MAMBO YA EPL YANAZIDI KUWA MOTO NDANI YA DStv PEKEE
Ni wiki nyingine tena na mambo ya EPL yanazidi kuwa 🔥🔥🔥
Manchester City wakiwa weneyeji wa mechi yao dhidi ya Burnley. Je kwa uwezo wa City, unadhani Burnley watatoboa?
Kama kawaida uhakika wa kucheki game zote za #EPL ni ndani ya @dsvtanzania pekee. Waambie wadau tukutane saa 4 usiku ndani ya Supersport 3 kupitia kwa kifurushi cha Compact TShs. 44,000 tu.
Piga sasa 0659 07 07 07 kujiunga na DStv.
#LivesportsReturns
No comments:
Post a Comment