| Ni Balaa! Kila Mtu ni Mshindi! Meneja Mauzo Mwandamizi wa Vodacom Tanzania Plc, Kanda ya Ziwa, Victoria Ngoya (kushoto), akimkabidhi mfano wa hundi ya TZS 500,000/- mshindi wa droo ya pili ya kampeni ya ‘Ni Balaa!, Neema Melkizedeki Mmari (katikati) katika kilele cha maadhimisho ya Nane Nane yaliyofanyika jijini Mwanza mnamo 8 Agosti, 2024. Endelea kufanya miamala ya kupitia M-Pesa nawe uwe mshindi! Ni Balaa… |
No comments:
Post a Comment