Foreign Exchange Rates

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

SBT Tanzania Advert_291123

Tuesday 17 March 2015

UJUMBE KUTOKA KAMPUNI YA SURBANA - SINGAPORE WAMTEMBELEA WAZIRI WA ARDHI , NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI OFISINI KWAKE

Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi akiwa na ujumbe wa Kampuni ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore ofisini kwake. Kampuni hiyo imeingia mkataba na Tanzania katika uandaaji wa mpango kabambe (Master plan) wa Jiji la Arusha.
Katibu mkuu, Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, akifafanua jambo katika kikao kifupi ofisini kwake, baina ya Waziri wa Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. Willium Lukuvi, National Housing Coorporation na ujumbe wa Kampuni ya Surbana International Pty Ltd ya nchini Singapore.
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. William Lukuvi akipokea zawadi ya picha, ambayo alipigwa alipokuwa ziarani Singapore, anayemkabidhi ni Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Surbana International Pty Ltd, Pang Yee.
Naibu Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mh. Angela Kairuki akipokea zawadi ya picha ambayo alipigwa alipokuwa ziarani Singapore, anayemkabidhi ni Mtendaji Mkuu wa kampuni ya Surbana International Pty Ltd,Pang Yee.
Michuzi Blog

No comments:

Post a Comment