MFAHAMU ASLAY KWA UNDANI KATIKA HOMA LIVE KUPITIA DStv IJUMAA HII SAA 3 USIKU
Kipaji chake kilianza kuonekana akiwa mdogo sana, akiwa miongoni mwa waimbaji wa kundi lililokuwa likiitwa Ya Moto Band. Hapa namzunguzia Aslay.
Balaa lake unalielewa akiwa stejini, basi Ijumaa hii atakiwasha Live kupitia Homa ndani ya chaneli @tvetanzania Kupitia DStv namba 295.
No comments:
Post a Comment