Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Monday 29 May 2023

MKUU WA WILAYA YA ARUSHA AZINDUA DUKA JIPYA LA VODACOM KURAHISISHA UPATIKANAJI WA HUDUMA ZA MAWASILIANO

Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mh. Felician Mtahengerwa (kushoto) akikata keki kwa kushirikiana na Meneja wa Duka la Vodashop jijini Arusha, Bw. Davis Christian (kulia) kuashiria uzinduzi rasmi wa duka jipya la Vodashop lililopo Aim Mall mwishoni mwa wiki. Mkuu huyo wa Wilaya alilisisitiza umuhimu wa ufanisi na ubora hasa katika kuchochea huduma za mawasiliano vijijini pamoja na kuchochea shughuli za utalii.


Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mh. Felician Mtahengerwa (katikati) akizungumza na wateja na wageni (hawapo pichani) waliohudhuria uzinduzi duka jipya la Vodacom Tanzania lililopo Aim Mall jijini Arusha mwishoni mwa wiki. Wakifuatilia uzinduzi huo kushoto ni Mkuu wa kanda Kanda ya Kaskazini wa kampuni hiyo, Bw. George Venanty Pamoja na meneja wa duka hilo, Bw. Davis Christian (kulia). Mkuu huyo wa Wilaya alisisitiza umuhimu wa ufanisi na ubora hasa katika kuchochea huduma za mawasiliano vijijini pamoja na kuchochea shughuli za utalii.


Baadhi ya wateja wakipatiwa huduma kutoka kwa wafanyakazi wa Vodacom Tanzania katika duka jipya mara baada ya kuzinduliwa na Mkuu wa Wilaya ya Arusha, Mh. Felician Mtahengerwa (hayupo pichani) linalopatikana Aim Mall jijini humo. Mkuu huyo wa Wilaya alilisisitiza umuhimu wa ufanisi na ubora hasa katika kuchochea huduma za mawasiliano vijijini pamoja na kuchochea shughuli za utalii.

No comments:

Post a Comment