Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 25 July 2018

RAIS DKT. JOHN POMBE MAGUFULI APOKEA MAGAWIO TOKA KATIKA TAASISI, MASHIRIKA NA MAKAMPUNI YA UMMA. JULAI 23, 2018

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekliti wa Bodi ya Mamlaka ya Usafiri wa Anga (TCAA) Profesa Rutasitara akiwa na Mkurugenzi Mkuu wa TCAA Bw. Hamza Johari katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. Julai 23, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Ushauri ya Mamlaka ya Chakula na Dawa (TFDA) Balozi Ben Moses akiwa na Kaimu Mkurugenzi wa TFDA Bi. Agnes Kijo katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. Julai 23, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekiti wa Shirika la Viwango (TBS) Prof. Makenya Abraham Honoratus Maboko akiwa na Mkuruigenzi wa TBS Profesa Egird Mubofu katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. Julai 23, 2018.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea gawio toka kwa Mwenyekiti wa Bodi ya Mamlaka ya Bandari Profesa Ignas Rubaratuka aliye pamoja na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka hiyo Mhandisi Deusdedit Kakoko katika Kituo cha Mikutano cha Kimataifa ya Mwalimu Nyerere jijini Dar es salaam. Julai 23, 2018.
Bofya hapa kwa picha zaidi

No comments:

Post a Comment