Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Thursday, 25 September 2025

BOLT LAUNCHES “BOLTXSIMBU” DISCOUNT CODE TO CELEBRATE TANZANIA’S FIRST GOLD MEDAL

Dar es Salaam, Tanzania – 25 September 2025 – Bolt Tanzania is proud to announce a new discount code, SIMBU, in celebration of Alphonce Felix Simbu, who made history as Tanzania’s first gold medalist at the World Athletics Championships.

Simbu’s remarkable achievement has placed Tanzania firmly on the global athletics map, standing shoulder-to-shoulder with traditional powerhouses such as Kenya. His triumph is not only a personal victory but also a national symbol of excellence and possibility.

This year we committed to trying again, and it turned out to be a huge success. I was amazed because we competed against Kenyans, Ethiopians, and even they could not believe a Tanzanian had won,” said Felix Simbu during his arrival at the Dar es Salaam airport on 23 September 2025.

His win sends a powerful message to young Tanzanians: with discipline and persistence, more gold medalists can and will emerge from the country’s soil.

Talent deserves recognition, and as Bolt, we see Simbu’s win as more than a medal. It is proof that Tanzania’s youth can rise to the world stage and shine,” said Dimmy Kanyankole, General Manager of Bolt Tanzania & Kenya. “Just as Simbu pursues excellence and arrives first with speed and precision, Bolt is committed to helping Tanzanians move efficiently, affordably, and on time every day.”

STANBIC BANK YAZINDUA KAMPENI YA “MASTA WA MIAMALA”

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya Stanbic, Emmanuel Mahodanga, akizungumza wakati wa uzinduzi wa kampeni ya “Masta wa Miamala”, itakayowawezesha wateja wa benki hiyo kujipatia zawadi kwa kufanya malipo ya miamala ya kidijitali. Kampeni hii itadumu kwa miezi mitatu. Wengine pichani kutoka kushoto ni Avin Ngoo, Meneja wa Idara ya Mawakala; Irene Mutabihirwa, Meneja wa Uimarishaji wa Mahusiano ya Wateja; na Shabani Mwenda, Kaimu Mkuu wa Uboreshaji wa Huduma Binafsi.

Dar es Salaam, Tanzania – Jumanne, 23 Septemba 2025 – Watanzania wanaolipa ada za shule, kujaza mafuta, kufanya manunuzi ya nyumbani au kununua vocha za simu kupitia njia za kidijitali za Benki ya Stanbic sasa watapata fursa ya kipekee. Kupitia kampeni mpya ya “Masta wa Miamala”, Benki ya Stanbic Tanzania itawazawadia wateja kwa miamala ya kila siku inayotumika kwenye maisha yao.

Kampeni hii ya miezi mitatu inalenga kuongeza matumizi ya njia mbalimbali za Stanbic kuanzia kadi za Visa, ATM, mtandao wa Smart App wenye zaidi ya mawakala 600, benki mtandaoni (Internet Banking) na USSD 15029#. Lengo ni si tu kukuza matumizi ya kidijitali, bali pia kuwahamasisha wateja wasiotumia akaunti zao na kuwapa nafasi ya kufurahia urahisi na usalama wa miamala isiyo na fedha taslimu.

Kupitia mpangilio wa zawadi, wateja watanufaika katika ngazi tofauti:

  • Watumiaji wakubwa: Zawadi hadi TZS 100,000
  • Watumiaji wa kati: Zawadi ya TZS 50,000
  • Akaunti zisizotumika: Hamasa ya TZS 25,000
  • Bonasi za papo hapo: Hadi TZS 300 kwa kila muamala

Kauli za Viongozi

Emmanuel Mahodanga, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi, alisema:

Kuhifadhi fedha benki huwa bora zaidi pale unaporahisisha maisha ya kila siku. Masta wa Miamala ni njia yetu ya kuonyesha kuwa huduma za kidijitali sio tu salama na rahisi, bali pia zenye manufaa. Tunaposherehekea miaka 30 nchini Tanzania, kampeni hii inaonyesha dhamira yetu ya kudumu ya kutembea na wateja wetu na kuchangia katika safari ya ukuaji wa taifa.”

PUMA ENERGY USHERS IN A NEW ERA WITH TANZANIA’S FIRST CNG RETAIL STATION

Ministry of Energy Permanent Secretary, Eng. Felchesmi Mramba cuts a ribbon to inaugurate the Compressed Natural Gas station at Puma Energies, Bagamoro Road. With him are Acting High Commissioner of Canada to Tanzania, Carol Mundle (left), Puma Energy Tanzania Board Chairman, George Madafa (second left) and Puma Energy Tanzania Managing Director, Fatma Abdallah.

Dar es Salaam, Tanzania – Puma Energy has marked a major milestone in Tanzania’s energy sector with the launch of the country’s first Compressed Natural Gas (CNG) retail station at Tangi Bovu, Bagamoyo Road in Dar es Salaam.

The station was officially inaugurated by Eng. Felchesmi J. Mramba, Permanent Secretary at the Ministry of Energy, in the presence of Ms. Fatma M. Abdallah, Managing Director of Puma Energy Tanzania, Ms. Carol Mundle, Acting Ambassador of the Embassy of Canada, and senior Puma Energy representatives.

World-Class Facility

Built to global standards, the station boasts an installed capacity of 1 million standard cubic feet per day (MMScfd) and can serve a broad range of vehicles — from small cars and three-wheelers to heavy-duty trucks.

Key features include:

  • Two high-flow dispensers serving up to 50 natural gas vehicles per hour.
  • A Canadian-made 250 HP compressor with a capacity of 1,200 Sm³/hr.
  • 4,000-litre cascade storage banks to guarantee supply during peak demand.
  • A gas quality assurance system with a natural gas dryer to ensure safety, consistency, and reliability.

A Turning Point for Puma Energy and Tanzania

Speaking at the launch, Ms. Abdallah described the development as a milestone for Puma Energy and the nation:

This hybrid station brings together the best technology and services to offer CNG alongside petrol, diesel, LPG, lubricants, and a supermarket. It is a one-stop destination that reflects our ambition to deliver modern, trusted solutions that reduce carbon emissions while expanding convenience for customers. And this is just the beginning — we plan to open more CNG stations before the end of the year.”

Supporting Government’s Energy Agenda

Eng. Mramba applauded Puma Energy for its investment, noting that the project directly supports the Government’s energy diversification agenda:

Wednesday, 24 September 2025

AIRTEL AFRICA FOUNDATION UNVEILS PLAN TO IMPROVE 10 MILLION LIVES BY 2030

Airtel Africa Foundation, the philanthropic arm of Airtel Africa Plc, has unveiled an ambitious strategy to directly improve the lives of 10 million people across Africa by 2030. The plan will be delivered through targeted initiatives under four core pillars: Financial Empowerment, Education, Environmental Protection, and Digital Inclusion (FEED).

Transforming Africa Through FEED

Announcing the 2030 vision, Dr. Segun Ogunsanya, Chairman of Airtel Africa Foundation, said:

Our 2030 vision is a transformed Africa where over 10 million lives are directly improved through our interventions. We are not just donating resources, we are building a pipeline of talent and fostering innovation to ensure the global digital revolution leaves no African behind. This is a strategic, measurable commitment to unlocking the continent's demographic dividend.”

The Foundation’s programmes will create a cycle of empowerment through initiatives such as:

  • Connecting Schools – providing free connectivity and devices to enable digital education
  • Airtel Africa Fellowship – offering full undergraduate scholarships in tech and STEM fields, supported by mentorship and internships

Early Successes: Partnership With UNICEF

A key highlight of the Foundation’s journey so far is its partnership with UNICEF, which has already:

  • Connected 1,800+ schools across Airtel Africa’s markets
  • Benefitted over 1 million students
  • Trained more than 17,000 teachers in digital education

VODACOM YAENDELEA KUDHAMINI MASHINDANO YA "VODACOM TANZANIA OPEN 2025"

Dar es Salaam, 23 Septemba 2025 – Vodacom Tanzania Plc, kwa kushirikiana na Chama cha Gofu Tanzania (TGU), imetangaza kuwa mdhamini mkuu wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open 2025, yanayotarajiwa kuvutia zaidi ya wachezaji 150 kutoka Tanzania na nchi za Afrika Mashariki na Kusini.

Ushirikiano huu ni sehemu ya mkakati wa Vodacom wa kuendeleza mchezo wa gofu nchini, huku kampuni hiyo ikiadhimisha miaka 25 ya huduma zake. Lengo kuu ni kujikita kama mtandao namba moja unaounga mkono maendeleo ya gofu Tanzania, hususan jijini Dar es Salaam na visiwani Zanzibar.

Mashindano ya Tanzania Open siyo tu uwanja wa mashindano, bali pia ni jukwaa la kuonyesha vipaji, mshikamano wa michezo na ubunifu wa kidijitali. Kupitia ubia huu, Vodacom inaleta mapinduzi katika mchezo wa gofu kwa kuunganisha urithi wake na teknolojia ya kisasa, sambamba na kukuza ushiriki wa jamii na ujumuishi kwenye michezo.

Kauli za Viongozi

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Mkuu wa Idara ya Masoko na Uwezeshaji wa Vodacom Business, Joseph Sayi, alisema:

Ushirikiano wetu na Tanzania Open unaonyesha dhamira ya Vodacom katika kukuza michezo nchini huku tukidhihirisha namna teknolojia inavyoweza kuboresha maisha ya wananchi hata kupitia michezo. Kuanzia huduma za mtandao hadi malipo kupitia M-Pesa, tunahakikisha kila mmoja anapata uzoefu wa kipekee ndani na nje ya uwanja.”

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa Chama cha Gofu Tanzania, Gilman Kasiga, alibainisha:

Mashindano ya Vodacom Tanzania Open 2025 ni tukio la kihistoria kwa mchezo wa gofu na taifa letu. Kwa mwaka wa tatu mfululizo, Vodacom imeendelea kuwa bega kwa bega nasi kama mdhamini mkuu, jambo linalodhihirisha dhamira yao ya kukuza michezo na vipaji nchini. Tunajivunia kuona vijana, wanawake na chipukizi wakishiriki kwa pamoja—ishara ya dhati ya TGU katika kukuza ushirikishwaji na maendeleo endelevu ya mchezo huu.”

COLLABORATION IN ACTION: TRA’S APPROACH TO ENDING ILLICIT ALCOHOL IN TANZANIA

Illicit alcohol is one of Tanzania’s most pressing public health and economic challenges. Beyond the tragic loss of lives caused by toxic brews, the shadow market drains government revenues, undermines legitimate businesses, and fuels unsafe consumption. This is not only a tax issue—it is a national concern that demands collective action from government, industry, civil society, and consumers alike.

The Scale of the Problem

Research shows that up to 86% of all alcohol consumed in Tanzania comes from informal, largely unregulated sources. This highlights the vast volume of untaxed supply flowing outside regulatory oversight.

The fiscal cost is equally severe: government officials estimate that more than TZS 1.7 trillion is lost every year in uncollected excise revenues from sectors such as alcohol and cigarettes—funds that could support health, education, and enforcement. The human cost is no less alarming, with regulators repeatedly warning about “high-risk” alcohol circulating on the market, often linked to methanol poisoning that can cause blindness or even death.

From Policy to Practice: Technology as a Game-Changer

Tanzania Revenue Authority (TRA) has responded with modern enforcement systems anchored in Electronic Tax Stamps (ETS) and product authentication tools. 

These deliver:

  • End-to-end traceability from production to point-of-sale
  • Instant consumer verification through the Hakiki Stempu mobile app
  • Real-time data for enforcement teams to identify non-compliance and illicit hotspots

Tuesday, 23 September 2025

NBC YAZINDUA KAMPENI YA ‘WEKEZA SHAMBANI USHINDE’ KWA WAKULIMA WA KOROSHO, MBAAZI NA UFUTA

Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Bw Denis Masanja (katikati), akijipongeza pamoja na wadau wengine wa sekta ya kilimo wilayani humo baada ya kukata utepe kuashiria uzinduzi wa kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’ inayoratibiwa na Benki ya NBC kwa wakulima wa mazao ya korosho, ufuta na mbaazi.
Baadhi ya wakulima wa korosho, mbaazi na ufuta wilayani Tunduru wakifuatilia hafla ya uzinduzi wa kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde,’ inayoratibiwa na Benki ya NBC kwa wakulima wa mazao hayo.

Tunduru, Ruvuma | Septemba 22, 2025 – Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi kampeni yake ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” kwa wakulima wa mazao ya korosho, mbaazi, na ufuta wilayani Tunduru. Kampeni hii ni sehemu ya jitihada za benki kuchochea ukuaji wa sekta ya kilimo kupitia uchumi jumuishi unaochagizwa na huduma rasmi za kifedha.


Uzinduzi wa Kampeni

Hafla ya uzinduzi ilifanyika chini ya uongozi wa Mkuu wa Wilaya, Bw Denis Masanja, huku wadau mbalimbali wa kilimo, ikiwemo viongozi wa vyama vya msingi na vikuu vya ushirika vya wakulima, wakihudhuria. Mkuu wa Kitengo cha Wateja Wadogo na Wakulima wa NBC, Bw Raymond Urassa, aliwakilisha benki kwenye hafla hiyo.

Bw Masanja aliipongeza NBC kwa jitihada zake endelevu za kusaidia wakulima. Alisema kampeni hii itasaidia kuchochea ukuaji wa uchumi kwa wakulima kupitia huduma za kifedha, bima, na mikopo ya zana za kilimo.

Hatua hii itasaidia wakulima kugeukia huduma rasmi za kifedha na kuchochea uchumi jumuishi,” alisema DC Masanja.


Ombi la Tawi la NBC Wilayani Tunduru

DC Masanja pia aliomba NBC kufungua tawi rasmi wilayani Tunduru ili kusogeza huduma karibu zaidi na wakulima. Alibainisha kuwa mzunguko wa fedha kwenye misimu mitatu ya mauzo ya korosho, ufuta na mbaazi unahitaji benki iliyo karibu na wakulima.


Malengo ya Kampeni

Bw Urassa alifafanua kuwa kampeni ya miezi mitatu inalenga wakulima kupitia:

  • Vyama vya msingi
  • Vyama vikuu vya ushirika
  • Wakulima binafsi

Monday, 22 September 2025

NBC PROVIDES TRAINING TO TRADERS ON FOREIGN EXCHANGE MARKETS AT SOUTH AFRICAN BUSINESS FORUM

NBC Bank’s Head of Foreign Exchange Markets, Ms. Juliana Mwapachu (holding the microphone), delivers a special presentation on the state of the foreign exchange market in Tanzania during the South Africa Business Forum (SABF) held in Dar es Salaam recently. The session aimed to equip business leaders and traders with knowledge and efficiency to help them make informed decisions on foreign currency transactions and investments. NBC Bank was the main sponsor of the forum.

Dar es Salaam, September 22, 2025 – The National Bank of Commerce (NBC) has provided special training to business leaders and traders from Tanzania and South Africa on foreign exchange markets as well as the general economic outlook in Tanzania. The initiative aimed at equipping traders with knowledge and efficiency to help them make informed decisions regarding foreign currency purchases and investments.

Speaking during the South Africa Business Forum (SABF) in Tanzania held in Dar es Salaam recently, NBC’s Head of Foreign Exchange Markets, Ms. Juliana Mwapachu, who delivered a presentation on the state of the foreign exchange market in Tanzania, said a deeper understanding of forex markets will greatly help business leaders and traders avoid losses they often incur when transacting without considering various economic indicators.

This is part of our ongoing efforts as a leading bank serving cross-border traders between Tanzania and South Africa. We continue to deliver different economic and business topics to build their awareness and support them in running their businesses in a way that is more aligned with financial institutions and regulatory bodies, so they don’t face challenges that could disrupt their operations,” she said.

In her presentation, Ms. Mwapachu elaborated on Tanzania’s 2025 economic performance and projections for 2026. She emphasized that with sufficient understanding of foreign exchange dynamics, traders will be better positioned to decide the right timing and methods for buying and exchanging currencies at favorable rates, minimizing losses from exchange rate fluctuations.

She further added that, beyond foreign exchange services, NBC is committed to supporting cross-border traders with professional advisory services, particularly when doing business outside Tanzania, including South Africa.

On his part, SABF Chairman, Mr. Manish Thakrar, underscored the importance of the training, saying it will greatly benefit traders who often deal with foreign currencies when importing goods.

This knowledge is extremely valuable, especially at a time when the value of the US dollar has dropped by nearly TSh200. Traders can now understand that this is the right time to import or export goods, a move that will further stimulate business and strengthen our economy,” he said.

NBC YAWEZESHA WAFANYABIASHARA TANZANIA - AFRIKA KUSINI KUELEWA MASOKO YA FEDHA ZA KIGENI

Mkuu wa Idara ya Masoko ya Fedha za Kigeni wa Benki ya NBC, Bi. Juliana Mwapachu (aliyeshika kipaza sauti), akiwasilisha mada maalum kuhusu hali ya masoko ya fedha za kigeni nchini wakati wa Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Tanzania (SABF) uliofanyika jijini Dar es Salaam mwishoni mwa wiki. Hatua hiyo imelenga kuwajengea wafanyabiashara hao uwezo na ufanisi zaidi utakaowasaidia kufanya maamuzi sahihi katika masuala ya manunuzi ya fedha za kigeni na uwekezaji. Benki ya NBC ilikuwa mdhamini mkuu wa mkutano huo.

Dar es Salaam, Septemba 22, 2025 – Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imetoa elimu maalum kwa wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini kuhusu masoko ya fedha za kigeni pamoja na muelekeo wa hali ya kiuchumi nchini Tanzania. Hatua hiyo inalenga kuwajengea uwezo na ufanisi zaidi wafanyabiashara hao ili waweze kufanya maamuzi sahihi katika ununuzi wa fedha za kigeni na uwekezaji.

Akizungumza kwenye Mkutano wa Jukwaa la Wafanyabiashara wa Afrika Kusini nchini Tanzania (SABF) uliofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Mkuu wa Idara ya Masoko ya Fedha za Kigeni wa NBC, Bi. Juliana Mwapachu, alisema uelewa mpana wa masoko ya fedha za kigeni unaweza kuwasaidia wafanyabiashara kuepuka hasara zinazojitokeza kutokana na mabadiliko ya thamani ya fedha.

Huu ni mwendelezo wa jitihada za NBC kama benki kinara katika kuwahudumia wafanyabiashara wa Tanzania na Afrika Kusini. Tumekuwa tukiwaletea mada mbalimbali za kiuchumi na kibiashara ili kuwajengea uelewa unaosaidia biashara zao kuendeshwa kwa njia rafiki kwa taasisi za kifedha na mamlaka husika, na kuepuka changamoto zinazoweza kuwakwamisha,” alisema Bi. Mwapachu.

Katika mada yake, alieleza mwenendo wa uchumi wa Tanzania kwa mwaka 2025 na matarajio ya mwaka 2026, akisisitiza kuwa elimu ya kutosha kuhusu masoko ya fedha itawawezesha wafanyabiashara kufanya maamuzi bora juu ya muda na njia ya kununua au kubadilisha fedha za kigeni kwa viwango rafiki.

Aliongeza kuwa, mbali na huduma za fedha za kigeni, NBC imejipanga kuendelea kutoa huduma za ushauri wa kitaalamu kwa wafanyabiashara wanaofanya shughuli zao nje ya Tanzania, hususan Afrika Kusini.

Kwa upande wake, Mwenyekiti wa SABF, Bw. Manish Thakrar, alisema elimu hiyo ni muhimu sana kwa wafanyabiashara ambao mara kwa mara hununua fedha za kigeni kwa ajili ya kuagiza bidhaa kutoka nje.

NMB YAWEZESHA MIKOPO YA SH. BIL. 500 KWA MTEJA MMOJA KUUNGA MKONO BIASHARA NA UZALISHAJI

Mbeya, Tanzania – Benki ya NMB imesema kuwa kwa sasa ina uwezo wa kumkopesha mteja mmoja zaidi ya Sh bilioni 500 kwa ajili ya uendeshaji wa biashara na shughuli nyingine za uzalishaji ikiwemo kilimo, mifugo, viwanda na uchimbaji wa madini, kutokana na mtaji wake mkubwa.

Mkuu wa Idara ya Biashara wa NMB, Alex Mgeni, aliyasema hayo jijini Mbeya wakati wa chakula cha jioni na wafanyabiashara wa Kanda ya Nyanda za Juu ambao ni wateja wakubwa wa benki hiyo.

Mgeni alisema lengo la mikopo hiyo ni kukuza shughuli za wateja, huku ikitolewa kupitia masuluhisho mbalimbali ambayo benki imeyaandaa kulingana na mahitaji ya kila mteja. Pia aliwahimiza wateja kuendelea kutumia huduma za kidijitali ikiwemo NMB Mkononi na Internet Banking.

“Huduma hizi zinalenga kumpunguzia mteja muda na gharama za kufika kwenye matawi yetu,” alisema Mgeni.

Aliongeza kuwa NMB imeanzisha pia mkopo maalumu wa nishati safi ya kupikia kwa wafanyabiashara, wenye riba ya 1% kwa mwezi au 12% kwa mwaka.

NMB STRENGTHENS LENDING CAPACITY WITH OVER SH500 BILLION AVAILABLE FOR SINGLE BORROWERS

Mbeya, Tanzania – NMB Bank has announced that it is now able to lend a single customer more than Sh500 billion to support business operations and other productive activities, including agriculture, livestock, manufacturing, and mining, thanks to its strong capital base.

The bank’s Head of Business Banking Department, Alex Mgeni, revealed this recently in Mbeya during a special engagement with business leaders from the Southern Highlands regions under the NMB Business Club platform.

Mgeni said the aim of providing these loans is to stimulate customers’ business growth, with solutions tailored to match the amount of financing each client requires. He also encouraged customers to embrace NMB’s digital channels such as NMB Mobile and Internet Banking, noting that these services save both time and the cost of visiting branches.

“In addition, the bank has introduced a loan product for clean cooking energy for businesses, with an interest rate of 1% per month or 12% annually,” he added.

Speaking at the same event, Nsolo Mlozi, Head of the Agriculture Unit at NMB, highlighted that a large proportion of clients in the Southern Highlands are engaged in activities across the agricultural value chain. He said many borrow to acquire farm machinery, vehicles for transporting produce, or to purchase inputs.

He further noted that food crops such as potatoes and rice have increasingly shifted into commercial crops as farmers scale up production. “We also intend to start providing loans for irrigation equipment to boost productivity and address the challenges of climate change,” said Mlozi.

NMB YAPOKEA TUZO YA UWAJIBIKAJI WA KIJAMII KATIKA ELIMU KWENYE TUZO ZA MUFTI 2025

Dar es Salaam, Septemba 20, 2025 – Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Mheshimiwa Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan anatambua mchango mkubwa wa madhehebu ya dini ikiwemo BAKWATA pamoja na wadau wa elimu katika kuimarisha maadili, kuendeleza maarifa na kuimarisha mshikamano wa kitaifa kupitia elimu.

Akizungumza kwa niaba ya Rais Samia katika hafla ya utoaji wa Tuzo za Mufti za Elimu 2025 zilizofanyika katika ukumbi wa Serena Hotel jijini Dar es Salaam, Waziri Mkuu alisema Serikali ya Awamu ya Sita itaendelea kuhakikisha elimu si tu inakuza maarifa na ujuzi, bali pia inajikita kwenye malezi yanayojenga tabia njema na uzalendo kwa vijana wa Kitanzania.

Katika hafla hiyo, Benki ya NMB ilitunukiwa Tuzo ya Matokeo Chanya na Uwajibikaji wa Kijamii katika Elimu (Social Impact & Corporate Social Responsibility in Education Award), ikiwa ni heshima kwa mchango wake mkubwa katika kusaidia na kuendeleza sekta ya elimu nchini.

Tuzo hiyo ilikabidhiwa na Waziri Mkuu Majaliwa na kupokelewa kwa niaba ya benki na Mkuu wa Idara ya Masoko, Mawasiliano na Mahusiano ya Umma, Rahma Mwapachu.

STANBIC YASHIRIKIANA NA VIONGOZI WA RASILIMALI WATU KUBORESHA USTAWI WA KIFEDHA KWA WAFANYAKAZI

Dar es Salaam, Tanzania – Ijumaa, 19 Septemba 2025: Benki ya Stanbic Tanzania imeandaa hafla maalumu ya HR Summit Dinner katika Hoteli ya Serena, ikiwa sehemu ya maadhimisho ya miaka 30 ya benki hiyo. Hafla hiyo iliunganisha viongozi wakuu wa rasilimali watu kutoka sekta mbalimbali kujadili namna ustawi wa kifedha unavyoweza kuleta tija, uaminifu na ukuaji wa taasisi.

Kauli mbiu ya hafla hiyo ilikuwa: “Kuwawezesha Wanaowawezesha Wafanyakazi.” Hafla hiyo iliandaliwa kama jukwaa la kushirikiana na pia kuonyesha jinsi waajiri na benki wanavyoweza kushirikiana kushughulikia changamoto za kifedha zinazowakabili wafanyakazi wengi.

Kauli za viongozi

Mkuu wa Huduma za Wateja Binafsi Stanbic, Bw. Omari Mtiga, alifungua mkutano huo na kusisitiza uhusiano kati ya usalama wa kifedha na kuleta tija kazini:
"Wafanyakazi wanapokuwa salama kifedha, hufanya kazi kwa bidii, huonyesha uaminifu na ubunifu zaidi. Kwa Stanbic, tunaona viongozi wa HR kama washirika muhimu katika kujenga taasisi zenye wafanyakazi wanaostawi."

Kilele cha usiku huo kilikuwa uwasilishaji wa programu ya Employee Value Banking (EVB) uliofanywa na Bw. Emmanuel Mahodanga, Mkuu wa Huduma za Benki Watu Binafsi, na Bw. Priscus Kavishe, Meneja Mwandamizi wa Mauzo na Uajiri. Programu hii inatoa huduma za kifedha zilizobuniwa kusaidia wafanyakazi kulipa madeni, kupanga maisha ya uzeeni na kukuza akiba. Kwa mujibu wa Stanbic, huduma hizi husaidia kupunguza msongo wa kifedha na kuongeza utulivu pamoja na tija kazini.

Mjadala wa “Financial Fitness at Work”

Kipindi cha mijadala kilichoitwa “Financial Fitness at Work”, kilichoendeshwa na Bw. Elibariki Ndossi, Mkuu wa Uwekezaji, pamoja na Bi. Janeth Mosha, Afisa Uwekezaji, kilijumuisha mjadala mpana kuhusu namna idara za HR zinavyoweza kuingiza ustawi wa kifedha kwenye mipango ya wafanyakazi. Masuala kama vile msongo wa madeni, mipango ya uzeeni, na mapengo ya akiba yalijadiliwa, sambamba na nyenzo za vitendo zinazoweza kutolewa na Stanbic moja kwa moja kwa wafanyakazi.

AIRTEL TANZANIA YAIFIKISHA SmartWASOMI KWA WALIMU WA IT VISIWANI ZANZIBAR

Afisa Vifaa vya Intaneti wa Mradi wa Airtel SmartWASOMI, Bw. Harrison Isdory (kushoto), akitoa maelekezo kuhusu matumizi ya baadhi ya vifaa vya intaneti katika warsha iliyoandaliwa kwa walimu wa IT mjini Zanzibar hivi karibuni. Warsha hiyo imeandaliwa na Airtel Tanzania kupitia Airtel Africa Foundation, kwa kushirikiana na Shirika la Kimataifa la Kuhudumia Watoto (UNICEF) na Wizara ya Elimu, chini ya mpango wa Airtel SmartWASOMI, unaolenga kuboresha elimu ya kidijitali kwa kuwawezesha walimu na wanafunzi kupata maudhui ya kielimu kupitia maktaba mtandao ya Taasisi ya Elimu Tanzania na Shule Direct bila gharama ya vifurushi vya data.

Zanzibar – Airtel Tanzania, kupitia Airtel Africa Foundation na kwa kushirikiana na UNICEF pamoja na Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia, imeendesha warsha ya mafunzo kwa walimu wa Zanzibar mwishoni mwa wiki, ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa mpango wa Airtel SmartWASOMI. Mpango huu wa elimu ya kidijitali unalenga kuongeza upatikanaji wa elimu bora kupitia teknolojia kote nchini Tanzania.

Warsha hiyo iliwaunganisha walimu 36 kutoka shule mbalimbali za sekondari zilizounganishwa na jukwaa la Airtel SmartWASOMI. Tangu uzinduzi wake mwezi Mei 2024 na Waziri Mkuu Kassim Majaliwa, mpango huo umefikia zaidi ya shule 400, ukiwa na athari chanya kwa maelfu ya walimu na wanafunzi. Jukwaa hili linatoa huduma ya mtandao bila gharama kwa rasilimali muhimu za kielimu, ikiwa ni pamoja na maudhui yaliyoidhinishwa na Taasisi ya Elimu Tanzania (TIE) na Shule Direct, hivyo kuwawezesha walimu na wanafunzi kujifunza bila gharama za data.

Kauli za viongozi

Mgeni rasmi katika tukio hilo, Mkurugenzi wa Elimu ya Sekondari Zanzibar, Bi. Asia Iddy Issa, alisifu mpango huo akisema:
"Mpango huu unasaidia ndoto yetu ya kuunda kizazi chenye uelewa wa kidijitali na unatatua changamoto zilizokwamisha upatikanaji wa nyenzo bora za kujifunzia, hasa katika maeneo yenye uhitaji mkubwa. Kwa kuwajengea uwezo walimu na kuondoa kikwazo cha gharama za data, tunapunguza pengo kati ya mbinu za kiasili za ufundishaji na ufundishaji wa kisasa."

NBC YAZINDUA MSIMU WA NNE WA KAMPENI YA “NBC SHAMBANI” KWA WAKULIMA WA KOROSHO MTWARA

Katibu Tawala wa Wilaya ya Tandahimba, mkoani Mtwara, Bw. Francis Mkuti (aliyeketi), akijaribu ubora wa trekta lililotolewa na Benki ya NBC kama zawadi kuu kwa mshindi wa kampeni ya ‘Wekeza NBC Shambani Ushinde’. Kampeni hiyo inaratibiwa na benki hiyo mahsusi kwa wakulima wa zao la korosho katika wilaya za Tandahimba na Newala, mkoani Mtwara, wakati wa hafla ya uzinduzi iliyofanyika wilayani Tandahimba. Wanaoshuhudia tukio hilo ni pamoja na Afisa Mkuu wa Fedha wa Benki ya NBC, Bw. Rayson Foya (aliyepanda trekta upande wa kushoto), Mrajisi Msaidizi wa Mkoa wa Mtwara, Bw. Robert Msunza (aliyepanda trekta upande wa kulia), Mwenyekiti wa Chama Kikuu cha Ushirika wa Wilaya za Tandahimba na Newala (TANECU), Bw. Karimu Chipola (aliyebaki standing katikati), pamoja na maofisa wengine wa benki hiyo na wakulima.

Tandahimba, Mtwara – Septemba 19, 2025:
Benki ya Taifa ya Biashara (NBC) imezindua rasmi msimu wa nne wa kampeni yake ya “Wekeza NBC Shambani Ushinde” kwa wakulima wa zao la korosho katika mkoa wa Mtwara, hususan wilaya za Tandahimba na Newala. Kampeni hii ni mwendelezo wa jitihada za benki hiyo katika kuchochea uzalishaji wa zao la korosho kupitia huduma bunifu na zenye manufaa kwa wakulima.

Hafla ya uzinduzi imefanyika wilayani Tandahimba ikiongozwa na Katibu Tawala wa Wilaya, Bw. Francis Mkuti, aliyemuwakilisha Mkuu wa Wilaya ya Tandahimba, Kanali Michael Mntenjele. Hafla hiyo pia ilihudhuriwa na wadau mbalimbali wa sekta ya korosho, wakiwemo wakulima na viongozi waandamizi wa NBC wakiongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Bw. Rayson Foya.

Kauli za viongozi

Akizungumza wakati wa hafla hiyo, Bw. Mkuti aliipongeza NBC kwa ubunifu na kujali maslahi ya wakulima nchini kupitia huduma zake za kifedha.
Zaidi nimefurahi kusikia kupitia kampeni hii wakulima wanaweza kupata mikopo ya vitendea kazi muhimu kama matrekta, pembejeo, na mikopo ya malipo ya awali. Zawadi hizi ni zana za kilimo zinazochochea uzalishaji,” alisema.

Aidha, Bw. Mkuti alisisitiza umuhimu wa huduma za bima za afya na bima za kilimo zinazojumuishwa katika kampeni hiyo, akibainisha kuwa zina mchango mkubwa katika kusaidia wakulima kukabiliana na changamoto za kiafya na hasara zitokanazo na majanga ya asili.

Kwa upande wake, Bw. Foya alisema kampeni hiyo ni sehemu ya mchango wa NBC katika kufanikisha mkakati wa serikali kupitia Ajenda ya 2010/2030, inayolenga kuongeza uzalishaji wa mazao ya kilimo kutoka asilimia 5 hadi 10 ifikapo mwaka 2030.
Sambamba na uzinduzi huu, tunatoa huduma mbalimbali ikiwemo ufunguaji wa akaunti zisizo na makato ya mwezi, mikopo ya zana za kilimo kwa wakulima mmoja mmoja, pamoja na mikopo kwa vyama vya ushirika (AMCOS/Union) kwa ajili ya pembejeo,” alieleza.

Sunday, 21 September 2025

MKUU WA MKOA AZINDUA TAWI JIPYA LA EQUITY BANK GEITA

Mkuu wa Mkoa wa Geita, Martine Shigela, amezindua rasmi tawi jipya la Benki ya Equity mjini Geita na kutoa wito kwa benki hiyo kuhakikisha inatoa mikopo kwa wanunuzi wa dhahabu ili kupunguza utegemezi wa mikopo kutoka nje ya nchi.

Fursa za Kifedha kwa Wananchi

Akizungumza katika hafla ya uzinduzi, Shigela alisema huduma za kifedha zinazotolewa na Equity Bank zitakuwa chachu ya kukuza uchumi wa ndani kwa kuwasaidia wachimbaji wadogo, wakulima, wafanyabiashara na wajasiriamali kupata mikopo nafuu.

Alisisitiza kuwa mkoa wa Geita una nafasi kubwa ya kustawi kiuchumi iwapo sekta ya madini itawezeshwa ipasavyo kupitia huduma bora za kifedha.

Mkakati wa Kitaifa wa Equity

Kwa upande wake, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity Tanzania, Isabela Maganga, alisema kufunguliwa kwa tawi la Geita ni sehemu ya mkakati wa kitaifa wa benki hiyo kuhakikisha wananchi wanapata huduma karibu na maeneo yao, hususan katika mikoa yenye shughuli kubwa za kiuchumi.

Friday, 19 September 2025

BENKI YA NMB YAFANYA KONGAMANO MAALUM NA WAFANYABIASHARA WA TABORA

Benki ya NMB imeandaa kongamano maalum kwa wafanyabiashara wa mkoa wa Tabora, lenye lengo la kujadili fursa za kifedha na huduma mbalimbali zinazotolewa na benki hiyo.

Meneja Mwandamizi wa Idara ya Biashara wa NMB, Dickson Richard, akizungumza katika kongamano hilo lililofanyika katika Halmashauri ya Manispaa ya Tabora, amesema benki imejipanga kuendelea kushirikiana kwa karibu na wafanyabiashara ili kuwawezesha kifedha na kukuza biashara zao.

Kongamano hilo limewaleta pamoja wafanyabiashara wa Tabora, likiwa jukwaa la kuimarisha mahusiano na kuonesha nafasi ya benki katika kuchochea ukuaji wa biashara na uchumi wa eneo hilo.



VODACOM YAZINDUA OFISI YA KANDA YA KASKAZINI PAMOJA NA DUKA JIPYA JIJINI ARUSHA

Mkuu wa Kanda ya Kaskazini wa Vodacom Tanzania PLC, Bw. George Venanty, akizungumza wakati wa uzinduzi wa ofisi mpya ya Kanda ya Kaskazini jijini Arusha. Tukio hilo lilihudhuriwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Philip Besiimire, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni hiyo, David Tarimo, pamoja na wafanyakazi wengine wa Vodacom Tanzania PLC.
Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania PLC, Philip Besiimire, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa kampuni hiyo, David Tarimo, na Mkurugenzi wa Biashara, Brigita Shirima, wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wengine wa Vodacom wakati wa uzinduzi wa ofisi ya Kanda ya Kaskazini pamoja na duka jipya la Vodacom jijini Arusha.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Kampuni ya Vodacom Tanzania PLC, David Tarimo (wa pili kushoto), akimsikiliza Meneja wa Maduka ya Rejareja wa kampuni hiyo, Vanessa Mlawi, akielezea huduma mbalimbali za kidijitali wakati wa uzinduzi wa duka jipya pamoja na ofisi ya Vodacom Kanda ya Kaskazini zilizoko katika jengo la PAPU jijini Arusha. Uzinduzi huo, uliofanyika kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 25 ya kampuni hiyo, unaendelea kusogeza huduma karibu na wateja kupitia njia mbalimbali, ikiwemo za kidijitali. Kulia (mwenye kofia nyekundu) ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Vodacom, Philip Besiimire.
Wafanyakazi wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya uzinduzi wa ofisi ya Kanda ya Kaskazini na duka jipya lililoko katika jengo la PAPU jijini Arusha.
Wateja wa muda mrefu wa Vodacom Tanzania wakiwa kwenye picha ya pamoja baada ya kupokea zawadi kama ishara ya shukrani kwa uaminifu wao kwa kampuni hiyo kwa kipindi cha miaka 25. Tukio hilo limefanyika jijini Arusha kama sehemu ya maadhimisho ya miaka 25 ya kampuni hiyo.

Thursday, 18 September 2025

TCB LAUNCHES FIVE-YEAR “STAWI BOND” WORTH TZS 150 BILLION TO EMPOWER SMEs

Capital Markets and Securities Authority (CMSA) Chief Executive Officer, Nicodemus Mkama (second left), hands over the approval note for Tanzania Commercial Bank Plc’s Stawi Bond to the bank’s Managing Director, Adam Mihayo (second right), during the bond launch in Dar es Salaam. Looking on are the Deputy Permanent Secretary in the Ministry of Finance, Elijah Mwandumbya (left), and TCB Chairman, Martin Kilimba.

Dar es Salaam, Tanzania – 17 September 2025; Tanzania Commercial Bank (TCB) has officially launched a five-year bond known as the “Stawi Bond” with a total value of TZS 150 billion, of which the first tranche is TZS 50 billion. The bond aims to support access to affordable loans for small and medium-sized enterprises (SMEs).

The Stawi Bond offers investors an attractive 13.5% annual interest rate, payable quarterly. With a minimum investment of TZS 500,000, the initiative opens the door for a wider number of Tanzanians to participate in the capital markets while enjoying reliable returns.

TCB’S REMARKS

Speaking during the launch, TCB Managing Director, Adam Mihayo, said that proceeds from the Stawi Bond will be directed towards empowering SMEs.

The Stawi Bond provides a real solution for small businesses, as it will enable them to access affordable loans and grow their operations. This is also part of our strategy to enhance financial inclusion for more Tanzanians,” Mihayo stated.


GOVERNMENT REMARKS

On behalf of the government, Deputy Permanent Secretary at the Ministry of Finance, Elijah Mwandumbya, emphasized that the Stawi Bond is more than just a financial instrument.

He noted that it creates a new avenue for citizens to directly participate in national investment, thereby contributing to inclusive economic growth.

Mwandumbya added that the government remains committed to creating an enabling policy environment that encourages financial institutions to design innovative products that expand access to affordable financing for SMEs. He further highlighted that this aligns with government efforts to strengthen the economy and reduce dependence on external borrowing.

STANBIC YAWAWEZESHA WAFANYAKAZI WA MIGODINI GEITA KUKUA KIFEDHA

Suluhisho Maalumu kwa Wahandisi, Mafundi na Wafanyakazi wa Migodi

Geita, Tanzania – Ijumaa, 12 Septemba 2025:
Geita ni kiini cha sekta ya madini nchini Tanzania, ikiwa makazi ya maelfu ya wanaume na wanawake wanaochangia ukuaji wa uchumi wa taifa. Kwa kutambua mchango wao, Benki ya Stanbic Tanzania imetangaza kujidhatiti katika kuwawezesha wafanyakazi wa migodini Geita kupitia suluhisho bora za kifedha zinazowawezesha kustawi, kuwekeza na kujenga mustakabali wa kudumu.

Mikopo ya Nyumba, Magari na Vifaa

Katika hafla maalumu ya wafanyakazi wa migodini, Stanbic ilitambulisha rasmi huduma za kifedha zikiwemo:

  • Mikopo ya nyumba yenye thamani hadi TZS bilioni 1.2, muda wa marejesho hadi miaka 20.
  • Straight purchase loans ambapo benki inafadhili hadi 90% ya thamani ya nyumba.
  • Takeover mortgages kwa masharti nafuu zaidi.
  • Mikopo ya magari na vifaa – kuanzia magari binafsi, mabasi, hadi vifaa vya migodini kama excavators, bulldozers na drilling rigs.

Geita siyo tu kitovu cha madini, ni jamii ya watu wenye maono makubwa wanaoendesha gurudumu la uchumi wa Tanzania,” alisema Emmanuel Mahodanga, Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi Stanbic Tanzania.

PUMA ENERGY TANZANIA INAUGURATES NEW SERVICE STATION IN SINGIDA

Singida, Tanzania - 17 September 2025; Puma Energy Tanzania has inaugurated its new service station in Singida Region, underscoring the company’s commitment to expanding access to reliable energy, creating economic opportunities, and energizing communities across the country.

Strategically located in the Central Zone, the Puma Singida Service Station will provide motorists, transport operators, and businesses with access to high-quality fuels, lubricants, and convenience services. The station has been designed and will be operated in line with Puma’s internationally recognized Health, Safety, Security, and Environment (HSSE) standards, ensuring customers enjoy safe, dependable, and efficient service at all times.

The new facility features a wide range of modern amenities, including a gym, restaurant, mini-supermarket, office space, and car service and wash bay facilities. It will serve fuel needs for retail customers, households, and transporters alike—cementing Puma’s position as a trusted energy partner supporting both daily life and business growth.

Speaking during the launch, Mr. Benedict Ndunguru, Head of Commercial at Puma Energy Tanzania, represented Ms. Fatma Abdallah, Managing Director of Puma Energy Tanzania. On her behalf, he reaffirmed the company’s long-term vision for the country and strong commitment to the Singida region:

The launch of this service station in Singida reflects our dedication to bringing reliable, safe, and innovative energy solutions closer to communities. Beyond convenience, this investment will create jobs, support local suppliers, and contribute directly to the economic growth of the region. We are here for the long run and remain committed to energizing communities and supporting Tanzania’s energy future.”

ECOBANK YAADHIMISHA MIAKA 40 AFRIKA NA MIAKA 15 TANZANIA - GUTUKA NA ECOBANK!

Mkuu wa Kitengo cha Wafanyabiashara Wadogo na Wakati (SME) wa Ecobank Tanzania, Juma Hamisi (katikati), akizungumza na waandishi wa habari kuhusu kampeni maalum ya “Gutuka na Ecobank”, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 40 ya huduma za benki hiyo barani Afrika na miaka 15 ya huduma zake hapa Tanzania.

Dar es Salaam, 10 Septemba 2025 – Ecobank, benki inayoongoza barani Afrika, inasherehekea miaka 40 ya huduma bora Afrika na miaka 15 ya huduma nchini Tanzania. Katika maadhimisho haya, Ecobank imezindua kampeni kabambe ya “Gutuka na Ecobank!” yenye lengo la kuhamasisha tabia ya kuweka akiba na kuwashukuru wateja kwa uaminifu wao.

KUHUSU KAMPENI

Kampeni hii ya miezi mitatu inalenga wateja wa akaunti ya Supa Seva, ambapo watapata nafasi ya kujishindia zawadi mbalimbali.
Akizungumza kwenye uzinduzi, Meneja Mwandamizi wa Kitengo cha Wateja Binafsi, Innocent Urio, alisema:

Kupitia kampeni hii, wateja wetu watajipatia zawadi mbalimbali zikiwemo pikipiki za miguu mitatu (Gutas) na pesa taslimu hadi TZS 1,000,000. Mwishoni mwa kampeni, zawadi kubwa itakuwa GUTA (Tricycle) kupitia droo ya bahati nasibu.”

JINSI YA KUSHIRIKI

  • Fungua akaunti ya Supa Seva kupitia www.ecobank.com au tawi lolote la Ecobank.
  • Weka akiba kwenye akaunti yako – kadri unavyoongeza akiba, ndivyo nafasi zako za ushindi zinavyoongezeka.

Wednesday, 17 September 2025

TCB YAZINDUA STAWI BOND: FURSA MPYA KWA WAWEKEZAJI NA WAJASIRIAMALI WADOGO

Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua rasmi hatifungani mpya ya miaka mitano ijulikanayo kama Stawi Bond, yenye thamani ya Shilingi bilioni 150, ambapo toleo la kwanza ni Shilingi bilioni 50. 

Hatifungani hii inalenga kukusanya fedha zitakazotumika kutoa mikopo nafuu kwa wajasiriamali wadogo na wa kati, ambao mara nyingi hukabiliwa na changamoto za upatikanaji wa mitaji kwa riba nafuu.

Kwa mujibu wa TCB, Stawi Bond inatoa riba ya kuvutia ya asilimia 13.5 kwa mwaka, itakayolipwa kila baada ya robo ya mwaka. Kiwango cha chini cha uwekezaji ni Shilingi laki tano, hatua inayowezesha wananchi wengi kushiriki kwenye soko la mitaji.


KAULI YA TCB

Mkurugenzi Mtendaji wa TCB, Adam Mihayo, alisema fedha zitakazopatikana kupitia Stawi Bond zitaelekezwa moja kwa moja kusaidia wafanyabiashara wadogo na wa kati.

“Stawi Bond inaleta suluhisho la kweli kwa wafanyabiashara wadogo, kwani tutawawezesha kupata mikopo nafuu na hivyo kukuza shughuli zao. Hii pia ni sehemu ya mkakati wetu wa kuongeza ujumuishi wa kifedha kwa Watanzania wengi zaidi,” alisema Mihayo.


KAULI YA SERIKALI

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Elijah Mwandumbya, alisema Stawi Bond ni zaidi ya chombo cha kifedha, kwani inafungua njia mpya ya wananchi kushiriki moja kwa moja kwenye uwekezaji wa taifa na kuchochea ukuaji wa uchumi shirikishi.

Alibainisha kuwa serikali itaendelea kuboresha mazingira ya kisera ili taasisi za kifedha ziweze kuja na ubunifu unaowawezesha wafanyabiashara kupata mikopo nafuu, sambamba na jitihada za kuimarisha uchumi na kupunguza utegemezi wa mikopo ya kigeni.


KAULI YA CMSA

Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA), Nicodemus Mkama, alisema Stawi Bond ni ya kihistoria kwa kuwa ni mara ya kwanza benki ya serikali kutoa hatifungani ya aina hiyo.

Alieleza kuwa hii ni sehemu ya utekelezaji wa Mkakati wa Ufadhili Mbadala wa Miradi, unaolenga kuzisaidia taasisi za umma kutumia masoko ya mitaji badala ya kutegemea bajeti pekee.

Tuesday, 16 September 2025

VODACOM TANZANIA GRADUATES GIRLS IN STEM THROUGH ‘CODE LIKE A GIRL’ PROGRAM

Vodacom Tanzania Plc’s Youth and Training Specialist, Mr. Samwel Komba, presents a certificate to student Doris Nisetasi, a graduate of the Code Like a Girl program. The initiative aims to enhance awareness among female students in Science, Technology, Engineering, and Mathematics (STEM) and is sponsored by Vodacom Tanzania in partnership with dLab. The graduation ceremony was held on Friday in Dar es Salaam.
Graduate of the Coding Program, Lairati Yahya, presents her group’s project during the climax of the Code Like a Girltraining in Dar es Salaam. The program, run by dLab with sponsorship from Vodacom Tanzania PLC, aims to educate and inspire girls to pursue studies in Science, Technology, Engineering, and Mathematics (STEM). To date, more than 3,370 girls across the country have graduated from the training.