Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 13 January 2016

FASTJET YAZINDUA SAFARI ZA NDEGE KATI YA DAR - NAIROBI NA DAR - ZANZIBAR

Mkurugenzi asiye mtendaji wa kampuni ya ndege ya fastjet Balozi Ami Mpungwe, akizungumza na wasafiri wakati wa kuanzisha safari za ndege hiyo kwenda Nairobi kutokea uwanja wa ndege wa kimataifa wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere jijini Dar es Salaam. Kutoka kushoto ni Mkurugenzi asiye mtendaji Lawrence Masha, Meneja Mkuu wa kampuni hiyo (Afrika Mashariki) Jimmy Kibati na Meneja wa Mahusiano kati ya fastjet na Serikali, Mhandisi August Kowero.
Balozi wa Tanzania nchini Kenya, John Haule (kulia) akikata utepe ili kuikaribisha ndege ya fastjet nchini Jijini Nairobi mara baada ya ndege hiyo kutua katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta juzi. Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati na Mkurugenzi asiye Mtendaji balozi Ami Mpungwe.
Balozi wa Tanzania nchini Kenya, John Haule (kulia) akikata utepe ili kuikaribisha ndege ya fastjet nchini Jijini Nairobi mara baada ya ndege hiyo kutua katika uwanja wa kimataifa wa Jomo Kenyatta juzi. Kulia kwake ni Meneja Mkuu wa Fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati na Mkurugenzi asiye Mtendaji balozi Ami Mpungwe.
Wageni mashuhuri wakishirikiana na viongozi wa fastjet kukata keki mara baada ya ndege kuwasili katika uwanja wa ndege wa kimataifa wa Jomo Kenyatta jijini Nairobi juzi. Kutoka kushoto ni Meneja Mkuu wa fastjet Afrika Mashariki Jimmy Kibati, Mkurugenzi asiye Mtendaji Ami Mpungwe, Balozi wa Tanzania nchini Kenya John Haule, Mkurugenzi asiye Mtendaji Lawrence Masha na Meneja Masoko na Maendeleo ya Biashara wa Mamlaka ya Viwanja vya ndege nchini Kenya (KAA) William Simbah.




No comments:

Post a Comment