Foreign Exchange Rates

Equity Bank Advert_12 February 2026

CRDB Bank Advert_070325

Global Sanctions Compliance Masterclass

Monday, 25 November 2024

UZINDUZI WA MASHINDANO YA VODACOM TANZANIA OPEN 2024

Mkuu wa wilaya ya Arumeru, Mhe. Amir Mkalipa akipiga mpira wa golf ikiwa ni alama ya uzinduzi wa mashindano ya Vodacom Tanzania Open 2024 ambapo mdhamini mkuu ni kampuni ya Vodacom Tanzania Plc. Wanaoshuhudia ni Rais wa Chama cha Golf Tanzania, Gilman Kasiga (wa kwanza kulia) na Mkuu wa Idara ya Suluhisho za Kibiashara (Enterprise Solution) wa kampuni hiyo, Ali Zuheri (wa pili kulia).

No comments:

Post a Comment