Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 31 January 2022

DCB YASAIDIA KAMPENI YA USAFI WA MAZINGIRA TEMEKE

  • Benki ya DCB kupitia mfuko wake wa kuisaidia jamii wa DCB FOUNDATION wasaidia kampeni ya usafi wa mazingira Temeke
  • Wakabidhi vifaa vya kufanyia usafi kwa DC Jokate
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo (wa tatu kushoto) akifanya usafi pamoja na wafanyakazi wa Benki ya Biashara ya DCB katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation kwa kufanya usafi na kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo (katikati), Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo (kulia) na Ofisa Masoko wa benki hiyo, Agness Ntabaye wakifanya usafi katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation kwa kufanya usafi na kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
Meya wa Manispaa ya Temeke, Abdallah Mtinika (kulia) akipokea sehemu ya vifaa vya kufanyia usafi kutoka kwa Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam. DCB imeshiriki kampeni hiyo kupitia mfuko wake wa kusaidia jamii wa DCB Foundation kwa kufanya usafi na kukabidhi msaada wa vifaa vya kufanyia usafi.
Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo (katikati) akishikana mikono na Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo baada ya kukabidhiwa vifaa vya kufanyia usafi katika siku ya usafi ya mwisho wa mwezi iliyofanyika kiwilaya katika kata ya Keko jijini Dar es Salaam.

Mkuu wa Wilaya ya Temeke, Jokate Mwegelo (wa tatu kushoto), Ofisa Masoko wa benki hiyo, Agness Ntabaye (wa pili kushoto) na Meneja Mahusiano wa Benki ya Biashara ya DCB, Brino Londo wakiwa pamoja wakati wa zoezi la siku ya usafi ya mwisho wa mwezi ambapo kiwilaya ilifanyika katika Kata ya Keko jijini Dar es Salaam. 

No comments:

Post a Comment