Foreign Exchange Rates

CRDB Bank Advert_070325

Selcom Pesa Advert_110225

Selcom Pesa Advert_110225

Standard Chartered Advert_300125

Standard Chartered Advert_300125

DStv Advert_090724

DStv Advert_090724

Friday, 2 May 2025

AFISA MTENDAJI MKUU, DSE AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU KUHUSU UWEZESHAJI WA MIRADI



Dodoma, Mlimwa, 27.04.2025: Afisa Mtendaji Mkuu wa Soko la Hisa Dar es Salaam, Bw. Peter Nalitolela atembelea Ofisi ya Waziri Mkuu na kufanya mazungumzo na Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Kassim M. Majaliwa (Mb.) ambapo waligusia juu ya Soko la Hisa Dar es Salaam (DSE) kuwezesha serikali, mashirika, halmashauri na manispaa za miji kupata fedha zaidi za kukamilisha miradi, lakini pia alisisitiza utolewaji wa elimu kwa Umma juu ya fursa zilizopo DSE ili kuweza kufanikisha lengo la serikali katika sera ya uchumi jumuishi.

#DSE
#WaziriMkuuBingwa
#MiradiYaMendeleoe
#UstawiWaJamii
#TanzaniaImara
#DSEHisaKiganjani

No comments:

Post a Comment