Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Tuesday, 4 February 2025
STANBIC YAENDELEA KUTOA MISAADA KUWEZESHA WATOTO WENYE UHITAJI
Benki ya Stanbic Tanzania imetoa msaada wa viti 50 kwa Shule ya St. Jude ya jijini Arusha kuwezesha zaidi ya wanafunzi 1,800 wanaotoka kwenye familia zenye uhitaji kupata elimu.
Msaada huu ambao ni sehemu ya sera ya benki hiyo ya uwajibikaji, katika kurudisha kwa jamii sehemu ya faida yake (CSR), utaimarisha uwezo wa taasisi hiyo katika kutoa elimu bora, kuboresha mazingira ya kujifunzia na kuwafikia watoto wengi zaidi wenye uhitaji.
Meneja wa Benki ya Stanbic, Tawi la Arusha, Hemed Sabuni aliwakilisha benki hiyo katika hafla ya makabidhiano jijini humo.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment