Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Monday, 13 April 2015

BENKI YA DCB YAZIDI KUPAA KWA KUINUA WAJASIRIAMALI

Mwenyekiti wa bodi ya benki ya Wananchi ya Dar es Salaam (DCB), Balozi Paul Rupia akizungumza na waandishia wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwasilisha matokeo ya uendeshaji wa benki hiyo, iliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam.
Mwenyekiti wa bodi ya benki ya Wananchi ya Dar es Salaam (DCB), Balozi Paul Rupia akizungumza na waandishia wa habari (hawapo pichani) wakati wa kuwasilisha matokeo ya uendeshaji wa benki hiyo, uliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. Kushoto kwake ni Mkurugenzi Mtendaji wa benki hiyo, Edmund Mkwawa.
Sehemu ya waandishi wa habari wakimsikiliza Mwenyekiti wa bodi ya benki ya Wananchi ya Dar es Salaam (DCB), Balozi Paul Rupia wakati wa kuwasilisha matokeo ya uendeshaji wa benki hiyo uliyofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam. (Picha na Emmanuel Massaka).
Na Chalila Kibuda,Globu ya Jamii.
Benki ya Wananchi ya Dar es Salaam (DCB) imetoa mikopo yenye dhamani ya Sh.Bilioni 363.3 kwa wajasiriamali 362,507 kati ya hao wajasiriamali wadogo kupitia vikundi ni 156,718 katika Manispaa za Jiji la Dar es Salaam.


Akizungumza na waandishi wa habari mwishoni mwa wiki jijini Dar es Salaam, Mwenyekiti wa Bodi wa Benki hiyo, Balozi Paul Rupia wakati wa kuwasilisha matokeo ya uendeshaji wa benki hiyo, amesema kipindi cha uendeshaji wa benki hiyo kwa mwaka miaka miwili, amana ilifikia sh.113 ikiwa ni asilimia tano za amana sh.bilioni 108 ambazo zilipatikana mwaka uliopita.

BENKI YA NMB, AIRTEL WAZINDUA HUDUMA YA KIFEDHA KWA NJIA YA MTANDAO

Mgeni rasmi katika hafla hiyo Mh. Naibu Waziri wa Fedha, Mwigulu Nchemba akizungumza jambo kwenye hafla hiyo.
Mkurugenzi wa Mawasiliano wa Airtel, Beatrice Singano akieleza jambo katika hafla hiyo.
Kaimu Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Tom Borgjols akizungumza jambo.

WATATU WAJISHINDIA MAMILIONI KUTOKA BAYPORT FINANCIAL SERVICES

Meneja Utawala wa Bayport Financial Services aliyezibwa macho, Evalyine Hall, akichagua koponi ya mmoja wa washindi wa Kopa Bayport kwa njia ya mtandao wa http://ift.tt/1Bjp9ZW, inayoendeshwa na taasisi hiyo ambapo washindi watatu ambao ni Hyasint Mbunda (Songea), Phaustine Mbilinyi (Dar es Salaam) na Allen Bishubo (Bukoba), walipatikana na kila mmoja kushinda Sh Milioni moja. Kushoto ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa Bayport, Ngula Cheyo na kushoto ni Msimamizi wa Michezo ya Kubahatisha, Humud Abdulhussein.
Meneja Utawala wa Bayport Financial Services Evelyine Hall (katikati) akisoma koponi ya mmoja wa washindi wa Kopa Bayport kwa njia ya Mtandao unaoendeshwa na taasisi hiyo ya kifedha. Kulia kwake ni Msimamizi wa Michezo ya Kubatisha Tanzania, Humud Abdulhussein na kushoto ni Ngula Cheyo, Meneja Masoko na Mawasiliano wa taasisi hiyo ya Bayport Financial Services.
Ngula Cheyo (katikati) ambaye ni Meneja Masoko na Mawasiliano wa taasisi ya kifedha ya Bayport Financial Services akizungumza jambo katika droo ya kutafutwa washindi watatu wa bahati nasibu inayoandaliwa na taasisi hiyo ambao kila mmoja alishinda Sh Milioni moja.

NEWS ALERT: HODI HODI ROCK CITY... TRENI YA DELUXE YAELEKEA MWANZA JANA JUMAPILI

Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akikata utepe kuzindua safari hiyo.
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka akiondoa treni kwa kupunga bendera.

Uongozi wa Kampuni ya Reli Tanzania – TRL unachukua fursa hii kuwataarifu wateja wetu wote na Watanzania kwa ujumla na hasa ukanda wa ziwa kuwa hatimaye ile huduma iliyokuwa ikisubiriwa jana Aprili 12, 2015 ilianza safari ya kuelekea Mwanza ‘Rock City’ Ziwa Victoria!

Safari hii ni ya pili kwa vile ya uzinduzi iliyofanyika Aprili Mosi, 2015 ilielekea Kigoma Ziwa Tanganyika baada ya kuzinduliwa rasmi na Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Dk Shaban Mwinjaka. Aidhaa taarifa zinaeleza kuwa treni hiyo ilipokelewa kwa furaha na bashasha sehemu zote ilipopita wakati wa kwenda Kigoma na kurudi Dar es Salaam.

Tayari kuna baadhi ya wakazi wa miji njiani wameutaka Uongozi wa TRL kuiruhusu treni hiyo ya Deluxe isimame katika vituo zaidi vya njiani zaidi ya vile rasmi 14 na vile vitatu vya ufundi.

Hata hivyo msharti ya uendeshaji wa huduma hii ya Deluxe unaifunga kama ilivyotolewa na Sumatra unaifunga TRL kuchukua uamuzi wa upande mmoja kwa vile uamuzi wowote hautakiwi kuathiri muda wa safari na viwango vya huduma ambazo msafiri wa Deluxe amehakikishiwa kimkataba.

Aidha safari za deluxe zitakuwa wiki mara moja siku za Jumapili itaondoka Stesheni ya Dar es Salaam saa 2 usiku ikiwa na mabehewa 15, Daraja la kawaida 10 (abiria 80 kila moja) daraja la pili la kukaa 3 (kila moja abiria 60) na daraja la pili kulala 2 ( kila moja watu 36). Itasimama katika vituo 17 ambavyo ni pamoja na Morogoro, Kilosa, Dodoma, Makutopora, Saranda, Manyoni, Aghondi, Itigi, Tabora, Urambo, Kaliua, Uvinza, Kigoma. Vituo vingine ni Isaka, Shinyanga, Malampaka na Mwanza. Wiki moja ikienda Kigoma wiki inayofuatia itaenda Mwanza.

Kwa wasafiri wa Dodoma na Tabora hawa watatumia huo usafiri wakati wote isipokuwa wale wanaoishia Kigoma na Mwanza. Siku za usoni wakati mabehewa mengine ya deluxe yatapatikana safari zitakuwa kila wiki kwenda Kigoma na Mwanza.

NAULI ZA TRENI YA DELUXE KWA MUHTASARI KUTOKA DAR KWENDA KIGOMA/MWANZA NI KAMA IFUATAVYO:

Dar -Dodoma daraja la kawaida TZS 18,500, Daraja 2 Kukaa TZS 24, 700 Kulala: 41,200

Dar - Tabora kawaida 25,400, Daraja la 2 Kukaa 33,900 Kulala 56,500;

Dar - Kigoma kawaida 35,700, Daraja la 2 Kukaa 47,600 na Kulala 79,400 na

Dar - Mwanza kawaida 35,000, Daraja la 2 kukaa 46,700 na Kulala 77,800.

Aidha pia tunapenda kutoa wito wa ushirikiano wa wananchi na wadau wote kutunza vitendea kazi na kwamba kila mmoja awe mlinzi wa mwenziwe. Tujiepushe na vitendo vya makusudi kuharibu mabehewa haya mazuri ndani na nje. Kuna msemo : KITUNZE KIDUMU’! Tukitunza vitendea kazi vitaweza kutoa huduma kwa muda mrefu na hivyo kuongeza tija na kupunguza matumizi mabaya ya fedha za walipa kodi.

Imetolewa na Afisi ya Uhusiano ya TRL kwa Niaba ya

Mkurugenzi Mtendaji.


Michuzi Blog

BAM TO RENOVATE AND EXTEND KILIMANJARO INTERNATIONAL AIRPORT IN TANZANIA

View on extension.
View from passport control.
Bunnik, the Netherlands, 13 March 2015 – BAM International has been awarded a €37 million design and construct contract for the rehabilitation and extension of Kilimanjaro International Airport (KIA) in Tanzania, which is situated between Moshi and Arusha in northern Tanzania. BAM expects to complete the works for Kilimanjaro Airports Development Company (KADCO) in 2017.

The scope of work comprises the refurbishment of the terminal building (built in 1971), the construction of a new parallel taxiway, the extension of the existing apron and taxiways, including repairs on the runway, as well as the drainage and sewage works. Furthermore BAM will install new airfield ground lighting and floodlights along the apron.

Funding was partly granted by the Dutch fund ORIO for the development and implementation of this project. The remaining part is guaranteed by commercial financing arranged by the Government of Tanzania.

Kilimanjaro International Airport is one of the four international airports in Tanzania and is the second largest airport after Julius Nyerere International Airport in Dar es Salaam for which BAM has completed two rehabilitation projects already and is currently constructing the new Terminal 3 building.

Further information: Arno C. Pronk, +31 (0)30 659 86 21.

Royal BAM Group

MH. PINDA AZUNGUMZA NA WATANZANIA LONDON

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Aprili 11, 2015. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe na Binti wa Balozi huyo, Rebecca (katikati) kwenye makazi ya Balozi huyo eneo la Highgate, Londondoni Aprili 11, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akizungumza na Watanzania waishio Uingereza kwenye makazi ya Balozi wa Tanzania nchini humo, Aprili 11, 2015. Kulia kwake ni Balozi wa Tanzania nchini Uingereza, Peter Kallaghe.
Bofya hapa kuona picha zaidi

MEYA WA MANISPAA YA KINONDONI ASHINDA TUZO YA MEYA BORA TANZANIA

Rais Jakaya Kikwete akikabidhi tuzo ya Meya Bora Tanzania kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda baada ya kushinda tuzo hiyo kitaifa iliyoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kulia ni Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Agrey Mwanri.
Rais Jakaya Kikwete akizungumza baada ya kukabidhi Tuzo ya Meya Bora Tanzania, Yusuph Mwenda (kulia) baada ya kushinda tuzo hizo zilizoandaliwa na Jumuiya ya Tawala za Mitaa nchini (ALAT) katika hafla iliyofanyika Dar es Salaam juzi. Kushoto ni Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Tom Boghols na Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI), Hawa Ghasia (wa pili kushoto).
Rais Jakaya Kikwete akitoa maelekezo kwa Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda (kulia) kuhusu namna bora ya matumizi ya trekta baada ya kumkabidhi Meya huyo baada ya kushinda Tuzo ya Meya Bora Tanzania kwenye hafla iliyofanyika Dar es Salaam hivi karibuni. Kushoto ni Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Saidi Meck Sadiki na Ofisa Mtendaji Mkuu wa benki ya NMB, Tom Boghols (wa pili kulia).
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda akijaribu kuendesha trekta alilokabidhiwa na Rais Jakaya Kikwete baada ya kushinda tuzo ya Meya Bora Tanzania.
Na Mwandishi Maalum,
Meya wa Manispaa ya Kinondoni, Yusuph Mwenda ameshinda Tuzo ya Meya Bora Tanzania na kuzishinda Halmashauri 168 zote nchini.

Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa tuzo hiyo na Rais Jakaya Kikwete ambaye alikuwa mgeni rasmi katika hafla hiyo, Meya wa Manispaa hiyo, Yusuph Mwenda amesema siti ya kushinda tuzo hiyo ni kufanya kazi kwa pamoja kati yake Madiwani, Watendaji na kuwashirikisha wananchi wake.

Friday, 10 April 2015

AFRICA INTERNET GROUP NOMINATED FOR INTERNATIONAL CORPORATION OF THE YEAR


CRDB BANK VACANCY - MANAGER: CUSTODIAL SERVICES


MWALIMU COMMERCIAL BANK IPO INFORMATION


TWIGA CEMENT NOTICE TO SHAREHOLDERS


ZIMBABWE SEEKS SOUTH AFRICAN BANK LOANS TO HELP EASE CRUNCH

Zimbabwe’s government is seeking lines of credit from South African banks to help ease a liquidity crunch that’s holding back growth in the southern African nation, Finance Minister Patrick Chinamasa said.

Authorities are seeking loan facilities from private banks rather than financial aid to help overcome the crisis, Chinamasa said in an interview in the South African capital, Pretoria.

“We are looking for lines of credit by South African financial institutions to our commercial banks to enable lending for productive purposes,” he said.

Chinamasa is accompanying President Robert Mugabe, 91, on his first state visit to South Africa in 21 years to help strengthen economic and political ties with its biggest trading partner. Zimbabwe is facing a foreign-currency shortage, partly due to a lack of investment as the government’s so-called indigenization laws deter companies. The rules require foreign and white-owned companies to cede 51% stakes to black Zimbabweans or the government’s empowerment agency.

STANDARD BANK INTRODUCES BIOMETRIC MOBILE BANKING

April 9, 2015; Johannesburg. Standard Bank has introduced a biometric mobile banking solution that allows Apple iPhone and iPad users to use their device’s fingerprint scanner to sign into the financial service’s company’s mobile banking application.

The update makes use of the TouchID functionality built into the iPhone 5s and the iPhone 6 and 6 Plus as well as the iPad Air 2 and iPad Mini 3.

According to Standard Bank, a number of international banks have already introduced similar features into their apps. Quoting Juniper Research, the bank says global downloads of biometric-enabled apps will hit the 6m mark this year. This figure, it says, will increase to more than 770m downloads per year by 2019.

The bank’s head of mobile banking, Magnus Taljaard, says in a statement that the new biometric identification feature underwent rigorous testing in order for the company to ensure a “safe and robust solution”.

SOUTH AFRICA'S POWER CRISIS PARALYZES INVESTMENT, RISKS RATING


South Africa’s economy could have been 10 percent larger if power shortages hadn’t stifled growth and investment and put the nation’s debt at risk of being cut to junk, economists’ estimates show.

Eskom Holdings SOC Ltd., which supplies about 95 percent of the country’s electricity, is rationing supply because it can’t meet demand from aging plants following years of underinvestment. Its chairman stepped down last month after losing the board’s support over a decision to suspend the chief executive officer and three other top managers, leaving it without permanent leadership.

South Africa’s estimated economic expansion of 2 percent this year could have been at least 1 percentage point higher had it not been for the cuts, said Dawie Roodt, chief economist at Efficient Group Ltd. Rolling blackouts have curbed mining and manufacturing, both knocked by strikes that limited 2014 growth to the slowest pace since a 2009 recession, and prompted rating downgrades.

PPP SUCCESS IN RWANDA SHOWS POTENTIAL FOR GREATER SELF-RELIANCE

Imaduddin Ahmed
Twenty-one years after its genocide, Rwanda ranks 46th in the world for ease of doing business according to the World Bank, four spots below its former coloniser Belgium. This is flattering. And the rush with which international lenders financed its energy utility’s first solar public private partnership (PPP) demonstrates that this ranking is not empty academic musing. Yet, in the same manner in which Rwandans drew on their own internal reserves of strength and resilience to rebuild their nation, so too should they draw on their own reserves of capital to build the nation’s infrastructure.

Within just 12 months of an agreement being reached between the state energy utility and private developer GigaWatt Global, an approximately $24m, 8.5 MW solar plant was financed, constructed and connected to the grid. Lenders came from Europe and the US. The project demonstrates that PPPs in Rwanda can be successful mechanisms in transferring upfront costs and construction, delay and operations and maintenance risks from state-owned institutions to private developers for the delivery of infrastructure on time, on budget and to specification. The project demonstrates that Rwanda is an attractive destination for foreign direct investment.

EAST AFRICA INTERNATIONAL TRADE EXHIBITION, 23 - 25 MAY 2015, DAR ES SALAAM


SAUDI STRATEGY TO RETAIN OIL DOMINANCE

The Khurais oilfield about 100 miles from Riyadh,
Saudi Arabia
In the face of lower oil prices the world’s biggest energy players have slashed spending, cut jobs and pulled back on the number of rigs drilling for oil and gas.

But as the oil price rout has forced companies into a deep retrenchment, Saudi Arabia’s energy behemoth has set its sights on longer term ambitions. After all, the kingdom has a $750bn buffer to allow it to do so.

To be sure, Saudi Aramco is also using the downturn to “sharpen” its fiscal discipline, according to its chief executive Khalid Al Falih, negotiating better deals with services companies and other contractors to trim spending.

But it is making a bet that running its energy sector hard, investing in oil, gas and refining and pushing for new business in troubled times, will enable Opec’s largest producer to retain its dominance.

BG GROUP'S CEO COULD POCKET $43 MILLION JUST AFTER TWO MONTHS AFTER TAKING THE JOB

BG Group's CEO Helge Lund started the job just two months ago.
And now, Lund could take home as much as $43 million in compensation, Bloomberg’s Mikael Holter reports.
On Tuesday, Royal Dutch Shell announced it is taking over the British gas company for about $70 billion.
As part of the deal, Lund's package includes one year's gross salary pay and 30% of base pay if he leaves the company.
The same applies to other directors because its penned in their contracts, according to Reuters.
Lund's compensation created controversy before he even started. Last December, investors pressured BG Group into slashing his first year pay, Reuters reported. 

BRITAIN JUST DISCOVERED 100 BILLION BARRELS OF OIL NEAR GATWICK AIRPORT

UK Oil & Gas Investments, the exploration, development, and production group, just revealed that it discovered about 100 billion barrels of oil near Gatwick Airport.
The group said in a regulatory statement that up to 100 billion barrels of oil could be onshore beneath the South of England, after it drilled a well at Horse Hill near Gatwick Airport, West Sussex, last year. The number comes from the fact that UKOG said that the local area could hold 158 million barrels of oil per square mile and from management estimates confirmed this morning on the BBC.
"Drilling the deepest well in the basin in 30 years, together with the ability to use concepts, techniques, and technology unavailable in the 1980s, has provided new cutting-edge data and interpretations to comprehensively change the understanding of the area's potential oil resources," Stephen Sanderson, the CEO of UKOG, said in a statement.

FINNFUND AND CREDITINFO JOINTLY PROMOTE ECONOMIC AND SOCIAL DEVELOPMENT IN DEVELOPING COUNTRIES


Thursday, 9 April 2015

DCB COMMERCIAL BANK BOARD PROPOSES TSH1.8 BILLION DIVIDENDS

By Mnaku Mbani
Dar es Salaam. April 9, 2015. DCB Commercial Bank, plc shareholders are expected to pocket a total of Tsh1.8 billion after the bank's board of directors recommended the amount for the 2014 annual dividends.

The Bank board chairman Paul Rupia said the amount is equivalent to Tsh27 per issued and fully paid shares. The company policy on dividends is to allocate 50 per cent of annual profit.

The 2014 annual dividends are almost double the dividends amount paid by the bank to its share holders five years ago. However, the 2014 amount is less than Tsh1.9 billion dividends paid during the year 2012.

Speaking with the media in Dar es Salaam yesterday, Rupia said during the year ended December 31, 2014, DCB Commercial bank recorded a profit after tax of Tsh3.77 billion, an increase of 2 per cent compared with the year 2013.

“Since its inception 13 years ago, DCB Commercial Bank's performance has been impressive with annual upwards in profit, assets and customer deposits,” Rupia said in a press conference yesterday.

FASTJET - 5 DAY SALE STARTS THIS MONDAY APRIL 13, 2015!


9th Apr '15 by fastjet Tanzania

We’re really excited to bring you the 5 day April sale! The sale will run from Monday 13th April at 8am, until Friday 17th April 5pm EAT. Return flights on routes from Dar es Salaam to Mwanza, Kilimanjaro and Mbeya will have sale priced tickets on offer.

We will be releasing 10,000 sale tickets for only Tsh 79,500 (Tsh 66,500 for the fare, plus Tsh 13,000 tax) one way, including tax.

Sale priced tickets will be available between 13th and 17th April for travel until 30th April.

The offer is only available to book online through www.fastjet.com, our 24/7 call centre +255 784 108 900, or our sales offices. This offer isn’t available when booking through our officially appointed travel agents or other agents, so remember to book directly with fastjet to get the best deal!

Be quick! All tickets are on a first come first serve basis, so book early next week to avoid disappointment! You can also speak to a fastjet representative by calling us any time on +255 784 108 900.

BREAKING NEWS: MWALIMU COMMERCIAL BANK IPO

DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE TURNOVER SHOOTS UP IN Q1, 2015

DSE Chief Executive Officer, Mr Moremi Marwa.
The Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) turnover has increased almost two-folds by 93 per cent to 278bn/- in the first quarter 2015 from 144bn/- of the previous quarter that ended in December 2014.

The DSE Chief Executive Officer, Mr Moremi Marwa, said in a statement in Dar es Salaam that year on year basis, the first quarter’s turnover was almost 7 times compared to the corresponding quarter of only 42bn/-.

“The DSE 2015 first quarter has been very successful. Once again for the seventh consecutive quarters, DSE was ranked as one of the exchanges in Africa that delivers high returns to investors on its listed stocks,” he said.

“Wealth enhancement as measured by increase in market investment value and liquidity levels, as measured by market turnover or volume of transactions, increased at relatively significant levels.”

EAC-GIZ SENSITIZATION WORKSHOPS TO BRIDGE GAPS IN CROSS BORDER TRADE


PREPARATIONS FOR THE 7TH EAC-EABC MEDIA SUMMIT IN HIGH GEAR


RISING FOOD PRICES PUSH INFLATION UPWARDS

NBS Director of Population Census and Social Statistics
Ephraim Kwesigabo.
Rising food prices pushed up the annual headline inflation rate to 4.3 per cent in March, a slight increase from the previous month’s 4.2 per cent, the National Bureau of Statistics (NBS) announced in Dar es Salaam.

The statistics body attributed the inflation rise to the increase in food prices, citing some of the food items that contributed to the increase as rice by 19.9 per cent, cassava flour by 8.3 per cent, meat by 6.2 per cent, fish by 15.5 per cent, sugar by 4.4 per cent and beans by 5.3 per cent.

Addressing reporters, NBS Director of Population Census and Social Statistics Ephraim Kwesigabo, said that food and non-alcoholic beverages inflation rate for the period under review has increased to 5.9 per cent from 4.9 per cent recorded in February 2015.

WASIRA SUSPENDS THREE RUBADA OFFICIALS OVER 2BN/- FRAUD

RUBADA Acting Director General, Alloyce Masanja.
Rufiji Basin Development Authority (RUBADA) Acting Director General, Alloyce Masanja and two directors have been suspended indefinitely over alleged embezzlement of over 2bn/-.

Other officials suspended are Planning and Investment Director Tabu Ndatulu and Finance and Administration Director Filozi Mayayi.

Agriculture, Foods and Cooperatives Minister Stephen Wasira, addressing reporters in Dar es Salaam, said the decision to suspend the trio came following investigations in connection with mismanagement and corruption allegations that were levelled against the authority’s management.

Besides suspension, the trio’s fate for either a court trial or not will be determined by Prevention and Combating Corruption Bureau (PCCB) and Police.

“One step is taking disciplinary measure against them. Second, because this is crime, we have already communicated with the PCCB and police for further steps,” he explained.

FASTJET PASSENGER STATISTICS FOR MARCH 2015


9 April 2015 - fastjet operations in Tanzania carried a total of 56,808  passengers and achieved a load factor of 70%.  This represents an increase of 66% in the number of passengers carried and a 3% increase in the load factor, compared with the same month last year.

Punctuality for the month remained excellent, with 91% of flights arriving on time Note 3. This was despite increased aircraft utilisation with additional flights added to the network.

Ed Winter, Chief Executive Officer of fastjet plc, said:

"I am delighted to see our passenger numbers continue to rise year on year by 66%. This clearly demonstrates the growth that fastjet has achieved as our low-cost model continues to stimulate the Tanzanian air travel market. I am also pleased with the continued growth of our network and aircraft utilisation with the launch of two new routes in March. Linking Kilimanjaro and Mwanza provides a reliable and affordable service for these commercially important areas, whilst serving Entebbe from Kilimanjaro provides direct tourist and business opportunities between Tanzania and Uganda."


Month ending
March 2015
March 2014
Change
Passengers Note 1
56,808 
 34,266
66%
Load Factor Note 2
70%
67%
+3pp
Rolling 12 months ending
March 2015
March 2014
Change
Passengers Note 1
661,909
 385,532 
 72%

Notes:
1.    "Passengers" are sold seats flown, excluding infants.  Fastjet bookings are generally non-refundable.
2.    "Load Factor" is the number of 'passengers" as a percentage of the number of available seats flown. 
3.    "on time" - arrival earlier than or within 15 minutes of schedule

Tribeca Public Relations

Wednesday, 8 April 2015

NOTICE TO AZANIA BANK LIMITED CUSTOMERS

EMPLOYMENT OPPORTUNITIES - TWIGA BANCORP LIMITED

DAR ES SALAAM PORT TO BECOME NATION'S BIGGEST REVENUE CONTRIBUTOR

Minister of East African Cooperation, Dr Harrison Mwakyembe.
The Dar es Salaam Port will in three years time lead in contributing to the national income if the ongoing improvements to enhance efficiency at the port are timely implemented.

The Minister of East African Cooperation Dr Harrison Mwakyembe said this in Dar es Salaam after inaugurating the first 2015 Economic Freedom of Tanzania Conference organised by Uhuru Initiative for Policy and Education.

“The government commitments to remove all red tape at the Dar es Salaam port and adoption of latest Information and Communication Technology (ICT) are progressively changing the port performance to international standards,” he said.

Dr Mwakyembe cited among others, the introduction of the Single Customs Territory (SCT) and the recent launching of the three freight wagon train routes to the Democratic Republic of Congo (DRC), Uganda, Burundi and Rwanda.

BOA BANK STAFF SUPPORT PATIENTS AT CCBRT HOSPITAL

Bank of Africa, General Manager - Business Development, Wasia Mushi chats with children admitted to CCBRT hospital shortly after he handed over to them various items donated by the bank as part of Easter celebrations on Monday.
Bank of Africa (BOA) has donated food, drinks and various education materials to children admitted to CCBRT hospital in Dar es Salaam on Monday.

The Bank’s General Manager for Business Development, Wasia Mushi told reporters that the handing over of the donation was part of activities to celebrate Easter.

RENAULT DUSTER - ENJOY EVERY CHALLENGE!


NEW TANGA PORT PROJECT REACHES ADVANCED STAGE


The implementation of the multi-trillion Mwambani Economic Corridor Project in Tanga Region has reached an advanced stage after receiving support from not only the government of Tanzania, but also in the East and Central African countries.

Co-director of the company manning the project, Mr Cuthbert Tenga, reported that the project, estimated to cost over 53 trillion/-, was in good course as they have secured all the necessary required documents to start the project.

The project, to involve construction of a deep sea and free port at Mwambani in Tanga City and a new heavy haul standard gauge railway from there, would be operated by MWAPORC, an acronym for Mwambani Port and Railway Corridor, a Tanzanian Project Company.