| Veterani wa mchezo wa Gofu Dkt. Edmund Mndolwa (kulia) akimkabidhi mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi 1,500,000 mshindi wa kwanza ambaye ni mchezaji wa kulipwa kutoka Klabu ya Gofu ya Lugalo Bryson Nyenza baada ya kuibuka mshindi katika mashindano ya Johnnie Walker Waitara Trophy yaliyodhaminiwa na Kampuni ya Bia ya Serengeti Kupitia kinywaji chake cha Johnnie Walker. |
No comments:
Post a Comment