Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Wednesday 12 April 2017

KAMPUNI YA ZANTEL YASHIRIKI UDHAMINI WA SHINDANO LA 'SHIKA NDINGA' MWANANYAMALA

Washiriki wa shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel wakichuana katika mwendelezo wa kampeni ya Shika Ndinga iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Tsh1.9 milioni baada ya kuibuka na ushindi.  Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo. 
Mmoja kati ya majaji (mwenye fulana nyeupe) katika shindano la Shika Ndinga linaloendeshwa na kituo cha redio cha Efm na kudhaminiwa na Kampuni ya Zantel akifuatilia washiriki waliokuwa wakichuana katika mwendelezo wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 milioni baada ya kuibuka washindi.  Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.

Alphonse Daudi, mkazi wa Gongo la Mboto akifurahi baada ya kukabidhiwa pikipiki yenye thamani ya Sh1.9 millioni aliyoshindi kwa upande wa wanaume wakati wa kampeni ya ‘Shika Ndinga’ inayoendeshwa na kituo cha redio cha Efm na udhaminiwa na kampuni ya Zantel iliyofanyika mwishoni mwa wiki katika viwanja vya Mwinjuma, Mwananyamala jijini Dar es Salaam. Kushoto ni meneja uhusiano na matukio kutoka Efm Neema Mukurasi. Katika mwendelezo wa kampeni hiyo, washiriki wawili kila mmoja alijinyakulia pikipiki. Washiriki watano kwa upande wa wanawake na watano kwa upande wa wanaume walifuzu hatua ya mchujo.
Baadhi ya wakazi wa Mwananyamala wakifuatilia kwa karibu shindano hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki jijini Dar es salaam.

No comments:

Post a Comment