Blog Rebranding Teaser_030826

Blog Rebranding Teaser_030826

Stanbic Bank Banner_070826

Stanbic Bank Banner_070826

Absa Loan Campaign_160426

Absa Loan Campaign_160426

Saturday, 18 May 2019

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA RAIS WA BENKI YA MAENDELEO YA AFRIKA (AFRICAN DEVELOPMENT BANK - AfDB) DKT. AKINWUMI ADESINA IKULU JIJINI DAR ES SALAAM, 15 MEI 2019

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpokea mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika (AfDB) Mhe. Dkt. Akinwumi Adesina ameipongeza Tanzania kwa ukuaji mzuri wa uchumi wa wastani wa asilimia 7 kwa mwaka na hivyo kuendelea kuwa miongoni mwa nchi zenye uchumi unaokua kwa kasi kubwa Duniani.

Mhe. Dkt. Adesina ametoa pongezi hizo tarehe 15 Mei, 2019 Ikulu Jijini Dar es Salaam muda mfupi baada ya kukutana na kufanya mazungumzo na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli kuhusu ushirikiano kati ya benki hiyo na Tanzania katika maeneo mbalimbali ya maendeleo.

Mhe. Dkt. Adesina amempongeza Mhe. Rais Magufuli kwa dhamira yake njema na msimamo wake wa kuwapigania Watanzania na amemtaka kuendelea na mwelekeo huo ambao umeendelea kuimarisha uchumi kwa ukuaji wa wastani wa asilimia 7 ikilinganishwa na wastani wa ukuaji wa uchumi wa dunia wa asilimia 3.5.

Halikadhalika amempongeza kwa ushirikiano na nchi jirani kama vile Uganda na hivyo kufanikisha ujenzi wa mradi mkubwa wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi lenye urefu wa kilometa 1,443 kati ya Hoima nchini Uganda na bandari ya Tanga nchini Tanzania kwa kushirikisha sekta binafsi.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika mazungumzo na mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.

Aidha, Mhe. Dkt. Adesina amesema wamezungumzia kuhusu kilimo na kwamba AfDB ipo tayari kusaidia kutatua tatizo la masoko ya mazao yanayozalishwa katika kanda mbalimbali za Tanzania na kuongeza thamani.

Kuhusu miradi mingine ya maendeleo amesema kwa hivi sasa AfDB imetoa ufadhili kwa miradi yenye thamani ya shilingi Trilioni 4.55 na kwamba hivi karibuni benki hiyo imeidhinisha ufadhili kwa miradi ya ujenzi wa barabara za mzunguko (ring road) za Jiji la Dodoma zenye urefu wa kilometa 110, ujenzi wa uwanja wa ndege wa kimataifa wa Msalato Mkoani Dodoma, na pia ameipongeza Tanzania kwa kuanza mradi mkubwa wa ujenzi wa reli ya kati kwa kiwango cha kisasa kati ya Dar es Salaam na Dodoma kwa kutumia fedha zake na ameahidi kuwa benki hiyo itaunga mkono mradi huo hasa kwa ujenzi wa kuanzia Isaka kwenda Kigali nchini Rwanda na hivyo kunufaisha nchi nyingine za Burundi na Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi zawadi ya picha ya Wanyama Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya kuwasili Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimsindikiza mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Kwa upande wake, Mhe. Rais Magufuli amemshukuru Mhe. Dkt. Adesina kwa ushirikiano mkubwa ambao AfDB inautoa kwa Tanzania na amemhakikishia kuwa Tanzania itahakikishia fedha zinazotolewa na benki hiyo zinatekeleza miradi iliyokusudiwa kwa uhakika na inaleta matokeo yanayotarajiwa.

Mhe. Rais Magufuli amesema pamoja na miradi hiyo AfDB pia imekubali kutoa fedha kwa ajili ya ujenzi wa barabara ya lami ya Mpanda – Tabora yenye urefu wa kilometa 359, kujenga awamu ya pili ya mradi wa miundombinu ya mabasi yaendayo haraka (BRT) kati ya Kariakoo na Mbagala Jijini Dar es Salaam na kujenga njia ya umeme ya msongo wa kilovoti 400 kati ya Sumbawanga – Mpanda – Kigoma – Nyakanazi.

Kuhusu AfDB kusaidia ujenzi wa reli ya kati kwa kipande cha kuanzia Isaka mpaka Kigali Mhe. Rais Magufuli amesema ufadhili huo utasaidia kuharakisha usafirishaji wa madini yaliyopo katika kanda ya kati na magharibi mwa Tanzania.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akimpongeza mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya kupiga picha ya pamoja na viongozi wengine kutoka nchini na ujumbe kutoka benki hiyo ya AfDB.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na wanahabari pamoja na mgeni wake Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais wa Benki ya Maendeleo ya Afrika AfDB Dkt. Akinwumi Adesina akizungumza na wanahabari pamoja na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufulija mara baada ya mazungumzo yao Ikulu jijini Dar es Salaam.

FOREX SHOPS TO RESUME BUSINESS SHORTLY - PREMIER


Arusha - The scrutiny of Forex Shops' credibility is in the final stages and soon, the Bank of Tanzania will give a green light for them to resume business, Premier Kassim Majaliwa said in Arusha yesterday.

Read More >>

ACACIA FINED OVER 5BN/- FOR ENVIRONMENTAL POLLUTION


Acacia Mining is again in trouble after failing to contain effluent from North Mara Gold Mine's Tailings Storage Facility (TSF). It is feared that the effluent contains chemicals which are harmful to human health, water sources and livestock. Consequently, the mining company will be obliged to pay a 5.6bn/- fine for environmental pollution.

Read More >> 

GOVERNMENT GETS OVER 20BN/- FROM IDENTITY CARDS OF VENDORS


Dodoma - The Government has collected over 20bn/- from business identity cards (IDs) issued to about 1 million small-scale traders since last December.

Read More >>

CAREER OPPORTUNITIES AT IMMMA ADVOCATES

NOTICE TO CRDB BANK ESTEEMED CUSTOMERS


Friday, 17 May 2019

SERIKALI YAIPONGEZA BENKI YA DCB KWA KUFANIKISHA ZOEZI LA UUZAJI WA HISA KWA UFANISI

Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi. Wengine kushoto kwake ni Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka, Meya wa Dar es Salaam, Isaya Mwita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama na Mkurugenzi Mtendaji wa DCB, Godfrey Ndalahwa.
Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi.
Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka, akizungumza jijini Dar es Salaam leo wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE). Hii inatokana na kukamilika kwa zoezi la uuzwaji wa hisa hizo kwa umma na kwa wanahisa lililokamilika hivi karibuni kwa ufanisi.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa akizungumza katika hafla hiyo.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama akizungumza katika hafla hiyo.
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita akizungumza katika hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji akigonga kengele kuashiria tukio la Uorodheshwaji wa Hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE) jijini Dar es Salaam leo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (kulia) akishikana mikono na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka wakati wa hafla ya Uorodheshwaji wa Hisa za Benki hiyo katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE). Katikati ni Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita. 
Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita (wa pili kulia), Meya wa Ubungo, Boniface Jacob (kushoto), na Mwenyekiti wa Bodi ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka wakifurahi wakati Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu kijaji (kulia), akizungumza nao baada ya kukamilika kwa tukio la uorodheshwaji wa hisa za DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam jijini humo leo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (Wanne kushoto), akipiga picha ya pamoja na maofisa wa DSE, DCB na wageni wengine waalikwa mara baada ya kukamilika kwa hafla hiyo.
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji (katikati), akipiga picha ya Pamoja na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki ya Biashara ya DCB, Prof. Lucian Msambichaka (kutoka kushoto), Meya wa Ubungo, Boniface Jacob, Meya wa Jiji la Dar es Salaam, Isaya Mwita, Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, Nicodemus Mkama, Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara ya DCB, Godfrey Ndalahwa na Ofisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE), Moremi Marwa mara baada ya kukamilika kwa tukio la Uorodheshwaji wa hisa za Benki ya Biashara ya DCB katika Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE).
Naibu Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Ashatu Kijaji, ameipongeza benki ya biashara DCB kwa kufanikisha zoezi la uuzaji wa hisa zake kwa ufanisi mkubwa.

Pongezi hizo amezitoa jijini Dar es Salaam leo katika hafla ya uorodheshwaji wa hisa za DCB katika Soko la Hisa la Dar es Salaam (DSE).

“Wizara ya fedha na mipango inajivunia mafanikio ya Benki ya Biashara ya DCB, ambayo wamiliki wake wakubwa ni Halmashauri zetu hususani Manipaa ya Dar es Salaam pamoja na Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam” alisema Mheshimiwa Naibu waziri.

Alisema anafarijika kuona mshikamano uliopo kati ya Mamlaka ya Masoko ya Mitaji na Dhamana, DSE, Benki Kuu ya Tanzania, Kampuni ya Ushauri katika Masoko ya Mitaji na Dhamana na mawakala wa uuzaji wa Hisa katika kuisaidia benki kufanikisha malengo yake ya kuongeza mtaji kwa kuuza hisa zake kwa umma.

“Uuzaji wa hisa kupitia Soko la Hisa la Dar es Salaam, ndio njia sahihi ya kuongeza mtaji, na pia kuwamilikisha wananchi wa kawaida uchumi wa Taifa lao”

KONGAMANO LA UWEKEZAJI KATI YA TANZANIA NA CHINA LAFANYIKA ARUSHA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Uwekezaji, Mhe. Angellah Kairuki akizungumza wakati wa Kongamano la Biashara na Uwekezaji kati ya Tanzania na wawekezaji kutoka Jimbo la Zhejiang la China lililofanyika jijini Arusha tarehe 13 Mei 2019. Katika hotuba yake Mhe. Kairuki alisisitiz akuwa Tanzania ni eneo salama zaidi kuwekeza barani Afrika kutokana na sababu za msingi kama amani, mazingira na sheria rafiki za uwekezaji pamoja na maeneo lukuki ya kuwekeza kama kilimo, madini, usindikaji, viwanda na utalii. Kongamano hilo ambalo lilihudhuriwa na viongozi mbalimbali kutoka Serikalini na Sekta binafsi liliwahusisha sehemu ya watalii 300 waliowasili nchini kwa ziara ya kitalii ya siku nne. 
Kaimu Mkurugenzi wa Idara ya Asia na Australasia katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Bw. Caesar Waitara kwa pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Arumeru, Mhe. Jeri Muro wakifuatilia hotuba ya Mhe. Kairuki hayupo pichani.
Balozi wa Tanzania nchini China, Mhe. Mbelwa Kairuki naye akifuatilia matukio wakati wa kongamabo la biashara na uwekezaji kati ya Tanzania na China lililofanyika Arusha.
Mhe. Waziri Kairuki akiendelea na hotuba yake huku Katibu Mkuu wa Wizara ya Maliasili na Utalii, Prof. Adolf Mkenda na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mhe. Gabriel Daqarro wakisikiliza. 
Mwenyekiti wa Taasisi ya Sekta Binafsi Tanzania, Bw. Godfrey Simbeye akizungumza.
Mdau kutoka China naye akiwasilisha mada.
Sehemu ya wawekezaji kutoka China wakifuatilia kongamano lililoandaliwa na Tanzania kwa ajili yao.
Naibu Waziri, Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Sera, Bunge, Kazi, Vijana, Ajira na Walemavu, Mhe. Anthony Mavunde akizungumza na Mhe, Daqarro wakati wa kongamano hilo.
Read More >>

Thursday, 16 May 2019

AFRICAN BANKER AWARDS 2019 NOMINEES


The winners of the 2019 African Banker Awards will be announced on June 11 at the Annual Meetings of the African Development Bank (AfDB) in Malabo, Equatorial Guinea. 
Multiple nominees this year include Absa, the Trade & Development Bank, Equity Bank, and Standard Bank while first-time nominees include Family Bank of Kenya who partnered with Simba Pay to enable payments via WeChat to China, Kenya’s largest trading partner. There are also nominees for arranging sovereign Eurobonds and IPO’s, while UbuntuCoin, an asset-backed digital currency that was a finalist at last year’s awards, is nominated again.
The complete list of shortlisted nominees for 2019 are:
African Banker of the Year:  Admassu Tadesse (Trade and Development Bank), Brehima Amadou Haidara (La Banque de Développement du Mali), Brian Kennedy (Nedbank, South Africa), James Mwangi (Equity Bank, Kenya) and Johan Koorts (ABSA, South Africa).
Award for Financial Inclusion: 4G Capital (Kenya), Amhara (Ethiopia), Bank of Industry (Nigeria), Cofina (Senegal), Jumo (South Africa).
Best Retail Bank in Africa: Coris (Burkina Faso), Ecobank (ETI), Guarantee Trust Bank (Nigeria), KCB (Kenya), QNB AlAhli (Egypt).
Deal of the Year – Debt: Absa ($350M Old Mutual Renewable Energy IPP), Afrexim – ($500M ChinaExim Syndicated Loan), CIB ($389M Egyptian Refining Company), Rothschild ($2.2 billion Republic of Senegal Dual-Currency Eurobond), TDB ($1 billion Sovereign Loan to the Government of Kenya).

SOUTH AFRICA’S TAXMAN GOES GLOBAL


South Africa has long faced the reality of ‘flight’ by citizens to other countries for a myriad of reasons, including lack of economic opportunity and the prevalence of crime.


South African officials accordingly have long focused on these expats as a potential source of income, with the discussion most notably bubbling to the surface during parliamentary hearings in 2017. In those hearings, government officials, in particular from the South African Revenue Service (SARS), quoted the number of South Africans abroad and the discrepancies between tax disclosures and bank information of South African expats.

Hence, in the minds of some officials, the arrival of a worldwide tax system in South Africa could not come soon enough for a country with a burgeoning national debt that struggles to generate higher tax revenue. Expected to come into effect on 1 March 2020, an amendment to the South Africa Income Tax Act will require South African citizens to pay taxes to South Africa regardless of where income is earned (including on benefits such as housing and flights).


AFRICA’S DIGITAL ECONOMY POISED TO EXPLODE AS REGIONAL INTEGRATION OPENS NEW MARKETS

“Africa has shown it can deliver. Cross-border private sector “champions” are essential – Pierre Guislain, African Development Bank Vice President



With Africa’s digital economy taking off exponentially, the continent must ready itself to maximize the potential dividends of the Continental Free Trade Area agreement, panel members told a packed auditorium in Kigali at the opening of Transform Africa Summit 2019 on Tuesday.
Key to this effort will be connectivity, data and digitization and innovation among others, conference attendees heard.
“Africa can achieve a digital single market...It is a journey and we need to break it up into doable bits, “African Development Bank Vice-president, Private Sector, Infrastructure and Industrialization Pierre Guislain, said, adding that the European Union had demonstrated that it could be achieved.
Other members of the panel Lacina Kone, Director General / CEO of Smart Africa, the conference organizers, Fatoumata Ba, CEO Janngo, Nic Rudnick, CEO Liquid Telecom Group and Elsie Kanza, Head of Africa, World Economic Forum, shared similar sentiments.
This year’s summit which is themed Boosting Africa’s Digital Economy, aims to showcase success stories in the African digital economy and promote homegrown businesses, innovations, solutions and partnerships.

CURRENT VACANCIES AT THE AFRICAN DEVELOPMENT BANK



BID ANNOUNCEMENT

Dodoma, 15th May 2019

PRESS RELEASE

Bid Announcement

The Republic of Mauritius invites bids from the reputable Tanzanians companies as announced by its various institutions. The interested companies can download the bidding documents from the Public Procurement Website; http://publicprocurement.govmu.org.  

The Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation encourages eligible companies to submit their bids on time.

Issued by:
Government Communication Unit,
 Ministry of Foreign Affairs and East African Cooperation.

WHY BANKS NEED ARTIFICIAL INTELLIGENCE - PART 2

By Kelvin Mkwawa, Seasoned Banker.
Last week I shared that Artificial Intelligence (AI) has an immense potential for the banking sector. Banks seek to gain a competitive edge over their peers by implementing advanced technology to achieve improvement in speed, accuracy, cost efficiency and meets customer needs. Much of the expectation surrounds the ability of machines to replicate, and often exceed, what human beings are able to do in banking. Even though the purpose of these intelligent machines is to replace human intelligence to a certain extent, employees of banks have nothing to worry about as the industry still needs human interaction to serve the customer exceptionally. AI is being used to address a wide range of challenges by making interactions between machines and systems simpler and smarter across all industries, but the adoption of AI systems in the banking industry is limited to date because of the important element of human interaction needed in providing services in the banking industry.

Additionally, I shared that with money laundering continuing to be a persistent problem for banks, AI can assist banks to combat this threat through advanced data analytics systems to save the banks from being fined more frequently due to inadequacies in their anti-money laundering infrastructures. This week is a continuation of last week’s article. In this article,I will share a few more examples of how AI can impact the banking industry.
  • Enhances Customer Service Experience – Customer experience is one of the areas that can be enhanced through AI as quick support can be easily provided to the customer along with tailored banking products according to his/her needs. Based on past dealings and data (detailed customer’s demographics and records of online and offline transactions), AI can develop a better understanding of customers and their behaviour. This enables banks to customize financial products and services by adding personalized features and intuitive interactions to deliver meaningful customer engagement and build strong relationships with their customers. One form of AI that helps banks tremendously is Chatbots. Chatbots are automated service assistants that provide customers with the convenience of resolving their queries via an online messaging system instead of having to visit a branch. Chatbots offer efficient, systematic and accurate conversations which lead to a great customer service experience. In addition, as technology evolves, AI has been able to offer voice bots as well to solve customer’s issues without human intervention.
  • Enhances Mobile Banking Apps – To meet today’s customer expectations, most of the banks are shifting more into offering digital services and products which have resulted into millions and millions of transactions being done online irrespective of time and place worldwide. AI can be integrated into the bank’s mobile apps to improve customer service. How? After gathering the customer’s data from the mobile device, the AI system incorporated in mobile apps processes the data to understand the customer’s behaviour to provide the relevant information – services and offers in line with the customer’s needs. Also, the mobile app with AI will assist the customers when it comes to personalized planning. For example, if a customer wants to buy a new house, the mobile app can guide the customer with budget and other related details to help the customer achieve that goal.
In conclusion, Artificial Intelligence (AI) has many benefits to offer for the banking industry. I shared that AI is being used to address a wide range of challenges across all industries, but the adoption of AI systems in the banking industry is limited to date mainly due the important element of human interaction in providing banking services. The past two weeks I shared how AI can impact banks: AI brings the power of advanced data analytics systems to combat fraudulent transactions and improve compliance; AI combines the personal data provided by a prospective borrower with market trends, his/her most recent financial activities and transactions to identify the potential risks in giving out the loan to the prospective borrower; AI can develop a better understanding of customers based on their past dealings and their behaviour to enhance customer experience; and AI can be incorporated into banks mobile apps to improve customer experience on mobile/internet banking platforms.

Written by Kelvin Mkwawa, MBA
Seasoned Banker
Email address: Kelvin.e.mkwawa@gmail.com

Wednesday, 15 May 2019

BOEING REPORTEDLY RECEIVED NO NEW ORDERS LAST MONTH, A TROUBLING SIGN FOR THE AVIATION GIANT AS IT TRIES TO REBOUND FROM 2 DEADLY 737 MAX CRASHES

  • Boeing reportedly received no new orders for planes in April, which could signal trouble for the company as it tries to rebound after a series of deadly crashes this year. 
  • According to CNN, the company issued a report on Tuesday which revealed that it did not receive any new orders for its 737 Max jets nor its other popular aircrafts like the 787 Dreamliner or the 777 last month. 
  • The airplane manufacturer's sales have slumped in the wake of the fatal Ethiopian Airlines crash which killed 157 people, and last year's Lion Air crash which killed 189 people . Both crashes involved 737 MAX planes. 
  • The company says it has lost at least $1 billion since the deadly crashes. 
Boeing received no new orders for planes in April, according to CNN, which could signal trouble for the company as it tries to rebound after two deadly crashes in less than a year.

The report follows Boeing's revelation in its first-quarter data that it did not receive any new orders for its troubled 737 Max planes in March , and also the decline in deliveries of all 737 models including the older 737-800.

According to CNN, the company said in a report released on Tuesday that it did not receive any new orders for its 737 Max jets nor its other popular aircrafts like the 787 Dreamliner or the 777 last month.

NAFASI ZA KAZI NA MASOMO

Dodoma, 14 Mei 2019

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

Nafasi za Kazi na Masomo


Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki inawahimiza Watanzania wenye sifa kuomba nafasi za kazi na masomo zilizotangazwa na jumuiya za kimataifa kama ifuatavyo:

1) Sekretarieti ya Jumuiya ya Madola;

Afisa Msaidizi wa Programu katika Kitengo cha Ufuatiliaji na Tathmini (Assistant Program Officer - Monitoring and Evaluation Unit na

Meneja wa Utafiti – Uchumi, Vijana na Maendeleo Endelevu (Research Manager–Economic, Youth and Sustainable Development.

Maelezo kamili kuhusu nafasi hizi yanapatikana katika tovuti: http://thecommonwealth.org/jobs

Mwisho wa kuwasilisha maombi ni tarehe 23 Mei 2019.

Aidha, Jumuiya ya Madola imetangaza nafasi za ufadhili wa masomo kwa nchi wanachama wa Jumuiya hiyo katika ngazi ya shahada ya uzamili (masters degree). 

Mwisho wa kuwasilisha maombi ya nafasi hizo zinazojulikana kama Queen Elizabeth Commonwealth Scholarship ni tarehe 26 Juni 2019.

Maelezo kuhusu taratibu za kuomba nafasi hizo yanapatikana kupitia tovuti: www.acu.ac.uk/scholarships/qecs.

2) Shirika la Umoja wa Mataifa linaloshughulikia wakimbizi (UNHCR);
Kamishina Mkuu Msaidizi wa Masuala ya Hifadhi kwa Wakimbizi (Assistant High Commissioner for Protection).

Maelezo kuhusu nafasi hii yanapatikana kupitia tovuti: https://www.unhcr.org/career-opportunities ambapo mwisho wa kuwasilisha mombi ni tarehe 20 Mei 2019 katika baruapepe recruitment.AHC-P@unhcr.org.

Imetolewa na:
Kitengo cha Mawasiliano ya Serikali,
Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki.

NMB BANK PARTNERS WITH 340 TOURISTS FOR PROVISION OF FINANCIAL SERVICES


In an attempt to raise Tanzania's economy, particularly in the tourism sector, NMB Bank joined the Government to receive 340 tourists from China in Arusha, by providing them with different financial services.

The tourists jetted into the country over the weekend and were received by Prime Minister, Kassim Majaliwa, Minister of Natural Resources and Tourism, Dr. Hamisi Kigwangalla and Tanzania Tourist Board Chairman, Thomas Mihayo as well as NMB Bank Management, who sponsored their visit.

Continue Reading 

EMIRATES AIRLINE TO PAY NO STAFF BONUSES, AS PROFITS FALL 69%

The airline's chairman said 2018-19 had been a 'tough' year, with rising oil prices resulting in its biggest-ever fuel bill

Dubai’s Emirates airline, which last week reported a 69 percent year-on-year decline in profit for the financial year ended March 31, 2019, will not be paying a staff bonus this year.

While the carrier saw revenue increase by 6 percent to AED97.9 billion ($26.7 billion) during the financial year, profits declined 69 percent year-on-year to AED871 million.

“2018-19 has been tough, and our performance was not as strong as we would have liked,” Sheikh Ahmed bin Saeed Al Maktoum, chairman and CEO of Emirates Airline and Group, said in a press statement issued on Thursday.

An Emirates spokesperson confirmed that a staff bonus would not be paid this year to the airline’s 60,282 employees.

LOW TRADING CUTS DAR ES SALAAM STOCK EXCHANGE Q1 PROFIT BY HALF

Dar es Salaam Stock Exchange (DSE) net profit has declined by over half in the first quarter of this year compared to the fourth quarter last year.

The self-listed bourse net profit dwindled to 185.2 bn/- in Q1 this year, against 307.7bn/- in Q4 last year.

Continue Reading

BANK OF TANZANIA MONTHLY ECONOMIC REVIEW - APRIL 2019

CALL FOR LOAN APPLICATIONS FOR ESTABLISHMENT OF GRAIN STORAGE AND PROCESSING FACILITY

23 PRIVATISED FIRMS PUT ON NOTICE


The Government has issued a notice to the Managements of 23 privatised industries to present to the Ministry of Trade and Industries a comprehensive plan on how they intend to develop them before May 31st, 2019, otherwise the State will reposes them.

Out of the 156 privatised industries, only 88 industries were operating, while 68 were dormant. Out of the 88 operating ones, only 42 were industries were performing well, 46 in satisfactory category and the operations of 20 others had been halted because during the privatisation process, their assets had been sold randomly.

Read More >>