| Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa (katikati) na Mjumbe wa Bodi ya Wakurugenzi wa Benki ya Biashara ya DCB, Dkt. Amina Abdul (wa pili kulia) wakikabidhi mfano wa hundi shilingi 4,200,000 kwa washindi wa kwanza wa tawi lililofanya vyema katika wiki ya huduma kwa wateja, Tawi la Magomeni na Victoria wakati wa hafla ya kuhitimisha wiki hiyo iliyofanyika jijini Dar es Salaam jana. Kutoka kushoto ni Meneja wa Tawi la Victoria, Aziza Kizigha, Mkuu wa Masoko na Mawasiliano, Rahma Ngassa na Meneja wa Tawi la Magomeni, Al-Amin Lwano. |
No comments:
Post a Comment