KUPITIA DStv WATOTO WATAPATA BURUDANI PAMOJA NA KUJIFUNZA VITU MBALIMBALI NDANI YA CHANELI ZA WATOTO
Ni wakati wa likizo na watoto wapo Nyumbani. Haina haja ya kuacha watoto wazurure wakati kupitia DStv watoto watapata burudani pamoja na kujifunza vitu mbalimbali ndani ya chaneli za watoto zinazopatikana kuanzia kifurushi cha Bomba TShs 19,900.
Piga *150*53# kulipia kifurushi chako kwa urahisi zaidi.
No comments:
Post a Comment