EMPIRE GANG NDANI YA ARUSHA LIVE KWENYE DStv
Empire Gang ndani ya Arusha!!!!
Hawatakuwa pekee yao wapo na wakali Marioo, Mbuzi (Young Lunya) pamoja na mzee wa kubembeleza Juma Jux ndani ya The Hub Arusha Jumamosi.
Show nzima kuruka Live kupitia chaneli ya DStv Maisha Magic Poa 144, inayopatikana kuanzia kifurushi cha Poa kwa TShs 9,900/tu ndani ya @dstvtanzania pekee
Piga *150*53# kulipia kwa urahisi ili usikose burudani hii.
No comments:
Post a Comment