Mkurugenzi Mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania, Bw. Ian McLachlan (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika ufukwe wa bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree huku akishirikiana bega kwa bega na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Hoteli ya Double Tree By Hilton, Bw. Yehia Elmansoury (wa kwanza kushoto).
Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Monday, 1 June 2015
HOTELI YA DOUBLETREE BY HILTON YA JIJINI DAR YAFANYA USAFI WA MAZINGIRA YANAYOIZUNGUKA HOTELI HIYO
Mkurugenzi Mkuu wa Hotel ya Double Tree by Hilton nchini Tanzania, Bw. Ian McLachlan (wa pili kutoka kushoto) akifanya usafi katika ufukwe wa bahari inayoizunguka Hoteli ya Double Tree huku akishirikiana bega kwa bega na Mkurugenzi wa Maendeleo ya Biashara wa Hoteli ya Double Tree By Hilton, Bw. Yehia Elmansoury (wa kwanza kushoto).
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment