| Meneja Rasilimali Watu wa Benki ya Absa Tanzania, Bw. Hance Mapunda (kushoto), Meneja Huduma za Jamii wa Benki ya Absa, Bi. Abigail Lukuvi (wa pili kushoto), Mwanafunzi wa Shule ya Uhuru Mchanganyiko, Crispian Thomas, Mkuu wa Shule ya Uhuru Mchanganyiko, Bi. Sezaria Kiwango na Meneja Rasilimali Watu mwingine wa benki hiyo, Bi. Anna Chacha wakishangilia baada ya kuzindua kisima kilichojengwa na wafanyakazi wa benki hiyo jijini Dar es Salaam. |
No comments:
Post a Comment