DStv INAKULETEA CHANELI MPYA YA MAISHA MAGIC MOVIES
Kaa mkao wa kula sasa uweze kufurahia filamu za nyumbani na Afrika Mashariki ndani ya chaneli mpya ya #MaishaMagicMovies chaneli 141 inayokujia rasmi kuanzia tarehe 26 Julai 2021.
Hakikisha hupitwi na Utamu wa Chaneli hii kupitia kifurushi cha Compact TShs 49,000 tu kwa kupiga *150*53# kulipia kifurushi chako.
No comments:
Post a Comment