Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 27 February 2023

TANZANIA COMMERCIAL BANK YAJIPANGA KUENDELEA KUTOA HUDUMA BORA KWA WATEJA WAKE

Mkurugenzi wa Masoko na Ukuzaji Biashara wa Benki ya TCB, Bw. Deogratius Kwiyukwa akizungumza wakati wa kikao cha Wakurugenzi wa sekta mbalimbali ndani ya Tanzania Commercial Bank PLC wamefanya kikao cha mpango mkakakati wakishirikiana na Mameneja wa Matawi nchi nzima kwa ajili ya kujadili malengo ya kuhakikisha kuwa TCB inabakia kileleni. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF, jijini Dodoma hivi karibuni.

Mkurugenzi wa Mikopo wa Tanzania Commercial Bank PLC, Henry Bwogi akizungumza wakati wa kikao cha Wakurugenzi wa sekta mbalimbali kutoka benki hiyo wakati wa kikao cha mpango mkakakati wakishirikiana na Mameneja wa Matawi nchi nzima kwa ajili ya kujadili malengo ya kuhakikisha kuwa TCB inabakia kileleni. Kikao hicho kimefanyika katika ukumbi wa mikutano wa PSSSF, jijini Dodoma hivi karibuni

Mkurugenzi wa Fedha wa Tanzania Commercial Bank, Bi. Regina Semakafu akizungumza na wafanyakazi wa Benki hiyo katika kikao kikuu cha Mpango Mkakati wa Benki kilichofanyika katika ukumbi wa Mikutano PSSSF, Jijini Dodoma hivi karibuni.

Wakurugenzi wa Benki ya TCB wakiwa katika kikao hicho.

No comments:

Post a Comment