| Meneja wa Tawi la Benki ya DCB Uhuru, Dorice Mawole (kulia), akitoa maelezo kuhusu huduma mbalimbali za kibenki zinazotolewa na DCB ikiwa ni pamoja na kampeni inayoendelea ya Sinia la DCB yenye lengo la kuwafanya wateja kuwa na utamaduni wa kujiwekea akiba huku wakifurahia zawadi nono kutoka kwenye sinia ikiwa ni pamoja na pesa taslimu, zawadi za vocha, simu za mkononi kwa watakaokidhi vigezo. Ilikuwa ni katika banda la benki hiyo wakati wa ufunguzi rasmi wa maonesho ya Wiki ya Huduma za Kifedha kwenye viwanja vya Mnazi Mmoja, Dar es Salaam. |
No comments:
Post a Comment