Naibu Balozi wa Uingereza, Rick Shearn (kushoto) na Kemi Williams, Mkurugenzi wa Maendeleo wa Ubalozi wa Uingereza (kulia) wakizungumza na uongozi wa SBL (hawapo pichani) katika ziara yao kwenye Kiwanda cha Bia ya Serengeti (SBL) kilichopo Moshi.
Naibu Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Rick Shearn na Kemi Williams, Mkurugenzi wa Maendeleo wa Ubalozi wa Uingereza wakiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kiwanda kipya cha kutengeneza pombe kali cha SBL, Moshi.
Naibu Balozi wa Uingereza nchini Tanzania, Rick Shearn (kushoto) akiwa na Mkurugenzi wa Mahusiano, John Wanyancha (Kulia) katika ziara yake ya kikazi kwenye Kiwanda cha Bia ya Serengeti (SBL) kilichopo Moshi.
No comments:
Post a Comment