Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 16 November 2023

DROO YA VODACOM 'SAMBAZA SHANGWE, GUSA MAISHA'

From left, Vodacom Tanzania's Business Development Officer, Kelvin Donald, with Marketing Officer Nancy Emmanuel together with the Gaming Board Inspector, Pendo Mfuru, and Marketing Officer Fredrick Mwamyalla on the right, during the first draw of the holiday season campaign dubbed 'Share Joy, Touch Lives,' held in Dar es Salaam. Through this draw, a total of 26 winners emerged and received various prizes, including motorcycles, televisions, mobile phones, 4G and 5G routers, with one lucky customer winning a cash prize of Tanzanian Shillings 10 million!
Kutoka kushoto Afisa Maendeleo ya Biashara wa Vodacom Tanzania, Kelvin Donald akiwa na Afisa Masoko, Nancy Emmanuel pamoja na Mkaguzi wa bodi ya michezo ya kubahatisha Pendo Mfuru na Afisa Masoko, Fredrick Mwamyalla upande wa kulia wakiwa katika droo ya kwanza kampeni ya msimu wa sikukuu ijulikanayo kama ‘Sambaza Shangwe, Gusa Maisha’ iliyofanyika leo jijini Dar es Salaam. Kupitia droo hiyo jumla ya washindi 26 walipataka kwa kushinda zawadi mbalimbali ikiwemo bodaboda, luninga, simu za mkononi, router za 4G na 5G ambapo mteja mmoja mwenye bahati alijishindia pesa taslimu kiasi cha shilingi milioni 10!

No comments:

Post a Comment