fedha na kuchochea maendeleo ya kilimo biashara.

Kampeni hiyo inalenga kuongeza tija na uzalishaji wa mazao ya kimkakati—ikiwemo ufuta, soya, mbaazi na tumbaku—hususan katika wilaya za Songea, Namtumbo na Tunduru kupitia utoaji wa huduma za kifedha zilizobuniwa mahususi kwa wakulima.

Uzinduzi huo umefanyika wilayani Namtumbo mwishoni mwa wiki, ukiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya, Francis Ngoroka, na kushirikisha wadau mbalimbali wa sekta ya kilimo wakiwemo viongozi wa vyama vya ushirika pamoja na wakulima. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na viongozi waandamizi wa NBC, akiwemo Meneja wa Kanda ya Pwani, Zubeider Haroun, na Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakulima, Raymond Urassa.

Kuimarisha Uchumi wa Kilimo Kupitia Elimu ya Fedha

Akizungumza katika hafla hiyo, Bw. Ngoroka aliipongeza NBC kwa jitihada zake za kuwawezesha wakulima kupitia suluhisho bunifu za kifedha. Alibainisha kuwa kampeni hiyo itachochea ukuaji wa uchumi wa wilaya ya Namtumbo na mkoa wa Ruvuma kwa ujumla, hasa kupitia huduma jumuishi zinazojumuisha elimu ya fedha, bima pamoja na mikopo ya maendeleo kwa wakulima na vyama vyao.

Alisisitiza kuwa thamani ya kampeni hiyo inaonekana katika msisitizo wake wa kujenga nidhamu ya fedha miongoni mwa wakulima na vyama vya ushirika—ikiwa ni pamoja na kuhamasisha uwekaji akiba, matumizi ya huduma za bima (ikiwemo bima ya afya na mazao), pamoja na uwekezaji katika zana za kisasa za kilimo.

Mpango huu utahamasisha wakulima kujiunga na mifumo rasmi ya kifedha, hatua itakayochochea uchumi jumuishi na kuongeza ustahimilivu wa sekta ya kilimo,” alieleza.