Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Saturday, 29 August 2026

NMB, BUNGE WACHOCHEA HAMASA YA AFCON PAMOJA 2027

DODOMA - Agosti 29, 2026: Naibu Spika wa Bunge, Daniel Baran Sillo, amesema Bunge lipo tayari kushirikiana na Serikali katika maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027, mashindano makubwa ya soka barani Afrika yanayotarajiwa kufanyika Tanzania, Kenya na Uganda.

Sillo alitoa kauli hiyo wakati wa Bonanza la Bunge na NMB lililofanyika jijini Dodoma, katika tukio lililoandaliwa na NMB Bank kwa kushirikiana na Bunge.

Naibu Spika alisema maandalizi ya AFCON PAMOJA 2027 yanahitaji ushirikiano wa wadau mbalimbali, huku Bunge likiwa tayari kutekeleza wajibu wake katika kuhakikisha Tanzania inakuwa sehemu ya mafanikio ya mashindano hayo.

Bonanza hilo pia limetumika kama jukwaa la kuhamasisha umuhimu wa michezo, mazoezi na afya miongoni mwa viongozi na watumishi wa umma.

Akizungumza katika tukio hilo, Afisa Mkuu wa Wateja Binafsi na Biashara wa NMB, Filbert Mponzi, alisema NMB imeandaa bonanza hilo kwa kutambua mchango wa michezo katika kuimarisha afya na kuongeza tija kwa viongozi na watumishi.

“Tunataka michezo iwe sehemu ya utamaduni wa kazi na huduma kwa wananchi,” alisema Mponzi.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Bonanza la Bunge na Mbunge wa Makete, Festo Sanga, alisema bonanza hilo limewakutanisha wabunge, wizara na taasisi mbalimbali, likiwa pia na lengo la kuhamasisha mazoezi na kuongeza uelewa kuhusu mapambano dhidi ya magonjwa yasiyoambukiza.

TANZANIA U-19 WOMEN’S CRICKET TEAM TARGETS WORLD CUP TICKET AS AFRICA QUALIFIER BEGINS

Tanzania U-19 Women’s cricket team captain Saumu Deo (centre) speaks about the team’s preparations ahead of the ICC U19 Women’s T20 World Cup Africa Qualifier Division 1 2026, which will take place in Dar es Salaam from August 30 to September 5, 2026.

Dar es Salaam, August 29, 2026 — Tanzania U-19 Women’s cricket head coach Imran Nackerdien has challenged his players to become “thinking cricketers” capable of making the right decisions under pressure as they battle for Africa’s sole ticket to the ICC U-19 Women’s T20 World Cup 2027.

Nackerdien said preparations for the tournament have gone beyond the technical aspects of the game, with players being encouraged to read match situations, make informed decisions and take responsibility on the field.

“This tournament is not just all about cricket; it’s about thinking cricketers. That’s what we’re trying to produce — thinking cricketers on and off the field,” Nackerdien said.

Tanzania today welcomes seven of the continent’s most promising young women’s cricket teams for the ICC U-19 Women’s T20 World Cup Africa Qualifier Division 1, which gets underway at the TCA Cricket Arena at the University of Dar es Salaam (UDSM) and runs until September 5, 2026.

The qualifier features eight African teams, with the winner securing the continent’s place at the ICC U-19 Women’s T20 World Cup 2027.

FOCUS ON DECISION-MAKING

Nackerdien acknowledged that playing on home soil brings additional expectations, but said Tanzania should also view hosting the tournament as a privilege and make the most of the opportunity to play international cricket in front of home supporters.

“Obviously, there is a lot of pressure being the home side, but also the privilege of being the host nation,” he said.

Friday, 28 August 2026

NMB, BUNGE KUWAKUTANISHA ZAIDI YA WASHIRIKI 1,000 MICHEZONI DODOMA

NMB BUNGE BONANZA 2026 KUHAMASISHA AFYA, MSHIKAMANO NA TIJA KAZINI

Dodoma | Agosti 28, 2026

Zaidi ya washiriki 1,000 kutoka Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, wizara 14 na taasisi 10 wanatarajiwa kushiriki NMB Bunge Bonanza 2026, litakalofanyika Jumamosi, Agosti 29, 2026, jijini Dodoma.

Bonanza hilo limepata udhamini wa NMB Bank Plc wenye thamani ya Shilingi milioni 210, ukiwemo mchango wa vifaa mbalimbali vya michezo kwa ajili ya mashindano hayo.

Mwenyekiti wa Bunge Bonanza na Mbunge wa Makete, Festo Sanga, amesema mwaka huu Spika wa Bunge, Mussa Azzan Zungu, amezialika wizara 14 pamoja na taasisi 10 kushiriki bonanza hilo, hatua inayotarajiwa kuongeza idadi ya washiriki ikilinganishwa na miaka iliyopita.

Sanga amesema bonanza hilo litafanyika katika viwanja vya Shule ya Sekondari John Merlini, jijini Dodoma, ambapo Spika Zungu anatarajiwa kuwa mgeni rasmi.

Akizungumza wakati wa makabidhiano ya udhamini huo, Mshauri Mwandamizi wa Kitengo cha Biashara za Serikali wa NMB Bank, Vicky Bishubo, amesema NMB inaendelea kuunga mkono michezo kutokana na mchango wake katika kuimarisha afya, kujenga mshikamano na kuongeza tija mahali pa kazi.

“Tunatambua umuhimu wa michezo katika kujenga afya bora, mshikamano na kuongeza tija kazini. Ndiyo maana NMB inaendelea kushirikiana na taasisi mbalimbali katika kuhamasisha watumishi kushiriki katika michezo na shughuli za kimwili,” amesema Bishubo.

Vifaa vilivyokabidhiwa na NMB kwa ajili ya bonanza hilo ni pamoja na mipira, makombe, track suti za michezo, fulana na medali, pamoja na mahitaji mengine yatakayosaidia kufanikisha mashindano hayo.

Kabla ya kuanza kwa bonanza, wabunge watashiriki katika matembezi yatakayoanzia Chuo cha Mipango saa 12:00 asubuhi, ikiwa ni sehemu ya shughuli za kuhamasisha mazoezi na maisha yenye afya.

STANBIC BANK HOSTS TANZANIA-CHINA BUSINESS FORUM AS DIRECT SHILLING-YUAN PAYMENTS TAKE CENTRE STAGE

Dar es Salaam, 27 August 2026 – Tanzanian traders importing goods from China can now pay suppliers directly from their Tanzanian Shilling accounts, eliminating the need to first convert funds into US dollars before settlement in Chinese Yuan.

The new payment route was highlighted at a Tanzania-China Business Forum hosted by Stanbic Bank Tanzania at Diamond Jubilee Hall in Dar es Salaam, bringing together Tanzanian traders, Chinese business representatives, government authorities and trade institutions to explore opportunities for strengthening trade and investment between the two markets.

Dar es Salaam businesswoman Lulu Kheri, who has been importing from China for several years, welcomed the solution, saying exchange-rate movements and informal payment arrangements have long affected traders’ costs and profit margins.

“We traders look at the rate because we look at profit. Someone can quote you one rate in the morning and by midday the rate has changed. Sometimes you take a lower informal rate and then you are left worrying whether the money will reach your supplier. Many traders have lost money that way,” Kheri said.

She said the direct Shilling-to-Yuan solution gives traders a simpler and more predictable formal route for paying Chinese suppliers.

“What matters to us is the rate, the cost and knowing the supplier will be paid. If I can put my Shillings into my Stanbic account and the Chinese supplier gets paid without an additional transfer charge, that speaks directly to the needs of traders,” Kheri said.

“When money is being reduced at every stage of a transaction, eventually it affects your profit.”

The forum showcased Stanbic Bank Tanzania’s direct Tanzanian Shilling-to-Chinese Yuan payment solution, which was launched on 12 August 2026.

The service makes Stanbic the first bank in Tanzania to enable customers to pay Chinese suppliers directly from a Shilling account and receive payments from China through the same route.

Thursday, 27 August 2026

BOLT PUSHES FOR GREATER INDUSTRY COMPLIANCE, FUNDS LATRA LICENCES FOR 5,000 DRIVERS

Dar es Salaam, 27 August 2026 — Leading digital mobility platform Bolt Tanzania has launched a new initiative aimed at promoting greater regulatory compliance among ride-hailing drivers, funding more than 600 LATRA licences so far in August and targeting more than 5,000 drivers by the end of 2026.

According to Bolt, the initiative is designed to accelerate safety, professionalism and compliance across Tanzania’s growing ride-hailing industry while helping drivers overcome financial barriers associated with obtaining the required licences.

The cost of a LATRA licence ranges between TSh30,000 and TSh60,000, excluding training fees, depending on the vehicle category. The licence enables drivers to lawfully provide passenger transport services and access designated public areas for passenger pick-ups and drop-offs.

With a target of more than 5,000 drivers, Bolt’s investment could exceed TSh300 million, highlighting the potential of public-private collaboration in promoting regulatory compliance, road safety and consumer confidence in Tanzania’s mobility sector.

SUPPORTING A SAFER AND MORE PROFESSIONAL INDUSTRY

The initiative comes at a time when regulatory compliance remains an important component of efforts to strengthen road safety and build consumer confidence in Tanzania’s transport sector.

According to the Land Transport Regulatory Authority (LATRA), a total of 91,178 licences for private hire vehicles were issued during the 2024/25 financial year, reflecting continued efforts to formalise and regulate the sector.

Speaking about the initiative, Dimmy Kanyankole, Senior General Manager, Bolt East Africa, said compliance should be viewed as a shared investment in safer mobility rather than simply a regulatory obligation.

“A licensed driver represents more than regulatory compliance—it demonstrates that the individual has met the standards required to provide safe and professional transport services. And we need more of these to meet growing demand for movement, a primary driver of Tanzania’s economy.”

TANZANIA, COMOROS STRENGTHEN ECONOMIC COOPERATION FOR MUTUAL DEVELOPMENT

Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP) (right), bids farewell to the Minister for Finance, Budget and Banking Sector of Comoros, Hon. Moussa Abderemane, following their meeting and discussions at the Ministry of Finance’s offices in Dar es Salaam. Among other matters, they discussed the importance of creating a conducive environment to facilitate the movement of goods, services, capital and business people between Tanzania and Comoros, noting that this could help increase trade, investment and employment opportunities.

Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP) (centre left), chairs a meeting with the Government of Comoros delegation led by the Minister for Finance, Budget and Banking Sector of Comoros, Hon. Moussa Abderemane (centre right), during their meeting and discussions at the Ministry of Finance’s offices in Dar es Salaam.

Dar es Salaam: August 26, 2026 - Tanzania has reaffirmed its commitment to strengthening economic and development cooperation with the Government of the Union of the Comoros to promote shared prosperity and improve the welfare of citizens in both countries.

The commitment was made by the Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP), during talks with the Comoros Minister for Finance, Budget and Banking Sector, Hon. Moussa Abderemane, held at the Ministry of Finance’s offices in Dar es Salaam.

Ambassador Omar said economic cooperation should remain at the heart of efforts to deepen relations between Tanzania and Comoros, noting that the two countries have significant opportunities for collaboration in trade and investment, financial and banking services, public financial management, infrastructure development, energy, tourism and agriculture.

He emphasised the importance of creating a conducive environment to facilitate the movement of goods, services, capital and businesspeople between the two countries.

According to Ambassador Omar, easing cross-border movement would help expand trade and investment while creating more employment opportunities for citizens of both nations.

Wednesday, 26 August 2026

ZAIDI YA KITUO CHA MAJI: SAFARI YA SERENGETI BREWERIES KUPIGA TAFU UPATIKANAJI WA MAJI KWA JAMII

Kwa jamii ambazo zimeishi kwa miaka mingi bila uhakika wa upatikanaji wa maji safi na salama, kupata kituo cha maji cha uhakika kunaweza kubadilisha kwa kiasi kikubwa maisha ya kila siku. Safari iliyokuwa ikichukua saa kadhaa inaweza kupungua hadi dakika chache, kuwawezesha wanafamilia kutumia muda zaidi katika shughuli za uzalishaji, kuwapa watoto fursa ya kutumia muda mwingi shuleni na kusaidia jamii kuwa na mazingira bora na yenye afya.

Mabadiliko haya ya kila siku yanaonesha umuhimu wa upatikanaji wa maji safi na salama katika maendeleo ya jamii, hususan vijijini ambako vyanzo vya maji vya uhakika bado ni changamoto. Ukosefu wa maji unaweza kuathiri afya, usafi na ustawi wa jamii kwa ujumla.

Katika kuadhimisha Wiki ya Maji Duniani (World Water Week), Kampuni ya Bia ya Serengeti (SBL) inaangazia zaidi ya muongo mmoja wa uwekezaji wake katika kuboresha upatikanaji wa maji na kuhamasisha matumizi sahihi na endelevu ya rasilimali za maji nchini Tanzania.

WATER FOR LIFE: ZAIDI YA MIUNDOMBINU

Kupitia mpango wake wa ‘Water for Life’, SBL imekuwa ikilenga kuboresha upatikanaji wa maji safi na salama katika jamii za vijijini, hususan maeneo ambayo upatikanaji wa vyanzo vya maji vya uhakika umekuwa changamoto.

Hata hivyo, mpango huo hauishii katika kujenga miundombinu ya maji. SBL imekuwa ikilenga pia kuwawezesha wanajamii kushiriki katika kusimamia, kutunza na kuhakikisha uwekezaji huo unaendelea kuwa na manufaa kwa muda mrefu.

Katika kipindi cha zaidi ya miaka 10, SBL imewekeza zaidi ya shilingi bilioni 2 katika miradi 32 ya maji katika zaidi ya mikoa 11 nchini Tanzania. Miradi hiyo imewafikia zaidi ya watu milioni 2.3, na kusaidia jamii kupata maji safi na salama kwa urahisi zaidi huku ikiweka mazingira yanayochochea maisha yenye afya na tija.

NBC, DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE LAUNCH DIGITAL SHARE TRADING SERVICE THROUGH NBC KIGANJANI

Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) Chief Executive Officer, Peter Nalitolela (right) and NBC Bank Managing Director, Theobald Sabi (centre) display a symbol of partnership between the two institutions during a ceremony to announce a strategic collaboration enabling Tanzanians to conveniently buy and sell shares of companies listed on the DSE through NBC Kiganjani, the bank’s mobile banking service. The partnership was announced today in Dar es Salaam during a brief ceremony attended by officials from both institutions. Witnessing the occasion is Alfred Mkombo (left), Director of Research, Policy and Planning at the Capital Markets and Securities Authority (CMSA).

The Director of Research, Policy and Planning at the Capital Markets and Securities Authority (CMSA), Alfred Mkombo (centre), rings the bell to officially mark the launch of a partnership between the National Bank of Commerce (NBC) and the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), enabling Tanzanians to conveniently buy and sell shares of companies listed on the DSE through NBC Kiganjani, the bank’s mobile banking service.

Also pictured are DSE Chief Executive Officer, Peter Nalitolela (second left), NBC Managing Director, Theobald Sabi (second right), NBC Director of Retail and Corporate Banking, Elibariki Masuke (right) and other officials from the two institutions. The partnership was announced today in Dar es Salaam during a brief ceremony attended by officials from both institutions.

Dar es Salaam | August 26, 2026

The National Bank of Commerce (NBC), in partnership with the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), has launched a digital share trading service that enables Tanzanians to buy and sell shares of companies listed on the DSE through NBC’s mobile banking platform, NBC Kiganjani.

The partnership integrates the DSE Hisa Kiganjani platform with NBC Kiganjani, making capital market investment more accessible by allowing members of the public to invest directly in listed companies using their mobile phones, without the need to visit bank branches or capital market institutions.

A brief ceremony to introduce the partnership was held in Dar es Salaam and brought together senior officials from the two institutions, including DSE Chief Executive Officer Peter NalitolelaNBC Managing Director Theobald Sabi, and Alfred Mkombo, Director of Research, Policy and Planning at the Capital Markets and Securities Authority (CMSA), who represented CMSA Chief Executive Officer and Director General CPA Nicodemus Mkama.

NBC KIGANJANI OPENS ACCESS TO SHARE INVESTMENT

Speaking at the event, NBC Managing Director Theobald Sabi said the new service will enable customers to buy and sell shares, access important market information and monitor the value of their investments conveniently and securely at any time.

“We are delighted to announce the partnership between DSE Hisa Kiganjani and NBC Kiganjani. This collaboration gives our customers the opportunity to buy shares directly through their NBC accounts using NBC Kiganjani,” said Sabi.

He said the initiative is designed to remove some of the barriers that have traditionally limited access to capital market services and encourage more Tanzanians to participate in the investment economy.

SERVICE ALSO AVAILABLE TO NON-NBC CUSTOMERS

DSE Chief Executive Officer Peter Nalitolela said the service is not restricted to existing NBC customers.

He explained that people who do not already have an NBC account can download NBC Kiganjani, open an account using their National Identification Number (NIDA) and access the digital share trading service.

“We have enabled our DSE Hisa Kiganjani platform to be integrated with NBC Kiganjani. Once a customer logs into NBC Kiganjani, they can access DSE Hisa Kiganjani and buy shares directly,” said Nalitolela.

Tuesday, 25 August 2026

NMB BANK RECOGNISED AS AN EAST AFRICA SUPERBRAND FOR 2026–2028

Dar es Salaam, Tanzania - August 25, 2026: NMB Bank has been recognised as an East Africa Superbrand for the 2026–2028 cycle, after receiving the highest consumer endorsement in the banking category.

The recognition reflects the trust NMB Bank has built among its customers through consistent service delivery and a customer experience designed around the evolving needs of Tanzanians.

The Superbrand status follows an independent evaluation by the Superbrands Council, based on consumer research and voting across East Africa. The assessment considered key factors including service quality, consistency and the ability of brands to maintain a distinct and competitive position within their respective sectors.

Rahma Mwapachu, Head of Marketing and Brands at NMB Bank, received the certificate on behalf of the Bank.

NMB Bank said the recognition is a reflection of the continued confidence placed in the Bank by its customers and stakeholders.

The Bank reaffirmed its commitment to providing reliable, accessible and inclusive financial solutions that support individuals, businesses and Tanzania’s broader socio-economic development.

The recognition further highlights NMB Bank’s growing brand strength and its continued focus on delivering quality financial services to customers across the country.

Follow Kitomari Banking & Finance Blog for more updates on banking, business and financial sector developments.

30 YOUTH-LED & WOMEN-LED CSOs COMPLETE CAPACITY BUILDING PROGRAMME, 15 SELECTED FOR TZS 375M IN SEED GRANTS

Dar es Salaam, 24 August 2026: Thirty youth-led and girl/women-led Civil Society Organisations (CSOs) from Dar es Salaam, Zanzibar and Songwe have completed a three-month capacity-building programme implemented by the Foundation for Civil Society (FCS) in partnership with UNICEF Tanzania.

Following a competitive selection process, 15 of the participating organisations have been recommended to receive seed grants of TZS 25 million each, representing a total investment of TZS 375 million to support community-level initiatives.

The programme, introduced in April 2026, was designed to strengthen the organisational and technical capacity of CSOs working closely with communities on issues affecting children, adolescents, young people and women.

Between May and August 2026, approximately 90 representatives from the 30 CSOs participated in online training, mentorship and in-person sessions covering project cycle management, strategic communications and advocacy, institutional administration, financial and grant management, protection from sexual exploitation and abuse (PSEA), resource mobilisation and partnership development, as well as strategic leadership and governance.

Speaking at the seed grants awarding ceremony, Foundation for Civil Society Deputy Executive Director and Head of Programmes Quality and Learning, Cynthia Bavo, said the participating organisations already possess strong community connections and an understanding of the challenges facing children and adolescents.

“These organisations already have what matters most: they are trusted in their communities and they understand the problems children and adolescents face. What this programme has added is the institutional strength to act on that knowledge and to account for it. We are now moving from strengthening institutions to investing in the solutions they are positioned to deliver.”

FANTA® INTRODUCES NEW BERRY FLAVOUR IN TANZANIA

Coca-Cola Kwanza General Manager, David Chait (left), takes a selfie with some Dar es Salaam residents during celebrations marking the official launch of the new FANTA® Berry flavour in Dar es Salaam.

Dar es Salaam, Tanzania – August 24, 2026

FANTA® has expanded its flavour portfolio in Tanzania with the launch of FANTA® Berry, a new, bold and fruity beverage designed to bring more fun, playfulness and refreshing enjoyment to consumers across the country.

Inspired by the vibrant energy of Tanzanian youth culture and the fast-growing Singeli music movement, FANTA® Berry delivers a vibrant twist aimed at tantalising consumers’ taste buds while creating memorable moments of enjoyment.

Coca-Cola Kwanza General Manager, David Chait (right), the company’s Regional Trade Marketing Manager, Rukia Sakibu (left), and the firm’s Revenue Growth & Trade Marketing Director, Arthur Kyara (centre), showcase bottles of the newly launched FANTA® Berry flavour during an introductory event held in Dar es Salaam.

The new flavour is now available at selected retail outlets, supermarkets, universities, kiosks and trade outlets across Tanzania.

FANTA® BERRY BRINGS THE FUN

According to Kabula Nshimo, Senior Marketing Manager for Coca-Cola Tanzania, the new flavour reflects the brand’s commitment to giving consumers more variety and creating fruity experiences that respond to evolving tastes.

“We’re thrilled to bring even more variety to Tanzanians with this vibrant addition to the FANTA® family. FANTA® Berry embodies our commitment to creating fun, fruity twists filled with deliciousness that cater to people’s evolving tastes,” said Nshimo.

The launch campaign will be driven by the energetic “Kipapli” platform, which is designed to connect with Tanzania’s youth through music, dance, fashion, creator culture and on-ground experiences.

Sunday, 23 August 2026

NMB YAUNGA MKONO AFYA YA WATUMISHI KUPITIA SHIMISEMITA 2026

Mbeya, Tanzania; Agosti 23, 2026 — Benki ya NMB imeendelea kuunga mkono jitihada za Serikali za kuimarisha afya ya mwili na akili ya watumishi kupitia Mashindano ya Kitaifa ya SHIMISEMITA 2026 yanayoendelea mkoani Mbeya.

Mashindano hayo yamewakutanisha zaidi ya watumishi 5,000 kutoka halmashauri 184 nchini, huku NMB ikiwa miongoni mwa wadau wanaoendelea kuyaunga mkono.

Meneja wa NMB Kanda ya Nyanda za Juu, Wogofya Mfalamagoha, alisema ushiriki wa benki hiyo unatokana na imani kwamba mtumishi mwenye afya njema ana nafasi kubwa ya kuwa na tija na kutoa huduma bora kwa wananchi.

Katika mashindano ya mwaka huu, NMB imetoa Sh milioni 34.5 pamoja na jezi kwa timu zitakazofuzu hatua ya robo fainali katika michezo ya mpira wa miguu, mpira wa wavu, mpira wa pete na mpira wa kikapu.

SERIKALI YAPONGEZA MCHANGO WA NMB

Mgeni rasmi katika mashindano hayo, Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, aliyemwakilisha Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, aliipongeza NMB kwa kuendelea kushirikiana na Serikali katika shughuli zinazochangia ustawi wa watumishi na wananchi.

Saturday, 22 August 2026

ABSA BANK EXPANDS SUPPORT FOR YOUNG INNOVATORS THROUGH SECOND GIRLCODE HACKATHON

Absa Bank Tanzania Chief Operating Officer, Oscar Mwamfwagasi.

Dar es Salaam, Tanzania - August 22, 2026: Absa Bank Tanzania, in partnership with GirlCode, a South African-based non-profit organisation dedicated to equipping girls from underprivileged backgrounds with the skills and resources needed to thrive in the technology industry, has announced the return of the GirlCode Tanzania Hackathon for its second year.

The announcement follows a remarkable milestone in 2025, when Tanzania’s team won the Pan-African Grand Prize valued at US$5,000, highlighting the growing potential of young Tanzanian women in technology and innovation.

The GirlCode Hackathon forms part of GirlCode’s wider Pan-African initiative aimed at empowering young women with practical technology skills, mentorship and opportunities to develop solutions addressing real challenges in their communities.

The return of the Tanzania edition marks an important step in strengthening the country’s pipeline of female technology talent while building on the success achieved by participants in last year’s competition.

Tanzania’s 2025 victory demonstrated the impact of investing in young women as innovators, builders and problem-solvers. The achievement not only placed Tanzania on the Pan-African GirlCode Hackathon map but also inspired more young women across the country to see themselves as active participants in Africa’s rapidly growing digital economy.

“At GirlCode, we are incredibly proud of what the Tanzania team achieved last year,” said Zandile Mkwanazi, CEO of GirlCode. “Winning the Pan-African Grand Prize showed the depth of talent, creativity, and potential that exists among young women in Tanzania. As we return for the second year, our goal is to build on that momentum and give even more young women the opportunity to develop their skills, work in teams, and create technology-driven solutions that can have real impact.”

 

This year’s hackathon will bring together female students, graduates, aspiring developers and young innovators who will collaborate in teams, receive mentorship and present their solutions to a panel of judges.

VODACOM TANZANIA REPORTS STRONG FY2026 PERFORMANCE AS DIVIDENDS RISE 18.4%

Dar es Salaam, 20 August 2026: Vodacom Tanzania Plc has reported strong financial and operational performance for the financial year ended 31 March 2026, driven by sustained investment in network infrastructure, digital services and financial inclusion.

The performance was highlighted during the Company’s 10th Annual General Meeting (AGM), where shareholders considered and approved key resolutions covering the Company’s FY2026 results, dividend, Board composition, governance and future strategic direction.

SERVICE REVENUE RISES TO TZS 1.8 TRILLION

During FY2026, Vodacom Tanzania’s service revenue increased by 21.8% to TZS 1.8 trillion, while EBITDA rose by an impressive 38.8% to TZS 684.9 billion.

Profit after tax increased by 18.4% to TZS 107.1 billion, while underlying profit after tax grew by 125.5%, reflecting stronger operational performance and improved financial efficiency.

The Company also continued to expand its customer base, which reached 27.7 million, representing a 22.3% increase year-on-year.

Growth was supported by a 22.5% increase in data customers and 22.6% growth in M-Pesa customers, highlighting the increasing adoption of digital connectivity and financial services in Tanzania.

MAJOR INVESTMENT IN NETWORK AND DIGITAL INFRASTRUCTURE

Vodacom Tanzania significantly increased its investment in infrastructure during the financial year.

Capital expenditure rose by 85.1% to TZS 323.9 billion, supporting the deployment of 444 new 4G sites and 25 new 5G sites, alongside major investments in information technology and network modernisation.

As a result, 4G population coverage reached 76.3%, an increase of 3.8 percentage points, while the number of smartphone users increased by 31.5%.

The Company has also continued to support the Government’s efforts to expand connectivity in rural areas. Since 2013, Vodacom Tanzania has constructed 466 rural sites under the Government’s rural connectivity programme.

SHAREHOLDERS TO RECEIVE HIGHER DIVIDENDS

The strong financial performance has translated into increased returns for shareholders.

The AGM approved a final gross dividend of TZS 23.91 per ordinary share for FY2026, payable on or before 15 October 2026 to shareholders recorded in the register as at the close of trading on 19 August 2026.

Total dividends proposed for FY2026 amount to TZS 53.6 billion, representing an 18.4% year-on-year increase.

WORLD BANK PLEDGES CONTINUED PARTNERSHIP WITH TANZANIA ON STRATEGIC DEVELOPMENT PROJECTS

Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP) (right), bids farewell to World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa, Dr. Ndiame Diop, after their meeting and discussions at the Ministry of Finance’s offices in Dar es Salaam. The meeting focused on strengthening cooperation in developing the Central Corridor and transforming it from a transportation route into an economic corridor capable of creating jobs and stimulating productive activities.

Dar es Salaam, Tanzania; August 20, 2026

The World Bank has reaffirmed its commitment to strengthening its partnership with Tanzania in advancing strategic development projects aimed at unlocking the economic potential of the Central Corridor, creating jobs, stimulating economic growth and improving livelihoods in Tanzania and neighbouring countries.

The commitment was made by World Bank Vice President for Eastern and Southern Africa, Dr. Ndiame Diop, during a meeting with Minister for Finance, Hon. Ambassador Khamis Mussa Omar (MP) at the Ministry of Finance’s offices in Dar es Salaam. The meeting took place on the second day of Dr. Diop’s visit to Tanzania.

Dr. Diop said the World Bank sees significant potential in strengthening its cooperation with Tanzania to develop the Central Corridor and transform it from a transportation route into a fully-fledged economic corridor capable of generating employment, expanding production and supporting the implementation of Tanzania’s Development Vision 2050.

He said the partnership will focus on supporting critical infrastructure development, including ports and railways, as well as expanding the railway network to neighbouring Burundi.

“One of the major areas of our future cooperation is strengthening projects along the Central Corridor. We have had productive discussions with the Minister for Finance on what we can do together to support this corridor and transform it into an economic corridor capable of creating many jobs,” Dr. Diop said.

CENTRAL CORRIDOR TO DRIVE VALUE ADDITION

Beyond transport infrastructure, Dr. Diop said the World Bank sees the need for integrated investments across areas served by the Central Corridor to increase the value of resources produced in Tanzania.

These areas include agriculture and agro-processing, mining and mineral processing, logistics hubs and other transport-related services, with the aim of ensuring that Tanzanians benefit more from investments along the corridor.

Friday, 21 August 2026

NMB YAWAINUA WAFANYABIASHARA TISA WA MTAA WA LUMUMBA JIJINI MWANZA KWA FIDIA YA SH1.072 BILIONI

Mwanza; Agosti 21, 2026 — Wafanyabiashara tisa wa Mtaa wa Lumumba jijini Mwanza wamepata fursa ya kuanza upya baada ya NMB Bank, kwa kushirikiana na Reliance Insurance, kuwalipa fidia ya jumla ya Sh1.072 bilioni kufuatia moto ulioteketeza maduka na mali zao Julai 3, 2026.

Malipo hayo yamekuja baada ya tathmini ya kina ya hasara iliyofanywa na wataalamu wa bima kufuatia tukio hilo, ambapo wafanyabiashara hao walikuwa miongoni mwa waliokuwa wamechukua bima ya biashara na mali zao.

Meneja wa Madai ya Bima wa NMB Bank, Madoro Max, alisema wataalamu walitumwa mara moja kufanya tathmini ya uharibifu baada ya taarifa za moto kupokelewa.

Alisema tathmini hiyo ilithibitisha madai yenye thamani ya Sh1,072,554,090 kwa wafanyabiashara hao tisa waliokuwa na bima.

Baada ya kupokea taarifa ya tukio, tulichukua hatua za haraka kwa kuwatuma wataalamu kufanya tathmini ya uharibifu na kushughulikia madai yaliyowasilishwa,” alisema Max.

Akizungumzia tukio hilo, Mkuu wa Mkoa wa Mwanza, Said Mtanda, aliwataka wafanyabiashara kuhakikisha biashara na mali zao zinawekewa bima ili kupunguza madhara ya kifedha yanayoweza kujitokeza kutokana na majanga kama moto.

Mtanda alisema bima ni nyenzo muhimu ya kulinda mitaji na kuimarisha ustahimilivu wa wafanyabiashara pale wanapokumbwa na majanga yasiyotarajiwa.

Kwa upande wake, Meneja wa NMB Kanda ya Ziwa, Faraja Ng’ingo, alisema fidia hiyo itawasaidia wafanyabiashara walioathirika kurejesha shughuli zao na kuendelea kupata kipato.

“Malipo haya ni muhimu kwa sababu yatawapa wafanyabiashara hawa uwezo wa kurejesha biashara zao na vyanzo vyao vya mapato baada ya kupata hasara kubwa,” alisema Ng’ingo.

Reliance Insurance ilieleza kuwa wafanyabiashara tisa pekee kati ya zaidi ya 60 walioathiriwa na moto huo walikuwa na bima.

Hali hiyo inaonesha umuhimu wa wafanyabiashara kuwa na uelewa kuhusu bima na kuhakikisha biashara, mali na mitaji yao inalindwa dhidi ya majanga mbalimbali.

VODACOM YATANGAZA MATOKEO IMARA YA MWAKA WA FEDHA 2026, GAWIO KWA WANAHISA LAONGEZEKA KWA 18.4%

Mwenyekiti wa Bodi ya Vodacom Tanzania Plc, David Tarimo (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu Mkutano Mkuu wa 10 wa Mwaka wa Wanahisa wa Kampuni ya Vodacom, uliojadili na kuidhinisha maazimio muhimu kuhusu utendaji wa mwaka wa fedha 2026, ikiwemo malipo ya gawio na mwelekeo wa biashara.

Mkutano huo uliofanyika Agosti 20, 2026, katika makao makuu ya Vodacom jijini Dar es Salaam, uliidhinisha gawio la mwisho la Shilingi 23.91 kwa kila hisa, sawa na jumla ya Shilingi bilioni 53.6 kwa mwaka wa fedha 2026.

Wengine ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom Tanzania Plc, Philip Besiimire (wa pili kushoto)Mkurugenzi wa Fedha wa Vodacom Tanzania Plc, Bi. Hilda Bujiku (kushoto); pamoja na wajumbe wa Bodi, Margret Ikongo (wa pili kulia) na Joyce Nkini-Iwisi (kulia).

Dar es Salaam, Agosti 20, 2026: Vodacom Tanzania Plc imeendelea kuonyesha ukuaji imara na kuongeza thamani kwa wanahisa, wateja na jamii katika mwaka wa fedha ulioishia Machi 31, 2026, huku uwekezaji katika miundombinu ya mawasiliano, huduma za kidijitali na huduma jumuishi za kifedha ukiendelea kuwa kichocheo muhimu cha mafanikio hayo.

Matokeo hayo yalitangazwa wakati wa Mkutano Mkuu wa 10 wa Mwaka wa Wanahisa wa Vodacom Tanzania Plc, ambapo wanahisa walijadili na kuidhinisha maazimio mbalimbali yanayohusu utendaji wa Kampuni, malipo ya gawio, muundo wa Bodi, utawala bora na mwelekeo wa biashara kwa siku zijazo.

MAPATO YA HUDUMA YAFIKIA TZS 1.8 TRILIONI

Katika mwaka wa fedha 2026, mapato ya huduma ya Vodacom Tanzania yaliongezeka kwa 21.8% hadi kufikia TZS 1.8 trilioni, huku EBITDA ikiongezeka kwa 38.8% hadi TZS 684.9 bilioni.

Faida baada ya kodi ilifikia TZS 107.1 bilioni, ikiwakilisha ongezeko la 18.4% ikilinganishwa na mwaka uliotangulia.

Wakati huo huo, idadi ya wateja iliongezeka kwa 22.3% hadi kufikia milioni 27.7, ikichangiwa na ongezeko la 22.5% la wateja wa intaneti na 22.6% la wateja wa M-Pesa.

UWEKEZAJI WA TZS 323.9 BILIONI KATIKA MTANDAO

Utendaji huo umechangiwa kwa kiasi kikubwa na uwekezaji mkubwa katika mtandao, teknolojia na majukwaa ya kidijitali.

VODACOM YAKABIDHI MADARASA MAWILI KWA SHULE YA MSINGI MAHILO RUVUMA, KUBORESHA MAZINGIRA YA ELIMU


Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (kushoto), akisalimiana na Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Vodacom Tanzania Plc, Abednego Mhagama, wakati alipowasili katika hafla ya makabidhiano ya madarasa mawili yaliyojengwa katika Shule ya Msingi Mahilo, mkoani Ruvuma, kupitia programu ya Vodacom Tanzania Foundation.

Madarasa hayo yanalenga kuwapatia wanafunzi na walimu mazingira bora ya kujifunzia na kufundishia, na ni sehemu ya juhudi za kampuni hiyo za kuboresha mazingira ya elimu kwa watoto kupitia ujenzi na ukarabati wa madarasa.

Katika awamu hii, shule tatu za msingi za umma katika mikoa ya Pwani, Ruvuma na Morogoro zimenufaika na mpango huo. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Agosti 20, 2026, katika Shule ya Msingi Mahilo, mkoani Ruvuma.

Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (katikati), akipokea maelezo kuhusu madarasa mawili yaliyokabidhiwa na Vodacom Tanzania Plc katika Shule ya Msingi Mahilo, mkoani Ruvuma, kwa lengo la kuboresha mazingira ya kujifunzia na kufundishia kwa wanafunzi na walimu. Hatua hiyo ni sehemu ya juhudi za Vodacom Tanzania Foundation za kuimarisha miundombinu ya elimu kupitia ujenzi na ukarabati wa madarasa.

Katika awamu hii, shule tatu za msingi za umma katika mikoa ya Pwani, Ruvuma na Morogoro zimenufaika. Hafla ya makabidhiano ilifanyika Agosti 20, 2026, katika Shule ya Msingi Mahilo, mkoani Ruvuma. Wengine pichani ni Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa kampuni hiyo, Abednego Mhagama (kushoto), na Meneja wa Vodacom Tanzania Foundation, Sandra Oswald.
Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma, Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed (katikati, waliokaa), na Mkuu wa Kanda ya Nyanda za Juu Kusini wa Vodacom Tanzania, Abednego Mhagama (wa tatu kushoto, waliokaa), wakiwa katika picha ya pamoja na viongozi wa Serikali mkoani Ruvuma pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Vodacom Tanzania Plc, wakati wa hafla ya makabidhiano ya madarasa mawili yaliyojengwa katika Shule ya Msingi Mahilo, mkoani humo, kupitia programu ya Vodacom Tanzania Foundation.

Thursday, 20 August 2026

EQUITY GROUP RECORDS 32 PERCENT PROFIT AFTER TAX GROWTH IN H1 2026

Equity Group Managing Director and Chief Executive Officer, Dr. James Mwangi.

August 20, 2026 — Equity Group Holdings Plc has reported a 32 percent year-on-year increase in Profit After Tax (PAT) to TZS 841 billion for the first half of 2026, up from TZS 640 billion recorded during the corresponding period last year.

In Tanzania, Equity Bank Tanzania also delivered a strong performance, recording Profit Before Tax of TZS 55.5 billion, while Profit After Tax grew by 82 percent, reflecting strong business momentum, disciplined execution and growing customer confidence in the market.

The results demonstrate Equity’s continued resilience, regional strength and ability to deliver sustainable growth in a dynamic operating environment. The performance was supported by stronger revenue generation, improved efficiency, disciplined risk management and continued investment in technology-enabled financial services.

TECHNOLOGY CONTINUES TO DRIVE GROWTH

At Group level, Equity’s performance reflects the success of its transformation into a diversified, technology-enabled financial services institution. The Group continues to deepen customer relationships, strengthen its operating model and expand access to financial services through digital platforms, branches, agents and merchant channels.

Technology remained a major driver of the Group’s performance. During the first half of 2026, 98.3 percent of all transactions were conducted outside branches, while 89.7 percent were processed through digital platforms.

The shift highlights growing customer preference for convenient, secure and accessible financial services, while reinforcing the critical role of technology in improving service delivery, operational efficiency and customer experience.

While releasing the results, Equity Group Managing Director and Chief Executive Officer, Dr. James Mwangi, said the performance reflects the success of the Group’s long-term transformation into a diversified, regional and technology-enabled financial services institution.

“Our H1 2026 performance reflects the success of our deliberate transformation into a diversified, regional, technology enabled financial services Group. We are building a future ready institution; scalable, secure, and impact led, anchored in digital capabilities, staff upskilling, and a culture of disciplined execution,” he said.

 

Dr. Mwangi added that Equity continues to evolve beyond traditional banking into an integrated, technology-enabled financial institution that mobilises capital, connects ecosystems and accelerates inclusive and sustainable prosperity across Africa.

EQUITY BANK TANZANIA STRENGTHENS MARKET POSITION

For Equity Bank Tanzania, the strong first-half performance reinforces the Bank’s growing role in supporting individuals, entrepreneurs, small and medium-sized enterprises (SMEs), corporates and public sector customers.

The performance points to increasing customer confidence in the Bank’s ability to provide practical financial solutions that support business growth, payments, savings, lending and day-to-day money management.