Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Sunday, 9 August 2026

HALOTEL YASHIRIKI MAONESHO YA NANE NANE 2026 KATIKA MIKOA SABA NCHINI

DAR ES SALAAM: Agosti 8, 2026 - Kampuni ya Halotel imeshiriki kikamilifu katika Maonesho ya Kilimo ya Nane Nane 2026, kwa kuendesha shughuli zake katika mikoa saba ya Tanzania ambayo ni Dodoma, Zanzibar, Arusha, Mwanza, Mbeya, Kagera na Tabora.

Maonesho hayo ya kitaifa yamefanyika kuanzia Agosti 1 hadi 8, 2026, chini ya kaulimbiu “Kutambua Soko, Kuongeza Uzalishaji, Kutekeleza Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050.”

Kupitia ushiriki wake katika maonesho hayo, Halotel imeendelea kuonyesha namna teknolojia na huduma za mawasiliano zinavyoweza kusaidia wakulima, wafanyabiashara na wananchi kwa ujumla katika kuongeza tija na fursa za kiuchumi.

Katika mabanda yake katika maeneo hayo saba, Halotel imeonyesha bidhaa na huduma mbalimbali, zikiwemo router za 5G, huduma ya intaneti ya nyumbani kupitia FTTH, huduma za fedha kwa njia ya simu ya HaloPesa, pamoja na vifurushi vya mawasiliano vyenye gharama nafuu.

Wakulima, wafanyabiashara wa mazao na wananchi wanaotembelea maonesho wamepata fursa ya kuona na kujifunza namna huduma hizo zinavyoweza kuwasaidia kuunganisha nyumba, maduka na ofisi zao kwa huduma za mawasiliano zenye kasi, ubora na uhakika.

TEKNOLOJIA KUUNGANISHA WAKULIMA NA MASOKO

Kwa kuzingatia kaulimbiu ya Nane Nane ya mwaka huu, inayolenga kuwawezesha wakulima kutambua masoko na kuongeza uzalishaji, timu za Halotel katika kila eneo la maonesho zimekuwa zikieleza namna teknolojia inavyoweza kuwa sehemu muhimu ya mnyororo wa thamani wa kilimo.

Kupitia huduma zake, wakulima wanaweza kupata taarifa kuhusu bei za mazao, kufanya malipo kupitia HaloPesa, kuwafikia wanunuzi wa bidhaa zao, pamoja na kupata huduma na taarifa mbalimbali za ugani kupitia mtandao.

ABSA BANK FC CROWNED CHAMPIONS OF TANZANIA BANKERS ASSOCIATION FOOTIE TOURNAMENT 2026

Absa Bank Tanzania Managing Director, Mr. Obedi Laiser (third left), receives the trophy from Tanzania Bankers Association (TBA) Treasurer, Mr. Rayson Foya (second left), after Absa Bank FC emerged victorious with a 1–0 win over Mwanga Hakika Bank FC in the final of the TBA Footie Tournament 2026, held at the Gymkhana Grounds in Dar es Salaam.

DAR ES SALAAM: August 8, 2026 - Absa Bank FC have been crowned champions of the Tanzania Bankers Association (TBA) Footie Tournament 2026 after edging Mwanga Hakika Bank FC 1–0 in a tightly contested final held on 7th August 2026 at the historic Dar es Salaam Gymkhana Grounds.

The much-anticipated final brought together two strong sides from Tanzania’s banking sector, with both teams showcasing skill, determination and tactical discipline.

From the opening whistle, Absa Bank FC and Mwanga Hakika Bank FC demonstrated why they had reached the tournament’s decisive stage. The match featured sharp passing, disciplined defending and relentless pressing, with neither side willing to give their opponents an easy opportunity.

However, Absa Bank FC eventually found the breakthrough, capitalising on a well-worked attacking move to score the decisive goal.

Despite determined efforts from Mwanga Hakika Bank FC to find an equaliser, Absa Bank FC held firm until the final whistle, securing a hard-fought 1–0 victory and lifting the coveted TBA Footie Tournament 2026 trophy.

MORE THAN JUST FOOTBALL

The annual Tanzania Bankers Association Footie Tournament is more than a sporting competition. It provides an important platform for promoting teamwork, employee wellness, camaraderie and unity across Tanzania’s banking and financial services industry.

Friday, 7 August 2026

TANZANIA HOSTS HISTORIC ICC CRICKET WORLD CUP QUALIFIER AS NATIONAL CRICKET TEAM FACES UGANDA

DAR ES SALAAM; August 7, 2026 – Tanzania today begins a historic chapter in its cricket journey by hosting the final leg of the ICC Men’s Cricket World Cup Challenge League B 2024–26 for the first time, with the national cricket team taking on Uganda in the tournament's opening match.

The competition, running from August 7 to August 18 at the newly inaugurated TCA Arena at the University of Dar es Salaam, marks the first ICC senior men's Cricket World Cup pathway event ever to be hosted in Tanzania.

Bahrain, Hong Kong China, Italy, Singapore, Tanzania and Uganda are competing for the remaining qualification places on the road to next year's ICC Men's Cricket World Cup.

Speaking ahead of today's opening match, Tanzania captain Kassim Nassoro expressed confidence in his team's preparations, saying they are ready for the challenge.

"We have prepared thoroughly and there is no room for excuses. Our objective is clear, and that's to proudly represent our country," Nassoro said.

 

Hosting the tournament is widely regarded as a major milestone for Tanzanian cricket.

ABSA BANK TANZANIA LAUNCHES “ABSA LIPA SASA” TO BOOST DIGITAL PAYMENTS AND FINANCIAL INCLUSION

Absa Bank Tanzania's Head of Commercial, Victor Nchimbi (centre), Marketing and Communications Manager, Beda Biswalo (left), and Product and Channels Manager, Devroda Kagusa, demonstrate a mobile payment using the Absa Lipa Sasa payment solution during its launch in Dar es Salaam. Through Absa Lipa Sasa, customers can make payments from any bank account or mobile money wallet using a single QR code, making digital payments simpler, faster and more convenient.

DAR ES SALAAM, Tanzania – August 6, 2026 – Absa Bank Tanzania has unveiled Absa Lipa Sasa, a new TanQR-powered digital payment solution that enables businesses to accept payments from customers across multiple banks and mobile money platforms using a single QR code.

The launch marks another milestone in Tanzania's journey towards a cash-lite economy, supporting the Government's financial inclusion agenda while providing merchants with a faster, safer and more cost-effective way to receive digital payments.

Built on Tanzania's national QR code standard under the guidance of the Bank of Tanzania, Absa Lipa Sasa simplifies payment acceptance by eliminating the need for multiple payment devices or separate QR codes. Through a single interoperable QR code, merchants can receive payments from customers regardless of the bank or mobile wallet they use.

Speaking during the launch, Victor Nchimbi, Head of Commercial at Absa Bank Tanzania, said the solution has been developed to make digital payments more accessible and convenient for businesses of all sizes.

"Absa Lipa Sasa is designed to make payments easier, faster and more convenient for businesses and their customers. With a single QR code, merchants can accept payments from customers across multiple banks and mobile wallets, eliminating the need for multiple devices or payment solutions. 

AIRTEL MONEY, BUNI AND DTBI EMPOWER TANZANIAN YOUTH WITH IoT AND DIGITAL INNOVATION SKILLS

Pictured is Airtel Money's Manager for Financial Services, Foreign Transactions and Digital Platforms, Ms. Rita Nyamwehura, delivering a training session aimed at equipping young people with digital skills and fostering innovation through Internet of Things (IoT) technology.

DAR ES SALAAM - August 7, 2026: Airtel Money, in collaboration with Buni, Dar Teknohama Business Incubator (DTBI), the Vocalize IoT Project and Techstar Innovation Hub, has launched an Internet of Things (IoT) and Digital Literacy training programme aimed at equipping young Tanzanians with practical technology and innovation skills to drive entrepreneurship, solve community challenges and create employment opportunities in the digital economy.

The initiative brought together university and VETA students from across Tanzania, providing them with hands-on exposure to IoT technologies while demonstrating how digital financial services can be integrated into technology-driven solutions that contribute to socio-economic development.

The programme reflects a growing commitment by both the private sector and innovation ecosystem to nurture the next generation of digital entrepreneurs capable of developing locally relevant technological solutions.

Driving Tanzania's Digital Economy

Speaking during the training, Airtel Money's Manager for Financial Services, Foreign Transactions and Digital Platforms, Rita Nyamwehura, reaffirmed the company's commitment to expanding financial inclusion through secure and accessible digital financial services.

She said Airtel Money continues to support the Government's agenda of increasing electronic payment adoption while reducing dependence on cash transactions.

Nyamwehura encouraged young innovators to leverage Airtel Money's digital ecosystem, including airtime and data purchases, utility bill payments, merchant transactions through Lipa Namba, and other digital financial services available nationwide.

SERENGETI BREWERIES YAPEPERUSHA BENDERA YA TANZANIA DUNIANI KUPITIA TUZO ZA UBORA ZA MONDE SELECTION

DAR ES SALAAM - Agosti 7, 2026: Wakati dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia, Kampuni ya Serengeti Breweries Limited (SBL) imeipa Tanzania sababu nyingine ya kujivunia baada ya bidhaa zake nne kutambuliwa kimataifa kwa ubora wa hali ya juu kupitia Tuzo za Gold Quality Awards 2026 zinazotolewa na taasisi maarufu duniani ya Monde Selection.

Katika mafanikio hayo, bia za Serengeti Lite, Serengeti Lager na Serengeti Lemon, pamoja na kinywaji kikali cha TZEE, zimetunukiwa tuzo hizo baada ya kuthibitishwa kukidhi viwango vya kimataifa vya ubora.

Tuzo za Gold Quality Awards hutolewa kwa bidhaa zinazofaulu mchakato wa kina wa tathmini unaofanywa na jopo huru la wataalamu wa kimataifa. Bidhaa hupimwa kwa kuzingatia vigezo mbalimbali, ikiwemo ubora wa jumla, ladha, mwonekano, ubunifu, taarifa kwa watumiaji na uzoefu wa matumizi, kabla ya kutambuliwa kuwa zimefikia viwango vinavyokubalika duniani.

Monde Selection ni taasisi huru ya kimataifa iliyoanzishwa mwaka 1961 mjini Brussels, Ubelgiji, na kwa zaidi ya miaka 65 imekuwa ikitathmini maelfu ya bidhaa kutoka sekta mbalimbali kama vile vyakula, bia, vinywaji vikali, bidhaa za afya na lishe pamoja na vipodozi. Kila mwaka, wataalamu zaidi ya 80 kutoka mataifa mbalimbali hushiriki katika mchakato huo wa tathmini, huku bidhaa kutoka takribani nchi 150 zikiwasilishwa kwa ajili ya kupimwa.

Mafanikio ya SBL yanaonesha matokeo ya uwekezaji wa muda mrefu katika teknolojia za kisasa za uzalishaji, mifumo madhubuti ya uhakiki wa ubora na ubunifu unaolenga kukidhi mahitaji ya watumiaji wa ndani na wa kimataifa.

Akizungumza kuhusu tuzo hizo, Mkurugenzi wa Ugavi wa Serengeti Breweries Limited, Joseph Cheloti, alisema kutambuliwa na Monde Selection ni ushahidi kuwa bidhaa za kampuni hiyo zinafikia viwango vya ubora vinavyotambulika duniani.

"Kupokea Tuzo za Gold Quality Awards kutoka Monde Selection ni heshima kubwa na uthibitisho kuwa bidhaa zetu zinakidhi viwango vya ubora vinavyotambulika kimataifa. Tunajivunia mafanikio haya ambayo yanadhihirisha kujitolea kwa wafanyakazi wetu, ubora wa malighafi tunazotumia pamoja na uimara wa mifumo yetu ya uzalishaji. Zaidi ya yote, tunawashukuru wateja wetu kwa kuendelea kutuamini na kutuunga mkono," alisema Cheloti.

BANK OF TANZANIA OPENS GOVERNMENT SECURITIES MARKET TO ALL FOREIGN INVESTORS

DAR ES SALAAM - August 6, 2026: The Bank of Tanzania (BoT) has announced a major policy reform that opens Tanzania's Government securities market to all non-resident investors, marking a significant step towards attracting more international capital and deepening the country's financial markets.

According to a public notice issued by the central bank on 6 August 2026, the changes are contained in the Foreign Exchange (Amendment) Regulations, 2026, issued under the Foreign Exchange Act, Cap. 271 through Government Notice (G.N.) No. 206 of 2026, which was published in the Government Gazette on 17 July 2026.

The amended regulations now permit all non-resident investors to invest in Treasury bills and Treasury bonds issued by the Government of the United Republic of Tanzania.

Previously, participation in the Government securities market was restricted to residents of the East African Community (EAC), the Southern African Development Community (SADC), and members of the Tanzanian diaspora.

BoT said the reform is designed to broaden access to Tanzania's Government securities market while supporting ongoing efforts to deepen the domestic financial sector and position Tanzania as an increasingly attractive destination for international investment.

Thursday, 6 August 2026

TWENDE BUTIAMA YABADILISHWA JINA KUWA "NYERERE CYCLING TOUR", VODACOM YAZINDUA VODACOM COASTAL CLASSIC

Mkurugenzi wa Vodacom Business, Nguvu Kamando (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu msimu mpya wa msafara wa Nyerere Cycling Tour (zamani Twende Butiama), utakaozinduliwa mwezi Oktoba sambamba na mashindano ya mbio za Vodacom Coastal Classic.
Wadau na washiriki wa Nyerere Cycling Tour (zamani Twende Butiama) wakipiga makofi kuashiria kufurahia uzinduzi wa mashindano ya mbio za Vodacom Coastal Classic.

DAR ES SALAAM - Agosti 6, 2026: Vodacom Tanzania Plc kwa kushirikiana na Chama cha Baiskeli Tanzania (CHABATA) wametangaza rasmi kubadilishwa kwa jina la msafara wa baiskeli wa Twende Butiama na kuwa Nyerere Cycling Tour, hatua inayolenga kuenzi urithi wa Hayati Mwalimu Julius Kambarage Nyerere huku ikiupa mchezo wa baiskeli nchini mwelekeo mpya wa kimataifa.

Sambamba na mabadiliko hayo, Vodacom pia imezindua mashindano mapya ya Vodacom Coastal Classic, mbio za kilomita 109 zinazotarajiwa kuwa moja ya mashindano makubwa ya baiskeli nchini na kuvutia washiriki kutoka Tanzania, Afrika Mashariki na mataifa mbalimbali duniani.

Tangazo hilo limetolewa leo, Agosti 6, 2026, jijini Dar es Salaam.

Miaka 10 ya Kuendeleza Elimu Kupitia Baiskeli

Tangu kuanzishwa kwake mwaka 2016, msafara huo umekuwa ukitumia mchezo wa baiskeli kama chombo cha kuhamasisha maendeleo ya elimu kwa kuenzi maono ya Mwalimu Nyerere ya kutoa fursa sawa kwa kila mtoto.

Kupitia kampeni hiyo, zaidi ya shule 107 zimefikiwa huku zaidi ya wanafunzi 75,000 wakinufaika na ujenzi wa madarasa jumuishi, miundombinu ya vyoo pamoja na upatikanaji wa vifaa kwa wanafunzi wenye mahitaji maalum.

Vodacom Tanzania Foundation ilianza kushirikiana na CHABATA kufadhili msafara huo miaka minne iliyopita, ambapo katika kipindi hicho ushiriki umeongezeka mara nne na kuvutia waendesha baiskeli kutoka ndani na nje ya Tanzania.

Nyerere Cycling Tour Kuanza Oktoba

Msafara wa mwaka huu utafanyika kuanzia Oktoba 5 hadi 14, 2026, ukianzia Bagamoyo kuelekea Butiama.

BENKI YA NMB YAGEUZA NANENANE KUWA DARASA LA FURSA, MAARIFA NA UWEZESHAJI

DODOMA - Agosti 6, 2026: Benki ya NMB imeendelea kuifanya Nanenane 2026 kuwa zaidi ya maonesho ya kilimo kwa kuendesha kampeni ya utoaji wa elimu ya kifedha, ujasiriamali na usimamizi wa biashara kwa wananchi waliotembelea mabanda yake katika kanda mbalimbali nchini.

Katika Banda la Vijana lililopo Viwanja vya DK John Mwakangale jijini Dodoma, vijana wanaoshiriki mradi wa Building a Better Tomorrow (BBT) walipata mafunzo yaliyolenga kuwajengea uwezo wa kubadili mawazo yao kuwa biashara endelevu, kusimamia fedha kwa ufanisi na kutumia huduma za kifedha kukuza shughuli za kilimo, ufugaji na uvuvi.

Akizungumza wakati wa mafunzo hayo, Mkuu wa Idara ya Kilimo kwa Wateja Wakubwa wa Benki ya NMB, Christopher Mwalungenge, aliwahimiza vijana kulitazama kilimo kama biashara yenye fursa kubwa za kujenga kipato, kuzalisha ajira na kuleta ustawi wa muda mrefu.

Mbali na vijana, maafisa wa NMB waliendelea kutoa elimu kwa vikundi vya wakulima, wafugaji na wajasiriamali waliotembelea mabanda ya benki hiyo. Washiriki walipata uelewa kuhusu huduma mbalimbali za kifedha, mikopo ya sekta ya kilimo, bima pamoja na suluhisho za kifedha zinazowawezesha kuongeza tija, kuimarisha uzalishaji na kupanua biashara zao.

Ushiriki wa NMB katika maonesho ya Nanenane unaakisi dhamira ya benki hiyo ya kuunganisha huduma za kifedha na elimu ya biashara ili kuwawezesha Watanzania kutumia kikamilifu fursa zilizopo katika sekta za kilimo, ufugaji na uvuvi.

STANBIC BANK TANZANIA: PENSION FUNDS KEY TO UNLOCKING AFRICA'S INFRASTRUCTURE FINANCE

DAR ES SALAAM, Tanzania — Greater collaboration between commercial banks and pension funds could unlock the long-term capital required to accelerate infrastructure development across Africa, Stanbic Bank Tanzania Chief Executive Officer Manzi Rwegasira has said.

Speaking at a high-level forum held in Dar es Salaam on Wednesday, August 5, 2026, Rwegasira noted that while commercial banks play a critical role in financing the early stages of infrastructure projects, their funding is primarily sourced from short-term customer deposits, making it less suitable for long-term investments such as roads, bridges, ports and energy projects.

The forum brought together senior government officials, financial sector leaders and business executives to explore innovative financing solutions under the theme, "Reinvesting for Expansion: Recycling as a Catalyst for Growth."

Rwegasira said pension funds are uniquely positioned to provide the patient capital required for large-scale infrastructure projects due to their long-term investment horizon.

"Banks can finance the initial stages of projects before bringing in pension funds, which have the capacity to invest over the long term because of the nature of their capital," he said.

 

According to Rwegasira, stronger collaboration between banks and institutional investors such as pension funds would create a more sustainable financing ecosystem capable of delivering the infrastructure needed to support Africa's economic transformation.

Asset Recycling Can Reduce Dependence on Borrowing

Rwegasira also called on African countries to reduce their reliance on new borrowing to finance infrastructure and instead maximise the value of existing public assets through innovative financing models.

He highlighted asset recycling as a practical approach that allows governments to leverage revenue-generating infrastructure—including ports, roads and bridges—to attract private sector investment and unlock capital for new development projects.

"Rather than relying on new loans every time, Africa should use its existing assets to generate additional financing for future infrastructure investment," he said.

The asset recycling model enables governments to reinvest proceeds from mature infrastructure assets into new projects, helping bridge Africa's significant infrastructure financing gap while promoting greater private sector participation and reducing pressure on public debt.

NCBA GROUP POSTS KES 12.4 BILLION H1 2026 PROFIT AS DIGITAL GROWTH & REGIONAL EXPANSION DRIVE PERFORMANCE

NCBA Group Managing Director, John Gachora.

NAIROBI, Kenya; August 6, 2026 – NCBA Group PLC has reported a 12.2 per cent increase in profit after tax to KES 12.4 billion for the six months ended June 30, 2026, reflecting resilient business growth, strong customer activity, and continued investment in technology and regional expansion.

The Group's operating income increased by 15.1 per cent to KES 40.7 billion, while profit before tax rose 14.3 per cent to KES 15.5 billion, underlining the strength of its diversified banking and financial services business across East Africa.

The Board also declared an interim dividend of KES 3.75 per share, up from KES 2.50 paid during the corresponding period in 2025, rewarding shareholders with a higher payout following the improved financial performance.

Strong Balance Sheet Growth

NCBA continued to strengthen its balance sheet during the first half of the year, with customer deposits rising 11.0 per cent to KES 551 billion, while total assets grew 11.5 per cent to KES 739 billion.

The Group also maintained robust digital momentum, disbursing KES 819 billion in digital loans, representing a 26.9 per cent year-on-year increase, highlighting the growing adoption of its digital lending platforms.

Although operating expenses increased modestly by 5.1 per cent to KES 19.5 billion, provisions for credit losses rose to KES 5.2 billion from KES 3.2 billion a year earlier, reflecting the Group's prudent approach to managing risks in the current operating environment.

CEO Highlights Resilient Performance

Commenting on the results, NCBA Group Managing Director John Gachora said the bank delivered a resilient performance despite a challenging operating environment characterized by inflationary pressures and cautious monetary policy across the region.

He attributed the strong results to disciplined execution of the Group's UBUNTU Strategy, which continues to drive healthy business volumes, improved margins, and sustained customer activity.

According to Gachora, NCBA maintained strong balance sheet momentum through disciplined lending while keeping non-performing loans at 10.5 per cent, significantly below Kenya's banking industry average of 15.3 per cent.

ABSA BANK, KNAUF GYPSUM PARTNER TO EXPAND DISTRIBUTOR FINANCING ACROSS TANZANIA

Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser (right), and Knauf Gypsum Tanzania Managing Director, Christoforos Stamoulakatos, exchange copies of the Memorandum of Understanding (MoU) during the signing ceremony in Dar es Salaam. Also pictured are Knauf Legal Counsel, External & Government Affairs Manager, Flora Erasto (left), and Absa Bank Tanzania Company Secretary, Desmond Malyi.

DAR ES SALAAM, Tanzania; August 6, 2026 – Absa Bank Tanzania and Knauf Gypsum Tanzania have signed a Memorandum of Understanding (MoU) to launch a Distributor Financing Programme aimed at strengthening Knauf's distribution network while improving access to financing for distributors across the country.

The partnership marks another milestone in the long-standing relationship between the two organisations, reinforcing their shared commitment to supporting business growth, strengthening supply chains, and contributing to Tanzania's sustainable economic development.

Under the new programme, Absa Bank Tanzania will provide tailored financing solutions to eligible distributors within Knauf's distribution network, subject to the Bank's credit assessment process and approved exposure limits. The initiative is expected to onboard between 30 and 40 distributors, giving them improved access to working capital and business financing solutions needed to expand their operations.

Speaking during the signing ceremony held at Knauf Gypsum Tanzania's headquarters in Dar es Salaam, Absa Bank Tanzania Managing Director, Obedi Laiser, said the partnership reflects the Bank's commitment to ecosystem banking by empowering businesses throughout the value chain.

"This partnership demonstrates the power of ecosystem banking in supporting business growth and creating shared value. By extending financing solutions to distributors within Knauf's network, we are helping businesses build capacity, improve efficiency and seize growth opportunities. As Absa, we remain committed to empowering Africa's tomorrow, together, one story at a time – this is the purpose of our existence," said Laiser.

 

PLAZA PREMIUM GROUP EXPANDS INTO TANZANIA WITH FIRST PREMIUM AIRPORT LOUNGE AT JULIUS NYERERE INT. AIRPORT

DAR ES SALAAM, Tanzania, August 5, 2026 – Global airport hospitality leader Plaza Premium Group (PPG) has announced its strategic entry into Tanzania, marking a significant milestone in the country's aviation and tourism sectors with the upcoming opening of the first Plaza Premium Lounge at Julius Nyerere International Airport (JNIA) Terminal 3.

The move underscores the company's long-term commitment to enhancing Tanzania's premium travel experience while supporting the country's ambitions to become a leading regional aviation and tourism hub.

Ahead of the official launch, Plaza Premium Group hosted an executive stakeholder engagement in Dar es Salaam, bringing together representatives from Tanzania's aviation, tourism, financial, corporate, and government sectors. The event focused on fostering strategic partnerships that will help strengthen the country's travel infrastructure and improve passenger experiences.

The Plaza Premium Lounge is scheduled to open later this month and will be accessible to all travellers, regardless of airline or ticket class. Designed around the company's global philosophy, "Your Destination Before Departure," the lounge will combine world-class hospitality with Tanzanian warmth to offer travellers a premium pre-flight experience.

Guests will enjoy a range of facilities, including:

  • Premium dining and beverage services
  • Comfortable lounge seating
  • Private shower suites
  • A dedicated prayer room
  • Business amenities
  • Personalised customer service

Speaking during the stakeholder engagement, Okan Kufeci, Senior Vice President for Europe, Middle East and Africa (EMEA) at Plaza Premium Group, described Tanzania as one of East Africa's fastest-growing aviation and tourism markets.

"Tanzania represents one of the most promising aviation and tourism markets in East Africa. Continued investment in infrastructure, growing international connectivity, and a vibrant tourism sector are creating the right conditions for premium airport hospitality," he said.

Wednesday, 5 August 2026

BOLT LAUNCHES RIDE-HAILING THROUGH CHATGPT IN TANZANIA, BRINGING AI-POWERED TRAVEL PLANNING

DAR ES SALAAM, Tanzania, August 5, 2026 – Bolt has introduced ride-hailing through ChatGPT in Tanzania, allowing users to begin planning and requesting trips directly within ChatGPT before seamlessly completing their booking in the Bolt app. The launch is part of a global rollout across all markets where Bolt operates, marking a significant step in the evolution of AI-powered mobility.

The integration changes the traditional ride-hailing experience by enabling users to ask ChatGPT about their journey, receive an upfront fare estimate, compare route options, and identify the most convenient pickup location—all without first opening the Bolt app. The booking is then finalised within the Bolt application, with in-chat payment functionality expected to launch later this year.

The move reflects the growing role of artificial intelligence in everyday digital interactions. As ChatGPT becomes increasingly integrated into work, education, business planning, and personal decision-making, mobility services are now joining the same conversational environment, making travel planning faster and more intuitive.

According to Bolt East Africa Senior General Manager Dimmy Kanyankole, the integration aligns with changing user behaviour.

“This integration means mobility is becoming part of the same digital environment where people already plan, work, study, and make decisions. For many Tanzanian users, especially in cities, ChatGPT is already open on their devices during the day. Being able to request a Bolt ride from the same space reduces friction and makes travel planning smooth, faster and more natural.”

TANZANIA'S FOREIGN EXCHANGE RESERVES JUMP 24% AS GOLD STRATEGY STRENGTHENS ECONOMY

DAR ES SALAAM; August 5, 2026 – Tanzania's foreign exchange reserves surged by approximately 24 per cent at the end of June, reaching US$6.8 billion, driven by the monetisation of gold deposited at the Bank of England as the Bank of Tanzania (BoT) accelerates efforts to diversify its reserve assets and strengthen the country's external financial resilience.

The reserves increased from US$5.5 billion recorded in May, providing import cover equivalent to approximately five months of projected goods and services imports. The improvement reflects the growing role of gold within the central bank's reserve management strategy.

Gold Becomes a Strategic Reserve Asset

The Bank of Tanzania has incorporated monetised gold into its official reserve management framework, reinforcing the country's ability to withstand foreign exchange pressures and global financial market volatility.

The initiative forms part of the central bank's long-term strategy to diversify international reserves beyond traditional financial assets, positioning gold as a key component of Tanzania's external reserve portfolio.

Gold Holdings Reach 29 Tonnes

Speaking during an exclusive television interview in Dodoma, Bank of Tanzania Governor Emmanuel Tutuba revealed that the country's gold reserves have increased by approximately 271 per cent, reaching 29 tonnes as of July 2026.

According to the Governor:

  • 10.6 tonnes have been deposited at the Bank of England and monetised.
  • 18.5 tonnes are currently stored in the Bank of Tanzania's vaults.

"As of now, we have accumulated 29 tonnes of refined gold, with 10.6 tonnes deposited at the Bank of England and the rest stored in Tanzania," Mr Tutuba said.

DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE, TPSF PARTNER TO BOOST BUSINESS GROWTH & ACCESS TO CAPITAL IN TANZANIA

Chief Executive Officer (CEO) of the Dar es Salaam Stock Exchange (DSE), Peter Nalitolela (left), and Acting Chief Executive Officer of the Tanzania Private Sector Foundation (TPSF), Deogratius Massawe, display signed documents after signing a Memorandum of Understanding (MoU) to boost capital raising, promote financial literacy, and support Tanzania's Vision 2050 in Dar es Salaam.

DAR ES SALAAM, Tanzania – August 4, 2026 – The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) and the Tanzania Private Sector Federation (TPSF) have signed a Memorandum of Understanding (MoU) aimed at strengthening the growth of Tanzanian businesses by improving access to capital and enhancing enterprise development through the country's capital markets.

The strategic partnership marks a significant step toward empowering small and medium-sized enterprises (SMEs) by combining DSE's capital market expertise with TPSF's extensive private sector network to help businesses scale, attract investment, and achieve sustainable growth.

At the heart of the collaboration is the joint implementation of the DSE Enterprise Acceleration Program (DEAP) and the ENDELEZA Platform. These initiatives are designed to strengthen the capacity of SMEs by improving their investment readiness, enhancing business capabilities, and creating pathways to diverse financing opportunities.

Through the partnership, TPSF members will gain access to a range of business support services, including enterprise development training, mentorship programs, business profiling, and networking opportunities with investors, financial institutions, and other key stakeholders within Tanzania's business ecosystem.

The initiative will also provide entrepreneurs with practical knowledge in critical areas such as corporate governance, strategic business planning, business valuation, capital-raising strategies, and preparation for participation in the capital markets. These skills are expected to position businesses for long-term growth while increasing their ability to secure sustainable financing.

VODACOM TANZANIA YAZINDUA KAMPENI YA "ZAIDI YA MTANDAO" KUKUZA FURSA ZA KIDIJITALI NCHINI

Mkurugenzi wa Biashara na Masoko wa Vodacom Tanzania Plc, Brigita Shirima (katikati), Mkurugenzi wa Vodacom Business, Nguvu Kamando (kulia), pamoja na Kaimu Mkurugenzi wa M-Pesa, Tulisindo Mlupilo (kushoto), wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa uzinduzi wa kampeni ya "Zaidi ya Mtandao", yenye lengo la kuimarisha dhamira ya Vodacom ya kuleta fursa na huduma zinazozidi mawasiliano kwa wateja wake, kwa kutoa suluhisho halisi zinazoboresha maisha ya kila siku ya jamii. Tukio hilo limefanyika Agosti 4, 2026, katika Makao Makuu ya Vodacom Tanzania Plc, jijini Dar es Salaam.

DAR ES SALAAM, Tanzania; Agosti 4, 2026 – Vodacom Tanzania Plc imezindua rasmi kampeni yake mpya ya "Zaidi ya Mtandao" (More Than a Network), ikisisitiza dhamira yake ya kutoa zaidi ya huduma za mawasiliano kwa kuwezesha fursa za kiuchumi, kijamii na kidijitali kwa Watanzania.

Kampeni hiyo inaonesha mwelekeo wa kampuni wa kuendelea kuwekeza katika teknolojia, ubunifu na suluhisho za kidijitali zinazolenga kuboresha maisha ya wananchi, kusaidia biashara kukua na kuharakisha ujumuishaji wa kidijitali nchini.

Kwa mujibu wa takwimu za Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) kwa robo ya mwaka iliyoishia Machi 2026, Vodacom imeendelea kuongoza soko la mawasiliano nchini ikiwa na asilimia 32.3 ya wateja wote, sawa na zaidi ya wateja milioni 36.1.

Aidha, taarifa ya fedha ya kampuni kwa robo ya mwaka iliyoishia Juni 2026 inaonesha kuwa Vodacom imeongeza uwekezaji wake karibu mara mbili ikilinganishwa na kipindi kama hicho mwaka uliopita, ambapo uwekezaji ulifikia Shilingi bilioni 123.2. Uwekezaji huo, pamoja na maboresho makubwa ya mfumo wa M-Pesa, unaonesha azma ya kampuni ya kuimarisha ujumuishaji wa kidijitali na kuwawezesha Watanzania wengi zaidi kushiriki katika uchumi wa kidijitali.

Teknolojia Inayozalisha Thamani Halisi

Akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni hiyo, Mkurugenzi wa Kitengo cha Biashara wa Vodacom Tanzania Plc, Brigita Shirima, alisema kampeni ya Zaidi ya Mtandao ni ahadi ya kuhakikisha teknolojia inaleta matokeo chanya kwa wateja na jamii.

"Zaidi ya Mtandao ni ahadi yetu kwamba teknolojia na huduma tunazotoa lazima zilete matokeo chanya. Iwe ni kumsaidia mwanafunzi kupata elimu ya kidijitali, kuwezesha familia kuendelea kuwa karibu au kusaidia wajasiriamali kukuza biashara zao, tunalenga kuunda fursa zinazoboresha maisha. Kwa sababu mtandao haupimwi kwa teknolojia pekee, bali kwa thamani na fursa unazozalisha kwa watu, biashara na jamii,"alisema Shirima.

Vodacom Business Kuimarisha Mageuzi ya Kidijitali

Kwa upande wake, Mkurugenzi wa Vodacom Business, Nguvu Kamando, alisema biashara za kisasa zinahitaji zaidi ya huduma za mawasiliano, zikihitaji pia suluhisho za kidijitali zinazowawezesha kubuni, kushindana na kukua.

Alisema kupitia Vodacom Business, kampuni inaendelea kuwezesha mashirika, biashara ndogo na za kati pamoja na taasisi mbalimbali kwa huduma za mawasiliano salama, teknolojia za utunzaji wa kumbukumbu, Internet of Things (IoT) na majukwaa ya kidijitali yanayoongeza ufanisi wa biashara.

TANZANIA YAZINDUA UWANJA WA KISASA WA KRIKETI, ICC YAIONA TAYARI KWA MASHINDANO YA KIMATAIFA

Mwenyekiti wa Shirikisho la Kimataifa la Kriketi (ICC), Jay Shah (katikati), akiongoza uzinduzi wa Uwanja wa Kisasa wa Chama cha Kriketi Tanzania (TCA Cricket Arena) uliojengwa katika Viwanja vya Michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Uwanja huo utatumika kama kituo cha taifa cha kukuza vipaji na kuandaa timu za taifa za wanaume, wanawake na vijana wenye umri wa chini ya miaka 19. Wengine pichani ni wadau wa mchezo wa kriketi.

DAR ES SALAAM – Shirikisho la Kimataifa la Kriketi (International Cricket Council - ICC) limesema Tanzania ina nafasi ya kuwa miongoni mwa mataifa yatakayoweza kuandaa mashindano makubwa ya kriketi duniani siku zijazo, kufuatia uwekezaji unaoendelea katika miundombinu ya kisasa ya mchezo huo na maendeleo ya vijana.

Kauli hiyo imetolewa wakati wa uzinduzi wa Uwanja wa Kisasa wa Chama cha Kriketi Tanzania (TCA Cricket Arena), uliojengwa katika viwanja vya michezo vya Chuo Kikuu cha Dar es Salaam. Uwanja huo utatumika kama kituo cha taifa cha kukuza vipaji na kuandaa timu za taifa za wanaume, wanawake na vijana wenye umri wa chini ya miaka 19.

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mwenyekiti wa ICC, Jay Shah, alisema Tanzania imeonyesha dhamira kubwa ya kuendeleza mchezo wa kriketi kupitia uwekezaji katika miundombinu na programu za maendeleo ya vijana, hatua ambayo imeifanya kuwa miongoni mwa mataifa yanayokua kwa kasi katika mchezo huo barani Afrika.

Alisema iwapo kasi hiyo ya maendeleo itaendelea, Tanzania inaweza kuwa miongoni mwa nchi zitakazopewa fursa ya kuandaa mashindano makubwa ya kimataifa, ikiwemo Kombe la Dunia la Kriketi, katika miaka ijayo.

Kwa upande wake, Mtendaji Mkuu wa Chama cha Kriketi Tanzania (Tanzania Cricket Association - TCA), Hamisi Hassan Abdallah, alisema uwanja huo mpya utaongeza uwezo wa Tanzania kuandaa mashindano ya kimataifa huku ukiwapatia wachezaji mazingira bora ya mazoezi yanayokidhi viwango vya kimataifa.

VODACOM TANZANIA YAENDELEA KUWAWEZESHA WAKULIMA KUPITIA HUDUMA YA LIPA NA M-KULIMA

Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania akiwaeleza wateja kuhusu huduma ya Router katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Nyamhongolo, mkoani Mwanza.
Mtoa huduma wa Vodacom Tanzania, Catherine Masanja (kushoto), akimsajilia huduma ya Lipa mkazi wa Igoma, Irene Ernest, katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea kwenye Viwanja vya Nyamhongolo, mkoani Mwanza. Kupitia maonesho hayo, Vodacom Tanzania inaendelea kuwapa wananchi elimu kuhusu bidhaa na huduma zake mbalimbali, ikiwemo M-Kulima, huduma inayowawezesha wakulima kupokea malipo ya mazao yao kwa njia rahisi, salama na yenye uhakika.

MWANZA, Tanzania; Agosti 4, 2026 – Vodacom Tanzania inaendelea kuonesha dhamira yake ya kuimarisha ujumuishaji wa kifedha na matumizi ya teknolojia ya kidijitali kwa wananchi kupitia ushiriki wake katika Maonesho ya Nanenane yanayoendelea katika Viwanja vya Nyamhongolo, mkoani Mwanza.

Katika maonesho hayo, wataalamu wa Vodacom wamekuwa wakitoa elimu kwa wananchi kuhusu huduma mbalimbali za kidijitali pamoja na kusajili wateja wapya kwenye huduma za kampuni hiyo, ikiwemo huduma ya Lipa, inayorahisisha malipo kwa njia salama, ya haraka na yenye ufanisi.

Moja ya huduma zinazovutia wakulima wengi ni M-Kulima, suluhisho la kidijitali lililobuniwa kuwawezesha wakulima kupokea malipo ya mazao yao kwa urahisi na usalama. Kupitia huduma hiyo, wakulima wanaweza kupunguza matumizi ya fedha taslimu, kuongeza uwazi katika miamala yao na kupata huduma za kifedha zinazochangia kukuza shughuli zao za uzalishaji.

Huduma ya M-Kulima inaendana na jitihada za Vodacom Tanzania za kutumia teknolojia kuboresha maisha ya wananchi na kuunga mkono maendeleo ya sekta ya kilimo, ambayo ndiyo uti wa mgongo wa uchumi wa Tanzania.

AIRTEL TANZANIA STRENGTHENS BUSINESS PARTNERSHIPS THROUGH MONTHLY MUG GOLF TOURNAMENT

ARUSHA, Tanzania, August 4, 2026 – Airtel Tanzania has reaffirmed its commitment to building strategic partnerships beyond traditional business engagements through the Airtel Business Monthly Mug Tournament, a flagship golf and executive networking event held at the Arusha Gymkhana Club.

Sponsored by Airtel Business, the four-day tournament brought together business leaders, entrepreneurs, corporate executives and customers from across Tanzania's Northern Zone, providing a unique platform that combined sport, networking and customer engagement.

The event went beyond competitive golf, creating opportunities for collaboration, relationship-building and meaningful interactions between Airtel Tanzania and its valued customers. The initiative reflects the company's broader strategy of strengthening partnerships while supporting sports as a catalyst for sustainable business growth.

Speaking during the tournament, Airtel Business Director Joseph Vipond said the event underscores Airtel Tanzania's commitment to nurturing long-term customer relationships by creating opportunities for engagement outside conventional business settings.

"At Airtel Tanzania, we believe the strongest partnerships are built beyond business. The Airtel Business Monthly Mug Tournament provides a unique platform to engage with our customers in a relaxed environment, strengthen strategic partnerships and better understand their evolving business needs. Our support for sports is not only about promoting healthy competition but also about creating meaningful opportunities to connect, collaborate and build trust with the businesses and communities we serve. Through these engagements, we continue to identify new opportunities for growth, deliver innovative solutions and create lasting value for our customers and partners," said Vipond.

 

Airtel Tanzania Public Relations Manager Sarah Nassor said the tournament aligns with the company's wider communications and stakeholder engagement strategy by providing authentic opportunities to connect with customers beyond day-to-day business interactions.

"Strong relationships are built through consistent engagement and shared experiences. Supporting platforms such as the Airtel Business Monthly Mug Tournament enables us to connect with our customers in a more meaningful way, strengthen trust, reinforce our brand and demonstrate our commitment to delivering value beyond telecommunications. It is through these interactions that we continue to build lasting partnerships with the businesses and communities we serve," she said.