Foreign Exchange Rates

DStv Advert_010224

DStv Advert_010224

SBT Tanzania Advert_291123

Saturday 19 December 2015

BENKI YA NBC YAZIDI KUWAWEZESHA VIJANA KIUCHUMI

Ofisa wa Benki ya NBC kitengo cha ATM, Pendo Clement (kushoto) akizungumza na baadhi ya wanafunzi wa ​Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto Chuo cha Ufundi Stadi cha Future World, kuhusu masuala mbalimbali ya kimaisha ikiwa ni sehemu ya mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam wa kuendeleza vijana kiuchumi Dar es Salaam unaodhaminiwa na benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Gongo la Mboto nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam juzi.
Meneja wa ATM na Kadi wa Benki ya NBC, Wambura John (kushoto), akiwafundisha wanafunzi wa Chuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto Chuo cha Ufundi Stadi cha Future World jinsi wanavyoweza kutumia mitandao katika kujitengenezea kipato ikiwa ni sehemu ya mradi mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam wa kuendeleza vijana kiuchumi Dar es Salaam unaodhaminiwa na benki hiyo. Hafla hiyo ilifanyika chuoni hapo, Gongo la Mboto nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam juzi.
Meneja Huduma za Jamii wa benki ya NBC, Irene Peter (kulia) akihojiwa na waandishi wa habari katika hafla hiyo.
Mkuu wa Chuo cha Ufundi Stadi cha Future World, Robert Mkolla (katikati) akiwaonyesha maofisa wa NBC mandhari ya chuo hicho katika hafla hiyo. Kushoto ni Meneja Huduma za Jamii, Irene Peter na kulia ni Meneja Mahusiano wa benki hiyo, William Kallaghe.
Meneja Mahusiano wa Benki ya NBC, William Kallaghe (kushoto) akizungumza na baadhi ya wanafunzi waChuo cha ufundi stadi cha Future World, Gongo la mboto Chuo cha Ufundi Stadi cha Future World walipotembelea chuoni hapo jana ikiwa ni sehemu ya mradi mradi wa Kuendeleza Vijana Kiuchumi Dar es Salaam wa kuendeleza vijana kiuchumi Dar es Salaam unaodhaminiwa na NBC.

No comments:

Post a Comment