| Afisa Mkuu mpya wa Ufundi wa Airtel Tanzania, Dkt. Prosper Mafole (katikati) na Mwenyekiti mpya wa Bodi ya Airtel Tanzania PLC, Dkt. Omari Nundu (kulia) wakisalimiana na Mkurugenzi Mtendaji wa Airtel, Bw. Sunil Colaso walipotembelea Makao Makuu ya Airtel yaliyopo jijini Dar es Salaam Mtaa wa Morocco leo hii. Mkuu huyo wa Ufundi anaendelea na kazi sasa baada ya kuteuliwa na Serikali ili kujiunga na uongozi uliopo wa Airtel kuhakikisha kampuni hiyo inayomilikiwa na watanzania kwa asilimia 49% inatoa huduma bora zaidi na kuipa serikali faida . |
No comments:
Post a Comment