Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Saturday, 4 April 2015
BENKI YA NMB YADHAMINI MKUTANO WA SERIKALI ZA MITAAKWA SH. MILIONI 200
Benki ya NMB imedhamini mkutano mkuu wa serikali za mitaa (ALAT) utakaoanza tarehe 8 April mpaka Tarehe 11 April, 2015 katika hoteli ya Kunduchi Beach jijini Dar es Salaam. NMB imetoa shilingi milioni 150 kwaajili ya kufanikisha mkutano huo na shilingi milioni 50 kwaajili ya ununuzi wa trekta litakalotolewa kama zawadi kwa meya (Mayors Award) na halmashauri iliyofanya vizuri katika Nyanja mbalimbali kama utawala bora na utengenezaji wa miradi ya kiuchumi.
Subscribe to:
Post Comments (Atom)





No comments:
Post a Comment