| Mkuu Wa Masoko na Mahusiano wa Benki ya KCB, Christine Manyenye (katikati), akizungumza na waaandishi wa habari wakati wa uzinduzi wa programu ya 2jiajiri ambapo jumla ya sh. milioni 85 zinatarajiwa kutolewa kwa wanawake 17 ili kukuza biashara zao, aliyekaa kushoto kwake ni Mnufaika wa mafunzo hayo pia ni Mkurugenzi wa shule ya Sekondari ya East Coast ya Kibaha, Bhoke Mhini, kulia kwake ni Rojas Mdoe, Mkuu wa Kitengo cha Uendeshaji na Teknologia. |
No comments:
Post a Comment