Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Wednesday, 22 May 2019
HALOTEL TANZANIA AND VISA IN STRATEGIC PARTNERSHIP
HALOTEL, VISA WAUNGANA KUWEZESHA MALIPO SALAMA KWA NJIA YA SIMU TANZANIA
Idadi ya watumiaji wa Halopesa imeongezeka kwa asilimia 71.76 katika kipindi cha mwaka 2018. Kampuni ilifunga mwaka 2017 ikiwa na jumla watumiaji wa Halopesa wapatao 780,000. Idadi hiyo imeongezeka Kwa kiasi kikubwa hadi kufikia jumla ya watumiaji milioni 1.3 mwishoni mwa mwaka 2018.
Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya Visa kupitia simu zao.
Ushirikiano kati ya kampuni hizo utawezesha watumiaji wa Halopesa kutumia huduma ya Visa kwenye simu zao kwa kufanya malipo ya bidhaa na kuweka pesa na kutoa kwa mawakala wa huduma ya Visa.
Kampuni za Halotel Tanzania na Visa zimesaini mkataba wa kimkakati ambao utawawezesha watumiaji wa Halopesa kufanya malipo kwa njia ya Visa kupitia simu zao.
Ushirikiano kati ya kampuni hizo utawezesha watumiaji wa Halopesa kutumia huduma ya Visa kwenye simu zao kwa kufanya malipo ya bidhaa na kuweka pesa na kutoa kwa mawakala wa huduma ya Visa.
CRDB BANK TARGETS MEGA PROJECTS FINANCING
CRDB Bank focuses on financing large infrastructure projects and its mobile phone banking customers to boost its profitability.
The Bank's CEO, Abdulmajid Nsekela, said the banking environment is fast changing and as the largest lender, maintaining its pole position was of paramount importance.
Read More >>
PRESIDENT MAGUFULI HOLDS TALKS WITH SWEDISH MINISTER FOR INTERNATIONAL DEVELOPMENT COOPERATION
FARMING GETS 127BN/- IFAD BOOST
The International Fund for Agricultural Development (IFAD) has allocated over 127bn/- to support agricultural projects in the country for the three-year period effective next year.
Read More >>
RAIS MHE. DKT. MAGUFULI APOKEA GAWIO LA SERIKALI KIASI CHA SHILINGI BILIONI MBILI (2.1) KUTOKA SHIRIKA LA MAWASILIANO TANZANIA TTCL JIJINI DAR ES SALAAM MEI, 21 2019
![]() |
| Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo kuhusu uzalendo na kuunga mkono Shirika la Mawasiliano TTCL jijini Dar es Salaam. |
RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA WAZIRI WA USHIRIKIANO WA KIMATAIFA NA MAENDELEO WA SWEDEN MHE PETER ERIKKSON IKULU JIJINI DAR ES SALAAM MEI 20, 2019
Ikulu Blog
RAIS DKT. MAGUFULI AMUAPISHA DKT. MPOKI ULISUBISYA KUWA BALOZI WA TANZANIA NCHINI CANADA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM MEI 20, 2019
Bofya hapa kwa picha zaidi
AGRICULTURE BANK PROVING A BOON TO FARMING SECTOR
![]() |
| Tanzania Agricultural Development Bank (TADB), Managing Director, Mr. Japhet Justine. |
Read More >>
BARCLAYS BANK TANZANIA ORGANISES AN IFTAR DINNER FOR CUSTOMERS IN DAR ES SALAAM
| Dar es Salaam Regional Sheikh, Alhad Mussa Salum addresses invited guests during an iftar hosted by Barclays Bank Tanzania for its customers in Dar es Salaam over the weekend. |
| Barclays Bank Citizenship Manager, Hellen Siria (right) serves an iftar meal to some invitees at a function hosted by the bank for its customers in Dar es Salaam. |
| Barclays Bank Tanzania Managing Director, Abdi Mohamed (centre), together with some invited guests, breaking the fast at an occasion hosted by the bank for its customers in Dar es Salaam recently. |
| Some invite guests breaking the fast at an occasion hosted by Barclays Bank Tanzania in Dar es Salaam recently. |
TANZANIA NA UHOLANZI ZAZINDUA MRADI WA KUKUA NA KUKU
![]() |
| Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi, Mhe. Irene Kasyanju (pichani juu) na Kaimu Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania, Bibi Lianne Houben (pichani chini) wakitoa hotuba fupi wakati wa Uzinduzi wa Mradi wa Kukua Na Kuku huko Kilacha, Moshi, Mkoani Kilimanjaro. Bofya hapa kwa picha zaidi |
Ubalozi wa Tanzania nchini Uholanzi kwa kushirikiana na Baraza la Biashara la Uholanzi na Africa (Netherlands – Africa Business Council - NABC) hivi karibuni waliongoza ujumbe wa Makampuni 7 kutoka Uholanzi yaliyobobea katika Sekta ya Ufugaji wa Kuku kwenda Mkoani Kilimanjaro kuzindua Mradi maalum wa ufugaji utakaoendeshwa na Makampuni hayo nchini Tanzania maarufu kama “Kukua Na Kuku (Growing with Chicken) Impact Cluster”.
Mradi wa “Kukua Na Kuku” ni matokeo ya makubaliano ya kuanzisha ubia kati ya Tanzania na Uholanzi yanayolenga kuboresha Sekta ya Ufugaji Kuku nchini Tanzania na kuifanya kuwa endelevu kwa kutumia teknolojia ya kisasa kutoka Uholanzi. Makampuni hayo yatatoa mafunzo kwa lengo la kuwajengea uwezo wafugaji wazawa kwa kuboresha usimamizi wa kilimo cha ufugaji, afya ya wanyama, upatikanaji wa chakula (lishe) bora kwa ajili ya mifugo, vifaa muhimu vya kufugia, na hata utafutaji masoko.
Uzinduzi huo ulifanyika kwenye Chuo cha Kilimo na Ufugaji wa Mifugo Kilacha, Mkoani Kilimanjaro kwa kusaini Makubaliano ya Ushirikiano, na ukawa ndio mwanzo wa ushirikiano wa miaka 3 kati ya makampuni hayo 7, Serikali ya Uholanzi na wadau wazawa wa Tanzania. Chuo cha Kilimo na Ufugaji wa Mifugo cha Kilacha kinasimamiwa na Kituo cha Uzalishaji na Mafunzo kinamilikiwa na Kanisa Katoliki Mkoani humo.
Mgeni rasmi wakati wa sherehe za uzinduzi huo alikuwa Mhe. Anna Mgwira, Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Balozi wa Tanzania nchini Uholanzi, Mhe. Irene Kasyanju,Kaimu Balozi wa Uholanzi nchini Tanzania Bibi Lianne Houben, na Mkurugenzi wa Biashara na Kilimo wa NABC, Bw. Mackenzie Masaki.
Makampuni hayo kutoka Uholanzi ni pamoja na: Aeres University of Applied Sciences; Ebit+/I Grow Chicken; GD Animal Health; Impex; Hendrix Genetics; Koudijs de Heus; na Vencomatic Group.
|
Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki
Monday, 20 May 2019
CRDB BANK HOLDS A SHAREHOLDERS SEMINAR IN ARUSHA
WAZIRI MKUU KASSIM MAJALIWA AFUNGUA SEMINA YA WANAHISA WA BENKI YA CRDB, JIJINI ARUSHA
![]() |
| Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB iliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa AICC jijini Arusha. |
![]() |
| Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya CRDB, Abdulmajid Nsekela akitoa hotuba yake wakati wa ufunguzi wa Semina ya Wanahisa wa Benki ya CRDB iliyofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa AICC jijini Arusha. |
Bofya hapa kwa picha zaidi
Subscribe to:
Posts (Atom)










































