Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 27 July 2022

WASHINDI WA WIKI YA KWANZA WA PROMOSHENI YA VODACOM M-PESA IMEITIKA WAPATIKANA JIJINI ARUSHA

Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Arusha, Selemani Msumi akimkabidhi funguo mshindi wa Bajaj wa promosheni ya Vodacom "M-Pesa Imeitika" kutoka Morombo jijini Arusha, Mwanaisha Nyonyo Mohamed wakati wa hafla ya wiki ya kwanza iliyofanyika kwenye viwanja vya Soko la Kilombero jijini humo. Kulia ni Kaimu Mkuu wa Kanda ya Kaskazini, Abednego Mhagama. Vodacom inatoa zawadi ya bajaj moja na bodaboda nne (zote mpya) kila wiki kwa wiki nane ili kuhamasisha matumizi ya pesa kidijitali. Zawadi kuu itakuwa ni nyumba mpya iliyosheheni samani zote.

 

Washindi waliojishindia bodaboda kwenye promosheni ya Vodacom "M-Pesa Imeitika" wakiwa kwenye picha ya pamoja mara baada ya kukabidhiwa zawadi zao. Vodacom inatoa zawadi ya bajaj moja na bodaboda nne (zote mpya) kila wiki kwa wiki nane ili kuhamasisha matumizi ya pesa kidijitali. Zawadi kuu itakuwa ni nyumba mpya iliyosheheni samani zote.





No comments:

Post a Comment