TADB KUWAJENGEA UWEZO WAKULIMA WA MAKUNDI MAALUM
Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) imeonyesha kwa vitendo nia yake ya kuinua wakulima wadogo wa makundi maalum nchini kwa kufanya mafunzo ya siku 3 kwa Kituo cha Wakulima Wafugaji Viziwi Tanzania (KIWAWAVITA) yaliyoandaliwa na TADB katika katika ukumbi wa Edema, mkoani Morogoro.
Mafunzo hayo yamelenga kuwajengea uwezo kwa nadharia na vitendo wakulima hao wa kituo hicho cha Wakulima na Wafugaji Viziwi Tanzania ili wainuke kiuchumi na kuongeza uzalishaji wa tija.
Mafunzo hayo yalijumuisha mada kama;
No comments:
Post a Comment