Foreign Exchange Rates

DStv Advert_020324

DStv Advert_020324

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 23 March 2022

RAIS SAMIA ATEMBELEA BANDA LA BENKI YA EQUITY

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mh. Samia Suluhu Hassan alitembelea banda la Benki ya Equity lililopo Mlimani City apo Jana kwenye maadhinisho ya Wiki ya Maji ambako alipata maelezo kutoka kwa Kaimu Mkurugenzi Mtendaji Bi. Isabela Maganga, namna Benki ya Equity ilivyo mstari wa mbele kuhakikisha inachangia juhudi za serikali katika upatikanaji wa maji safi.

No comments:

Post a Comment