Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 22 February 2021

BAADA YA AMSHAAMSHA ZA MICHUANO YA #EPL, TUNAIANZA WIKI NA SAKATA LA LIGI YA #UEFA NDANI YA DStv


Ni mwendo wa bandika Bandua!

Baada ya amshaamsha za michuano ya #EPL, Tunaianza wiki na sakata la ligi ya #UEFA ambapo Atletico Madrid atavaana na Chelsea huku Lazio akikipiga na Bayern Munich! Je ni nani kuibuka kinara wa mechi hizi?

Kupitia Ofa ya Panda Tukupandishe, mteja wa Family lipia sasa Compact TShs 49,000 kwa kupiga *150*53# na DStv ikupandishe hadi Compact Plus uweze kutazama michuano hii Live.

#SokaLisilopimika

#PandaTukupandishe

No comments:

Post a Comment