Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Tuesday, 14 June 2022

BENKI YA DCB YASHEREHEKEA MIAKA 20 YA MAFANIKIO IKIZIDI KUTOA FURSA ZA KIUCHUMI KWA WATANZANIA

Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati), aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa benki hiyo, Edmund Mkwawa (kulia), Katibu Muhtasi wa benki hiyo, Judith Maeda, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa, Mhasibu wa Tawi wa benki hiyo, Prisca Dona, Ofisa Rasilimali Watu wa benki hiyo, Rosemary Masaga na Mwenyekiti wa Bodi Mstaafu wa benki hiyo, Prof. Lucian Msambichaka wakipiga picha ya kumbukumbu wakati wa Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Omar Kumbilamoto (kulia) akisalimiana na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Pamela Nchimbi wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi wa Manispaa ya Kinondoni, Hanifa Suleiman Hamza na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (kushoto) akipokea tuzo ya shukrani ya Hayati Rais Mstaafu Benjamin William Mkapa kutoka kwa Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa wakati wa maadhimisho ya miaka 20 ya huduma bora ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Uanzishwaji wa DCB ilikuwa moja ya ndoto za hayati Mkapa katika kuwasaidia wafanyabiashara ndogondogo waliokosa vigezo vya kupata mikopo ya mitaji kupitia mifumo rasmi ya kibenki.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya shukrani kwa aliyekuwa Mkurugenzi Mtendaji wa kwanza wa benki hiyo, Edmund Mkwawa wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya shukrani kwa Mwenyekiti wa Bodi Mstaafu wa benki hiyo, Prof. Lucian Msambichaka wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Katibu Muhtasi wa benki hiyo, Judith Maeda wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Ofisa Rasilimali Watu wa benki hiyo, Rosemary Masaga wakati wa sherehe ya maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Zawadia Nanyaro (katikati) akikabidhi tuzo ya utumishi wa miaka 20 kwa Mhasibu wa Tawi wa benki hiyo, Prisca Donati wakati wa sherehe ya Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam. Kulia ni Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa akizungumza na baadhi ya wanahisa wa benki hiyo na waalikwa wengine wakati wa hafla ya maadhimisho ya miaka 20 ya huduma bora ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.
Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Banana Zoro akitumbuiza wakati wa Maadhimisho ya miaka 20 ya mafanikio ya benki hiyo yaliyofanyika jijini Dar es Salaam.

AKIBA COMMERCIAL BANK YAKUTANA NA WATEJA MWANZA

Mkuu wa Mkoa wa Mwanza Mhandisi Robert Gabriel akizungumza na wageni waalikwa alipokuwa mgeni rasmi katika Mkutano wa wateja wa Akiba Commercial Bank na wafanyabiashara wa jiji la Mwanza ulioitishwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bw. Silvest Arumasi katika ukumbi wa Mwanza Hotel.
   Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Bw. Silvest Arumasi akizungumza na wateja katika mkutano walipokutana hivi karibuni Mkoani Mwanza.
   Wateja wa Benki ya Akiba Comercial Tanzania wakifurahia jambo patika mkutano na uongozi wa benki hiyo hive karibuni Jijini Mwanza.
 

Wateja wa Benki ya Akiba Comercial Tanzania wakifurahia jambo patika mkutano na uongozi wa benki hiyo hive karibuni Jijini Mwanza.

NI GERMANY VS ITALY JUMANNE HII NDANI YA UEFA NATIONS LEAGUE

 


Ni Germany dhidi ya Italy Jumanne hii ndani ya UEFA Nations League, Je tutegemee matokeo yapi...?

Mechi hii itaruka Live kupitia kifurushi cha Bomba 21,000/= tu, ndani ya @dstvtanzania pekee.

Piga sasa *150*53# kulipia kwa urahisi kifurushi chako ili usikose burudani hii.

#DStvEwaaaah

Monday, 13 June 2022

TANZANIA, OMAN BOLSTER TIES

President Samia Suluhu Hassan with her host, Sultan of Oman, Haitham bin Tarik honour the Tanzania national anthem at Al Alam Palace in Muscat on Sunday.

President Samia Suluhu Hassan on Sunday arrived in the Sultanate of Oman for a 3-day state visit, in which the two countries seek to promote and cement bilateral relations to serve joint interests in all spheres.

The Tanzania leader was received by His Majesty Sultan Haitham bin Tarik at the Royal Airport in Muscat, Oman.

Saturday, 11 June 2022

BENKI YA NBC YAPONGEZWA KWA HUDUMA BORA ZANZIBAR

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mh. Hemed Suleiman Abdulla (kulia) na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid wakimsikiliza Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Taifa ya Biashara NBC, Theobald Sabi (kushoto) walipokutana Zanzibar. Pamoja na mambo mengi, Mh. Abdulla ameipongeza Benki hiyo kwa kuendelea kutoa huduma bora za kifedha kwa wananchi wa Zanzibar na Tanzania bara na Taifa kwa ujumla hapa nchini.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, MH. Hemed Suleiman Abdulla pamoja na Spika wa Baraza la Wawakilishi Zanzibar, Zubeir Ali Maulid wakiwa katika picha ya pamoja na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi na Maofisa wengine kutoka benki hiyo.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Mheshimiwa Hemed Suleiman Abdulla ameipongeza Benki ya NBC kwa kuendelea kutoa huduma bora za kifedha kwa wananchi wa Zanzibar na taifa kwa ujumla.

Mheshimiwa Abdulla aliyasema hayo wakati akizungumza na viongozi kutoka Benki ya Taifa ya Biashara NBC alipokutana nao katika ofisi ya Spika mjini Unguja, mara baada ya viongozi hao kuhudhuria kikao cha Baraza la Wawakilishi wakiwa ni wageni wa Spika wa Zanzibar, Mheshimiwa Zubeir Ali Maulid.

“Nawapongeza sana NBC kwa kuendelea kuwa mdau muhimu hapa Zanzibar na pia Tanzania bara kwa uwezeshaji wa kiuchumi kwa watu wa Zanzibar.

Endeleeni kuongeza wigo wa kutoa huduma kwa kuongeza matawi na mawakala ili muweze kuwafikia wananchi wengi zaidi.

Friday, 10 June 2022

HUAWEI KEEPS LEADING IN 5G PATENT LICENSE RANKING


Huawei's number of 5G standard essential patents (SEPs) continue to rank No. 1 in the world, according to Clarivate, a leading global IP consultancy, and analytics firm.

Clarivate’s latest report “Demystifying the 5G standard essential patent landscape: Phase 3” conducted a systematic study on 5G patents. The report shows that Huawei still ranked No. 1 with a patent family of 6,566 and the fastest growth rate.

SEPs are common in the telecommunications field. No company can avoid 5G SEPs if they want to design products that comply with 5G standards. For five straight years, Huawei has ranked No. 1 worldwide in terms of Patent Cooperation Treaty applications.

African countries are already benefiting from Huawei’s 5G patents, as several operators have already begun rolling out 5G with Huawei equipment to provide high-speed home and office broadband, as well as industry-specific solutions in mining, tourism, and other industries critical to Africa.

JUMAPILI HII ORIGINO COMEDY NDANI YA DStv


Jumapili hii ndani ya Origino Comedy.

Fuatilia Origino Comedy kila siku za Jumapili saa 3 usiku kupitia chaneli ya Maisha Magic Poa 144 ndani ya @dstvtanzania pekee.

Piga *150*53# kulipia kwa urahisi kifurushi cha Poa 9,900/= tu ili usikose burudani hii - @origino_comedy

#VyaNyumbaniHuanziaDStv

#DStvEwaaaah

NHC DIRECTOR GENERAL MCHECHU & SALES TEAM TO VISIT OMAN FOR SALES ENGAGEMENTS WITH DIASPORA


Thursday, 9 June 2022

EQUITY BANK GROUP KUWEKEZA TRILIONI 13 TANZANIA

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru (kulia), akizungumza na Afisa Mipango Mkuu wa Equity Bank Group Bw. Brent Malay (katikati) na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki hiyo Tawi la Tanzania, Bi. Isabela Maganga, Ofisini kwake Jijini Dodoma ambapo Benki hiyo inataka kuongeza uwekezaji wake nchini Tanzania.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru (kulia), akizungumza na Afisa Mipango Mkuu wa Equity Bank Group Bw. Brent Malay, Ofisini kwake Jijini Dodoma ambapo Benki hiyo inataka kuongeza uwekezaji wake nchini Tanzania.
Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru, akifafanua jambo alipokutana na kufanya mazungumzo na ujumbe kutoka Equity Bank Group (haupo pichani) ofisini kwake-Treasury Square-Dodoma, ambapo Benki hiyo inataka kuongeza uwekezaji wake katika sekta mbalimbali kwa njia ya kutoa mikopo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Equity-Tanzania, Bi. Isabela Maganga, akiekeza kuhusu mikakati ya Benki hiyo kuwekeza sh. trilioni 13 katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki ikiwemo Tanzania ili kuendeleza sekta mbalimbali kwa njia ya utoaji mikopo, ofisini kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru, Jijini Dodoma. Kushoto ni Afisa Mipango Mkuu wa Equity Bank Group Bw. Brent Malay.
Kamishna Idara ya Usimamizi wa Deni la Taifa Bw. Japhet Justine (kushoto), Mkuu wa Malipo wa Equity Bank Tanzania Bw. Ralph Ligallama (kulia), wakifuatilia mjadala kuhusu kusudio la Benki hiyo kuongeza uwekezaji wa rasilimali fedha kwenye miradi ya kimkakati katika nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki, ofisini kwa Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru, Jijini Dodoma.

Na Benny Mwaipaja, Dodoma

Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango, Bw. Lawrence Mafuru, ameihakikishia Benki ya Equity Group kwamba Serikali iko tayari kushirikiana na Benki hiyo kutekeleza Mpango Mkakati utakaowezesha upatikanaji wa zaidi ya shilingi trilioni 13 zilizopangwa kutolewa na Benki hiyo kuendeleza mipango mbalimbali ya maendeleo kikiwemo kilimo katika nchi za Afrika Mashariki.

Bw. Mafuru amesema hayo jijini Dodoma, alipokutana na kufanya mazungumzo na Ujumbe wa Benki hiyo yenye makao yake Makuu nchini Kenya.

Alisema kuwa Benki hiyo imedhamiria kuwekeza fedha katika maeneo sita ikiwemo sekta za kilimo, madini, uendelezaji wajasiliamali wadogo na wa kati, mazingira, utawala bora, viwanda na sekta ya biashara.

Bw. Mafuru alisema kuwa maeneo hayo ya miradi ya kimkakati yanakwenda sambamba na na ukuzaji wa mipango ya kitaifa ikiwemo sekta ya kilimo ili sekta hiyo iwe na tija zaidi kwa kuongeza uzalishaji wa mazao na kuyaongezea thamani.

“Equity Bank Group wanataka kuwekeza hapa nchini katika maeneo mbalimbali kikiwemo kilimo kwa kuongeza mifumo ya umwagiliaji na kuimarisha utunzaji na kuzuia upotevu wa mazao wakati na baada ya mavuno” alisema Bw. Mafuru.

BANK OF TANZANIA NOTICE TO THE PUBLIC - THE FOREIGN EXCHANGE REGULATIONS, 2022

Wednesday, 8 June 2022

DUN & BRADSTREET BUREAU TANZANIA LIMITED LAUNCHES EDX TOOL KIT AIMED AT TRANSFORMING DATA SUBMISSION PROCESS FOR ALL DATA PROVIDERS

Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania General Manager, Junaid Malik.
  • Automated data submissions streamline organizational workflows, reduce errors, and ensure compliance with Bank of Tanzania data submission regulations.
Dar es Salaam Tuesday 7 June 2022: Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania, part of the Dun & Bradstreet Credit Bureaus Limited, has today announced the launch of EDX, a powerful extract, transform, load (ETL) tool specifically built for credit bureau and Bank of Tanzania data submissions. The EDX Tool kit will help organizations using EDX to eliminate human errors, save costs, and deliver relevant data for critical use cases and compliance purposes quicker.

Speaking in Dar es Salaam while announcing the launch of the EDX Tool kit, Dun & Bradstreet Credit Bureau Tanzania General Manager Junaid Malik said ‘Technology is a key enabler for banks and other financial services institutions. However implementation of technology in the sector has led to rising data volumes, data management issues, and increasing demands for data from regulators. EDX automates data submission so financial services institutions can comply with Bank of Tanzania requirements".

Malik added ‘We have automated the entire data submissions workflow and now there is no need to add cost on resources and technology spend to ensure compliance around data submission anymore. You can extract data from multiple resources, embed customized business rules, and create output results in any required format as per Bank of Tanzania requirements, all with a secure, easy to manage, and technology agnostic tool."

MTONGANI PRIMARY SCHOOL PUPILS GET SET FOR A BRIGHTER FUTURE FOLLOWING THE SUPPORT EXTENDED BY I&M BANK

I&M Bank Head of Consumer Banking, Lilian Mtali (right) hands over hearing devices to the Temeke District Commissioner Jokate Mwegelo on behalf of Mtoni Primary School. I&M Bank donated 100 desks and 50 hearing devices to Mtoni Primary School which is located in Temeke District with the aim of supporting Government efforts in ensuring learning environments are improved day after day.
I&M Bank Head of Consumer Banking, Lilian Mtali tries on one of the hearing devices to a standard four pupil of Mtoni Primary School, Abdul Juma after the bank made a donation of 100 desks and 50 hearing devices to Mtoni Primary School which is located in Temeke District with aim of supporting Government efforts in ensuring learning environments are improved day after day.

Dar es Salaam, Tuesday 7 June 2022 - Primary School Pupils at Mtongani Primary School in Temeke District, Dar es Salaam will be able to concentrate on their studies and learn in comfort after I&M Bank donated 100 desks (3 seaters) which accommodates 300 students, and 50 hearing devices for disabled pupils. This donation aimed at supporting government efforts in ensuring learning environments are improved day after day. In addition to the donation, the banks staff joined hands to support those pupils in need by extending various assistance such as pens and learning textbooks. The donation, valued at Tzs 12.5 million, has been received by Temeke District Commissioner Jokate Mwegelo on behalf of the Mtongani Primary School Management.

Speaking at the handover event, I&M Bank Head of Consumer Banking Lilian Mtali said that, the support extended intended to create greater shared opportunity for the business and communities.

‘Opportunity is more than just money, it is about a better future for people and their communities everywhere in the world’, said Mtali.

Mtali added ‘I&M Bank vision is to refresh and improve the lives of Tanzanians every day. We do business the right way for a better-shared future, and this support will benefit pupils of Mtongani Primary School and give them the best chance for a successful education’.

FURAHIA MECHI YA TANZANIA VS ALGERIA NDANI YA DStv



@edgarkibwana anasema soka la nguvu linaendelea ndani ya @dstvtanzania pekee!

Unaenda wapi?

Furahia mechi bomba kabisa za kukata na shoka ikiwemo ya Tanzania vs Algeria ndani ya kifurushi cha Poa Jumatano hii na mechi ya Wales vs Netherlands siku ya Alhamisi tarehe 8 Juni.

Umelipia? Piga *150*53# kulipia kifurushi chako cha Poa ufurahie mechi hizi.

#DStvEwaaaah

TOYOTA GENUINE MOTOR OIL IS NOW AVAILABLE ACROSS AFROIL FUEL STATIONS NATION-WIDE


Dar es salaam, Tanzania, 7th June 2022 - Toyota Tanzania Limited has been the authorized distributor of Toyota Motor Vehicles and Genuine Parts within Tanzania since 1965. To expand its ever-growing product line up, Toyota has introduced to the market, Toyota Genuine Motor oil under the theme “The only engine oil, your Toyota ever needed”.

Toyota Genuine Motor Oil (TGMO) is the only engine lubricant that has been designed specifically with your Toyota vehicle in mind. Unlike other lubricant brands, TGMO has been scientifically developed and rigorously tested to guarantee the best possible match for the needs of your Toyota engine.

Toyota Tanzania’s mission has been to Deliver, Best people, best customer experience, best quality and Best network. Sharing the same values of providing best quality, is one of their strategic partners AFROIL, a locally owned business providing fuel supply services in Tanzania.

With over 20 fuel stations nationwide, AFROIL will be among the retailers authorized by Toyota Tanzania Limited to sell TGMO at all their fuel stations country wide.

BENKI YA CRDB KUENDELEA KUTOA ELIMU YA FEDHA KUPITIA PROMOSHENI YA MZIGO FLEXI

Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya CRDB, Stephen Adili akiongea na waandishi habari (hawapo pichani) kuhusu dhamira ya Benki hiyo kuendelea kutoa elimu ya fedha kupitia promosheni ya Mzigo Flexi ambapo Benki ya CRDB inalenga kuwafikia Watanzania katika vitongoji vyote vya Jiji la Dar es salaam na Tanzania kwa ujumla ili kutoa elimu ya mpango maalum wa kuweka akiba ambao utawawezesha kupata riba ya hadi asilimia 9. Kulia ni Meneja wa Kanda ya Mashariki wa Benki ya CRDB, Badru Idd na Meneja wa Tawi la Azikiwe, Hamis Saleh.

Benki ya CRDB imejipanga kuendelea kutoa elimu ya fedha kupitia promosheni ya Mzigo Flexi ambapo inalenga kuwafikia Watanzania katika vitongoji vyote vya Jiji la Daes salaam na Tanzania kwa ujumla, lengo likiwa kutoa Elimu ya mpango maalum wa kuweka akiba ambao utawawezesha kupata riba ya hadi asilimia 9.

Akizungumza katika hafla fupi iliyofanyika katika viunga vya Tawi la CRDB Benki lililopo Mtaa wa Azikiwe jijini Dar es salam Mapema leo, Mkuu wa kitengo cha Wateja Binafsi wa Benki ya CRDB, Stephen Adili alisema; “Sisi kama Benki tumeamua kuwafikia Watanzania na kuwapa elimu ya fedha ili kuwajengea utamaduni wa kujiwekea akiba kwa malengo ya muda mfupi, kati na mrefu”.

"Sambamba na kuwapa elimu lakini pia kupitia mpango huu Benki inatoa riba ya hadi asilimia 9 ili kutoa hamasa ya kuweka akiba ambapo kupitia promosheni ya Mzigo Flexi, mteja anaweza kuweka amana kwa muda wa kati ya miezi 3, 6, 12 au 24,” alisema Adili.


Promosheni ya ‘Mzigo Flexi’ inalenga watu binafsi, vikundi, taasisi na wafanyabiashara na mteja anaweza kuwa na mpango wa akiba wa ‘Mzigo Flexi’ zaidi ya mmoja na kuwekeza kwenye mikataba mingi. Kila mkataba utakuwa ni mkataba huru na bidhaa haina ada yoyote na riba inalipwa kwa akaunti ya kibinafsi ya mteja kulingana na kipindi cha riba kilichokubaliwa (Kila mwezi, Robo mwaka, Nusu mwaka, Kila mwaka au wakati wa kukomaa).

Iwapo mteja ataamua kughairi utaratibu wa ‘Mzigo Flexi’, atalazimika kupoteza asilimia 50 ya riba aliyopata na kuendelea kuweka fedha chini ya utaratibu mwingine wa kawaida wa benki.

Wateja wanaweza kupata mpango wa akiba wa “Mzigo Flexi” huo kupitia tawi lolote la Benki ya CRDB nchi nzima lakini pia anaweza kupata fomu ya maombi kupitia tovuti ya Benki na kuwasilisha katika tawi lolote la Benki ya CRDB baada ya kuzijaza.
 

BOA BANK BOARD CHAIR MCHECHU MEETS BOT GOVERNOR

Bank of Tanzania Governor, Prof. Florens Luoga (second right) accompanied by the former Deputy Governor, Dr. Bernard Kibesse (second left) greet the newly appointed Chairman of the Board of Directors for Bank of Africa, Nehemiah Kyando Mchechu (first left). Looking on is the Managing Director of the bank, Adam Mihayo during their courtesy visit to the Regulator’s office where the bank presented their 3-year development plan and strategic directives.

Tuesday, 7 June 2022

JUBILEE HEALTH INSURANCE LAUNCHES A NEW CARDLESS HEALTH PRODUCT


Dar es Salaam, Tanzania (June 3, 2022) – Jubilee Health Insurance launched a new low-end product called Pamoja Afya, in Dar es Salaam.

The new product was unveiled at a launch event at the Onomo Hotel Dar es Salaam.

Speaking at the launch event the Mr. Eliezer Rweikiza, Communications and Relations Manager from Tanzania Insurance Regulatory Authority (TIRA) said that “Jubilee Health has done a very good thing to come up with this cardless product, even the Authority will find it easier to recommend people to buy your products”.

He said that “TIRA has set a target to ensure the implementation of insurance services reaches all Tanzanians, to promote the insurance market, to ensure 80% of Tanzanians have insurance coverage by 2028, and 50% of citizens have health insurance by 2028. Therefore, we urge Jubilee Health Insurance to create more products, come to TIRA and we will bless you”

Pamoja Afya is a low-end product designed to support government initiative on Universal Health Coverage by promoting accessibility of health insurance in rural areas to individual members, SACCOS, VICOBA etc., to increase awareness of health insurance which in turn will increase penetration level; the current insurance penetration level is less than 1%, and to encourage Tanzanians to incorporate health insurance as a means of risk management which in turn will increase life expectancy of a normal Tanzanian and allow access to better health services.

BANK OF TANZANIA NOTICE TO THE PUBLIC - MONETARY POLICY COMMITTEE STATEMENT

NMB BANK TO PAY OUT RECORD DIVIDENDS

NMB Bank Plc Chief Executive Officer, Ms Ruth Zaipuna.

NMB Bank shareholders unanimously approved a total dividend of Sh96.7 billion for 2021 over the weekend, as they remain confident that the top lender will yield lucrative returns this year.

The approved amount translates into a dividend per share of Sh193, which is a 41 percent increase compared to the dividend payout of Sh68.5 billion (Sh137 per share) that was paid last year from the lender’s 2020 net profit.

This marks the third consecutive annual increase in the company’s dividend. The dividend will be paid on or about 15th June 2022.

While the money to be shared among the bank’s shareholders is the highest to have ever been paid out by a financial entity in Tanzania, the NMB Bank Plc Chief Executive Officer (CEO), Ms Ruth Zaipuna paints an even more optimistic picture of the lender’s performance this year.

Ruth and her management team believe that 2022 will be an even better year for the lender, which is touted for its leadership position in the profitability of financial institutions in Tanzania.

Saturday, 4 June 2022

BENKI YA NBC YATOA GAWIO LA SH. BILIONI 4.5 KWA SERIKALI

Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba (wa tatu kushoto) akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya shilingi bilioni 4.5 kutoka Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi (wa pili kulia) ikiwa ni gawio kutoka linalotokana na uwekezaji wa Serikali ndani ya benki hiyo wakati wa hafla fupi ya makabidhiano iliyofanyika jijini Dodoma hii hivi karibuni. Wengine ni pamoja na Naibu Katibu Mkuu-Sera, Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru (wa pili kulia) na viongozi wengine waandamizi.
Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba akizungumza kwenye hafla hiyo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya NBC, Theobald Sabi akizungumza kwenye hafla hiyo.
Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba (katikati) Naibu Katibu Mkuu-Sera, Wizara ya Fedha na Mipango, Lawrence Mafuru (wa tatu kushoto) na viongozi wengine waandamizi wakiwa kwenye picha ya pamoja na wafanyakazi wa benki ya NBC wakiongozwa na Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Theobald Sabi (wa pili kulia).

Dodoma, 3 Juni, 2022 - Waziri wa Fedha na Mipango Dokta Mwigulu Nchemba amepokea gawio la shilingi bilioni 4.5 linalotokana na uwekezaji wa Serikali ndani ya Benki ya NBC. Serikali inamiliki asilimia 30 ya hisa za Benki hiyo.

Akizungumza katika hafla hiyo Dkt. Nchemba aliipongeza Benki ya NBC kwa kutoa gawio kwa Serikali na kuakisi mafanikio ya sera ya ubinafsishaji ya serikali iliyolenga kubinafsisha mashirika ya umma ili kuyaongezea tija na ufanisi.

“Serikali inajivunia mafanikio ya Benkl ya NBC kwani Benki hii ni moja ya mashirika ya kwanza kabisa kubinafisihwa nchini. Gawio hili la shilingi bilioni 4.5 mnalolitoa leo ni zaidi ya mara tatu ya gawio mlilotoa mara mwisho, hiki ni kiashiria tosha kwa Serikali kuwa Benki yetu ya NBCipo katika mstari sahihi”, alisema Dkt. Nchemba.

Waziri Nchemba pia alipongeza Benki ya NBC kwa matokeo mazuri ya fedha ambapo ilipata faida ya shilingi bilionin 60 ambalo ni ongezeko la asilimia 702 kwa matokeo ya mwaka 2020. Vilevile, Waziri Nchemba alipongeza jitihada za Benki ya NBC katika kuchangia maendeleo ya Taifa ikiwamo ulipaji wa kodi ambapo mwaka jana ililipa jumla ya shilingi bilioni 20 kama kodi.

Friday, 3 June 2022

CYBERSECURITY CHALLENGES IN TODAY’S DIGITAL ERA

Peter Kisa Baziwe CCNA CISSP CWNP CPTE CISA (V3T3R4N) is a Consulting Technology and Cybersecurity Auditor focused on emerging technologies of Artificial Intelligence, Blockchain and Cloud. He has over 20 years’ experience in ICT both locally and internationally and has completed over 50 Bank information system audits since 2016. He is currently the Vice President of ISACA Tanzania Chapter. When he is not looking at bits and bytes he is out door’s testing the limits of his mental and physical boundaries.

Today many organizations are in the midst of digital transformation. Operations and other essential functions and business processes are being digitized or done digitally. In fact, many end to end operations had to done remotely as the onset of Covid19 in 2020 which became a catalyst for digital transformation. Many organizations’ discovered new ways of working and did get substantial operational cost savings and profited while others closed because they could not operate digitally or online.

As more organizations’ come on board the digital transformation band wagon a major area of concern is cybersecurity. Cybersecurity continues to be one of the top five risks an organization needs to resolve, more so in the fast moving pace of the 4th Industrial revolution of which we are now living. In this era everything is connected through the web or internet and it amplifies the need to have strong cybersecurity practices.

Cybersecurity is, “the protection of software, hardware, and data resources that are connected and store in an organization or even at home”. It involves the protection of the personal, financial data, commercial data, business-critical information, operational continuity, data integrity, and availability of online software or business and customer systems. Other components include regulating the physical access, controlling malicious intrusion, allowing authorized access, encrypting the valuable information and safeguarding the privacy.

Cybersecurity relates to the technological processes and procedures to keep the valuable data and software resources safe and secure from the external threats emerging through the Internet, physical security of hardware and data centers together with software source code and intellectual property are also components of cybersecurity both directly and indirectly.

Wednesday, 1 June 2022

SOKA BADO LINAENDELEA JUNE HII NDANI YA DStv


KWANI MMECHOKAA? AAAAAAH WAAAPI!!

Soka Bado linaendelea June hii ndani ya DStv

Furahia mechi zote za Mashindano ya CAF African Nations Qualifiers ndani ya DStv kuanzia Jumatano hii

Piga sasa *150*53# kulipia kifurushi chako mapema au piga 0659 07 07 07 kujiunga na @dstvtanzania pekee usipitwe na michuano hii.

#DStvEwaaaaah

#Birianiiendelee

ON ITS 50TH ANNIVERSARY, THE AFRICAN DEVELOPMENT FUND DRAWS ACCOLADES, GRATITUDE, FOR ITS ACHIEVEMENTS IN AFRICA

  • “The ADF has expanded opportunities and brought hope wherever it has operated in Africa” –Dr. Akinwumi Adesina.
Panel of donor countries representatives during the 50th anniversary celebration of the African Development Fund.

The African Development Fund (ADF) has celebrated 50 years of driving socioeconomic development in Africa’s most fragile countries.

Held during the African Development Bank Group’s Annual Meetings—23 to 27 May—the event brought together beneficiaries and donors to speak about the impact and performance of the Fund. It also featured live performance and video.

Ana Monteiro, an environmental project coordinator from Cabo Verde, testified to the African Development Bank Group’s role as anchor investor for Cabeólica Wind Power, a public-private project to harness the country’s abundant wind power. The company currently operates 30 wind turbines that generate nearly 30% of the island country’s energy needs.

Selina Avevor, a member of Kobiman women’s association in rural Ghana, appeared in person to discuss the training centre, water tank and 20-bed accommodation financed by the African Development Fund. Owing to this support, women in the community have gained the skills to produce liquid soap, bags, jewellery and other products and to earn a livelihood.

During a panel discussion, donors to the Fund expressed consensus about the importance and strategic impact of the Fund.

“The ADF has produced tremendous development results for the continent over the past 50 years. It’s been a critical partner for the United States and other donors who want to come and be partners in Africa and an African-led vision for stable, sustainable growth,” said Jessica Isaacs, Senior Advisor to the U.S Director, African Development Bank.

TADB YAENDESHA WARSHA YA UWEZESHAJI JINSIA NA VIJANA KIUCHUMI

Waratibu wa warsha ya TADB Uwezeshaji Jinsia na Vijana Kiuchumi iliyofanyika mkoani Dar es Salaam. Kutoka kushoto walioketi ni Mihaela Marcu, Meneja wa Programu wa masuala ya vyombo vya kifedha kutoka Umoja wa Ulaya nchini Tanzania, Mzee Kilele, Mkurugenzi wa Mipango, Sera na Utafiti wa TADB, Sarah Weiss Mshauri wa mifumo ya Kimaendeleo ya Kifedha kutoka ICR na Emmanuely Lyimo, Meneja Uhamasishaji wa Rasilimali kutoka TADB.

Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeandaa mpango mkakati wa kuwawezesha kiuchumi wanawake na vijana kwa kushirikiana na Kituo cha Uwekezaji kijulikanacho kama Investment Climate Reform Facility (ICR).

Mkakati huu umeanza na warsha ya mashauriano baina ya TADB na ICR ili kujadili juu ya mpango wa kuwainua kupitia misaada mingine muhimu inayohitajika ili kuwainua kiuchumi wanawake na vijana kwenye kilimo.

Juhudi za TADB zinalenga kwa makusudi katika kuziba pengo la kiuchumi kati ya wanawake na vijana, kwani takwimu za Finscope zinaonyesha kuwa asilimia 50 ya nguvu kazi lakini hawajajumuishwa katika sekta rasmi ya fedha, na asilimia 6 tu ya wanawake hawana akaunti za benki huku benki na asilimia 26 pekee ya vijana wakiwa wakulima.

TADB imeanzisha warsha hii ili kupata utaalamu zaidi wa kiufundi kutoka kwa Kituo cha ICR kinachofadhiliwa na Umoja wa Ulaya ambapo mpango huu unalenga kuifahamisha TADB na taasisi nyingine za fedha kuhusu hatua zinazopaswa kuchukuliwa ili kuongeza ushirikishwaji wa kifedha miongoni mwa wanawake na vijana katika sekta ya kilimo.

WASHINDI WA TANO BORA MISS TANZANIA 2022 WAKABIDHIWA ZAWADI

Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa, akimkabidhi zawadi mshindi wa Miss Tanzania 2022, Halima Kopwe, katika hafla iliyofanyika Makao Makuu ya benki hiyo jijini Dar es Salaam. Benki ya CRDB imeungana na waandaji na wadhamini kwa kutoa zawadi mbalimbali zikiwemo fedha taslimu Sh. Mil. 5, Bima ya Maisha yenye thamani ya Sh. Mil. 50 na bima kubwa ya gari, pamoja na bima ya safari. Kushoto ni Afisa Mtendaji Mkuu wa Startimes, Luo Hao na kulia ni Mkuu wa Kitengo cha Wateja Binafsi wa benki hiyo, Stephen Adili.

Mkurugenzi wa Wateja Wadogo na Wakati wa Benki ya CRDB, Boma Raballa (wa pili kulia), Afisa Mtendaji Mkuu wa Startimes, Luo Hao (wa pili kushoto), Meneja Masoko wa Strategis, Lilian Suka (kulia) kwa pamoja wakimkabidhi mfano wa zawadi ya bima ya Safari za Miss Tanzania 2022, Halima Kopwe, za nje ya nchi. Kushoto ni mwakilishi kutoka Basata, hafla hiyo ilifanyika Makao Makuu ya benki ya CRDB jijini Dar es Salaam.

Waandaji wa shindano la Miss Tanzania kampuni ya ‘The Look’ kwa kushirikiana na wadhamini wa shindano hilo Startimes, Benki ya CRDB, na kampuni za bima za Sanlam na Strategis, wamekabidhi zawadi kwa walimbwende walioingia katika tano bora katika kinyang’anyiro cha Miss Tanzania 2022 ambapo mlimbwende Halima Kopwe kutoka Mtwara aliibuka kidedea. Mashindano hayo yalifikia kilele mnamo Tarehe 20 Mwezi Mei 2022.


Akizungumza katika hafla ya kukabidhi zawadi iliyofanyika Makao Makuu ya Benki ya CRDB yaliyopo barabara ya Ali Hassan Mwinyi Jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa kamati ya Miss Tanzania Azama Mashango alisema zawadi, hizo ni sehemu ya ahadi ambazo zilitolewa kwa washiriki wa shindano hilo, huku akiwashukuru wadhamini wote waliojitokeza kufanikisha Miss Tanzania 2022.

A TRANSITION IN LEADERSHIP: CEOrt BIDS RUGHANI FAREWELL, WELCOMES TARIMO

Outgoing CEOrt Chairman - Sanjay Rughani (right) with the incoming Chair - David Tarimo (left) at a farewell event held for Mr. Rughani on 30th May 2022 at Hyatt Regency, Dar es Salaam.

Dar es Salaam 30th May 2022: The CEO Roundtable of Tanzania (CEOrt) is bidding farewell to its outgoing Board Chairman, Mr. Sanjay Rughani, following his relocation to another country.

Mr. Rughani has served as Chairman of the CEOrt Board since 2018, becoming the second person to hold that position from the time the forum was formally registered. He was elected by the Board of Directors to succeed the late Mr. Ali Mufuruki. With invaluable insight, he has demonstrated outstanding leadership and helped steer the organization through a period of tremendous growth.

During his leadership at the CEOrt, Mr. Rughani played an integral role in launching the CEO Apprenticeship Programme, the flagship leadership initiative - a national capacity building effort to build visionary CEOs of the future. He was also instrumental in cementing the organization’s commitment to ethical leadership and anti-corruption, where 100% of its members have now signed the National Integrity Pledge. With the CEOrt’s bold commitment to championing the climate change agenda, Mr. Rughani was at the forefront of driving sustainable business practices, leading by example and often speaking up about the private sector responsibility in the matter. In addition, during his tenure as Chairman, the CEO Roundtable registered unprecedented membership growth with over 40% increase in membership.

THE FIVE-STAR JOHARI ROTANA RE-OPENS IN TANZANIA SETTING A NEW HOSPITALITY EXPERIENCE IN THE REGION

New hotel located in MNF Square complex in Dar es Salaam’s Central Business District  features 253 spacious rooms, suites, and serviced apartments


Dar es Salaam, Tanzania – 1 June 2022: Johari Rotana re-opens after a two-year closure with so much optimism in light of the world reopening and tourism regaining momentum across regions. With travel restrictions being lifted globally, the number of international tourist arrivals in Tanzania has gradually been increasing thus positively influencing the hospitality sector.

Joerg Potreck, General Manager of Johari Rotana, said: “Our re-opening could not have been at a better time with Tanzania named “Africa’s Leading Destination” in 2021 and the influx of tourists in the country. It’s an exciting time for us all and my team and I are all geared up to welcome our guests back to Johari Rotana.”

Conveniently located in the MNF Square complex in Dar es Salaam’s Central Business District (CBD), the spectacular property offers 253 keys including 193 hotel rooms with an average size of over 50 sqm, suites ranging up to 150 sqm, as well as 60 fully furnished and serviced apartments. Providing fantastic views of Dar es Salaam Harbour and the city, the rooms, suites, and apartments are spread across 15 floors starting from the 13th floor of the 65,000 sqm mixed-use project.

“Setting new standards in architecture, design, technology, offerings, and service excellence, Johari Rotana, our first property in East Africa, heralds a new hospitality experience in the region. We are confident that our spacious rooms and suites, wide selection of food and beverage venues, advanced meeting and conference facilities – including Tanzania’s largest ballroom – and unsurpassed wellness and recreation facilities will appeal to our guests and provide a competitive advantage in the market,” continued Potreck.