Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for banking, finance, business, economic, investment and stock market news as well as selected informative articles from Tanzania, East Africa and the rest of the World. We operate 24 hours a day, 365 days a year with complete context, perspective and precision.
Blog Rebranding Teaser_030826
Absa Loan Campaign_160426
Wednesday, 7 December 2022
KAMPUNI YA KILOMBERO YAIBUKA KIDEDEA TUZO ZA ATE 2022
Dar es salaam - Kampuni ya Sukari ya Kilombero imefanikiwa kunyakua tuzo katika kipengele cha cha Uanagenzi na Mafunzo (Apprenticeship and Internship) huku ikishika nafasi ya pili katika kipengele cha Ushirikishwaji wa Watanzania (Local Content) na kupokea cheti cha shukrani kwa kudhamini hafla hiyo wakati wa tuzo za zitolewazo na Chama cha Waajiri Tanzania (ATE) zilizofanyika Disemba 2, 2022 katika ukumbi wa Mlimani City Jijini Dar es Salaam.
POWER LEARN PROJECT EMPOWERING YOUTHS IN TANZANIA THROUGH A FULLY FUNDED SCHOLARSHIP FOR SOFTWARE DEVELOPMENT
Dar es Salaam, 3 December 2022 - Innovation for a resilient and inclusive digital economy is relevant, timely, and aligns well to ensure innovation is at the heart of achieving industrialization and creating jobs. At the University of Dar es Salaam, Power Learn Project (PLP), in partnership with Adanian Labs Tanzania and the Dar es Salaam University Students Organization, has launched the #1MillionDevs4Africa Program in Tanzania in a bid to train 1 Million software developers across the continent by 2027.
In 2016, the government of Tanzania launched the National ICT Policy 2016, an update to an earlier version adopted in 2003, in recognition of the contribution of the ICT sector to promoting socioeconomic development in the country.
Digital technology can help address a range of socioeconomic challenges in any society. This is particularly true in developing countries where large swathes of the population lack access to essential services, mainly due to insufficient resources and weak infrastructure. In many countries, digital technologies, particularly the internet, now serve as a platform for improving healthcare, education, commerce, information sharing, employment, and innovation. In turn, this generates measurable economic, social and cultural value, from improving productivity and efficiency in critical sectors of the economy to enabling access to life-enhancing services for individuals and communities.
Tuesday, 6 December 2022
MOROCCO VS SPAIN RAUNDI YA 16 BORA NDANI YA DStv
Piga *150*53# kulipia kifurushi cha Bomba TShs. 23,000 tu ufurahie mechi hii kwa picha ang'avu.
#Hiinikwakilashabiki
SERENGETI BREWERIES WINS ATE'S EMPLOYER OF THE YEAR AWARD ON LOCAL CONTENT
NBC YAMWAGA ZAWADI WASHINDI WA ‘VUNA ZAIDI NA NBC SHAMBANI’ MSIMU WA PILI
Monday, 5 December 2022
NMB YAONGOZA TUZO ZA MWAJIRI BORA WA MWAKA 2022
“Tunafurahi kwamba leo tumetunukiwa tuzo ya Mwajiri Bora wa ujumla baada ya kushinda tuzo nyingi mwaka huu. Maono yetu ni kuwa taasisi inayoongoza katika kusaidia kujenga mustakabali mwema kwa Watanzania wote. Kama sehemu ya mkakati wetu wa biashara, tunawekeza pakubwa katika kujenga utamaduni jumuishi ambapo wafanyakazi wetu wanathaminiwa na kushirikishwa katika mambo yanayohusu biashara na maslahi yao” Akonaay alisema.
BENKI YA EXIM YAENDELEA KUNGÁRA TUZO ZA MWAJIRI BORA, YAIBUKA KINARA MWAJIRI BORA NDANI YA NCHI
Saturday, 3 December 2022
RATIBA YA RAUNDI YA 16 BORA WIKIENDI HII NDANI YA DStv
Ratiba ya Round ya 16 wikiendi hii ndani ya @dstvtanzania pekee!
Tuandikie timu zitakazoibuka na ushindi!
Hakikisha unafurahia mechi hizi kwa picha ang'avu bila kukosa.
Kulipia kifurushi chako piga *150*53#
#HiiNiKwaKilaShabiki
Friday, 2 December 2022
TANGA CEMENT YANYAKUA TUZO ZA NBAA MWAKA WA SITA MFULULIZO
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamal Kassim Ali akikabidhi tuzo ya Mshindi wa kwanza kipengele cha wazalishaji viwandani katika tuzo za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), ya mwaka 2021 kwa Mkuu wa Divisheni ya Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Pieter de Jager katika hafla iliyofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam. Wengine kulia ni Maofisa wa Tanga Cement.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamal Kassim Ali akikabidhi tuzo ya mshindi wa jumla katika tuzo za za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA), mwaka 2021 kwa kwa Mkuu wa wa Fedha wa Kampuni ya Tanga Cement PLC, Isaac Lupokela.
Baadhi ya Maofisa kutoka Tanga Cement wakiwa kwenye hafla ya utoaji wa Tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) zilizofanyika katika hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Ikulu Zanzibar, Jamali Kassim Ali (kushoto), akikabidhi Tuzo kwa Meneja Mauzo kitaifa wa Kampuni ya Tanga Cement, Mhandisi Leslie Masawe wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) ambapo Tanga Cement ilishiriki kwenye maadhimisho hayo jijini Dar es Salaam, Novemba 30, 2022.
Washindi wa jumla wa tuzo zilizotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa utoaji wa tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwenye hafla iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Washindi wa Kwanza wa tuzo zilizotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu Tanzania (NBAA) wakiwa katika picha ya pamoja na meza kuu wakati wa utoaji wa tuzo za umahiri katika uandaaji wa Taarifa za Fedha ya Mwaka 2021 (Best Presented Financial Statements for the Year 2021 Awards) kwa Taasisi, Makampuni pamoja na Mashirika zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na Wakaguzi wa Hesabu (NBAA) kwenye hafla iliyofanyika katika Hotel ya APC Bunju jijini Dar es Salaam.
Katika hafla ya utoaji wa tuzo hizo iliyofanyika katika Kituo cha Mikutano cha NBAAkilichopo Bunju jijini Dar es Salaam, Tanga Cement imeibuka na mshindi wa kwanza wa jumla katika tuzo za uandaaji na uwasilishaji Bora wa Taarifa za Hesabu zinazotolewa na Bodi ya Taifa ya Wahasibu na wakaguzi wa Hesabu (NBAA), mwaka 2021.
Thursday, 1 December 2022
MSHINDI WA PROMOSHENI YA NMB MASTABATA KOTEKOTE AKABIDHIWA PIKIPIKI JIJINI MWANZA
Mkazi wa Bunda jijini Mara, Bernard Lucas Matiku alisema 'Asante sana Benki yangu ya NMB kwa kunizawadia pikipiki, nimeanza vizuri msimu huu wa sikukuu maana sasa sina wasiwasi kuendesha mishe zangu' baada ya kukabidhiwa pikipiki aliyoshinda katika promotion ya NMB MastaBata KoteKote.
BENKI YA EXIM YANG’ARA TUZO ZA NBAA
HATS OFF AS GEITA GOLD MINING LTD CONTINUES WITH KILI CHALLENGE AGAINST AIDS
As the World AIDS Day is celebrated today, Geita Gold Mining Limited (GGML) in Tanzania has vowed to continue with the fight against HIV/AIDS through its Kili Challenge Campaign initiave.
With support and collaboration from stakeholders, the campaign has made great strides and impact since its inception in 2002 to the extent of becoming an international fund.
Making the revelation in Lindi, Dr. Kiva Mvungi, Senior Manager (Health Safety, Environment and Training) at Geita Gold Mining Limited said the campaign launched 20 years ago was aimed at raising awareness and funds to fight HIV/AIDS in Tanzania.
He remarked, "The Kili Challenge has evolved into an international fund involving Kilimanjaro climbers and cyclists from all seven continents and more than twenty countries." We are glad that this accomplishment allows us to make this fund sustainable so that the government's goals against this epidemic can be met."
Dr. Mvungi elaborated by stating that this year, GGML, in collaboration with the Tanzania Commission for AIDS (TACAIDS), through the Kili Challenge campaign, was able to raise more than 1.1 billion Tanzanian Shillings (TZS) to be used in the fight against the pandemic.
WADAU KUWEZESHA WANAWAKE KUJIKWAMUA BAADA YA JANGA LA UVIKO-19
30 Novemba 2022, Dar es Salaam - Wakati dunia ikiadhimisha Siku 16 za Kupinga Ukatili wa Kijinsia Duniani, kampuni ya Ekima Consultants na wadau wa maendeleo wameandaa tamasha la wanawake lenye lengo la kuwawezesha, na kuwahamasisha wanawake kujikwamua na changamoto baada ya janga la Uviko-19.
Tamasha hilo lenye kauli mbiu ya ‘Anza Upya’ linalotarajiwa kufanyika tarehe 9 Desemba jijini Dar es Salaam lina lengo la kukuza uwezo wao katika kuchangia maendeleo endelevu. Mada zitakazotolewa kwenye tamasha hilo zitaangazia afya ya akili, ustawi, uwezeshaji wa kifedha na kiuchumi, kujijali, na afya ya wanawake; ambazo zitatolewa na wataalamu kutoka sekta ya afya, taasisi za kifedha, mashirika na makampuni binafsi.
Akizungumza katika mkutano na waandishi wa habari, muandaaji wa tamasha hilo, Mkurugenzi wa EKIMA Consultants Marion Elias alisema kuwa tamasha linawalenga wanawake walioajiriwa na waliojiajiri wenye umri kuanzia miaka 25 hadi 65

.jpg)

.jpg)




































