Mkataba huo unalenga kukuza uwezo wa Watanzania katika masuala ya kitehama lakini pia kuendelea kuchochea mabadiliko makubwa ya kidigitali yanayohusiana na sekta ya fedha.
Blog Rebranding Teaser_030826
Stanbic Bank Banner_070826
Absa Loan Campaign_160426
Monday, 5 May 2025
BENKI YA NMB YAPANIA KUIINUA TEHAMA UDOM
NMB BANK & UNIVERSITY OF DODOMA PARTNER TO PROPEL TECHNOLOGICAL INNOVATION
KONGAMANO LA KIMATAIFA LA UWEKEZAJI KUFANYIKA ZANZIBAR JUNI 13-15, 2025
Mkutano mkubwa wa uwekezaji utakaowakutanisha wawekezaji na wafanyabiashara mbalimbali kutoka nchi mbalimbali Afrika utafnyika, Pemba, Zanzibar kuanzia Juni 13 mpaka Juni 15 katika viwanja vya uwekezaji, Micheweni, Pemba mwaka huu.
Awali mkutano huo ulipangwa kufanyika Mei 7 mwaka huu lakini waandaaji, Mamlaka ya Kukuza Uwekezaji Zanzibar (ZIPA) imetangaza kuusogeza mbele mkutano huo kwa mwezi mmoja kutokana na maombi ya wafanyabiashara wengi.
Akizungumza kutoka Zanzibar, Mkurugenzi Mtendaji wa ZIPA, Saleh Saad Mohamed, alisema pamoja na watu wengi kujiandikisha kushiriki Mkutano huo, bado yapo mapombi mengi ya wafanyabisahara wengine wa ndani na nje ya nchi waliomba kusogeza mbele ili kuwapa nafasi ya kujiandikisha na kuiandaa kushiriki.
"Nichukue fursa hii kuwaomba wafanyabisahara na wananchi kutumia kipindi hiki kujiandikisha kushiriki katika kongamano hili, kwa pamoja tunawaomba mjitokeze kwa wingi kuangalia fursa za uwekezaji Pemba," alisema
Aidha, alisema ratiba nyingine ya mkutano huo ipo kama ilivyopangwa ambapo Rais wa Zanzibar, Hussein Mwinyi, anatarajiwa kuwa mgeni rasmi kufungua mkutano huo mkubwa wa masuala ya uwekezaji na biashara.
EXIM BANK STARTS 2025 STRONG WITH BOLD GROWTH PLANS AHEAD
Dar es Salaam, May 2, 2025: Exim Bank Tanzania has reported a strong start with its first quarter of 2025, underlining its continued growth momentum, operational efficiency, and impactful initiatives that align with its long-term strategy for innovation and inclusion. For the period ended 31st March 2025, the bank posted strong financial metrics across the board, reinforcing its role as one of Tanzania’s leading private sector financial institutions.
The bank’s total assets rose to TZS 3.4 trillion, marking an 18.2% increase compared to the same period last year. Net Loans and advances also surged to TZS 1.9 trillion, representing a 20% year-on-year growth. The strong lending performance reflects the bank’s commitment to supporting both individuals and enterprises across key economic sectors.
Moreover, profit before tax for the first quarter of 2025 reached TZS 26.5 billion, marking a strong performance that underscores the bank’s disciplined execution of its strategic priorities. This growth reflects the success of its customer-first approach, prudent risk management, and continued investment in innovative financial solutions that respond to the evolving needs of individuals and businesses across Tanzania.
Total customer deposits reached TZS 2.7 trillion, a 20% increase from the previous year, demonstrating growing trust in the bank’s ability to deliver value-driven and customer-focused banking solutions. Net interest income for the quarter stood at TZS 43.7 billion, a 7% increase year-on-year, underpinned by improved asset quality and a resilient lending strategy.
Commenting on the performance, Exim Bank’s Chief Financial Officer, Shani Kinswaga said, “We are pleased with our Q1 2025 performance, which not only shows solid financial growth but also the tangible impact of our commitment to inclusion and innovation. Our focus remains on delivering accessible, digital-first, and customer-friendly banking experiences that support Tanzania’s economic transformation.”
Friday, 2 May 2025
AFISA MTENDAJI MKUU, DSE AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU KUHUSU UWEZESHAJI WA MIRADI
Dodoma, Mlimwa, 27.04.2025: Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam, Bw. Peter Nalitolela atembelea Ofisi ya Waziri Mkuu na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa (Mb.) ambapo waligusia juu ya Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE) kuwezesha serikali, mashirika, halmashauri na manispaa za miji kupata fedha zaidi za kukamilisha miradi, lakini pia alisisitiza utolewaji wa elimu kwa Umma juu ya fursa zilizopo DSE ili kuweza kufanikisha lengo la serikali katika sera ya uchumi jumuishi.
#DSE
#WaziriMkuuBingwa
#MiradiYaMendeleoe
#UstawiWaJamii
#TanzaniaImara
#DSEHisaKiganjani
BENKI YA CRDB YASHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI, SINGIDA

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, Makamu wa Rais, Dkt. Philip Mpango, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Naibu Waziri Mkuu, Dkt. Dotto Biteko na Rais wa Shirikisho la Vyama vya Wafanyakazi nchini (TUCTA), Tumaini Nyamhokya kwa pamoja wakiwa wameshikana mikono wakati wakiimba wimbo wa mshikamano kwenye maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.
Kwenye maadhimisho hayo, Benki ya CRDB ambayo ni Mwajiri Bora zaidi nchini, iliungana na Watanzania pamoja na dunia nzima kusherehekea mchango wa wafanyakazi katika kukuza uchumi.
Benki hiyo iliwakilishwa na viongozi kutoka Makao Makuu pamoja na wafanyakazi kutoka makao makuu, kanda ya kati na matawi ya Singida wakiongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo aliyesindikizwa na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Godfrey Rutasingwa.

Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo (watano kushoto) akiwa na wageni wengine kwa pamoja wakiwa wameshikana mikono wakati wakiimba wimbo wa mshikamano kwenye maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.
Kwenye maadhimisho hayo, Benki ya CRDB ambayo ni Mwajiri Bora zaidi nchini, iliungana na Watanzania pamoja na dunia nzima kusherehekea mchango wa wafanyakazi katika kukuza uchumi.
Benki hiyo iliwakilishwa na viongozi kutoka Makao Makuu pamoja na wafanyakazi kutoka makao makuu, kanda ya kati na matawi ya Singida wakiongozwa na Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo aliyesindikizwa na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu, Godfrey Rutasingwa.

Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo (watano kushoto) akiwa na wageni wengine kwa pamoja wakiwa wameshikana mikono wakati wakiimba wimbo wa mshikamano kwenye maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.
Baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya CRDB wakipita mbele ya Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muugano wa Tanzinia, Dkt. Samia Suluhu Hassan wakati wa maadhimisho ya Mei Mosi yaliyofanyika kitaifa katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida.
Magari ya Benki ya CRDB yakiwemo Matawi yanayo tembea yakishiriki katika maadamano ya Mei Mosi yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida.



Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akiwapungia wafanyakazi waliokuwa wakipita kwa maandamano mbele yake wakati wa maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akihutubia wakati wa maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.
Afisa Mkuu wa Fedha, Fredrick Nshekanabo (katikati) akiwa na wageni wengine kwenye maadhimisho ya Sherehe za Wafanyakazi (Mei Mosi) yaliyofanyika kitaifa, katika viwanja vya Bombadia mkoani Singida.
BENKI YA NBC YASHIRIKI MAADHIMISHO MEI MOSI SINGIDA
Thursday, 1 May 2025
NMB YADHAMINI NA KUSHIRIKI MAADHIMISHO YA MEI MOSI KITAIFA – SINGIDA
Subscribe to:
Posts (Atom)


.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)


.jpeg)

.jpeg)
.jpeg)

.jpeg)

.jpeg)

















.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
.jpeg)
