| Mkuu wa Wilaya ya Bunda, Joshua Nassari (katikati) akikata utepe kuashiria ufunguzi wa duka la Vodacom Wilayani Bunda, Mkoani Mara mwishoni mwa wiki. Vodacom Tanzania Plc imezindua duka hilo Wilayani Bunda ikiwa ni juhudi za kuhakikisha wanaleta huduma bora karibu na wateja wake. |
No comments:
Post a Comment