Foreign Exchange Rates

Equity Bank Advert_12 February 2026

CRDB Bank Advert_070325

Global Sanctions Compliance Masterclass

Sunday, 8 March 2026

MASTERCARD YAITAMBUA EXIM BANK KWA TUZO MBILI ZA ELITE BANKING NA MATUMIZI YA KADI 2025

Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya Exim Tanzania, Bw. Shani Kinswaga, akipokea moja ya tuzo mbili kutoka kwa Makamu wa Rais Mwandamizi – Meneja wa Nchi, Afrika Mashariki na Visiwa vya Bahari ya Hindi wa Mastercard, Shehryar Ali (wa pili kushoto), wakati wa ziara ya Mastercard katika ofisi za benki hiyo jijini Dar es Salaam. Tukio hilo lilishuhudiwa na Makamu wa Rais na Meneja wa Akaunti wa Mastercard, Elsie Kaguru (kushoto); Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi na wa Kati wa Benki ya Exim Tanzania, Andrew Lyimo (wa pili kulia); pamoja na Mkuu wa Uendeshaji na Utoaji wa Huduma wa Benki ya Exim, Tumaini Mwakafwaga (kulia).

Dar es Salaam, Tanzania – Kampuni ya kimataifa ya teknolojia ya malipo, Mastercard, imefanya ziara maalum katika makao makuu ya Exim Bank Tanzania jijini Dar es Salaam, kuimarisha zaidi ushirikiano wa kimkakati kati ya taasisi hizo mbili pamoja na kukabidhi tuzo mbili muhimu kufuatia mafanikio ya benki hiyo kwa mwaka 2025.

Katika ziara hiyo, Exim Bank Tanzania ilitunukiwa tuzo ya “Best Elite Banking Proposition – 2025” pamoja na “Highest Spend Per Card in Tanzania – 2025”, tuzo zinazoonesha mafanikio yake katika kubuni na kuendesha huduma za kibenki za hadhi ya juu pamoja na kuongoza kwa matumizi ya kadi nchini.

Mafanikio ya Elite Banking

Tuzo hizi zinatokana na mafanikio yaliyopatikana kufuatia uzinduzi wa huduma ya Elite Banking mnamo Julai 2025, huduma iliyobuniwa mahsusi kuwahudumia wateja wa hadhi ya juu (High-Net-Worth Individuals). Huduma hii inalenga kutoa suluhisho za kifedha zinazolingana na mahitaji na mtindo wa maisha wa wateja hao.

Kupitia huduma hiyo, wateja hupatiwa Meneja Mahusiano binafsi (Relationship Manager) anayewasaidia kupata suluhisho za uwekezaji na mikopo ya mtu binafsi. Vilevile, wateja hufaidika na manufaa ya kimataifa ikiwemo upatikanaji wa airport lounges kupitia huduma ya Mastercard DragonPass.

Kuimarika kwa Matumizi ya Kadi

Kwa upande mwingine, tuzo ya “Highest Spend Per Card in Tanzania – 2025” inaonesha mafanikio ya benki katika kuhamasisha matumizi ya kadi kwa wateja wake. Mafanikio hayo yamechangiwa na kampeni mbalimbali za kimkakati, ikiwemo UEFA Priceless Campaign, ambayo ilihamasisha matumizi ya kadi katika malipo huku ikitoa fursa za kipekee kwa washindi kufurahia ofa za kimataifa.

Akizungumza wakati wa hafla ya kukabidhi tuzo hizo, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Exim Bank Tanzania, Andrew Lyimo, alisema tuzo hizo ni uthibitisho wa mkakati wa benki hiyo wa kuinua viwango vya huduma za kibenki za hadhi ya juu nchini.

Tuzo hizi kutoka Mastercard ni uthibitisho wa mkakati wetu wa kubadilisha na kuinua viwango vya huduma za kibenki za hadhi ya juu nchini Tanzania. Uzinduzi wa Elite Banking mwaka 2025 ulikuwa hatua muhimu katika safari yetu ya kuwahudumia wateja wetu kwa ubora wa hali ya juu, kwa kuunganisha suluhisho bora za kifedha na ofa za kipekee kulingana na mfumo wa maisha ya wateja wetu. Mafanikio haya yanatokana na imani ya wateja wetu pamoja na uwekezaji wetu endelevu katika ubunifu na teknolojia.”

Kwa upande wake, Makamu Rais na Meneja wa Akaunti wa Mastercard, Elsie Kaguru, aliipongeza Exim Bank kwa uongozi wake katika kukuza huduma za premium banking na kuimarisha matumizi ya kadi nchini.

Exim Bank imeonesha uongozi wa kipekee katika kukuza huduma za premium banking na kuimarisha matumizi ya kadi nchini Tanzania. Ukuaji wa haraka wa huduma ya Elite Banking pamoja na kiwango cha juu cha matumizi kwa kila kadi vinaakisi uelewa sahihi wa mahitaji ya wateja wa kisasa. Tunajivunia ushirikiano wetu na Exim Bank na tuna matarajio makubwa ya kuendeleza mafanikio haya kwa pamoja.”

Kuimarisha Malipo ya Kidijitali Tanzania

Ushirikiano kati ya Exim Bank na Mastercard umejikita katika kuimarisha mifumo salama ya malipo ya kidijitali, kuboresha huduma za kadi za hadhi ya juu, na kupanua upatikanaji wa manufaa ya kimataifa kwa wateja wa Tanzania.

Ushirikiano huo tayari umeanza kuonesha matokeo chanya kupitia utofautishaji wa bidhaa za kifedha pamoja na kuongezeka kwa matumizi ya kadi na miamala ya kidijitali.

Ziara hiyo pia imeonesha dhamira ya pamoja ya taasisi hizi mbili katika kukuza malipo ya kidijitali, kuimarisha huduma za kibenki za hadhi ya juu, na kuchochea ukuaji endelevu wa sekta ya fedha nchini Tanzania.

Saturday, 7 March 2026

WAZIRI WA FEDHA BALOZI KHAMIS MUSSA OMAR AONGOZA WATEJA WA NBC KATIKA FUTARI MAALUM

Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar (katikati) akipokea zawadi maalum kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa NBC, Dk. Elirehema Doriye (kushoto), wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na benki hiyo kwa ajili ya wateja wake jijini Dar es Salaam. Anayeshuhudia ni Mkurugenzi Mtendaji wa NBC, Bw. Theobald Sabi (kulia).
Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar (mbele) akiwaongoza wageni waalikwa kupata futari wakati wa hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya NBC kwa ajili ya wateja wake jijini Dar es Salaam.

Azikumbusha Taasisi za Fedha Kusaidia Kutimiza Dira ya Taifa 2050

Dar es Salaam, Machi 6, 2026 — Waziri wa Fedha, Balozi Khamis Mussa Omar, aliwaongoza baadhi ya Waislamu jijini Dar es Salaam kushiriki hafla ya futari iliyoandaliwa na Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) kwa ajili ya wateja na wadau mbalimbali wa benki hiyo.

Hafla hiyo iliyofanyika katika Hoteli ya Johari Rotana, Dar es Salaam, ililenga kuimarisha mahusiano kati ya benki hiyo na wadau wake, huku ikitumika pia kama jukwaa la kukumbushana wajibu wa taasisi za fedha katika kuchangia maendeleo ya taifa.

Katika hotuba yake, Waziri Omar alizikumbusha taasisi za fedha nchini umuhimu wa kuchangia utekelezaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050, inayolenga kujenga Tanzania yenye uchumi wa kisasa unaochochewa na uwekezaji, viwanda, biashara pamoja na ubunifu wa kidijitali.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa serikali, viongozi wa dini pamoja na wateja na wadau wa benki hiyo. Uongozi wa NBC uliwakilishwa na Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi, Dk. Elirehema Doriye, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Bw. Theobald Sabi, na maofisa wengine waandamizi.

Taasisi za Fedha Zasisitizwa Kujenga Uaminifu

Akizungumza katika hafla hiyo, Waziri Omar aliishukuru na kuipongeza NBC kwa kuandaa tukio hilo la kiimani, akisisitiza kuwa uthabiti wa sekta ya fedha ni nguzo muhimu katika kukuza uchumi wa taifa.

Alieleza kuwa ili kufanikisha hilo, ni muhimu taasisi za fedha kuendelea kujenga uaminifu mkubwa kwa wateja wao.

Hii ndiyo sababu tunazithamini sana taasisi za fedha zinazojenga ukaribu zaidi na wateja pamoja na wadau wake muhimu. Tunaamini kwamba uaminifu ndio msingi wa mzunguko wa fedha katika uchumi, kama ilivyo kaulimbiu yenu ya ‘Daima Karibu Nawe’. Nawapongeza sana NBC kwa kuendeleza utamaduni huu,” alisema.

Aidha, alibainisha kuwa Serikali imeweka msisitizo mkubwa katika kujenga uchumi jumuishi, shindani na unaotegemea uzalishaji wa ndani, hivyo sekta ya fedha ina nafasi kubwa katika kufanikisha azma hiyo.

Ili kufikia malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo ya mwaka 2050, sekta ya fedha hasa benki zina jukumu la msingi — si tu kutoa huduma za kifedha bali pia kuwa wawezeshaji wa mageuzi makubwa ya kiuchumi,” alisisitiza.

SERENGETI BREWERIES STRENGTHENS PARTNERSHIP WITH GOVERNMENT TO BOOST AGRICULTURAL DEVELOPMENT

Dar es Salaam, Tanzania – March 6, 2026 — Serengeti Breweries Limited (SBL) has held a strategic meeting with the Minister for Agriculture, Daniel Chongolo, aimed at strengthening public-private collaboration to support Tanzania’s agricultural development, empower farmers, and expand local value chains.

The SBL delegation was led by Board Chairman, Paul Makanza and Managing Director, Obinna Anyalebechi.

During the engagement, the company congratulated the minister on his recent appointment and reaffirmed its long-term commitment to supporting the government’s agricultural transformation and industrialisation agenda through sustained private sector investment.

Strengthening Local Agricultural Supply Chains

SBL highlighted its growing investment in local agriculture and its efforts to strengthen domestic supply chains.

In 2024, the company sourced approximately 20,000 tonnes of grains locally, representing 80% of its annual raw material requirements. This approach reduces reliance on imports while creating stable market opportunities for Tanzanian farmers.

By integrating locally grown barley, maize, and sorghum into its brewing operations, SBL is strengthening the link between agriculture and manufacturing while contributing to Tanzania’s broader industrialisation goals.

On average, the company contributes over TZS 15 billion annually to farmers within its agricultural supply chain.

Empowering Farmers Through “Shamba ni Mali”

SBL also showcased its flagship agricultural empowerment programme, “Shamba ni Mali,” launched in 2025 to improve farmer productivity and promote sustainable sourcing.

Through the programme, the company collaborates with more than 600 farmers cultivating barley, maize, and sorghum. Participants receive:

  • Agronomic training
  • Access to improved inputs
  • Support for regenerative agriculture practices

These initiatives help improve soil health, increase yields, and promote climate-smart farming.

KCB BANK TANZANIA YAANDAA HAFLA YA IFTAR ZANZIBAR KUIMARISHA USHIRIKIANO NA JAMII

Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, Mhe. Dkt. Juma Malik Akil (kulia), akishiriki katika Iftar iliyoandaliwa na KCB Bank katika Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar, yenye lengo la kuimarisha mshikamano na wateja wake pamoja na wadau wa maendeleo katika mwezi mtukufu wa Ramadhani. Kushoto ni Sheikh Khamis Mataka, Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Shariah KCB SAHL.

Zanzibar – Machi 5, 2026: KCB Bank Tanzania imeandaa hafla maalumu ya Iftar katika hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar, yenye lengo la kuimarisha mshikamano na wateja pamoja na wadau wa maendeleo katika msimu huu mtukufu wa Ramadhani.

Hafla hiyo ilihudhuriwa na Mgeni Rasmi, Mhe. Dkt. Juma Malik Akil, Waziri wa Fedha na Mipango wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.

Akizungumza kwenye hafla hiyo, Sheikh Khamis Mataka, Mwenyekiti wa Bodi ya Shariah ya KCB Bank Tanzania, alisisitiza umuhimu wa kufanya biashara kwa uadilifu, uwazi, na misingi ya kumcha Mungu—nguzo kuu ya huduma za Sahl Banking.

Mataka alifafanua huduma mbalimbali zinazotolewa na Sahl Banking, ikiwa ni pamoja na:

  • Murabaha – ufadhili wa faida badala ya riba
  • Qard Hasan – mikopo ya muda mfupi isiyo na riba
  • Akaunti maalum za Hijja na akiba

Aidha, alibainisha juhudi za benki katika uwezeshaji wa vijana kupitia programu ya 2Jiajiri, inayowapa mafunzo ya ujasiriamali na ujuzi wa kiuchumi, pamoja na msaada kwa nyumba za watoto yatima visiwani Zanzibar.

ICEA LION YAZINDUA KAMPENI YA “SIMBA WA BIMA” KUIMARISHA ULINZI WA MAISHA YA WATANZANIA

Mkurugenzi wa Utekelezaji na Huduma za Uthaminishaji wa Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA), Alex Rocky (mwenye skafu), aliyemwakilisha Kamishna wa TIRA, Dr. Baghayo Saqware, akipokea zawadi kutoka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya ICEA Lion Group, James Ndegwa (kushoto), wakati wa uzinduzi wa kampeni ya Simba Wa Bima inayolenga kuhamasisha Watanzania kutambua umuhimu wa bima katika kulinda familia, kupanga maisha ya kustaafu na kukuza biashara. Kulia ni Afisa Mtendaji Mkuu wa ICEA Lion, Jared Awando.

Dar es Salaam, Tanzania | Jumatatu, 2 Machi 2026

Kampuni ya bima ya ICEA LION imezindua rasmi kampeni mpya iitwayo “Simba Wa Bima”, hatua inayolenga kuimarisha uelewa wa umuhimu wa bima na kuiweka kampuni hiyo kama mshirika wa kuaminika kwa Watanzania katika kila hatua ya maisha.

Uzinduzi huo ulifanyika jioni ya Jumatatu, tarehe 2 Machi 2026 katika ukumbi wa Marquee wa Serena Hotel, ukihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya bima, viongozi wa serikali, washirika wa biashara pamoja na wawakilishi wa vyombo vya habari.

Mgeni rasmi katika tukio hilo alikuwa Dr. Baghayo Saqware, Kamishna wa Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA), ambaye alisisitiza umuhimu wa ubunifu kama huu katika kuimarisha ukuaji wa sekta ya bima na kuongeza uelewa wa wananchi kuhusu huduma za bima nchini.

Kampeni Inayoangazia Safari ya Maisha

Kampeni ya Simba Wa Bima inalenga kuwakumbusha Watanzania kwamba bima ni nguzo muhimu katika kupanga na kulinda maisha yao. Kuanzia hatua za awali kama elimu na ajira, hadi kuanzisha familia, kukuza biashara na kupanga maisha ya kustaafu, kampeni hiyo inalenga kuonyesha jinsi bima inavyoweza kusaidia watu kusonga mbele kwa ujasiri.

Akizungumzia uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa ICEA LION, Jared Awando, alisema kampeni hiyo inaakisi uelewa wa kina wa changamoto na fursa zinazotokea katika hatua mbalimbali za maisha.

Maisha yana hatua mbalimbali. Kuanzia elimu na kazi, hadi kuanzisha familia, biashara, na hatimaye kustaafu – kila hatua inakuja na fursa pamoja na majukumu yake,” alisema Awando.
Wakati watu wanapanga maisha yao, bima huwapa ujasiri wa kusonga mbele kwa amani. Kupitia Simba Wa Bima, tunathibitisha nafasi yetu kama mshirika anayesimama na Watanzania katika kila hatua ya safari ya maisha.”

NMB NA PPRA WAZINDUA HUDUMA YA KIDIJITALI YA UTHIBITISHAJI WA BANK GUARANTEE KUBORESHA UNUNUZI WA UMMA

Dar es Salaam, Machi 5, 2026 – NMB Bank Plc kwa kushirikiana na Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) wamezindua huduma mpya ya Digital Bank Guarantee Confirmation, hatua muhimu inayolenga kuboresha na kuharakisha michakato ya ununuzi wa umma nchini kwa kutumia teknolojia ya kidijitali.

Huduma hiyo inaunganisha mifumo ya benki ya NMB na mfumo wa serikali wa ununuzi wa kielektroniki, NeST System, na hivyo kuwezesha uthibitishaji wa papo hapo wa dhamana za benki zinazotumika katika zabuni za serikali.

Uzinduzi huo ulifanyika katika Makao Makuu ya NMB jijini Dar es Salaam, ukihudhuriwa na viongozi kutoka serikalini na sekta binafsi, wataalamu wa ununuzi, wateja pamoja na wawakilishi wa vyombo vya habari.

Kuimarisha Mageuzi ya Kidijitali katika Ununuzi wa Umma

Akizungumza katika uzinduzi huo, Afisa Mtendaji Mkuu wa NMB, Ruth Zaipuna, alisema huduma hiyo mpya inaonyesha dhamira ya benki hiyo kuendelea kutumia teknolojia na ushirikiano wa kimkakati kubuni masuluhisho ya kifedha yanayoongeza ufanisi na uwazi katika sekta mbalimbali za uchumi.

Alieleza kuwa huduma hiyo ya kidijitali itarahisisha mchakato wa kuwasilisha na kuthibitisha dhamana za benki zinazohitajika katika zabuni za ununuzi wa umma.

Kwa muda mrefu, uthibitishaji wa dhamana za benki ulitegemea zaidi nyaraka za karatasi, hali iliyosababisha ucheleweshaji wa michakato, mzigo wa kiutawala pamoja na hatari ya upotevu au kughushi nyaraka.

Kwa uzinduzi wa huduma ya Digital Bank Guarantee Confirmation, michakato ambayo hapo awali ilichukua siku kadhaa sasa inaweza kukamilika kwa muda mfupi sana,” alisema Zaipuna.

Kupitia mfumo huu uliounganishwa, NMB itaweza kuhakiki dhamana za benki pamoja na akaunti za wazabuni papo hapo kupitia mfumo wa NeST.

Kusaidia Biashara Kushiriki Zabuni za Serikali

Ununuzi wa umma ni nguzo muhimu ya shughuli za kiuchumi nchini Tanzania. Kila siku, makampuni makubwa, biashara ndogo na za kati (SMEs), wakandarasi, wasambazaji na watoa huduma hushiriki katika zabuni za serikali zinazohitaji kasi, uwazi na uzingatiaji wa kanuni.

Kupitia huduma hii mpya, wazabuni wanaweza kuwasilisha na kuthibitisha aina mbalimbali za dhamana za benki moja kwa moja kupitia mfumo wa NeST, zikiwemo:

  • Bid Bond (Dhamana ya Zabuni)
  • Advance Payment Guarantee (Dhamana ya Malipo ya Awali)
  • Performance Guarantee (Dhamana ya Utekelezaji wa Mkataba)

Kwa mujibu wa NMB, huduma hii inaleta manufaa kadhaa kwa biashara zinazoshiriki zabuni za serikali, ikiwemo:

  • Kushiriki zabuni kwa haraka zaidi
  • Uthibitishaji wa papo hapo wa dhamana za benki
  • Kupungua kwa mzigo wa kiutawala na ufuatiliaji
  • Kuongezeka kwa uwazi na uwajibikaji
  • Kuimarika kwa imani katika michakato ya zabuni

NMB AND PPRA LAUNCH DIGITAL BANK GUARANTEE SERVICE TO TRANSFORM PUBLIC PROCUREMENT

Dar es Salaam, March 5, 2026 – NMB Bank Plc has partnered with the Public Procurement Regulatory Authority (PPRA) to launch a Digital Bank Guarantee Confirmation service, a major step aimed at modernising Tanzania’s public procurement processes through technology.

The new service integrates NMB’s banking systems with the government’s electronic procurement platform, NeST System, allowing instant verification of bank guarantees used in government tenders.

The initiative was officially launched at the NMB Head Office in Dar es Salaam, bringing together leaders from the public and private sectors, procurement professionals, customers, and members of the media.

Advancing Digital Transformation in Public Procurement

Speaking during the launch, Ruth Zaipuna, Chief Executive Officer of NMB Bank, said the new solution reflects the bank’s commitment to using technology and strategic partnerships to deliver innovative financial services that improve efficiency and transparency across key sectors of the economy.

She explained that the digital service will simplify the process of submitting and verifying bank guarantees required in public procurement.

Traditionally, the verification of bank guarantees relied heavily on paper-based processes that often resulted in delays, administrative burdens, and risks such as document loss or fraud.

“With the launch of the Digital Bank Guarantee Confirmation service, processes that previously took several days can now be completed almost instantly,” said Zaipuna.

Through the integrated system, NMB will verify both the bank guarantee and the bidder’s account in real time and provide immediate confirmation through the NeST platform.

Supporting Businesses Participating in Government Tenders

Public procurement plays a crucial role in Tanzania’s economic activity. Every day, large corporations, small and medium-sized enterprises (SMEs), contractors, suppliers, and service providers compete for government tenders that require speed, transparency, and strict compliance with procurement regulations.

The new digital solution allows bidders to submit and verify several types of guarantees directly through the NeST system, including:

  • Bid Bonds
  • Advance Payment Guarantees
  • Performance Guarantees

According to NMB, the service offers several key benefits to businesses participating in public tenders:

  • Faster participation in procurement processes
  • Instant verification of bank guarantees
  • Reduced administrative workload and follow-up requirements
  • Improved transparency and accountability
  • Greater confidence when competing for public contracts

Friday, 6 March 2026

SIKA TANZANIA MARKS 10 YEARS WITH NEW MWANZA PLANT AND DAR ES SALAAM EXPANSION

Dar es Salaam, Tanzania – March 5, 2026 – Global specialty chemicals company Sika has announced a major expansion of its operations in Tanzania, marking a significant milestone as the company celebrates 10 years of presence in the country.

The expansion includes the upgrade of its existing manufacturing facility in Dar es Salaam and the launch of a new state-of-the-art plant in Mwanza, a move expected to strengthen local production, create jobs, and support sustainable growth in Tanzania’s rapidly expanding construction sector.

Expanding Local Manufacturing Capacity

The upgraded Dar es Salaam facility will significantly enhance production capacity and operational efficiency, reinforcing Sika’s commitment to supplying high-quality construction solutions manufactured locally.

Meanwhile, the new Mwanza plant has been strategically positioned to serve Tanzania’s Lake Zone and Western corridor, improving product availability and distribution efficiency across regions such as Kagera RegionShinyanga Region, and surrounding areas.

According to Dennis Ott, General Manager of Sika Tanzania, the investment reflects the company’s long-term confidence in Tanzania’s economic growth.

Our investment in expanding our Dar es Salaam operations and establishing a new plant in Mwanza reflects our long-term commitment to Tanzania’s industrial growth and economic development,” he said.
By strengthening our local manufacturing presence, we are closer to our customers, creating jobs, and ensuring that world-class solutions are produced in Tanzania for Tanzania.”

Supporting Infrastructure and Construction Growth

The expansion is expected to boost local production, reduce reliance on imports, and generate new employment opportunities, particularly in technical and manufacturing roles.

The Mwanza facility will also enhance supply efficiency not only for the Lake Zone, but potentially for the broader East African construction market, helping to support infrastructure and commercial development projects with locally manufactured materials.

A Decade of Impact in Tanzania

Over the past ten years, Sika Tanzania has played an important role in supporting the country’s construction and industrial sectors. The company provides advanced technologies used in bonding, sealing, waterproofing, concrete strengthening, and infrastructure protection.

Through initiatives such as Sika Academy, the company has also invested in skills development, training and certifying hundreds of local contractors and applicators.

Key Achievements So Far

  • More than 5,000 fundis trained through Sika Academy.
  • Materials supplied to over 100 major infrastructure and commercial projects nationwide, including the Julius Nyerere Hydropower Project, Standard Gauge Railway, and Kijazi Interchange.
  • 80% reduction in reliance on imported products due to increased local manufacturing.

Aligning with Tanzania’s Industrial and Green Growth Agenda

As Tanzania continues to pursue industrialization and green economy goals, investments in local manufacturing and climate-smart construction technologies are becoming increasingly important.

TMRC AND HABITAT LAUNCH HOUSING MICROFINANCE SOLUTIONS TO BOOST AFFORDABLE HOUSING ACCESS

DAR ES SALAAM, March 4, 2026 – Tanzania Mortgage Refinance Company (TMRC), in partnership with Habitat for Humanity International, has officially launched new Retail and Wholesale Housing Microfinance products aimed at expanding affordable housing access for low-income households in Tanzania.

The new financial solutions are designed particularly for families working in the informal sector, enabling them to build, improve, or expand their homes affordably.

Supporting Low-Income Families to Access Housing Finance

The launch follows a successful pilot programme implemented with National Bank of Commerce Tanzania and FINCA Microfinance Bank Tanzania, along with regulatory approval from the Bank of Tanzania allowing TMRC to refinance housing microfinance portfolios.

This milestone enables financial institutions to sustainably provide housing loans tailored to underserved households, particularly those who cannot qualify for traditional mortgage financing.

Partnership Driving Innovation in Housing Finance

The initiative stems from a partnership between TMRC and Habitat for Humanity that began in August 2022. The collaboration aims to transform Tanzania’s affordable housing finance landscape through:

  • Development of innovative housing finance products
  • Strengthening institutional capacity
  • Testing commercially viable housing finance models

Technical support for the initiative was provided by the Terwilliger Center for Innovation in Shelter, a unit of Habitat for Humanity that promotes innovative housing market solutions.

What is Housing Microfinance?

Housing microfinance enables families who cannot access conventional mortgages to improve their homes incrementally. These loans are designed for households with irregular incomes or informal employment, allowing them to finance home construction or improvements step-by-step.

TMRC’s Vision for Expanding Home Ownership

Speaking during the launch, TMRC Chief Executive Officer Elibariki Ndossi emphasized the importance of the initiative in supporting home ownership.

The launched product is part of TMRC’s strategic move to increase home ownership among Tanzanians and a significant step towards assisting the Government of the United Republic of Tanzania in enabling access to safe and secure homes, especially for families who have historically been unable to access mortgages,” Ndossi said.

Thursday, 5 March 2026

ABSA BANK MANAGING DIRECTOR PAYS COURTESY VISIT TO MBEYA REGIONAL COMMISSIONER

Mbeya Regional Commissioner, Hon. Beno Malisa (left), speaks with Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser, upon his arrival at the Regional Commissioner’s Office in Mbeya for a courtesy visit. Mr. Laiser and his delegation are in the region for an official working visit. On the right is Absa’s Mbeya Branch Manager, Mr. Alto Hagamu.
Mbeya Regional Commissioner, Hon. Beno Malisa (left), greets Absa Bank Tanzania Head of Customer Network & Sales Retail Banking, Ms. Mwilongo Msungu, as the bank’s Managing Director, Mr. Obedi Laiser (centre), and his delegation pay a courtesy visit to the Regional Commissioner’s Office in Mbeya yesterday.
Mbeya Regional Commissioner, Hon. Beno Malisa (left), shares a light moment with some directors of Absa Bank Tanzania during a courtesy visit by the bank’s Managing Director, Mr. Obedi Laiser (not in picture), and his delegation to the Regional Commissioner’s Office in Mbeya. In the centre is the bank’s Director of Retail Banking, Ms. Ndabu Swere, and Head of Customer Network & Sales Retail Banking, Ms. Mwilongo Msungu.

Mbeya, Tanzania – The Managing Director of Absa Bank TanzaniaObedi Laiser, together with senior bank officials, paid a courtesy visit to the Mbeya Regional Commissioner, Beno Malisa, at the Regional Commissioner’s office in Mbeya during an official working visit to the region.

The visit formed part of the bank’s continued engagement with regional leadership as it strengthens partnerships aimed at supporting economic growth, financial inclusion, and business development in Mbeya and the wider southern highlands.

Upon arrival, Mr. Laiser and his delegation were warmly received by the Regional Commissioner. During the visit, the two leaders exchanged views on opportunities for collaboration between the regional administration and the banking sector to support local businesses, entrepreneurs, and community development initiatives.

Mr. Laiser was accompanied by several senior officials from the bank, including Director of Retail Banking, Ndabu SwereHead of Customer Network & Sales Retail Banking, Mwilongo MsunguHead of Strategy and Data, John MoshaHead of Business Banking, Melvin Saprapasen, and Mbeya Branch Manager, Alto Hagamu.

During the meeting, the Regional Commissioner welcomed the bank’s leadership to the region and commended the role of financial institutions in supporting economic activities, particularly through financing businesses, empowering entrepreneurs, and expanding access to financial services.

UNDP, SERIKALI YA UINGEREZA YAWAKUTANISHA VIONGOZI WA VYUO VIKUU KUCHOCHEA UBUNIFU NA UJASIRIAMALI ZANZIBAR

Mhe. Fatma Mabrouk Khamis, Katibu Mkuu, Wizara ya Mawasiliano, Teknolojia ya Habari na Ubunifu, Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar akihutubia wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa semina ya Kubadilishana Wataalamu wa Kitaaluma inayolenga kuvigeuza Vyuo Vikuu kuwa injini za kuanzisha biashara bunifu changa na kukuza ujasiriamali. Semina hiyo inafanyika katika Chuo cha IIT Madras Zanzibar na kuandaliwa na UNDP Tanzania kupitia Mradi wake wa Ubunifu wa FUNGUO, kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar, ambapo imewakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, watunga sera na wadau wa mifumo ya ubunifu kutoka Afrika Mashariki kuanzia Machi 4–6, 2026.

Godfrey Nyamrunda, Mkuu wa Ofisi Ndogo ya UNDP Zanzibar, Tanzania, akizungumza na wageni waalikwa (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa semina ya Kubadilishana Wataalamu wa Kitaaluma inayolenga kuvigeuza Vyuo Vikuu kuwa injini za kuanzisha biashara bunifu changa na kukuza ujasiriamali.
Profesa Prabhu Rajagopal, Kaimu Mkurugenzi, Chuo cha IIT Madras – Kampasi ya Zanzibar, akizungumza na wageni waalikwa wakati wa uzinduzi wa semina ya Kubadilishana Wataalamu wa Kitaaluma inayolenga kuvigeuza Vyuo Vikuu kuwa injini za kuanzisha biashara bunifu changa na kukuza ujasiriamali.
Zanzibar, Machi 4, 2026 – Shirika la Umoja wa Mataifa la Maendeleo (UNDP Tanzania), kwa ushirikiano na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar pamoja na Chuo cha Indian Institute of Technology Madras Zanzibar (IIT Madras Zanzibar), limewakutanisha viongozi wa vyuo vikuu, watunga sera na wadau wa mifumo ya ubunifu kutoka Afrika Mashariki kuanzia Machi 4–6, 2026, katika Mpango wa Kihistoria wa Kubadilishana Wataalamu wa Kitaaluma (Faculty Exchange Programme) unaolenga kuvigeuza Vyuo Vikuu kuwa injini za kuanzisha biashara bunifu changa (startups) na kukuza ujasiriamali.

Ingawa Vyuo Vikuu vya Afrika Mashariki vinazalisha tafiti nyingi, vipaji na miliki bunifu (intellectual property), ni uvumbuzi mchache unaofanikiwa kuingia sokoni kama biashara endelevu na zenye uwezo wa kukua. Mpango huu unalenga kuziba pengo hili la kimfumo kwa kuimarisha mifumo ya taasisi, vivutio na ushirikiano unaowezesha uanzishaji wa biashara ndani ya taasisi za elimu ya juu.

STANDARD CHARTERED–BACKED WAZO BORA PITCH AWARDS TZS 17M SEED FUNDING TO ENTREPRENEURS

DAR ES SALAAM, Tanzania – 4 March 2026 – The Wazo Bora Pitch initiative has successfully concluded after awarding TZS 17 million in seed funding to promising entrepreneurs, marking the culmination of a transformative innovation and business development program.

The initiative follows the recent announcement that Standard Chartered Bank Tanzania donated USD 11,500 to Challenges Worldwide Tanzania to support entrepreneurial growth as part of the Standard Chartered Foundation’s RISE/E program.

From Idea to Investment

The Wazo Bora Pitch program began in December 2025 with a month-long call for applications that attracted a strong pool of aspiring entrepreneurs from diverse sectors.

After the application phase, 15 participants were selected to join an intensive business bootcamp aimed at strengthening their entrepreneurial capacity. 

The program focused on:

  • Refining business models
  • Improving financial management skills
  • Enhancing investment readiness

Following the training, seven finalists were shortlisted to compete in the final pitch event held in Dar es Salaam this week.

Winners of the Wazo Bora Pitch

At the conclusion of the competition, three outstanding entrepreneurs received seed funding to support the growth of their businesses:

  • Winner: Ng’oga Masheri Kaswahili – TZS 10,000,000
  • First Runner-Up: Mohamed Muhidini  TZS 4,000,000
  • Second Runner-Up: Nipaeii Mtana  TZS 3,000,000

The total TZS 17,000,000 in seed funding will directly support business expansion, job creation, and market growth for the winning enterprises.

Part of a Larger Entrepreneurship Program

The Wazo Bora Pitch forms part of the broader RISE/E Program, launched in 2024 through the Standard Chartered Foundation.

The three-year program valued at TZS 2.2 billion aims to:

  • Support 340 microbusinesses across Tanzania
  • Create 478 new job opportunities
  • Promote economic inclusion for women, youth, and persons with disabilities

Commitment to Entrepreneurial Growth

Speaking about the initiative, George Binde, on behalf of the Chief Executive Officer of Standard Chartered Bank Tanzania, highlighted the impact of the program.

In December we announced our USD 11,500 donation to support this initiative with the support of Challenges Worldwide Tanzania. Today we are seeing tangible results of that investment.

TSL LAUNCHES COLLECTIVE INVESTMENT SCHEMES TO EXPAND OPPORTUNITIES FOR TANZANIANS

Dar es Salaam, Tanzania — Tanzania Securities Limited (TSL) has marked another significant milestone after launching two innovative collective investment schemes — Imara Fund and Kesho Tulivu Fund — aimed at expanding investment opportunities and strengthening financial inclusion in Tanzania.

The new funds are designed to enable more Tanzanians to participate in the country’s growing capital markets while promoting a stronger culture of saving and investing.

Encouraging a National Culture of Saving and Investing

The launch event was officiated by the Governor of the Bank of Tanzania, Emmanuel Tutuba, who was represented by Emmanuel Akaro.

Speaking during the event, Akaro said the Imara Fund and Kesho Tulivu Fund provide structured opportunities for citizens to participate more actively in the capital markets.

He urged Tanzanians to embrace responsible saving and investing habits as a pathway to long-term financial stability.

Financial literacy is the foundation of personal and national prosperity. When individuals understand how to save, invest, and manage risk, they are better equipped to secure their future and contribute meaningfully to economic growth,” he said.
A nation that invests wisely builds wealth not only for today, but for generations to come.”

Two Funds, One Goal: Empowering Investors

TSL Chief Executive Officer George R. Shumbusho explained that while the two funds differ in design, they share a common objective — empowering Tanzanians to grow, protect, and plan their wealth with confidence.

Imara Fund

The Imara Fund is an open-ended investment scheme designed to offer:

  • High liquidity
  • Low-risk investment profile
  • Short-term capital growth

The fund primarily invests in a diversified portfolio of debt instruments, making it suitable for investors seeking flexibility and the ability to access their funds easily while still benefiting from professional fund management and strong risk controls.

Kesho Tulivu Fund

The Kesho Tulivu Fund, on the other hand, focuses on long-term wealth creation, particularly for retirement planning.

Key features include:

  • Flexible investment horizons of 5, 10, or 15+ years
  • Competitive long-term returns
  • Convenient options such as automatic payroll deductions
  • Flexible payout options including monthly, quarterly, annually, hybrid, or deferred returns

According to Shumbusho, the fund is designed to help Tanzanians build sustainable financial security for the future.

Wednesday, 4 March 2026

SERENGETI BREWERIES YAIMARISHA USHIRIKIANO NA WIZARA YA FEDHA KUKUZA UCHUMI WA TAIFA

Dar es Salaam, Machi 3, 2026 – Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) imefanya mazungumzo ya kimkakati na Naibu Waziri wa Fedha, Mheshimiwa Eng. Mshamu Ali Munde, kwa lengo la kuimarisha ushirikiano kati ya sekta ya umma na sekta binafsi katika kukuza uchumi wa Tanzania.

Kikao hicho kililenga kujadili namna bora ya kudumisha uthabiti wa mazingira ya biashara na kuharakisha kasi ya ukuaji wa uchumi wa taifa kupitia ushirikiano imara na wa muda mrefu.


Uongozi wa SBL Washiriki Mazungumzo

Mazungumzo hayo yaliongozwa na Mwenyekiti wa Bodi ya SBL, Paul Makanza, pamoja na Mkurugenzi Mtendaji, Obinna Anyalebechi. Uongozi wa kampuni uliwasilisha mchango wa SBL katika uchumi wa Tanzania na kusisitiza umuhimu wa sera thabiti na zinazotabirika katika kuchochea uwekezaji.


Mchango wa SBL kwa Takwimu Muhimu

Kama mmoja wa wazalishaji wakuu wa bia nchini, SBL imewekeza zaidi ya TZS 165 Bilioni katika shughuli zake za ndani katika miaka ya hivi karibuni. Kampuni inachangia zaidi ya TZS 220 Bilioni kwa Mwaka katika uchumi wa taifa na inashikilia zaidi ya 33% ya Soko la Vinywaji Nchini.

Mbali na uzalishaji wa bia, SBL huwekeza takriban TZS 15 Bilioni kwa Mwaka katika minyororo yake ya usambazaji wa ndani, ikinunua karibu Tani 20,000 za Nafaka za Ndani kila mwaka. Hatua hii inachochea ukuaji wa minyororo ya thamani ya kilimo, kusaidia maelfu ya wakulima, kuongeza uzalishaji wa ndani, na kupunguza utegemezi wa bidhaa kutoka nje.

Kampuni pia inaunga mkono zaidi ya Ajira 800 za Moja kwa Moja na Zisizo za Moja kwa Moja, huku ikiathiri maisha ya zaidi ya Watu 140,000 Kupitia Minyororo ya Thamani – kuanzia wakulima, wasambazaji, wauzaji, hadi wawekezaji wa hoteli na baa kote nchini.


Mazingira Thabiti ya Biashara ni Muhimu

Akizungumza katika kikao hicho, Mkurugenzi Mtendaji wa SBL, Obinna Anyalebechi, alisema:

SBL imejikita katika hadithi ya ukuaji wa Tanzania. Uwekezaji wetu hauishii kwenye uzalishaji tu, bali unaimarisha viwanda vya ndani, kupanua wigo wa kodi, kusaidia wakulima, kuajiri Watanzania, na kujenga minyororo imara ya thamani. Mazingira ya biashara thabiti na yanayoweza kutabirika ni muhimu kwa uwekezaji wa muda mrefu, na tutaendelea kushirikiana kwa karibu na serikali kuendesha maendeleo endelevu ya uchumi.”

Kwa upande wake, Naibu Waziri wa Fedha, Mh. Eng. Mshamu Ali Munde, alisisitiza kuwa kwa mujibu wa Dira ya Maendeleo ya Taifa 2050, serikali inalenga kujenga Uchumi wa Dola Trilioni 1 ifikapo 2050, ambapo takriban 70% ya Ukuaji unatarajiwa kuendeshwa na sekta binafsi.

DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE RECORDS 80.8% SURGE IN MARKET CAPITALISATION

Dar es Salaam – The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) has reported a sharp rise in market capitalisation and trading activity in the year to February 2026, reflecting renewed investor confidence and growing participation in Tanzania’s capital markets.

Total market capitalisation climbed to TSh 34.6 trillion between January and February 2026, up from TSh 19.1 trillion recorded during the same period last year. This marks an impressive 80.8 percent year-on-year growth, signalling strong price appreciation and sustained demand for listed equities.

Investor Confidence Driving Growth

Speaking during a media briefing in Dar es Salaam, DSE Chief Executive Officer Peter Nalitolela attributed the performance to continued trust among local investors and growing awareness of the benefits of investing through the stock market.

This is an indication that Tanzanians continue to have confidence in the market, and shares are being traded frequently, which explains such a significant increase,” Mr Nalitolela said.

Domestic Segment Posts Strong Gains

The domestic segment, comprising 22 Tanzanian companies, also delivered robust growth. Market capitalisation in this segment rose to TSh 24.4 trillion at the end of February 2026, up from TSh 12.7 trillion a year earlier — representing an average growth of approximately 90 percent.

Despite the strong performance, the total number of listed companies remains unchanged at 28, including 22 domestic firms and six foreign companies.

ABSA REAFFIRMS COMMITMENT TO WOMEN’S ECONOMIC EMPOWERMENT AS A NATIONAL GROWTH IMPERATIVE

Dar es Salaam, Tanzania – 4 March 2026

Absa Bank Tanzania Limited has reaffirmed its commitment to advancing women’s economic empowerment, positioning inclusion not as corporate philanthropy, but as a strategic national growth imperative critical to Tanzania’s long-term competitiveness.

Speaking to members of the media in Dar es Salaam, the Bank’s Managing Director, Obedi Laiser, underscored the economic case for inclusion, noting that empowering women is fundamental to sustainable growth.

Women empowerment is not optional for growth. It is a requirement for growth,” Mr. Laiser said. “Excluding nearly half of the country’s talent pool from full economic participation represents a measurable productivity loss.”


Inclusion Embedded in the Operating Model

Mr. Laiser explained that inclusion at Absa is not treated as a standalone initiative but is embedded within the Bank’s operating model — influencing product design, lending frameworks, leadership development, and strategic partnerships.

Women have always demonstrated capability and resilience. The strength was always there. What often lacked was access — access to capital, networks, and formal systems,” he said. “By empowering women, we are not choosing a segment. We are choosing Tanzania’s future.”


She Business Account: Expanding Access to Finance

A key example of this commitment is Absa’s She Business Account, a dedicated banking solution designed to address barriers that frequently exclude women entrepreneurs from the formal financial system.

The product reduces account maintenance costs while encouraging the development of strong transaction histories — a critical factor in improving credit eligibility and long-term financial inclusion.

Recognising that collateral requirements and informality often limit access to finance, the Bank has strengthened partnerships with microfinance institutions. Through a layered financing model, Absa provides capital to specialised lenders who extend financing to women entrepreneurs at the grassroots level, broadening access where it is needed most.


Challenging Credit Risk Perceptions

Mr. Laiser also addressed common misconceptions surrounding credit risk among women-led enterprises.

The notion that women are riskier borrowers does not align with performance data. Women-led enterprises frequently demonstrate strong repayment discipline and sustainable reinvestment behaviour,” he said.


Building Leadership Through “ElevateHer”

Beyond financial solutions, Absa is institutionalising inclusion through structured leadership development initiatives. Mr. Laiser sponsors an internal mentorship programme known as ElevateHer, which supports mid-level female managers in strengthening executive presence, enhancing boardroom engagement, and increasing strategic visibility.

The Bank also facilitates mentorship linkages between senior female directors and emerging leaders, reinforcing leadership continuity and knowledge transfer across the organisation.

This commitment is anchored in Absa’s corporate purpose — “Empowering Africa’s tomorrow, together… one story at a time” — and its brand promise, “Your story matters.”