Benki ya NMB imetoa gawio la TShs. Bilioni 45.5, ikiwa ni gawio kubwa zaidi kuwahi kutolewa na Taasisi ya kifedha kwa Serikali. Gawio hili kwa serikali ni kiashiria tosha cha Azma yetu ya kuhakikisha tunaleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wetu wote, ikiwemo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Blog Rebranding Teaser_030826
Absa Loan Campaign_160426
Monday, 19 June 2023
NMB YATOA GAWIO LA BILIONI 45.5, RAIS SAMIA APONGEZA
Benki ya NMB imetoa gawio la TShs. Bilioni 45.5, ikiwa ni gawio kubwa zaidi kuwahi kutolewa na Taasisi ya kifedha kwa Serikali. Gawio hili kwa serikali ni kiashiria tosha cha Azma yetu ya kuhakikisha tunaleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wetu wote, ikiwemo Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)



No comments:
Post a Comment