“Benki ya Uchumi itaendelea kuwa mshirika wa kweli wa Serikali katika jitihada za kuinua uchumi wa wananchi. Tunahakikisha kuwa kila kundi linalengwa linapata mkopo kwa wakati na kwa masharti rafiki,” alisema CPA Wado.
Mpango huu ni hatua muhimu kuelekea kuwawezesha wananchi kiuchumi na kuondoa vikwazo vya kifedha vinavyowakabili vijana, wanawake na makundi maalum.
No comments:
Post a Comment