Duka hilo lilizinduliwa rasmi na Katibu Tawala wa Mkoa wa Kaskazini A, Mariam Khamis, akishuhudiwa na mdau wa Vodacom, Saleh Judas na Mkurugenzi wa Biashara wa Kampuni hiyo, Brigita Shirima.
Uzinduzi huu ni hatua mojawapo ya Vodacom kupanua huduma zake visiwani humo ili kuendelea kutoa huduma bora zaidi.
No comments:
Post a Comment