Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Monday, 8 September 2014

BENKI YA CRDB KUJENGA TAWI LA KISASA KATIKA KIWANDA CHA DANGOTE, MTWARA

Ndege ya Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of  Industries, Alhaji Aliko Dangote ikiwasili katika uwanja wa Mtwara.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB Dk. Charles Kimei (wa pili kushoto), akiwa na balozi wa Nigeria, Meneja wa Benki ya CRDB tawi la Mtwara, Francis Kasoyaga (wa pili kulia) wakiwa uwanja wa Ndege wa Mtwara wakati wakimsubiri kumpokea Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of  Industries, Alhaji Aliko Dangote.

Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of  Industries, Alhaji Aliko Dangote akishuka katika Ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Mtwara.

Mwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of  Industries, Alhaji Aliko Dangote akisalimiana na balozi wa Nigeria.

Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB akisalimiana naMwenyekiti na Mtendaji Mkuu wa Dangote Group of  Industries, Alhaji Aliko Dangote.

Kwa picha zaidi, bofya hapa.

Michuzi Blog

Saturday, 6 September 2014

DEPOSITORS ALARMED AS ATM THEFT RISES SHARPLY

Dar es Salaam. If you hold an account with a local bank and deposit millions of shillings there, you had better watch out. You could well be deceiving yourself that your money is in safe hands just because you know where you have kept your ATM card.
ATM card skimming is so big in Tanzania today that you can at anytime fall victim to cybercrime through ATM withdrawals. According to our sources, the problem is so rife in the country that cybercriminals operating in various parts of the country are now reportedly withdrawing hundreds of millions of shillings from banks countrywide through ATM cards.

Friday, 5 September 2014

GAS TO DOUBLE SUPPLY OF POWER BY 2016: TANESCO

Dar es Salaam. Tanzania aims to double its power production to 3,000 megawatts by 2016 at a cost of around $1.21 billion to meet rising demand by using its vast natural gas supplies; Reuters reported yesterday quoting an official with the Tanzania Electric Supply Company (Tanesco).
Decklan Mhaiki, deputy managing director for investments at  the state-run Tanesco said the country’s installed capacity stood at 1,500 megawatts (MW), against a peak power demand of 900 MW. The full installed capacity is however rarely available due to power plant outages and drought, the news agencies published.

FORMER MEDICAL STORES DEPARTMENT BOSS IN COURT OVER FAKE HIV TEST KITS

Dar es Salaam.  Former Medical Stores Department (MSD) acting director general Sylvester Matandiko has finally appeared before the Kisutu Resident Magistrates’ Court to answer charges related to the importation of fake HIV test kits.
Mr Matandiko is charged along with three others. They are Sadiki Materu, a Quality Assurance manager of MSD as well as Zainabu Mfaume and Joseph Nchimbi, registrars from the Private Health Laboratories Board with several counts including occasioning a Sh3 billion loss through a transaction involving importation of defective bioline HIV test kits.

BANK FRAUD SUSPECTS IN KENYA, FBI WARDS

Nairobi, Thursday. The Federal Bureau of Investigation (FBI) has asked Kenya to help arrest a ring of international bank hackers and cyber criminals based in the country.
The group, comprising Nigerians, targets banks and has stolen $2.5 billion (Sh215 billion) from banks and other institutions around the world.
Three other suspects, who are also wanted by the US law enforcement agency, are believed to operate from Lagos, Nigeria, while a fourth is based in Dubai, the United Arabs Emirate.

BENKI YA BOA KUWAWEZESHA WASAMBAZAJI WA BIDHAA ZA VODACOM

Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza (kulia) akiongea na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati akizindua ushirikiano wa kampuni yake na Benki ya Afrika (BOA) Tanzania unaowawezesha mawakala wa M-pesa na wasambazaji wa huduma za Vodacom kupata miko nafuu na bila dhamana kuinua biashara zao. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya BOA, Ammish Owusu – Amoah. Hafla hiyo ilifanyika Makao Mkauu ya Vodacom, Dar es salaam.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Afrika (BOA) Tanzania Ammish Owusu – Amoah (kushoto) na Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania Rene Meza wakipongezana mara baada ya kutangaza rasmi ushirikiano unaowawezesha mawakala wa M-pesa na wasambazaji wa huduma za Vodacom kupata mikopo nafuu na bila dhamana kutoka BOA kwa lengo la kuinua biashara zao. Mikopo hiyo ni kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni.

Afisa Mtendaji Mkuu wa Benki ya Afrika (BOA), Ammish Owusu – Amoah(kushoto)akisisitiza jambo kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) kuhusiana na kuingia ubia na Vodacom Tanzania ambao utawawezesha mawakala wa kuuza na kusambaza bidhaa za kampuni hiyo kupata mikopo ya masharti nafuu na bila amana ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja wao, kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa Vodacom Tanzania, Rene Meza.

Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya Afrika (BOA) Tanzania na wa Vodacom Tanzania wakifuatilia  mkutano wa waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa ushirikiano kati ya BOA benki na  Vodacom Tanzania  ambao utawawezesha mawakala wa M-pesa na wauzaji wakubwa wa bidhaa za Vodacom kupata mikopo ya kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni kwa masharti nafuu na bila amana ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja.

Ofisa Mkuu wa Mauzo na Usambazaji wa Vodacom Tanzania, Hassan Saleh(kulia) na Mkuu wa Mauzo  wa M pesa Franklin Bagala wakifuatilia  mkutano wa waandishi wa habari kuhusiana na uzinduzi wa ushirikiano kati ya BOA benki na  Vodacom Tanzania  ambao utawawezesha mawakala wa M-pesa na wauzaji wakubwa wa bidhaa za Vodacom kupata mikopo ya kati ya Sh 10 Milioni na 75 Milioni kwa masharti nafuu na bila amana ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja.

Dar es Salaam Sep 3, 2014Benki ya Africa (BOA)-Tanzania imeingia ubia na kampuni ya mawasiliano ya Vodacom Tanzania,  ambao utawawezesha mawakala wa kuuza na kusambaza bidhaa za Vodacom kupata mikopo ya masharti nafuu na bila amana ili kuwawezesha kutoa huduma bora kwa wateja wao.
Chini ya mpango huu mawakala wa Vodacom wataweza kuchukua mkopo unaofikia mara 6 ya kamisheni wanayokuwa wamepata katika kipindi cha miezi 6 kabla ya kuomba mkopo. Wataweza kukopa kuanzia kiasi cha shilingi milioni 10 na kiasi cha juu ya kukopa ni  shilingi milioni 75 .Mkopo huu ambao ni mkombozi kwa mawakala  hao una riba ya asilimia 1.7 kwa mwezi na unatakiwa kulipwa ndani ya kipindi cha  mwaka mmoja.

AZANIA BENKI WAZINDUA AKAUNTI MPYA YA DHAMIRA

Mkurugenzi Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Singili akizungumza na waandishi wa habari (hawapo pichani) wakati wa uzinduzi wa akaunti mpya ya benki hiyo iitwayo Dhamira (Dhamira Account) uliofanyika jana kwenye Makao Makuu ya Benki hiyo, Ubungo jijini Dar es Salaam. 

Baadhi ya Waandishi wa habari waliohudhuria kwenye uzinduzi huo wakimsikilizwa kwa makini Mkurugeni Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Singili.

Baadhi ya Waandishi wa habari waliohudhuria kwenye uzinduzi huo wakimsikilizwa kwa makini Mkurugeni Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Singili. 

Mkurugeni Mkuu wa Benki ya Azania, Charles Singili akimuelekeza namna ya kujaza fomu, Bi. Naomi Mapunda ambaye alikuwa mteja wa kwanza kufungua akauni hiyo ya Dhamira.

Baadhi ya Maofisa wa Benki ya Azania.

Mkurugenzi mtendaji wa Azania benki, Charles Singili amewataka wananchi kuwa na mazoea ya kujiwekea akiba kwa manufaa ya baadae.
 
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana wakati wa uzinduzi wa akaunti mpya ya benki hiyo iitwayo Dhamira, Singili alisema kuwa utaratibu wa kujiwekea akiba utapunguza tatizo la umasikini kwa wananchi.
 

VIDEO: AZANIA BANK LAUNCHES DHAMIRA ACCOUNT

KITOMARI BANKING & FINANCE BLOG HITS NEW READERSHIP HIGH OF 80,000 VISITS AND STILL GROWING...

Kitomari Banking & Finance Blog is a premier site for current banking, finance, business, economic and stock market news as well as selected informative articles covering Tanzania, East Africa and the rest of the World.

Over the course of the last month, August 2014, Kitomari Banking & Finance Blog had 20,589 page visits to our site - a new record high. And we're still growing rapidly!

TURNOVER UP 500% AS DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE RELAXES RULES

DSE Chief Executive Officer, Molemi Marwa.
Turnover at the Dar es Salaam Stock Exchange has grown more than fivefold over the past five years, as a result of measures taken to increase the frequency of transactions.
DSE chief executive officer Molemi Marwa said that stringent regulations had discouraged companies seeking capital from listing and investors from buying shares.
“The relatively low liquidity had in the past made it somewhat unattractive for issuers and some investors to participate, but things have changed significantly in the past few months,” Mr Marwa said.

$600 MILLION HIGHWAY TO LINK KENYA, TANZANIA

The East African Community is finalising plans for a transnational highway to link the Kenyan and Tanzanian coasts.
The 460km highway, expected to cost $600 million, will start in Malindi, pass through Mombasa and Lunga Lunga on the Kenyan side, across to Tanga, then on through Pangani and Saadani to Bagamoyo in northeastern Tanzania.
The road is hoped to increase regional trade by linking the port of Mombasa in Kenya to northeastern Tanzania.

HOW STOLEN UHURU KENYATTA CAR WAS TRACKED TO UGANDA

Mr Aggrey Odhiambo, a mechanic in the garage where the car was first worked on.
The Uganda police have recovered President Uhuru Kenyatta’s escort car after help from the suspect’s girlfriend, who lured him into a security trap at Wandegeya, a Kampala suburb.
A police source said the suspect, who was arrested driving Uhuru’s stolen BMW, is a Ugandan but his identity was concealed for fear to jeopardise the investigations. The suspect was arrested by the police Flying Squad operatives as he was meeting his girlfriend in Wandegeya, a Kampala suburb on Tuesday night. The vehicle had been vandalised, according to another police source who declined to be named because the issue involves another country.

TANZANIA'S TAXMAN WANTS REVIEW OF GAS, MINING DEALS

Workers at a mine in Tanzania. TRA wants to review all contracts signed between the government and investors in the mining sector.
The Tanzania Revenues Authority (TRA) wants to review all contracts signed between the government and investors in the lucrative mining sector so that the country in order to collect more revenue from them. However, there is already concern that if not well handled, the move could create uncertainty and fear among foreign investors.
TRA yesterday announced that it was looking for consultants to renegotiate all the Mining Development Agreements (MDAs) and Production Sharing Agreements (PSAs) signed between the government and investors to arrest possible revenue leakages.

TANZANIA: ENOC AFRICA WINS ANOTHER TENDER TO IMPORT FUEL

A Tanzanian oil company, ENOC Africa, has won a tender to import fuel under the Petroleum Bulk Procurement System (BPS) for the month of October, this year.
The tender that attracted six oil companies including five foreign and international companies, was awarded to ENOC Africa after offering the lowest Weighted Average Premium per Metric Ton of 45.771 US dollars per MT.
Other companies (all international) that participated in the tender include Addax Energy SA which quoted 49.18 US dollars per MT, Augusta Energy SA (48.854 US dollars per MT) and Gapco (K) Ltd (47.543 US dollars per MT).

TANZANIA NATIONAL REINSURANCE CORPORATION KEEN TO CONSOLIDATE REINSURANCE BUSINESS

Some three years ago, the historical town of Bagamoyo, located about 60 kilometres north of Dar es Salaam, was hit by twin disasters as fire razed two luxurious hotels on the Indian Ocean beach.
In the mid-morning of March 23, 2009, the Paradise Holiday Resort and the neighbouring Oceanic Bay Hotel, horribly went ablaze and the properties worth billions of shillings were totally gutted down, following what was said to be an electrical fault.
The situation at the Paradise Holiday Resort was back to normal after a relatively short period, thanks to the country's insurance and reinsurance firms that effectively played their part.

ABOUT THE TIGO MATIC ATM, BENEFITS AND LOCATION


Tigo Matic self service ATM 

Tigo Matic self service ATM 

Tigo Matic is a self-help kiosk like an ATM machine where a customer can perform activities which are usually performed by customer representatives.

BENEFITS
-Customers can have access to Tigo services 24/7
-No need to subscribe or register for the service
-Use Customer self-service option to speed transaction handling time and reduce customer waiting

SERVICES OFFERED
Post-paid customers will be able to pay their Bills and Prepaid customers will be able to recharge their Sim Card In Q1 2014 we will add 3 more services which are:
-Tigo Pesa Cash In (Deposit)
-Tigo Pesa Cash Out (With draw)
-Sim card replacement (Sim swap)



LOCATIONS/DIRECTIONS
Area: Dar Es Salaam
Physical Address: 
Tigo Matic Location 1. MIC Tanzania Ltd Headquarters - New Bagamoyo Rd, Derm Complex Opposite Makumbusho Ward, Kijitonyama.

Tigo Matic Location 2. Tigo Customer Care Center, Haile Selassie Road next to George and Dragon, Masaki. 

More to be launched soon!

TIGO TANZANIA LAUNCHES TIGO MATIC ATM IN DAR

A new mobile money feature on automated machines dubbed Tigo Matic, which enables customers to deposit and withdraw money from their Tigo Pesa accounts round the clock, has been launched.
Tigo's Head of Customer Operations, Mr Zaeem Khan said on Tuesday that the new Tigo Pesa service is an added feature to the initial services provided by the machine, which included paying bills and airtime recharge.

Thursday, 4 September 2014

FINANCIAL AND INVESTMENT SERVICE WEEK 2014

Kwa siku 3 mfululizo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja kutakuwa na maonyesho ya Financial Investment Service kwa udhamini wa Benki ya NMB.

Maonyesho yanayolenga kuelimisha jamii kuhusu maswala ya fedha na uwekezaji.

Maonyesho hayo yatamalizika siku ya Jumamosi tarehe 6 September 2014.


Mteja akipata maelezo mbali mbali kuhusu huduma za NMB alipotembelea banda la NMB katika viwanja vya Mnazi Moja.

Mteja akipata maelezo mbali mbali kuhusu huduma za NMB alipotembelea banda la NMB katika viwanja vya Mnazi Moja.

Wateja wakipata maelezo mbali mbali kuhusu huduma za NMB alipotembelea banda la NMB katika viwanja vya Mnazi Moja. 

Karibu katika banda la NMB.

CRDB BANK ENTERS INTO FIVE YEAR SPONSORSHIP DEAL WITH YOUNG AFRICANS FC

CRDB Bank CEO, Charles Kimei (second right) and member of Yanga's Board of Trustees, Mama Fatuma Karume (second left), signing the agreement at the bank's headquarters along Azikiwe Street in Dar es Salaam on Tuesday.
Investing in the Mainland Premier League is increasingly becoming a trend for local financial institutions, after CRDB Bank stepped in to enter into a five-year sponsorship deal with Young Africans on Tuesday.
In June, this year, both Simba and Yanga entered into contract with Tanzania Postal Bank (TBP) for the latter to issue membership cards to members of the two clubs.

EXIM BANK TANZANIA CHAIRMAN TAKES ON FISTULA ICE BUCKET CHALLENGE FOR CHARITY

Exim Bank Tanzania Board Chairman, Mr Yogesh Manek ice bucket challenge!
Exim Bank Tanzania Board Chairman, Mr Yogesh Manek took the ice bucket challenge yesterday in support of the fistula campaign in Tanzania, after being nominated by the Managing Director of Airtel Tanzania, Mr Sunil Colaso.
Speaking shortly before taking on the challenge, Mr Yogesh Manek said he has been moved to accept the challenge following the number of lives that are lost and disabilities created by the disease, more particularly since this was very well blended with 'Exim Go Green' initiative with the slogan 'water for good use.'

TANZANIA: BODABODA BIKES TO BE LICENCED

Moshi — Surface and Marine Transport Regulation Authority (SUMATRA) has announced sweeping measures against bodaboda owners and riders throughout the country in a move to tackle the accidents that cause numerous losses of lives.
SUMATRA Director General, Mr Gilliard Ngewe, said on Tuesday that no person will be allowed to ferry a passenger with motorcycle or tricycle if they do not have licences that are to be issued to only members of Bodaboda Association.
"We are going to take drastic measures because we cannot stay idle while people are dying from bodaboda accidents. This is devastating situation as the number of deaths surpasses even that of patients who die from malaria and AIDS.

TANZANIA: NO RELIEF FOR GASOLINE MOTORISTS AS FUEL PUMP PRICES GO UP

There will be no relief for motorists using gasoline engines this month as pump prices for petrol continued to go up, thus forcing them to make extra spending.
But the situation is different with diesel engines users where prices have continued to register a decline since May, this year, to the month under review.
Since most of the cargo trucks and buses are diesel engines, the continued price falling means majority of the people will enjoy stability of transport costs. The situation is also translated into easing prices for various goods.

BANK OF AFRICA TANZANIA, VODACOM SEAL DEAL TO OFFER SOFT LOANS TO DISTRIBUTORS

Vodacom Tanzania, Managing Director, Mr Rene Meza.
VODACOM and Bank of Africa Tanzania have sealed a deal that will enable telecom's company distributors to secure loans without collateral security at favourable terms for better services provision to their clients.
Under the partnership arrangement, Vodacom distributors will be entitled to take a minimum loan of 10m/- to the maximum of 75m/- at the interest rate of 1.7 per cent per month at one year payback period.

BENKI YA NMB YAIDHAMINI AZAM FC KWA MIAKA MIWILI

BENKI ya NMB imeingia mkataba wa udhamini wa miaka miwili na mabingwa wa ligi kuu soka Tanzania bara, Azam fc, utaohusisha gharama za usafiri na baadhi ya mambo mengine ya uendeshaji wa timu. 

Uwanja wa Azam FC ukiwa na mabango ya NMB kama ishara ya makubaliano ya udhamini.

Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bw. Mark Weissing kulia akiingia uwanjani na Mkuu wa Fedha wa NMB Bw. Barnabas Waziri.

Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bw. Mark Weissing akiwa na Mwenyekiti wa Azam Bw. Said Mohammed pamoja na wachezaji wa Azam FC.

Hizi ndio jezi mpya za Azam FC zikiwa na nembo ya mdhamini NMB.

Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bw. Mark Weissing kulia na Mwenyekiti wa Azam Bw. Said Mohammed.

Mkataba tayari. Mkurugenzi Mkuu wa NMB Bw. Mark Weissing kulia na Mwenyekiti wa Azam Bw. Said Mohammed baada ya kuweka saini.

Picha ya pamoja.

AZAM FC SEALS NATIONAL MICROFINANCE BANK SPONSORSHIP DEAL

NMB Chief Executive Officer, Mark Wiessing (left) and Azam's Chairman, Said Mohamed (right) shake hands after the signing ceremony, while holding the new jersey bearing the NMB logo.
After weeks of speculations, the National Microfinance Bank (NMB) and Mainland Premier League champions Azam FC have officially sealed a two-year undisclosed sponsorship contract.
The deal was signed at the club's base inside Chamazi Stadium on the outskirts of Dar es Salaam yesterday by Azam's Chairman, Said Mohamed and NMB Chief Executive Officer, Mark Wiessing. Shortly after signing the deal Mohamed said that from now onwards NMB will be Azam's main sponsor.

ZANZIBARI CITIZENS TO BENEFIT FROM ZANTEL'S NEW INNOVATION

Zantel Chief Executive Officer, Mr Pratap Ghose.

Zanzibar citizens can now buy TUKUZA electricity through their mobile phone's EzyPesa service, thanks to a recently inaugurated technological innovation.
The technology is popularly known as 'Tukuza', the Kiswahili abbreviation of the words 'Tumia Umeme Kwa Uangalifu Zanzibar', which means buying electricity according to what you can afford. Zantel Chief Executive Officer, Mr Pratap Ghose, said at the launching event on Wednesday in Zanzibar that the new service is a result of partnership between Zantel and Zanzibar Electric Company Limited (ZECO).
"We are happy that this new service will give ZECO and Zantel customers' additional convenience to access electricity using their EzyPesa accounts on their mobile phones, from anywhere and anytime, thereby saving time spent in queues," he said.

TANZANIA: WISDOM NEEDED IN DUAL CITIZENSHIP ENDORSEMENT

Debate on dual citizenship is still raging in the Constituent Assembly (CA). It has been reported that most committees have supported the idea of granting "special status" as opposed to dual-citizenship to people of Tanzanian origin who have willingly obtained citizenship in foreign countries.
The second draft constitution compiled by the now defunct Constitutional Review Commission (CRC) proposes special privileges to the ex-citizens to distinguish them with foreigners.
This has, however, been contested by Tanzanians in the Diaspora who have been craving to be granted dual-citizenship. Dual citizenship laws are very stringent, and each country has its own unique set of standards and criteria for granting citizenship to individuals.

TANZANIA: 23 SHOPS CLOSED DOWN OVER NON-USE OF EFDs

TRA Director of Education and Taxpayer Services, Mr Richard Kayombo.
As shops in Kariakoo, Dar es Salaam, remained closed for the third consecutive day yesterday following protests by some traders over the use of electronic fiscal devices (EFDs), the Tanzania Revenue Authority (TRA) has closed down 23 shops in Namanga area, Kinondoni municipality, after failing to comply with the use of the gadgets.
Closure of the shops in the area is an outcome of an ongoing campaign launched by TRA, in collaboration with the police, several days ago to inspect the use of EFDs countrywide in the wake of opposition by traders to use the machines.

TANZANIA AGITATING FOR MORE TRANSPARENCY IN MINING

Six years ago, in 2008, President Jakaya Kikwete, on a visit to a European country, expressed Tanzania's willingness to join the global coalition of governments, companies and civil society working together to improve openness and accountable management of revenues from natural resources, Extractive Industries Transparency Initiative (EITI).
Six years later, Tanzania had not only joined EITI, but had also formed its local chapter, Tanzania Extractive Industries Transparency Initiative Multi-Stakeholder Group (TEITI-MSG).
The initiative attained a complaint status and published its fourth Reconciliation report with the number of reporting companies rising from 9 mining companies and 3 gas companies in the first report in February 2011 to a total of 47 companies, of which 24 were in oil and gas industry.

Wednesday, 3 September 2014

BUILDERS SET TO BENEFIT AS CEMENT FIRMS FIGHT FOR REGIONAL MARKET

Cement production in East Africa is expected to rise sharply in the next three years due to investments by new entrants and existing players expanding to defend their market shares, heralding further price gains for builders.
Karsan Ramji & Sons Ltd, Dangote Group of Nigeria and Cemtech Ltd, a subsidiary of Sanghi Group of India, are among new entrants in Kenya working to complete their factories while Savanna Cement Ltd and National Cement Company Ltd are increasing their capacity.
Sector analyst Faida Investment Bank said Kenya’s cement production is expected to grow to 11.1 million tonnes per annum by 2017, a 53 per cent growth from 7.25 million tonnes produced last year.