Nahodha wa timu ya mpira wa miguu ya Diamond Trust Bank (DTB), David Kikambako (mwenye jezi ya kijani) akiwaongoza wachezaji wake kusalimiana na timu pinzani ya Kumbukumbu FC kabla ya kuanza kwa mechi ya ligi ya daraja tatu kwa Wilaya ya Kinondoni iliyopigwa jana katika Uwanja wa Chuo cha Sheria jijini Dar es salaam. DTB iliibuka na ushindi wa mabao 4-0 dhidi ya Kumbukumbu FC.
Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Tuesday, 27 November 2018
DTB YAIBUKA NA USHINDI WA 4-0 DHIDI YA KUMBUKUMBU FC
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment