Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Thursday 13 June 2019

AIRTEL TANZANIA UNVEILS A NEW, AFFORDABLE SMARTPHONE MODEL

Airtel Tanzania Director of Marketing and Airtel Money, Isack Nchunda (left) speaks during the unveiling of a new and affordable smartphone model itel A23 which comes with a free 36GB valid for 12 months in an event held at the Airtel Mlimani city shop junction Dar es Salaam. The launch of the itel A23 is a partnership between Airtel and itel Mobile and will be available at all Airtel shops and open markets as from today. He is flanked by itel Mobile Marketing Director Eric Mkomoye.
Airtel Tanzania Director of Marketing and Airtel Money, Isack Nchunda (left) displays a new and affordable smartphone model itel P33 during its launch at Airtel shop at mlimani city Dar es Salaam. The new smartphone model itel A23 comes with a free 36GB valid for 12 months. On the right is itel Mobile Country Operation Manager, Vanuj Vanuj Khosla. 
Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania Isack Nchuda akiongea na waandishi wa habari wakati wa kuzindua simu mpya ya smartphone A23 kwa ushirikiano wa itel. Simu hiyo inakuja na GB 36 BURE kwa mwaka mzima. Kulia ni Mkuu wa Mawasiliano wa itel bw, Erick Mkomoya na Mkuu wa Mauzo itel, Vanuj Khosla. A23 ina ukumbwa wa kioo cha inchi 5 pamoja na kamera ya kisasa ya 5mp nyuma na mbele 2mp na inaweza kupiga picha kwa mazingira yeyote yale. Hafla ya uzinduz imefanyika katika duka la Airtel Mlimani City hivi karibuni.. 
Toka kushoto ni Meneja Uhusiano Airtel Tanzania, Jackson Mmbando, Mkurugenzi wa Masoko Airtel Tanzania, Isack Nchuda na Meneja Uhusiano wa itel, Erick Mkomoye wakizindua simu mpya ya smartphone A23 hivi karibuni. Simu hiyo inakuja na GB 36, bure kwa mwaka mzima kutoka Airtel. A23 ina ukumbwa wa kioo cha inchi 5 pamoja na kamera ya kisasa ya 5mp nyuma na mbele 2mp na inaweza kupiga picha kwa mazingira yeyote yale.

No comments:

Post a Comment