DStv INAKULETEA MECHI YA TOTTENHAM VS MAN UNITED
Purukushani za Ligi Juu ya Uingereza #EPL zinaendelea tena, huku tukiitazamia mechi ya Tottenham dhidi ya Manchester United. Je utabiri wako ni upi?
Hakika hii si yakukosa na uhakika wa kuitazama mechi hii ni ndani ya @dstvtanzania kupitia SS3 kwa kifurushi cha Compact TShs. 44,000 tu.
Piga sasa *150*53# kulipia kifurushi chako ili usipitwe na michuano hii.
#LiveSportsReturns
#TupoNawe
No comments:
Post a Comment