Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Friday 24 June 2022

VODACOM YASHIRIKI MKUTANO MKUU WA MWAKA WA ISACA

Mkurugenzi wa IT wa Vodacom Tanzania Plc, Athuman Mlinga (katikati), akizungumza kwenye mdahalo na kuwasilisha mada kuhusu Utawala na Uhakika wa TEHAMA. Vodacom Tanzania imeshiriki katika mkutano wa mwaka wa ISACA Tanzania jijini Arusha, ambapo wataalam wa masuala ya usalama wa mtandao na teknolojia walikutana kujadili namna ambavyo kila mmoja anaweza kushiriki katika kuimarisha usalama wa mifumo yake. Wengine kushoto ni Mkaguzi mkuu wa hesabu za ndani TASAC, Ahadi Chacha na Mshauri wa IT KPMG, James Chotamawe
Mkuu wa Idara ya Usalama wa Mtandao wa Vodacom Tanzania Plc, Joel Kazoba akizungumza kwenye mkutano wa mwaka wa ISACA Tanzania uliowakutanisha jumuiya ya usalama wa mtandao na teknolojia na kujadili umuhimu wa ulinzi wa data, Kazoba alisisitiza kuwa Vodacom inaendeleza teknolojia salama inayowezesha wateja pamoja na kuwaunganisha kwenye maisha bora ya baadaye.




No comments:

Post a Comment